< Mambo ya Walawi 19 >

1 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema e da alofele Isala: ili dunu ilima sia: ma: ne sia: i, “Dilia hadigi agoane hamoma. Bai Na, dilia Hina Gode, da Hadigidafa gala.
2 “Sema na kusanyiko lote la Israeli na uwaambie: ‘Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi, Bwana Mungu wenu, ni mtakatifu.
3 “‘Kila mmoja wenu ni lazima amheshimu mama yake na baba yake, na pia ni lazima kuzishika Sabato zangu. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
Dilia huluane afae afae amo dilia ada amola ame elama nodone dawa: ma. Amola Na sema defele, Sa: bade eso noga: le ouligima. Na da dilia Hina Gode!
4 “‘Msiabudu sanamu, wala msijitengenezee miungu ya shaba. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
Dilia Na mae yolesima. Amola eno loboga hamoi ogogosu ‘gode’ ilima nodone mae sia: ne gadoma. Ogogosu ‘gode’ ouli amoga mae hamoma amola ilima mae nodone sia: ne gadoma. Na da dilia Hina Gode!
5 “‘Mnapotoa dhabihu ya sadaka ya amani kwa Bwana, toeni kwa namna ambayo itakubaliwa kwa niaba yenu.
Dilia Hahawane Gilisili Olofole Iasu hamoma: ne, ohe medole legesea, sema huluane Na dilima i, amoma fa: no bobogema. Amasea, Na da dilia iasu hahawane lamu.
6 Sadaka hiyo italiwa siku iyo hiyo mnayoitoa, au kesho yake; chochote kitakachobaki hadi siku ya tatu lazima kiteketezwe kwa moto.
Amo iasu ea hu da eso amoga e da medole legei o aya eso agoane moma: ne sia: mu. Be eso osoda amoga hu hame mai dialebe ba: sea, amo laluga gobesima.
7 Kama sehemu yoyote ya sadaka hiyo italiwa siku ya tatu, itakuwa si safi, nayo haitakubaliwa.
Bai amo hu da ledo hamoi dagoi. Amola dunu afae da amo hu nasea, Na da iasu huluane hame lamu.
8 Yeyote atakayekula atawajibishwa, kwa sababu amenajisi kitu kilicho kitakatifu kwa Bwana; mtu huyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Nowa da agoaiwane nasea, e da amo liligi Nama ilegei amo da udigili liligi olelesa. Amaiba: le, amo dunu da Na fidafa amoga fadegai dagoi ba: mu.
9 “‘Wakati uvunapo mavuno ya nchi yako, usivune hadi kwenye mipaka ya shamba lako, wala usikusanye mabaki ya mavuno yako.
Dilia da dilia ifabi gamisia, gagoma da bega: sagai, amo mae faima. Amo gagoma udigili dialebe, amo lama: ne, mae sinidigima.
10 Usirudi mara ya pili katika shamba lako la mizabibu, wala usiokote zabibu zilizoanguka chini. Ziache kwa ajili ya maskini na mgeni. Mimi ndimi Bwana Mungu wako.
Amola dilia waini sagai faisia, amoga waini fage fisi dialebe amo lamusa: , bu mae sinidigima. Hame gagui dunu amola ga fi amo moma: ne yolesima. Na da dilia Hina Gode!
11 “‘Usiibe. “‘Usiseme uongo. “‘Msidanganyane.
Wamolasu amola ogogosu hou maedafa hamoma.
12 “‘Usiape kwa uongo kwa Jina langu, na hivyo kulinajisi jina la Mungu wako. Mimi ndimi Bwana.
Dilia udigili Na Dioba: le sia: mae ilegema. Amo hou da Na Dio wadela: sa. Na da dilia Hina Gode.
13 “‘Usimdhulumu wala kumwibia jirani yako. “‘Usishikilie mshahara wa kibarua usiku kucha hadi asubuhi.
Dilia eno dunu ea hou wadela: ma: ne o ea liligi lamusa: , mae ogogoma. Amola mae wamolama! Nowa da dia hawa: hamosu hamoi galea, ea bidi hedolo ema ima. Gasi afae mae iawane oualigimu da defea hame.
14 “‘Usimlaani kiziwi, wala usiweke kikwazo mbele ya kipofu, lakini umche Mungu wako. Mimi ndimi Bwana.
Ge wadela: i dunu ema gagabusu aligima: ne mae ilegema. Amola si dofoi dunu da sadenane dafasa: besa: le, dafama: ne liligi ea logoga mae ligisima. Nama beda: ma! Na da dilia Hina Gode.
15 “‘Usipotoshe haki; usionyeshe kumpendelea maskini, wala upendeleo kwa mwenye cheo, bali mwamulie jirani yako kwa haki.
Fofada: su hou amo ganodini moloidafa amola defele hamoma. Hame gagui dunu ilima baligili mae dawa: ma amola bagade gagui dunu ilima mae beda: ma.
16 “‘Usieneze uchochezi miongoni mwa watu wako. “‘Usifanye kitu chochote kile kinachohatarisha maisha ya jirani yako. Mimi ndimi Bwana.
Eno dunu ea hou gugunufinisima: ne, ogogole mae sia: ma. Amola fofada: su dunu da eno dunuma bogoma: ne fofada: su hamosea di da amo dunu gaga: musa: dawa: lai sia: galea, amo mae beda: iwane sia: ma. Na da dilia Hina Gode.
17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako. Karipia jirani yako kwa uwazi ili usishiriki hatia yake.
Eno dunuma mae higama. Be alia da sia: ga gegesu galea, di da wadela: i hou hamosa: besa: le, hedolowane hou hahamoma.
18 “‘Usijilipizie kisasi wala kuwa na kinyongo dhidi ya mmoja wa jamaa yako, lakini mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe. Mimi ndimi Bwana.
Eno dunuma dabe lama: ne mae dawa: ma amola eno dunu mae higama. Be dia da: i amoma asigi hou amo defele dia na: iyadoma asigima. Na da dilia Hina Gode.
19 “‘Mtazishika amri zangu. “‘Usiwaache wanyama wako wa kufugwa wakazaana na wengine wa aina tofauti. “‘Usipande mbegu za aina mbili katika shamba lako. “‘Usivae nguo iliyofumwa kwa nyuzi za aina mbili tofauti.
Na sema nabawane hamoma. Lai gebo hisu hisu amo mano lama: ne mae gilisima. Hawa: aduna ifabi afae ganodini mae sagama. Abula aduna amoga da: i salasu mae nodomema.
20 “‘Kama mwanaume anakutana kimwili na mwanamke ambaye ni msichana mtumwa aliyeposwa na mwanaume mwingine, lakini ambaye hajakombolewa wala hajapewa uhuru, lazima iwepo adhabu inayofaa. Hata hivyo hawatauawa, kwa sababu msichana alikuwa bado hajaachwa huru.
Dunu da udigili hawa: hamosu uda amo eno dunuma ea gidisedagi uda hamoma: ne, bidi lamusa: ilegei galea, be amo dunu da ema muni hame i galea, hina dunu da ea hawa: hamosu uda ema gilisili golasea, dilia e amola amo uda mae medole legema. Bai e da ea udigili hawa: hamosu uda amola ea bidi hame lai. Be ela da se iasu ba: mu.
21 Lakini huyo mtu lazima alete kondoo dume kwenye ingilio la Hema la Kukutania kwa ajili ya sadaka ya hatia kwa Bwana.
Amo dunu da Dabe Ima: ne gobele salasu hamoma: ne, sibi gawali amo Na Abula Diasu logo holeiga gaguli misa: ne sia: ma.
22 Kupitia kwa huyo kondoo dume wa sadaka ya hatia, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana kwa ajili ya dhambi aliyotenda, naye atasamehewa dhambi yake.
Amasea, amoga gobele salasu dunu da ledo gala dodofesu hou amo dunu ea wadela: i hou fadegama: ne hamomu. Amasea Gode da ea wadela: i hou gogolema: ne olofomu.
23 “‘Mtakapoingia katika hiyo nchi na kupanda aina yoyote ya mti wa matunda, hesabuni matunda yake kama yaliyokatazwa. Kwa miaka mitatu mtayahesabu kwamba yamekatazwa; hayaruhusiwi kuliwa.
Dilia da Ga: ina: ne soge amoga golili dasea, amola ha: i manu ifa bugisia, ode udiana amoga ea fage legei da ledo gala dawa: ma. Amo ode udiana ganodini, dilia da amo ifa ea fage mae moma.
24 Katika mwaka wa nne matunda yote ya mti huo yatakuwa matakatifu, sadaka ya sifa kwa Bwana.
Ode biyadu amoga, amo ifa ea fage huluane, Hina Godema imunusa: ilegema. Dilia da Na, Hina Gode, Nama nodomusa: agoane hamoma.
25 Bali katika mwaka wa tano mnaweza kula matunda ya mti huo. Kwa njia hii mavuno yenu yataongezewa. Mimi ndimi Bwana Mungu wako.
Be ode biyale gala amoga, dilia amo ifa ea fage manu da defea. Dilia agoane hamosea, dilia ifa da fage baligili legemu. Na da dilia Hina Gode.
26 “‘Msile nyama yoyote yenye damu ndani yake. “‘Msifanye uaguzi wala uchawi.
Hu amo ganodini da maga: me dialebe, mae moma. Wadela: i fefedoasu hou mae hamoma!
27 “‘Msikate nywele za kichwa denge, wala kunyoa pembe za ndevu zenu.
Dilia dialuma hinabo la: ididili diala, amo mae damuni fasima, amola dilia maya: bo fe mae dadamuma.
28 “‘Msichanje chale miili yenu kwa ajili ya mfu, wala msijichore alama juu ya miili yenu. Mimi ndimi Bwana.
Gugui dedesu hou mae hamoma amola bogoi ilima asigiba: le, dilia da: i amoga mi defesu mae fa: ginisima. Na da Hina Godedafa.
29 “‘Usimdhalilishe binti yako kwa kumfanya kahaba, la sivyo nchi itageukia ukahaba na kujaa uovu.
Dilia uda mano amo ogogosu ‘gode’ ea debolo diasuga hina da: i bidi lasu uda agoane maedafa hamoma. Amo hou da ili wadela: mu. Be dilia da agoane hamosea, dilia da Na yolesili, eno ogogosu ‘gode’ amoma fa: no bobogele, soge da wadela: i hamosu amoga nabaiwane ba: mu.
30 “‘Shika Sabato zangu na kuheshimu mahali pangu patakatifu. Mimi ndimi Bwana.
Sa: bade eso noga: le dawa: ma. Amola sogebi amogawi dunu da Nama nodone sia: ne gadosa, amoma nodone dawa: ma. Na da Hina Gode.
31 “‘Msiende kwa waaguzi, wala msitafute wapunga pepo, kwa maana watawanajisi. Mimi ndimi Bwana Mungu wako.
Dunu amo da bogoi a: silibu amoma fada: i sia: hogosa, amoma mae gilisima. Agoane hamosea, dilia da ledo gala hamoi dagoi ba: mu. Na da dilia Hina Gode.
32 “‘Uwapo mbele ya mzee, simama ili kuonyesha heshima kwa wazee, nawe umche Mungu wako. Mimi ndimi Bwana.
Asigilai, da: i hamoi dunu amola uda ilima nodone dawa: ma. Nama beda: ma. Na da Hina Godedafa.
33 “‘Wakati mgeni anaishi pamoja nawe katika nchi yako, usimnyanyase.
Dilia ga fi dunu dilia soge ganodini esala, ilima asigiwane hamoma.
34 Mgeni anayeishi pamoja nawe ni lazima umtendee kama mmoja wa wazawa wa nchi yako. Mpende kama unavyojipenda mwenyewe, kwa maana ulikuwa mgeni katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Bwana Mungu wako.
Dilia da dilia Isala: ili na: iyado dunu ilima hamosu defele ilima hamoma. Bu dawa: ma! Dilia amola da musa: ga fi agoane Idibidi soge ganodini esalu. Na da dilia Hina Gode.
35 “‘Usitumie vipimo vya udanganyifu unapopima urefu, kupima uzito, wala kupima wingi.
Dilia eno dunuma ogogole mae hamoma. Ogogosu dioi defei ba: su liligi (scales) amola sedade ilegesu amola idisu liligi, amoga ogogole mae hamoma.
36 Tumia mizani halali, mawe ya kupimia uzito halali, efa halali, na hini halali. Mimi ndimi Bwana Mungu wako, ambaye alikutoa katika nchi ya Misri.
Moloiwane ado ba: su liligi amola dioi ba: su liligi amola sedade ilegesu liligi, amoga fawane hawa: hamoma. Na da dilia Hina Gode amola Na da dili Idibidi sogega fisili masa: ne gadili asunasi.
37 “‘Shika amri zangu zote na sheria zangu zote, nawe uzifuate. Mimi ndimi Bwana.’”
Na sema amola Na hamoma: ne sia: i liligi huluane nabawane hamoma. Bai Na da Hina Godedafa.”

< Mambo ya Walawi 19 >