< Mambo ya Walawi 17 >
Och Herren talade med Mose, och sade:
2 “Sema na Aroni na wanawe, pamoja na Waisraeli wote, uwaambie: ‘Hili ndilo Bwana aliloagiza:
Tala med Aaron och hans söner, och all Israels barn, och säg till dem: Detta är det Herren budit hafver:
3 Mwisraeli yeyote atakayetoa dhabihu ya maksai, mwana-kondoo au mbuzi ndani ya kambi au nje yake,
Hvilken af Israels hus, som i lägret, eller utanför lägret, slagtar en oxa, eller lamb, eller get;
4 badala ya kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kuileta kama sadaka kwa Bwana mbele ya Maskani ya Bwana, mtu huyo atahesabiwa kuwa na hatia ya kumwaga damu; ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Och intet bär fram för dörrena af vittnesbördsens tabernakel det som Herranom för ett offer buret varder inför Herrans boning, han skall för blod brottslig vara, såsom den som blod utgjutit hafver; och sådana menniska skall utrotad varda utu sitt folk.
5 Hii ni ili Waisraeli wamletee Bwana dhabihu wanazozifanya sasa mahali pa wazi mashambani. Ni lazima wazilete kwa makuhani, yaani kwa Bwana, katika ingilio la Hema la Kukutania, na kutoa dhabihu kama sadaka za amani.
Derföre skola Israels barn deras offer, som de på fria markene offra vilja, bära fram för Herran, inför dörrena af vittnesbördsens tabernakel till Presten, och der offra deras tackoffer Herranom;
6 Kuhani atanyunyiza damu kwenye madhabahu ya Bwana katika ingilio la Hema la Kukutania, na kuyateketeza mafuta ya hiyo dhabihu kuwa harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Och Presten skall stänka blodet på Herrans altare inför dörrene af vittnesbördsens tabernakel, och bränna upp det feta, Herranom till en söt lukt;
7 Hawatatoa kamwe dhabihu zao kwa sanamu za mbuzi ambazo wamekuwa wakijifanyia nazo ukahaba. Hili litakuwa agizo la kudumu kwao na kwa ajili ya vizazi vijavyo.’
Och ingalunda mer offra djeflomen deras offer, med hvilkom de hor bedrifva. Det skall dem vara en evig rätt i deras efterkommandom.
8 “Waambie: ‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwao atakayetoa sadaka ya kuteketezwa au dhabihu
Derföre skall du säga dem: Hvilken menniska af Israels huse, eller ock en främling, den ibland eder är, som gör ett offer eller bränneoffer,
9 bila kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kutoa dhabihu kwa Bwana, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Och bär det icke inför dörrena af vittnesbördsens tabernakel, att han gör det Herranom, den skall utrotad varda utu hans folk.
10 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi miongoni mwao ambaye atakunywa damu yoyote, nitakuwa kinyume cha mtu huyo atakayekunywa damu na kumkatilia mbali na watu wake.
Och hvilken menniska, vare sig af Israels huse, eller en främling ibland eder, äter något blod; emot honom skall jag sätta mitt anlete, och skall utrota honom midt utu hans folk;
11 Kwa kuwa uhai wa kiumbe uko ndani ya damu, nami nimewapa hiyo damu ili mfanyie upatanisho kwa ajili yenu wenyewe juu ya madhabahu; damu ndiyo ifanyayo upatanisho kwa ajili ya maisha ya mtu.
Ty kroppsens lif är uti blodet, och jag hafver gifvit eder det till altaret, att edra själar skola dermed försonade varda; förty blodet är försoning för lifvet.
12 Kwa hiyo, ninawaambia Waisraeli, “Hakuna hata mmoja wenu anayeruhusiwa kunywa damu, wala mgeni anayeishi miongoni mwenu haruhusiwi kunywa damu.”
Derföre hafver jag sagt Israels barnom: Ingen själ ibland eder skall äta blod, och ingen främling, som ibland eder bor.
13 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi miongoni mwenu ambaye atamwinda mnyama au ndege anayeruhusiwa kuliwa ni lazima aimwage damu na kuifunika kwa udongo,
Och hvilken menniska, vare sig af Israels huse, eller en främling ibland eder, som tager ett djur eller fogel i jagt, det man äter, han skall utgjuta dess blod, och öfvertäcka honom med jord;
14 kwa sababu uhai wa kila kiumbe ni katika damu yake. Ndiyo sababu nimewaambia Waisraeli, “Kamwe msinywe damu ya kiumbe chochote, kwa sababu uhai wa kila kiumbe ni katika damu yake; yeyote atakayekunywa damu ni lazima akatiliwe mbali.”
Ty kroppsens lif är i sinom blod. Och jag hafver sagt Israels barnom: I skolen ingen kropps blod äta; ty kroppsens lif är i sinom blod. Den det äter, han skall utrotad varda.
15 “‘Mtu yeyote, awe mzawa au mgeni, ambaye atakula mzoga wa kitu chochote ama kilichouawa na wanyama mwitu ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada mpaka jioni, kisha atakuwa safi.
Och hvilken själ som äter ett as, eller det af vilddjur rifvet är, vare sig en inländsk eller utländsk, han skall två sin kläder, och bada sig med vatten, och vara oren intill aftonen, så varder han ren.
16 Lakini kama hakufua nguo zake na kuoga, atakuwa na hatia kwa kosa hilo.’”
Om han icke tvår sin kläder, eller sig icke badar, skall han bära sina missgerning.