< Mambo ya Walawi 16 >

1 Bwana akasema na Mose baada ya kifo cha wale wana wawili wa Aroni waliokufa walipokaribia mbele za Bwana.
HERREN talede til Moses, efter at Døden havde ramt Arons to Sønner, da de trådte frem for HERRENs Åsyn og døde,
2 Bwana akamwambia Mose: “Mwambie ndugu yako Aroni asije wakati wowote atakavyo yeye ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, nyuma ya pazia pale mbele ya kiti cha rehema kile kilichoko juu ya Sanduku la Agano, la sivyo atakufa, kwa sababu huwa ninatokea ndani ya wingu juu ya kile kiti cha rehema.
og HERREN sagde til Moses: Sig til din Broder Aron, at han ikke til enhver Tid må gå ind i Helligdommen inden for Forhænget foran Sonedækket på Arken, ellers skal han dø, thi jeg kommer til Syne i Skyen over Sonedækket.
3 “Hivi ndivyo Aroni atakavyoingia katika mahali patakatifu: atachukua fahali mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.
Kun således må Aron komme ind i Helligdommen: Med en ung Tyr til Syndoffer og en Væder til Brændoffer;
4 Atavaa koti takatifu la kitani, pamoja na nguo za ndani za kitani; atafunga mshipi wa kitani kiunoni, na kuvaa kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu, kwa hiyo ni lazima aoge kwa maji kabla ya kuyavaa mavazi hayo.
han skal iføre sig en hellig Linnedkjortel, bære Linnedbenklæder over sin Blusel, omgjorde sig med et Linnedbælte og binde et Linned Hovedklæde om sit Hoved; det er hellige Klæder; og han skal bade sit Legeme i Vand, før han ifører sig dem.
5 Atachukua mbuzi dume wawili kutoka kwa jumuiya ya Israeli kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.
Af Israeliternes Menighed skal han tage to Gedebukke til Syndoffer og en Væder til Brændoffer.
6 “Aroni atamtoa huyo fahali kwa ajili ya sadaka yake ya dhambi ili afanye upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na nyumba yake.
Så skal Aron ofre sin egen Syndoffertyr og skaffe sig og sit Hus Soning.
7 Kisha atawachukua wale mbuzi dume wawili na kuwaleta mbele za Bwana kwenye ingilio la Hema la Kukutania.
Derefter skal han tage de to Bukke og stille dem frem for HERRENs Åsyn ved Indgangen til Åbenbaringsteltet.
8 Aroni atapiga kura kwa ajili ya hao mbuzi wawili, mmoja kwa ajili ya Bwana na mwingine kwa ajili ya kubebeshwa dhambi.
Og Aron skal kaste Lod om de to Bukke, et Lod for HERREN og et for Azazel;
9 Aroni atamleta yule mbuzi ambaye kura ya Bwana imemwangukia na kumtoa dhabihu kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
og den Buk, der ved Loddet tilfalder HERREN, skal Aron føre frem og ofre som Syndoffer;
10 Lakini mbuzi aliyechaguliwa kwa kura kuwa wa kubebeshwa dhambi atatolewa akiwa hai mbele za Bwana, atumike kwa kufanya upatanisho kwa kumwacha aende jangwani akiwa amebebeshwa dhambi.
men den Buk, der ved Loddet tilfalder Azazel, skal fremstilles levende for HERRENs Åsyn, for at man kan fuldbyrde Soningen over den og sende den ud i Ørkenen til Azazel.
11 “Aroni atamleta yule fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi yake mwenyewe, ili kufanya upatanisho kwa ajili yake na nyumba yake, naye atamchinja huyo fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi yake mwenyewe.
Aron skal da føre sin egen Syndoffertyr frem og skaffe sig og sit Hus Soning og slagte sin egen Syndoffertyr.
12 Atachukua chetezo kilichojaa makaa yanayowaka kutoka madhabahuni mbele za Bwana, na konzi mbili za uvumba laini uliosagwa vizuri wenye harufu, na kuvipeleka nyuma ya pazia.
Derpå skal han tage en Pandefuld Gløder fra Alteret for HERRENs Åsyn og to Håndfulde stødt, vellugtende Røgelse og bære det inden for Forhænget.
13 Ataweka uvumba juu ya moto mbele za Bwana, na moshi wa uvumba utafunika kile kiti cha rehema kilicho juu ya Ushuhuda, ili asife.
Og han skal komme Røgelse på Ilden for HERRENs Åsyn, så at Røgelsesskyen skjuler Sonedækket oven over Vidnesbyrdet, for at han ikke skal dø.
14 Atachukua sehemu ya damu ya fahali, na kwa kidole chake atanyunyiza sehemu ya mbele ya kiti cha rehema; kisha atanyunyiza sehemu ya hiyo damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kiti cha rehema.
Så skal han tage noget af Tyrens Blod og stænke det med sin Finger fortil på Sonedækket, og foran Sonedækket skal han syv Gange stænke noget af Blodet med sin Finger.
15 “Kisha atamchinja mbuzi wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu, na kuichukua damu yake nyuma ya pazia, na aifanyie kama alivyofanya kwa damu ya fahali: Atanyunyiza juu ya kiti cha rehema na mbele yake.
Derefter skal han slagte Folkets Syndofferbuk, bære dens Blod inden for Forhænget og gøre med det som med Tyrens Blod, stænke det på Sonedækket og foran Sonedækket.
16 Kwa njia hii atafanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu kwa sababu ya unajisi na uasi wa Waisraeli, kwa dhambi zao zozote. Atafanya hivyo kwa ajili ya Hema la Kukutania, ambalo liko miongoni mwao katikati ya unajisi wao.
Således skal han skaffe Helligdommen Soning for Israeliternes Urenhed og deres Overtrædelser, alle deres Synder, og på samme Måde skal han gøre med Åbenbaringsteltet, der har sin Plads hos dem midt i deres, Urenhed.
17 Mtu yeyote haruhusiwi kuwa ndani ya Hema la Kukutania, kuanzia wakati Aroni anapoingia kufanya upatanisho katika Patakatifu pa Patakatifu, hadi atakapotoka nje, baada ya kujifanyia upatanisho yeye mwenyewe na nyumba yake, pamoja na jumuiya yote ya Israeli.
Intet Menneske må komme i Åbenbaringsteltet, når han går ind for at skaffe Soning i Helligdommen, før han går ud igen. Således skal han skaffe sig selv, sit Hus og hele Israels Forsamling Soning.
18 “Kisha atatoka aje kwenye madhabahu yaliyo mbele za Bwana na kufanya upatanisho kwa ajili yake. Atachukua sehemu ya damu ya fahali na sehemu ya damu ya mbuzi, na kuiweka kwenye pembe za madhabahu.
Så skal han gå ud til Alteret, som står for HERRENs Åsyn, og skaffe det Soning; han skal tage noget af Tyrens og Bukkens Blod og stryge det rundt om på Alterets Horn,
19 Atanyunyiza baadhi ya hiyo damu juu ya madhabahu kwa kidole chake mara saba, ili kuitakasa na kuiweka wakfu kutokana na unajisi wa Waisraeli.
og han skal syv Gange stænke noget af Blodet derpå med sin Finger og således rense det og hellige det for Israeliternes Urenheder.
20 “Aroni atakapokuwa amemaliza kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, atamleta mbele yule mbuzi aliye hai.
Når han så er færdig med at skaffe Helligdommen, Åbenbaringsteltet og Alteret Soning, skal han føre den levende Buk frem.
21 Aroni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha mbuzi aliye hai na kuungama juu yake uovu wote na uasi wa Waisraeli, yaani dhambi zao zote, ili kuziweka juu ya kichwa cha huyo mbuzi. Atamwachia huyo mbuzi akimbilie jangwani kwa uangalizi wa mtu aliyepewa wajibu huo.
Aron skal lægge begge sine Hænder på Hovedet af den levende Buk og over den bekende alle Israeliternes Misgerninger og alle deres Overtrædelser, alle deres Synder, og lægge dem på Bukkens Hoved og så sende den ud i Ørkenen ved en Mand, der holdes rede dertil.
22 Yule mbuzi atachukua juu yake dhambi zao zote mpaka mahali pasipo na watu; naye yule mtu atamwachia akimbilie jangwani.
Bukken skal da bære alle deres Misgerninger til et øde Land, og så skal han slippe Bukken løs i Ørkenen.
23 “Kisha Aroni ataenda ndani ya Hema la Kukutania na kuvua yale mavazi ya kitani aliyoyavaa kabla ya kuingia katika Patakatifu pa Patakatifu, naye atayaacha pale.
Derpå skal Aron gå ind i Åbenbaringsteltet, afføre sig Linnedklæderne, som han tog på, da han gik ind i Helligdommen, og lægge dem der;
24 Ataoga kwa maji katika mahali patakatifu na kuvaa mavazi yake ya kawaida. Kisha atatoka na kutoa dhabihu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yake na sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya watu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe, na kwa ajili ya watu.
så skal han bade sit Legeme i Vand på et helligt Sted, iføre sig sine sædvanlige Klæder og gå ud og ofre sit eget Brændoffer og Folkets Brændoffer og således skaffe sig og Folket Soning.
25 Pia atachoma mafuta ya mnyama wa sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
Og Syndofferets Fedt skal han bringe som Røgoffer på Alteret.
26 “Yule mtu anayemwachia yule mbuzi wa kubebeshwa dhambi ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji; baadaye anaweza kuingia kambini.
Men den, som fører Bukken ud til Azazel, skal tvætte sine Klæder og bade sit Legeme i Vand; derefter må han komme ind i Lejren.
27 Yule fahali na mbuzi waliotolewa kwa ajili ya sadaka za dhambi, ambao damu yao ilikuwa imeletwa Patakatifu pa Patakatifu kwa ajili ya kufanya upatanisho, ni lazima watolewe nje ya kambi. Ngozi zao, nyama, na matumbo pamoja na mavi vitateketezwa kwa moto.
Men Syndoffertyren og Syndofferbukken, hvis Blod blev båret ind for at skaffe Soning i Helligdommen, skal man bringe uden for Lejren, og man skal brænde deres Hud og deres Kød og Skarn.
28 Mtu atakayevichoma ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji; baadaye ataweza kuingia kambini.
Og den, der brænder dem, skal tvætte sine Klæder og bade sit Legeme; derefter må han komme ind i Lejren.
29 “Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Katika siku ya kumi ya mwezi wa saba ni lazima mfunge, wala msifanye kazi yoyote, iwe mzawa au mgeni anayeishi miongoni mwenu,
Det skal være eder en evig gyldig Anordning. Den tiende Dag i den syvende Måned skal I faste og afholde eder fra alt Arbejde, både den indfødte og den fremmede, der bor iblandt eder.
30 kwa sababu siku hii upatanisho utafanyika kwa ajili yenu ili kuwatakasa. Kisha mtakuwa safi mbele za Bwana kutokana na dhambi zenu zote.
Thi den Dag skaffes der eder Soning til eders Renselse; fra alle eders Synder renses I for HERRENs Åsyn.
31 Ni Sabato ya mapumziko, na lazima mfunge; ni agizo la kudumu.
Det skal være eder en fuldkommen Hviledag, og I skal faste: det skal være en evig gyldig Anordning.
32 Kuhani ambaye ametiwa mafuta na kuwekwa wakfu ili kuingia mahali pa baba yake kama kuhani mkuu atafanya upatanisho. Atavaa mavazi matakatifu ya kitani,
Præsten, som salves og indsættes til at gøre Præstetjeneste i. Stedet for sin Fader, skal skaffe Soning, han skal iføre sig Linnedklæderne, de hellige Klæder,
33 na kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, na pia kwa ajili ya makuhani, pamoja na jumuiya yote ya watu.
og han skal skaffe det Allerhelligste Soning; og Åbenbaringsteltet og Alteret skal han skaffe Soning; og Præsterne og alt Folkets Forsamling skal han skaffe Soning.
34 “Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Upatanisho utafanywa mara moja tu kwa mwaka kwa ajili ya dhambi zote za Waisraeli.” Ndivyo ilivyofanyika, kama vile Bwana alivyomwamuru Mose.
Det skal være eder en evig gyldig Anordning, for at der kan skaffes Israeliterne Soning for alle deres Synder een Gang om Året. Og Aron gjorde som HERREN bød Moses.

< Mambo ya Walawi 16 >