< Mambo ya Walawi 15 >

1 Bwana akawaambia Mose na Aroni,
Hina Gode da Mousese amola Elanema hamoma: ne sia: i eno olelei.
2 “Semeni na Waisraeli mwaambie: ‘Wakati mtu yeyote anapotokwa na usaha mwilini, usaha huo ni najisi.
E da ela Isala: ili dunu ilima amane olelema: ne sia: i. “Nowa dunu da ea ewa amoga guhi agoane gadili ahoasea, amo guhi da ledo gala dawa: ma!
3 Iwe unaendelea kutiririka kutoka mwilini mwake au umeziba, utamfanya kuwa najisi. Hivi ndivyo usaha wake utakavyomletea unajisi:
Guhi da gadili ahoasea o ewa ea gelabo ga: sea, amo da ledo gala dawa: ma.
4 “‘Kitanda chochote atakacholalia mtu mwenye kutokwa na usaha kitakuwa najisi, na chochote atakachokalia kitakuwa najisi.
E da golasu fafai amoga golasea, amo amola da ledo hamoi dagoi dawa: ma.
5 Yeyote atakayegusa kitanda chake ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
6 Yeyote atakayeketi juu ya kitu chochote alichokalia mwenye kutokwa na usaha, ni lazima afue nguo zake, na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Nowa da ea debea digili ba: sea o ea fibi sogebi amoga fisia da ea abula dodofelalu amola hano ulima: mu. Amo dunu da ledo gala hamoi dagoiba: le, daeya doaga: sea fawane e da bu noga: le dodofei ba: mu.
7 “‘Yeyote atakayemgusa mtu mwenye kutokwa na usaha, ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Nowa da dunu ea ewa amoga guhi gadili ahoasea, amo digili ba: sea, e amola da ea abula dodofemu amola hano ulimu amola ledo gala hamoi dagoi ba: ma: mu. Daeya doaga: sea fawane, bu dodofei dagoi ba: mu.
8 “‘Ikiwa mtu mwenye kutokwa na usaha atamtemea mate mtu yeyote ambaye ni safi, mtu huyo ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Dunu da guhi gadili ahoabe amo da eno dunuma defo adugala: sea, amo dunu amola da ledo gala hamoi dagoi ba: mu. E da ea abula dodofemu amola e da hano ulimu amola daeya doaga: sea fawane bu sema amo ganodini dodofei dagoi ba: mu.
9 “‘Kila tandiko ambalo mtu huyo atalikalia wakati wa kupanda mnyama litakuwa najisi,
Dunu amo da guhi gadili ahoa, amo da hosi da: iya fila heda: ma: ne fisu o fisudafa amoga fisia, amo fisu da gugunufinisili ledo hamoi dagoi ba: mu.
10 na yeyote atakayegusa kitu chochote alichokuwa amekalia atakuwa najisi mpaka jioni. Yeyote atakayeinua vitu hivyo ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Nowa da fisu amoga amo dunu da fisu digili ba: sea, e da ledo hamoi dagoi ba: mu. Daeya doaga: sea fawane bu ledo hamedei ba: mu. Nowa da liligi amoga amo dunu da fisia amo gaguli ahoasea, e da ea abula dodofemu amola hano ulimu amola daeya fawane ea ledo hamoi hou yolesimu.
11 “‘Yeyote atakayeguswa na mtu anayetokwa na usaha bila kunawa mikono yake kwa maji, ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Dunu da guhi gadili ahoabe amola ea lobo mae dodofele, eno dunu digili ba: sea, amo dunu da ea abula dodofemu amola hano ulimu amola ledo gala hamosa. Daeya doaga: sea fawane yolesimu.
12 “‘Chungu cha udongo kitakachoguswa na mtu huyo ni lazima kivunjwe, na kifaa chochote cha mbao kitaoshwa kwa maji.
Amola guhi gadili ahoabe dunu da osoboga hamoi ofodo amo digili ba: sea, amo goudale fasima: ne sia: ma. Amola ifaga hamoi yaeya amo dodofema.
13 “‘Wakati mtu atakapotakasika kutoka usaha wake, anapaswa kuhesabu siku saba kwa utakaso wake. Ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji safi, naye atatakasika.
Amo dunu ea oloi da uhisia, e da eso fesuale esalu, ea abula dodofemu, amola hi da nasegagi gu hano amoga ulimu. Amasea, e da ledo hamedei hamoi dagoi ba: mu.
14 Siku ya nane, atachukua hua wawili au makinda mawili ya njiwa, aje mbele za Bwana kwenye ingilio la Hema la Kukutania, na kumpa kuhani.
Eso godoga e da ‘dafe’ sio aduna o musuni aduna amo gobele salasu dunuma ima: ne, Hina Gode Ea abula diasu logo holeiga gaguli misa: mu.
15 Kuhani atavitoa dhabihu, mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi na huyo mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Kwa njia hii atafanya upatanisho mbele za Bwana kwa ajili ya huyo mtu kwa sababu ya kutokwa usaha kwake.
Gobele salasu dunu da sio afae Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salimusa: hamomu amola sio eno da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamomu. E da amo dunu ea ledo fadegale, sema amoga e da dodofei dagoi ba: mu.
16 “‘Wakati mtu akitokwa na shahawa, ni lazima aoge mwili mzima kwa maji, na atakuwa najisi mpaka jioni.
Dunu da ea ami gadili ahoasea, e da ea da: i huluane hano ulimu, amola e da ledo hamoi dagoi ba: mu. Daeya doaga: sea fawane yolesimu.
17 Vazi lolote ama ngozi yoyote yenye shahawa juu yake ni lazima ioshwe kwa maji, na itakuwa najisi mpaka jioni.
Ea ami da abula o ohe gadofo liligi amoga dasea, amo noga: le dodofemu amola amo liligi da ledo hamone, daeya doaga: sea fawane bu ledo hamedei ba: mu.
18 Ikiwa mtu atalala na mwanamke, na kukawa na kutoka kwa shahawa, ni lazima wote waoge kwa maji, nao watakuwa najisi mpaka jioni.
Dunu amola uda da gilisili golasea, ela da hano ulimu amola ledo hamoiba: le, daeya doaga: sea fawane ledo hamedei hamoi ba: mu.
19 “‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu ya kawaida ya mwezi, atakuwa najisi kwa siku saba, na yeyote atakayemgusa atakuwa najisi mpaka jioni.
Uda da oubi ganodini sioi fisu doaga: sea, e da eso fesuale ledo hamoi dagoi ba: mu. Nowa da amo uda digili ba: sea da ledo hamoi dagoi ba: mu. Daeya doaga: sea fawane e da bu ledo hamedei ba: mu.
20 “‘Chochote atakacholalia wakati wake wa hedhi kitakuwa najisi, na chochote atakachokikalia kitakuwa najisi.
Uda da ea sioi fisu ganodini, liligi huluane amoga e da fisia o golasea da ledo hamoi dagoi ba: mu.
21 Yeyote atakayegusa kitanda chake ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Nowa da ea golasu o fisu amoga e da fi o golai amo digili ba: sea, e da ea abula dodofemu amola hano ulimu amola ledo hamoi gala dialumu amoganini daeya.
22 Yeyote atakayegusa chochote atakachokalia ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
23 Kiwe ni kitanda ama chochote alichokuwa amekikalia, ikiwa mtu yeyote atakigusa, atakuwa najisi mpaka jioni.
24 “‘Ikiwa mwanaume atalala naye na ile damu ya mwezi ikamgusa, atakuwa najisi kwa siku saba; kitanda chochote atakachokilalia huyo mwanaume kitakuwa najisi.
Nowa dunu da amo uda ea sioi fisu esoga ema gilisili golasea, e amola da ea ledo ema madelabeba: le, ledo gala eso fesuale agoane dialumu. Amola ea golasu o debea amoga e da golasea da ledo hamoi dagoi ba: mu.
25 “‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu kwa siku nyingi zaidi ya siku zake za mwezi, au amekuwa na damu inayoendelea zaidi ya kipindi chake, atakuwa najisi kwa kipindi chote cha shida hiyo, kama ilivyokuwa katika siku za hedhi yake.
Amola uda da ea sioi fisu baligili, maga: me ahoabe ba: sea, e da ea oubi sioi fisu defele, maga: me ea ahoabe eso defele ledo hamoi dagoi ba: mu.
26 Kitanda chochote atakachokilalia huyo mwanamke wakati anaendelea kutokwa na damu kitakuwa najisi, kama kilivyokuwa kitanda chake wakati wa siku zake za hedhi, na chochote atakachokalia kitakuwa najisi, kama wakati wake wa hedhi.
Ea debea o henela: gi amoga e da diaha o fisu amo huluane da ledo hamoi dagoi ba: mu.
27 Yeyote agusaye vitu hivyo atakuwa najisi; ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Nowa da ea debea o fisu liligi digili ba: sea, amo da ledo hamoi dagoi ba: mu. E da ea abula dodofemu amola hano ulimu. Daeya doaga: sea fawane, bu ledo hamedei ba: mu.
28 “‘Wakati atakapotakasika kutoka hedhi yake, ni lazima ahesabu siku saba, na baada ya hapo atakuwa safi kwa kawaida ya ibada.
Ea maga: me ahoabe dagosea, e da eso fesuale ouesalu, bu ledo hamedei ba: mu.
29 Siku ya nane ni lazima achukue hua wawili au makinda mawili ya njiwa, na kumletea kuhani kwenye mlango wa Hema la Kukutania.
Eso godo amoga e da ‘dafe’ sio aduna o musuni aduna lale, gobele salasu dunu Hina Gode Ea abula diasu logo holeiga esala amoga gaguli masunu.
30 Kuhani atatoa dhabihu, mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na huyo mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Kwa njia hii, atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za Bwana kwa sababu ya unajisi wa kutokwa damu kwake.
Gobele salasu dunu da sio afadafa amo Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamomu. Amola sio eno da Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu hamomu. Amasea, amo uda da sema dodofei dagoi ba: mu.”
31 “‘Ni lazima uwatenge Waisraeli kutokana na vitu ambavyo vinawafanya najisi, ili wasife katika unajisi wao kwa kunajisi makao yangu, ambayo yapo katikati yao.’”
Hina Gode da Mousesema sisasu olelei. Dunu o uda da ledo hamoiba: le, ilia da Ea Abula Diasu ilia diasu gilisisu dogoa dialebe, amo ledo hamosa: besa: le, amoga mae misa: ne sia: i. Ilia amoga ledowane udigili doaga: sea, ili fane legema: ne sia: i.
32 Haya ni masharti kwa ajili ya mtu mwenye kutokwa na usaha, kwa ajili ya yeyote atakayetokwa na shahawa,
Amo dedei sema da sema amo dunu da guhi gadili ahoa o ami gadili ahoa,
33 kwa ajili ya mwanamke katika siku zake za hedhi, kwa ajili ya mwanaume au mwanamke atokwaye na usaha, na kwa ajili ya mwanaume alalaye na mwanamke ambaye ni najisi kwa kawaida ya ibada.
amola uda da ea sioi fisu o dunu da ledo hamoi uda amoga gilisili golasa, amo ilia hou olelesa.

< Mambo ya Walawi 15 >