< Mambo ya Walawi 12 >

1 Bwana akamwambia Mose,
Hiti hin Pakaiyin, Mose henga thu aseipeh in,
2 “Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi.
Israel chate jouse jah a hiti hin seipeh in, Numei khat in nao avop a anavah lhah a nao chu pasal ahileh, hiche numeinu chu athi neipet banga, ni sagi sung aboh a um ding ahi.
3 Mvulana atatahiriwa siku ya nane.
Hitobanga chu niget lhinni le, achapa chu chep kitan ding ahi.
4 Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia.
Chujouteng hiche numeinu chu athisana kona thenso kinbolna dinga, nisom thumle nithum hitia chu um ding; hiche nikho kitipna nikho sunga chu hiche numeinu chun thiltheng khat jong atoh khah lou ding, houin munthenga jong lutlou ding ahi.
5 Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.
Hiche numei chun cha ahin a numei ahileh, athi neiphat bang banga hapta ni kah atheng loua um ding; chujouteng athisana kona thenso nadia nisom le nigup angai banga anga ding ahi.
6 “‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
Chapa pen dol hihen lang chanu pen dola hijong leh, jechan ding numeinu kithensona nikho jat alhin teng, hiche numeinu chun kikhop khomna ponbuh kotbula chu, thempu henga pumgo maicham thilto dinga kum khat lhing kelngoi ahin kai ding, chule chonset maicham thilto dinga vapal nou ahin choi thading ahi.
7 Atavitoa mbele za Bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake. “‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike.
Chuteng numei naosen neinu dia thempu pan kithoina dinga Pakai henga akatdoh peh ding, chule numei nu chu athisan lonna akona athenga umbep ding ahi. Hiche dan hi numei chanu le chapa hing thei jouse dinga dan ahi.
8 Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’”
Hiche numei chanei nuchun kelngoinou anei louva ahileh, vakhu nou ni pumgo maicham thiltoa anei ding, hiche lah a adang khat chu chonset maicham thiltoa ding, chuteng thempu pan amanu dinga kithoina asempeh a athenga um ding ahi.

< Mambo ya Walawi 12 >