< Mambo ya Walawi 11 >

1 Bwana akawaambia Mose na Aroni,
Gospod je spregovoril Mojzesu in Aronu, rekoč jima:
2 “Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala:
»Govorita Izraelovim otrokom, rekoč: ›To so živali, ki jih boste jedli med vsemi živalmi, ki so na zemlji.
3 Mwaweza kula mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na ambaye hucheua.
Karkoli deli kopito in ima preklan parkelj in prežvekuje med živalmi, te boste jedli.
4 “‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu.
Vendar izmed teh, ki prežvekujejo ali izmed teh, ki delijo kopito, ne boste jedli takšnih kot je kamela, ker prežvekuje, toda ne deli kopita; ta vam je nečista.
5 Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.
Kunca, ker prežvekuje, toda ne deli kopita; ta vam je nečist.
6 Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.
Zajca, ker prežvekuje, toda ne deli kopita; ta vam je nečist.
7 Naye nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika sehemu mbili, hacheui; huyo ni najisi kwenu.
Svinje, čeprav deli kopito in je s preklanim kopitom, vendar ne prežvekuje; ta vam je nečista.
8 Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.
Od njihovega mesa ne boste jedli in njihovega trupla se ne boste dotikali; te so vam nečiste.
9 “‘Kuhusu viumbe wote wanaoishi ndani ya maji ya bahari na vijito, mtakula wale wote wenye mapezi na magamba.
Te boste jedli izmed vseh, ki so v vodah. Karkoli ima plavuti in luske v vodah, v morjih in v rekah, te boste jedli.
10 Lakini viumbe wote ndani ya bahari au vijito wasio na mapezi na magamba, wakiwa miongoni mwa makundi au viumbe wote ndani ya maji, hao ni machukizo kwenu.
Vse, kar nima plavuti in luske v morjih in rekah od vsega, kar se giblje v vodah in od česarkoli živega, kar je v vodah, te naj vam bodo ogabnost.
11 Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo.
Te naj vam bodo torej ogabnost. Od njihovega mesa ne boste jedli, temveč boste njihova trupla imeli za ogabnost.
12 Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba kitakuwa chukizo kwenu.
Karkoli v vodah nima plavuti niti lusk, to vam bo ogabnost.
13 “‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu,
In te so tiste, ki vam bodo ogabnost med perjadjo. Ne smejo se jesti, ogabnost so: orel, brkati ser, ribji orel,
14 mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi,
jastreb, kragulj po njegovi vrsti,
15 aina zote za kunguru,
vsak krokar po njegovi vrsti,
16 mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga,
sova, nočni sokol, kukavica, sokol po njegovi vrsti,
17 bundi, mnandi, bundi mkubwa,
majhna sova, kormoran, velika sova,
18 mumbi, mwari, nderi,
labod, pelikan, egiptovski jastreb,
19 korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
štorklja, čaplja po svoji vrsti, smrdokavra in netopir.
20 “‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu.
Vsa perjad, ki leze, hodeč po vseh štirih, vam bo ogabnost.
21 Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi.
Vendar od vsake leteče plazeče stvari, ki hodi po vseh štirih, ki ima noge nad svojimi stopali, da z njimi skače po zemlji.
22 Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi.
Torej te izmed njih lahko jeste: letečo kobilico po svoji vrsti, plešasto kobilico po svoji vrsti, skakajočo kobilico po svoji vrsti in kobilico po svoji vrsti.
23 Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.
Toda vse druge leteče plazeče stvari, ki imajo štiri nožice, vam bodo ogabnost.
24 “‘Mtajinajisi kwa wanyama hawa. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.
Zaradi teh boste nečisti. Kdorkoli izmed njih se dotakne trupla, bo nečist do večera.
25 Yeyote atakayebeba mizoga ya viumbe hawa ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Kdorkoli mora nositi njihovo truplo, bo opral svoja oblačila in bo nečist do večera.
26 “‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa, au yule asiyecheua, huyo ni najisi kwenu; yeyote agusaye mzoga wowote wa hao atakuwa najisi.
Trupla vsake živali, ki deli kopito in ni s preklanim kopitom niti ne prežvekuje, so vam nečista. Vsak, kdor se jih dotika, bo nečist.
27 Miongoni mwa wanyama wote watembeao kwa miguu minne, wale watembeao kwa vitanga vyao ni najisi kwenu; yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.
Karkoli gre po svojih tacah med vsemi vrstami živali, ki gredo po vseh štirih, te so vam nečiste. Kdorkoli se dotika njihovega trupla, bo nečist do večera.
28 Yeyote atakayebeba mizoga yao ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Wanyama hawa ni najisi kwenu.
Kdorkoli prenaša njihovo truplo, bo opral svoja oblačila in bo nečist do večera. Ta so vam nečista.
29 “‘Kuhusu wanyama watambaao juu ya ardhi, hawa ni najisi kwenu: kicheche, panya, aina yoyote ya mijusi mikubwa,
Tudi te vam bodo nečiste izmed plazečih stvari, ki se plazijo po zemlji: podlasica, miš, želva po svoji vrsti,
30 guruguru, kenge, mijusi ya ukutani, goromoe na kinyonga.
dihur, kameleon, kuščar, polž in krt.
31 Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.
Te so vam nečiste izmed vseh, ki se plazijo; kdorkoli se jih dotakne, ko so mrtve, bo nečist do večera.
32 Ikiwa mmoja wao atakufa na kuangukia juu ya kitu fulani, chombo hicho, hata kikiwa cha matumizi gani, kitakuwa najisi, kiwe kimetengenezwa kwa mti, nguo, ngozi au gunia. Kiweke ndani ya maji; kitakuwa najisi mpaka jioni, kisha kitakuwa safi tena.
Na karkoli katerakoli izmed njih, ko so mrtve, pade, bo to nečisto; bodisi je to kakršnakoli lesena posoda ali obleka ali koža ali vreča ali kakršnakoli posoda je ta, s katero je opravljeno kakršnokoli delo, mora biti postavljena v vodo in ta bo nečista do večera; tako bo očiščena.
33 Ikiwa mmoja wa wanyama aliyekufa ataangukia ndani ya chungu, kila kilichomo katika chungu hicho kitakuwa najisi, nawe ni lazima uvunje chungu hicho.
Vsaka lončena posoda, v katero katerakoli izmed njih pade, karkoli je [že] v njej, bo to nečisto; in naj se razbije.
34 Chakula chochote ambacho chaweza kuliwa lakini kikawa kimeingia maji kutoka kwenye chungu hicho ni najisi, na kitu chochote cha majimaji ambacho chaweza kunyweka kutoka kwenye chungu hicho ni najisi.
Od vse hrane, ki se lahko jé, bo to, na kar pride takšna voda, nečisto. Vsa pijača, ki se lahko pije v vsaki takšni posodi, bo nečista.
35 Chochote ambacho mzoga wa mmojawapo utaangukia kitakuwa najisi. Jiko au chungu cha kupikia ni lazima kivunjwe. Ni najisi, nawe ni lazima uvihesabu kuwa najisi.
Vsaka stvar, na katero pade katerikoli del njihovega trupla, bo nečista, bodisi je to peč ali podstavna kamna za lonce, naj bodo zdrobljeni, kajti ti so nečisti in naj vam bodo nečisti.
36 Lakini chemchemi au kisima, mahali pa kuchota maji, patakuwa safi, lakini yeyote atakayegusa moja ya mizoga hii ni najisi.
Vendar bosta izvir ali vodnjak, v kateri je obilje vode, čista. Toda to, kar se dotakne njihovega trupla, bo nečisto.
37 Kama mzoga ukianguka juu ya mbegu zozote ambazo ni za kupanda, zinabaki safi.
Če katerikoli del njihovega trupla pade na katerokoli seme za sejanje, ki bo posejano, bo to čisto.
38 Lakini kama mbegu imetiwa maji na mzoga ukaanguka juu yake, hiyo mbegu ni najisi kwenu.
Toda če bo na seme prišla kakršnakoli voda in nanj pade katerikoli del njihovega trupla, vam bo to nečisto.
39 “‘Kama mnyama ambaye mnaruhusiwa kumla akifa, yeyote atakayeugusa mzoga wake atakuwa najisi mpaka jioni.
Če pogine katerakoli žival, od katere lahko jeste, bo tisti, ki se dotakne njenega trupla, nečist do večera.
40 Yeyote atakayekula sehemu ya mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Yeyote atakayebeba mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Kdor jé od tega trupla, bo opral svoja oblačila in bo nečist do večera. Tudi tisti, ki nosi to truplo, bo opral svoja oblačila in bo nečist do večera.
41 “‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe.
Vsaka plazeča stvar, ki se plazi po zemlji, bo ogabnost; ta naj se ne jé.
42 Msile kiumbe chochote kitambaacho juu ya ardhi, kiwe kitambaacho kwa tumbo lake, au kitambaacho kwa miguu minne au kwa miguu mingi; ni chukizo.
Karkoli gre po trebuhu in karkoli gre po vseh štirih ali karkoli ima več nožic med vsemi plazečimi stvarmi, ki se plazijo po zemlji, teh ne boste jedli, kajti ogabnost so.
43 Msijitie unajisi kwa chochote katika viumbe hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo.
Sebe ne boste naredili gnusne s katerokoli plazečo stvarjo, ki se plazi, niti se z njimi ne boste naredili nečiste, da bi bili s tem omadeževani.
44 Mimi ndimi Bwana Mungu wenu; jitakaseni mwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu. Msijitie unajisi wenyewe kwa kiumbe chochote kile kiendacho juu ya ardhi.
Kajti jaz sem Gospod, vaš Bog. Sebe boste torej posvetili in boste sveti, kajti jaz sem svet, niti se ne boste omadeževali z nobeno vrsto plazeče stvari, ki se plazi po zemlji.
45 Mimi ndimi Bwana niliyewapandisha mtoke Misri ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo kuweni watakatifu kwa sababu Mimi ni mtakatifu.
Kajti jaz sem Gospod, ki vas izpeljuje gor iz egiptovske dežele, da bi bil vaš Bog. Bodite torej sveti, kajti jaz sem svet.
46 “‘Haya ndiyo masharti kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho ndani ya maji, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi.
To je postava živali, perjadi in vsakega živega ustvarjenega bitja, ki se premika v vodah in vsakega živega ustvarjenega bitja, ki se plazi po zemlji,
47 Ni lazima mpambanue kati ya kilicho najisi na kilicho safi, kati ya viumbe hai vinavyoweza kuliwa na vile visivyoweza kuliwa.’”
da naredi razliko med nečistim in čistim in med živaljo, ki se lahko jé in živaljo, ki se ne sme jesti.‹«

< Mambo ya Walawi 11 >