< Mambo ya Walawi 11 >
1 Bwana akawaambia Mose na Aroni,
BAWIPA ni Mosi hoi Aron bout a kaw teh,
2 “Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala:
Nangmouh roi ni Isarelnaw koe patuen bout na dei pouh hane teh, talai van kaawm e moithang pueng dawk,
3 Mwaweza kula mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na ambaye hucheua.
A khoksamen samka ni teh a thepkaai e moithangnaw teh ca thainae kâ ao.
4 “‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu.
Hatei, thepkaai ni teh khoksamen samka hoeh e moithang thung dawk, ca hoeh hane moithangnaw teh Kalauk teh athepai hoeh eiteh khoksamen samka hoeh dawkvah nangmouh hanlah thoung hoeh.
5 Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.
Kovei teh thepkaai eiteh a khoksamen samka hoeh dawkvah nangmouh hanlah thoung hoeh.
6 Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.
Saveh teh thepkaai eiteh a khoksamen samka hoeh dawkvah nangmouh hanlah thoung hoeh.
7 Naye nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika sehemu mbili, hacheui; huyo ni najisi kwenu.
Vok teh a khoksamen samka eiteh thepkaai hoeh dawkvah nangmouh hanlah thoung hoeh.
8 Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.
Hot patet e moithangnaw e a moi na cat awh mahoeh. Ro haiyah na tek awh mahoeh. Kathounghoehe lah na pouk awh han.
9 “‘Kuhusu viumbe wote wanaoishi ndani ya maji ya bahari na vijito, mtakula wale wote wenye mapezi na magamba.
Tuipui hoi sawkca dawk kaawm e moithangnaw thung dawk a rathei hoi a lakep kaawm e teh na ca awh han.
10 Lakini viumbe wote ndani ya bahari au vijito wasio na mapezi na magamba, wakiwa miongoni mwa makundi au viumbe wote ndani ya maji, hao ni machukizo kwenu.
A rathei hoi a lakep kaawm hoeh e tuipui hoi sawkca dawk kaawm e moithang pueng teh nangmouh hanlah thoung hoeh.
11 Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo.
A rathei hoi a lakep kaawm hoeh e tui dawk e moithang na cat awh mahoeh.
12 Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba kitakuwa chukizo kwenu.
A ronaw hai panuettho e lah na pouk awh han.
13 “‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu,
Nangmouh ni panuettho e lah na pouk awh vaiteh na ca awh hoeh hane tavanaw teh: Mataw, Langta, Tawbu,
14 mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi,
Mataw phun,
16 mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga,
Kalauk tava, bukbu phun kuep, batuiling phun kuep,
17 bundi, mnandi, bundi mkubwa,
Kawhna hoi balengek,
19 korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
Butakok phun kuep, Bongpi, Bongcakhat phun kuep,
20 “‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu.
A rathei ka tawn ni teh a khok pali touh hoi kacetnaw pueng teh nangmouh hanlah kathounghoehe lah ao.
21 Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi.
Hateiteh, a rathei a tawn teh a khok pali touh hoi ka cet e phun dawk dawkcawk nahanlah a khok kasaw poung naw teh:
22 Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi.
Samtong, pâluen, tawktaboe, Tawngkaruetnaw teh na ca awh han.
23 Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.
A rathei ka tawn ni teh a khok pali touh hoi ka cet e alouke moithang pueng teh nangmouh hanlah thoung hoeh.
24 “‘Mtajinajisi kwa wanyama hawa. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.
Hote moithang lahoi nangmae thoungnae hah a khin thai. Hot patet e ro katek e tami teh tangmin totouh thoung hoeh.
25 Yeyote atakayebeba mizoga ya viumbe hawa ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Hote kadout e ro ka sin e tami teh khohna a pâsu han, tangmin totouh thoung hoeh.
26 “‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa, au yule asiyecheua, huyo ni najisi kwenu; yeyote agusaye mzoga wowote wa hao atakuwa najisi.
A khoksamen samka hoeh e, a thepkaai hoeh e saring pueng teh nangmouh hanlah thoung hoeh.
27 Miongoni mwa wanyama wote watembeao kwa miguu minne, wale watembeao kwa vitanga vyao ni najisi kwenu; yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.
A khoksamen samka hoeh e saring pueng teh nangmouh hanlah thoung hoeh. Hote ro ka tek e tami teh tangmin totouh thoung hoeh.
28 Yeyote atakayebeba mizoga yao ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Wanyama hawa ni najisi kwenu.
Hote ro ka phawt e tami pueng teh a khohna a pâsu han. Tangmin totouh thoung hoeh.
29 “‘Kuhusu wanyama watambaao juu ya ardhi, hawa ni najisi kwenu: kicheche, panya, aina yoyote ya mijusi mikubwa,
Talai dawk a vonpui hoi kâva e saring thung dawk thangbui, moihnam, Insi phun,
30 guruguru, kenge, mijusi ya ukutani, goromoe na kinyonga.
Tawkkei, Tawngkang, Cingkadawt, Dekko hoi Khaipadounnaw teh nangmouh hanlah thoung hoeh.
31 Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.
Hotnaw e ro katek e tami teh tangmin totouh thoung hoeh.
32 Ikiwa mmoja wao atakufa na kuangukia juu ya kitu fulani, chombo hicho, hata kikiwa cha matumizi gani, kitakuwa najisi, kiwe kimetengenezwa kwa mti, nguo, ngozi au gunia. Kiweke ndani ya maji; kitakuwa najisi mpaka jioni, kisha kitakuwa safi tena.
Hote kadout e a ro hah thingkawlung, khohna, a pho, cawngko patetlah e im dawk e hno e buet touh van bawt pawiteh thoung hoeh. Tui dawk ranup han. Tangmin totouh thoung hoeh. Hathnukkhu a thoung han.
33 Ikiwa mmoja wa wanyama aliyekufa ataangukia ndani ya chungu, kila kilichomo katika chungu hicho kitakuwa najisi, nawe ni lazima uvunje chungu hicho.
Talai hlaam buetbuet touh van ro hah bawt pawiteh, Hote talai hlaam teh a thounghoeh dawkvah rek hem han.
34 Chakula chochote ambacho chaweza kuliwa lakini kikawa kimeingia maji kutoka kwenye chungu hicho ni najisi, na kitu chochote cha majimaji ambacho chaweza kunyweka kutoka kwenye chungu hicho ni najisi.
Hote talai hlaam dawk e tui cakawi moi van vah, bawt pawiteh moi thoung hoeh. Hote talai hlaam dawk e nei hane tui hai thoung hoeh.
35 Chochote ambacho mzoga wa mmojawapo utaangukia kitakuwa najisi. Jiko au chungu cha kupikia ni lazima kivunjwe. Ni najisi, nawe ni lazima uvihesabu kuwa najisi.
Takhuen dawk thoseh, lunghmu dawk thoseh, hote hno buetbuet touh bawt pawiteh nangmouh hanelah a thounghoeh dawkvah, peng raphoe han.
36 Lakini chemchemi au kisima, mahali pa kuchota maji, patakuwa safi, lakini yeyote atakayegusa moja ya mizoga hii ni najisi.
Hatei, sambuem, tai e tui im teh kathounghoehe lah awm hoeh. Ro ni a bosin e dueng doeh kathounghoehe lah ao.
37 Kama mzoga ukianguka juu ya mbegu zozote ambazo ni za kupanda, zinabaki safi.
Cati dawk hote ro bawt pawiteh, Cati teh kathounghoehe lah awm mahoeh.
38 Lakini kama mbegu imetiwa maji na mzoga ukaanguka juu yake, hiyo mbegu ni najisi kwenu.
Tui dawk padung tangcoung e cati dawk hote ro bawt pawiteh cati teh nangmouh hanlah thoung hoeh.
39 “‘Kama mnyama ambaye mnaruhusiwa kumla akifa, yeyote atakayeugusa mzoga wake atakuwa najisi mpaka jioni.
Nangmouh ni na ca han kawi saring dout pawiteh, ro katek e tami teh tangmin totouh thoung hoeh.
40 Yeyote atakayekula sehemu ya mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Yeyote atakayebeba mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Hote ro ka cat e tami teh a khohna a pâsu han. Tangmin totouh thoung hoeh. Hote ro ka phawt e tami hai amae a khohna a pâsu han. Tangmin totouh thoung hoeh.
41 “‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe.
Talai dawk kâva e saringnaw pueng teh panuettho e lah ao dawkvah na cat awh mahoeh.
42 Msile kiumbe chochote kitambaacho juu ya ardhi, kiwe kitambaacho kwa tumbo lake, au kitambaacho kwa miguu minne au kwa miguu mingi; ni chukizo.
A khok tawn hoeh, a von hoi ka cet e thoseh, khok pali touh hoi ka cet e thoseh, khok pali hlak kapap e khok hoi ka cet e thoseh, talai dawk kâva e saring buet touh boehai na cat awh mahoeh. Panuetkatho e lah ao.
43 Msijitie unajisi kwa chochote katika viumbe hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo.
Kâva e saring buetbuet touh kecu namahoima kâkhinsak awh hanh. Hotnaw hoi nama kâkhinsak awh hanh.
44 Mimi ndimi Bwana Mungu wenu; jitakaseni mwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu. Msijitie unajisi wenyewe kwa kiumbe chochote kile kiendacho juu ya ardhi.
Kai teh nangmae BAWIPA Cathut lah ka o. Kai teh kathoung dawkvah nangmouh haiyah namahoima kâthoung sak awh nateh thoungnae tawn awh. Talai dawk kâva e saring buet touh boe hoi hai kâkhinsak awh hanh.
45 Mimi ndimi Bwana niliyewapandisha mtoke Misri ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo kuweni watakatifu kwa sababu Mimi ni mtakatifu.
Kai teh nangmae Cathut lah ka o nahanlah nangmouh teh Izip ram hoi na ka rasat e BAWIPA lah ka o. Kai teh kathoung dawkvah nangmouh hai thoungnae tawn awh.
46 “‘Haya ndiyo masharti kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho ndani ya maji, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi.
Hetnaw teh, kathoung, kathoung hoeh, cakawi hoi cakawi hoeh e saringnaw kapek thai nahanelah,
47 Ni lazima mpambanue kati ya kilicho najisi na kilicho safi, kati ya viumbe hai vinavyoweza kuliwa na vile visivyoweza kuliwa.’”
Moi, tava, tui dawk kaawm e moithang, talai dawk kâva e moithangnaw puenghoi ka kâkuen e phunglawk doeh ati.