< Mambo ya Walawi 10 >
1 Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua vyetezo vyao, wakaweka moto ndani yake na kuongeza uvumba; kisha wakamtolea Bwana moto usio halali, kinyume na agizo la Mungu.
Elane egefela, Na: ida: be amola Abaihiu afae afae da lalu ofodo lale, amo ganodini laluso salawane, gabusiga: manoma sogadigili, Hina Godema imunusa: asi. Be amo lalu da hadigi hame galu. Bai Hina Gode da amo Ema ima: ne hame sia: i.
2 Hivyo moto ukaja kutoka kwa uwepo wa Bwana na kuwaramba, nao wakafa mbele za Bwana.
Amaiba: le, hedolodafa, Hina Gode da lalu iasili, ela da Hina Gode Ea midadi, laluga nei dagole, bogoidafa ba: i.
3 Kisha Mose akamwambia Aroni, “Hili ndilo alilonena Bwana wakati aliposema: “‘Miongoni mwa wale watakaonikaribia nitajionyesha kuwa mtakatifu; machoni pa watu wote nitaheshimiwa.’” Aroni akanyamaza.
Amasea, Mousese da Elanema amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: i, ‘Nowa da Nama hawa: hamomusa: dawa: sea da Na hadigi amoma beda: iwane dawa: ma: ne sia: ma. Na dunu da Nama nodoiwane dawa: mu da defea.’ Amaiba: le, amo hou da wali doaga: i dagoi.” Be Elane da ouiya: lewane esalu.
4 Mose akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjomba wake Aroni, akawaambia, “Njooni hapa. Ondoeni miili ya binamu zenu mbele ya mahali patakatifu, mkaipeleke nje ya kambi.”
Mousese da Misa: iele amola Elisa: ifa: ne (ela da Elane ea aowa Asaiele amo egefela) ela da ema misa: ne sia: ne, elama amane sia: i, “Misa! Alia awa amo elea da: i hodo sema abula diasuga lale, abula diasu gilisisu gadili gaguli masa.”
5 Hivyo wakaja na kuwaondoa, wakiwa bado wamevalia makoti yao ya ibada, wakawapeleka nje ya kambi, kama Mose alivyoamuru.
Amaiba: le, Mousese Ea hamoma: ne sia: i defele, ela da misini, abula amo bogoi amoga sali amo gaguli, bogoi abula diasu gilisisu gadili gaguli asi.
6 Ndipo Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe, Eleazari na Ithamari, “Msifunue vichwa vyenu wala msirarue mavazi yenu, la sivyo mtakufa na Bwana ataikasirikia jumuiya nzima. Lakini ndugu zenu, nyumba yote ya Israeli, wanaweza kuwaombolezea wale ambao Bwana amewaangamiza kwa moto.
Amasea, Mousese da Elane amola egefela Elia: isa amola Idama ilima amane sia: i, “Dilia dialuma hinabo noga: le fesega: ma, amola dilia hiawini disu mae hamoma, abula mae gadelama. Dilia hiawini disu olelesea, dilia da bogomu, amola Hina Gode da Isala: ili fi huluane ilima ougi bagade ba: mu. Be dilia na: iyado Isala: ili dunu, ilia da dunu amo da Hina Gode Ea lalu iasi amoga bogoi, amo dawa: beba: le hiawini dimu da defea.
7 Msitoke nje ya ingilio la Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa, kwa sababu mafuta ya Bwana ya upako yako juu yenu.” Hivyo wakafanya kama vile Mose alivyosema.
Be dilia bogosa: besa: le, Abula Diasu ea holei mae yolesima. Bai dilia da Hina Gode Ea momogili gagasu susuligi amoga mogili gagai dagoi.” Amaiba: le, ilia da Mousese Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi dagoi.
8 Kisha Bwana akamwambia Aroni,
Hina Gode da Elanema amane sia: i,
9 “Wewe na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.
“Di amola dia gofelali da Na Abula Diasu ganodini golili sa: imusa: dawa: sea, adini o waini hano hidadea manu da sema bagade. Dilia da amo nasea, bogomu. Amo sema digaga fi huluane fa: no noga: le ouligima: ne sia: ma.
10 Ni lazima mtenganishe kilicho kitakatifu na kile kilicho cha kawaida, kati ya yaliyo najisi na yaliyo safi,
Dia da liligi amo da Gode Ea liligi amola osobo bagade hou hamomusa: liligi amo afafane, ilegema. Sema dodofei dagoi liligi amola ledo hamoi liligi amo afafama.
11 na lazima mwafundishe Waisraeli amri zote ambazo Bwana aliwapa kupitia Mose.”
Amola di Isala: ili fi dunu ilima sema huluane Na da dilima alofele imunusa: Mousesema olelei, amo huluane olelema.”
12 Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe waliosalia, Eleazari na Ithamari, “Chukueni sadaka ya nafaka iliyobaki kutoka sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, muile hapo kando ya madhabahu ikiwa imeandaliwa bila chachu, kwa sababu ni takatifu sana.
Mousese da Elane amola egefela hame bogoi esalu (Elia: isa amola Idama) ilima amane sia: i, “Ha: i manu Hina Godema i, amoma Gala: ine Iasu diala amo lale, agi ga: gi (yisidi hame sali) hamone, oloda la: ididili lelu moma. Bai amo iasu da hadigidafa.
13 Mtaila katika mahali patakatifu kwa sababu ni fungu lenu na fungu la wana wenu la sadaka zilizotolewa kwa Bwana kwa moto, kwa maana hivyo ndivyo nilivyoamriwa.
Amo liligi hadigi sogebi amoga moma. Amo ha: i manu Hina Godema i ea la: idi fifi da dilia: Hina Gode da amo nama sia: i dagoi.
14 Lakini wewe na wanao na binti zako mwaweza kula kidari kile kilichoinuliwa na paja lile lililotolewa. Mtavila mahali safi pa kawaida ya ibada; mmepewa wewe na watoto wako kuwa fungu lenu la sadaka za amani za Waisraeli.
Amola dilia amola dilia sosogo fi da ohe bidegi amola emo amo Hina Godema i, (amola E da alofele gobele salasu dunuma iasu) amo manu da defea. Dilia da sema dodofei dagoi sogebi amoga manu da defea. Isala: ili dunu da amo Hahawane Gilisili Olofole Iasu iaha. Amola sogogea amola emo fifi da gobele salasu dunu dilia:
15 Paja lile lililotolewa na kidari kile kilichoinuliwa lazima viletwe pamoja na sehemu za mafuta ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, ili kuinuliwa mbele za Bwana kama sadaka ya kuinuliwa. Hili litakuwa fungu lako la kawaida na wanao, kama Bwana alivyoagiza.”
Ilia da sefe amo Ha: i Manu Iasu Hina Godema imunusa: gaguli masea, gilisili sogogea amola emo gaguli misunu. Hina Gode Ea sia: defele, amo liligi fifi da eso huluane mae yolele, dilia amola dilia mano dilia:”
16 Mose alipouliza kuhusu mbuzi atolewaye kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kukuta kwamba ameteketezwa, aliwakasirikia Eleazari na Ithamari, wana wa Aroni waliobaki, akawauliza,
Mousese da goudi amo Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu hamoma: ne, amo ea hou adole ba: i. Ilia da amo da gobesi dagoi olelei. Amo nababeba: le, Mousese da Elia: isa amola Idama elama ougi bagade galu. E amane sia: i,
17 “Kwa nini hamkula sadaka ya dhambi katika eneo la mahali patakatifu? Ni takatifu sana. Mlipewa ninyi ili kuondoa hatia ya jumuiya kwa ajili ya kuwafanyia upatanisho mbele za Bwana.
“Alia da abuliba: le amo gobele salasu sema sogebi amoga hame maibala: ? Amo gobele salasu da hadigidafa. Bai Hina Gode da dunu fi ilia wadela: i hou fadegama: ne, amo dilima i.
18 Kwa kuwa damu yake haikuletwa ndani ya Mahali Patakatifu, mngemla mbuzi huyo katika sehemu ya mahali patakatifu kama nilivyoagiza.”
Amo gobele salasu ea maga: me da sema Abula Diasu ganodini hame gaguli misi ba: i. Amaiba: le, dilia da na hamoma: ne sia: i defele, hadigi sema sogebi amoga manu da defea galu.”
19 Aroni akamjibu Mose, “Leo wanangu wametoa sadaka zao za dhambi na sadaka zao za kuteketezwa mbele za Bwana, lakini mambo kama haya yamenitokea mimi. Je, Bwana angependezwa kama ningekuwa nimekula sadaka ya dhambi leo?”
Elane da bu adole i, “Isala: ili dunu da wali eso, ilia Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu amola Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele salasu amo Hina Godema i dagoi. Be amo hou (ea mano aduna medole legei ba: i) amo da nama doaga: i dagoi. Na da wali eso Wadela: i Hou Gogolema: ne Olofoma: ne Iasu gobele salasu ha: i manu nanoba, Hina Gode da hahawane ba: la: lobala: ?”
20 Mose aliposikia haya, akaridhika.
Mousese da amo sia: nababeba: le, ea ougi yolesili, bu Elane ea hou hahawane ba: i.