< Mambo ya Walawi 1 >

1 Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia,
I viknu Gospod Mojsija, i reèe mu iz šatora od sastanka govoreæi:
2 “Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.
Kaži sinovima Izrailjevim, i reci im: kad ko izmeðu vas hoæe da prinese Gospodu žrtvu od stoke, prinesite žrtvu svoju od goveda ili od ovaca ili od koza.
3 “‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana.
Ako mu je žrtva paljenica od goveda, neka prinese muško, zdravo; na vratima šatora od sastanka neka je prinese drage volje pred Gospodom.
4 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake.
I neka metne ruku svoju na glavu žrtvi paljenici, i primiæe mu se, i oèistiæe ga od grijeha.
5 Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania.
I neka zakolje tele pred Gospodom, i neka sinovi Aronovi sveštenici prinesu krv, i pokrope krvlju oltar ozgo unaokolo, koji je pred vratima šatora od sastanka.
6 Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
Potom neka se odre žrtva paljenica i rasijeèe na dijelove.
7 Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.
I sinovi Aronovi sveštenici neka nalože oganj na oltaru, i metnu drva na oganj.
8 Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
Pa onda sinovi Aronovi sveštenici neka namjeste dijelove, glavu i salo na drva na ognju, koji je na oltaru.
9 Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
A crijeva i noge neka se operu vodom; i sveštenik neka zapali sve to na oltaru; to je žrtva paljenica, žrtva ognjena na ugodni miris Gospodu.
10 “‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari.
Ako li bi htio prinijeti žrtvu paljenicu od sitne stoke, od ovaca ili od koza, neka prinese muško, zdravo.
11 Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu.
I neka se zakolje na sjevernoj strani oltara pred Gospodom, i sinovi Aronovi sveštenici neka pokrope krvlju oltar ozgo unaokolo.
12 Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
I neka se rasijeèe na dijelove s glavom i sa salom, i sveštenik neka to namjesti na drva na ognju, koji je na oltaru.
13 Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
A crijeva i noge neka se operu vodom; i sveštenik neka prinese sve to i zapali na oltaru; to je žrtva paljenica, žrtva ognjena na ugodni miris Gospodu.
14 “‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa.
Ako li hoæe da prinese pticu Gospodu na žrtvu paljenicu, neka prinese žrtvu od grlica ili od golubiæa.
15 Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu.
I sveštenik neka je metne na oltar, i glavu neka joj zasijeèe noktom, i zapali na oltaru iscijedivši joj krv niz oltar sa strane.
16 Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu.
I neka joj izvadi volju s neèistotom i baci kraj oltara prema istoku gdje je pepeo.
17 Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
I neka je zadre za krila, ali da ne raskine; tako neka je sveštenik zapali na oltaru na drvima koja su na ognju; to je žrtva paljenica, žrtva ognjena na ugodni miris Gospodu.

< Mambo ya Walawi 1 >