< Mambo ya Walawi 1 >
1 Bwana akamwita Mose na kusema naye kutoka kwenye Hema la Kukutania, akamwambia,
Zovnu Jahve Mojsija te mu iz Šatora sastanka reče:
2 “Sema na Waisraeli na uwaambie, ‘Yeyote miongoni mwenu aletapo sadaka ya mnyama kwa Bwana, alete mnyama kama sadaka yake kutoka kundi lake la ngʼombe au la kondoo na mbuzi.
“Govori Izraelcima i kaži im: 'Kad tko od vas želi prinijeti Jahvi žrtvu od stoke, prinijet će je ili od krupne ili od sitne stoke.
3 “‘Kama sadaka hiyo ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la ngʼombe, atamtoa ngʼombe dume asiye na dosari. Ni lazima amlete kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili aweze kukubalika kwa Bwana.
Ako njegov prinos za žrtvu paljenicu bude od krupne stoke, neka prinese muško bez mane. Neka ga dovede k ulazu u Šator sastanka da pred Jahvom bude primljen.
4 Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya kuteketezwa, nayo itakubaliwa kwa niaba yake ili kufanya upatanisho kwa ajili yake.
Neka stavi svoju ruku na glavu žrtve paljenice da mu za njegovo ispaštanje bude primljena.
5 Atamchinja yule fahali mchanga mbele za Bwana, kisha wana wa Aroni walio makuhani wataleta damu na kuinyunyiza pande zote za madhabahu yaliyo penye ingilio la Hema la Kukutania.
Neka zatim zakolje junca pred Jahvom. A Aronovi sinovi, svećenici, neka prinesu krv. Neka njome zapljusnu sve strane žrtvenika koji stoji pred ulazom u Šator sastanka.
6 Ataichuna hiyo sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande vipande.
Potom neka se žrtva sadre i rasiječe na dijelove.
7 Wana wa Aroni kuhani wataweka moto juu ya madhabahu na kupanga kuni juu ya huo moto.
Neka sinovi Aronovi, svećenici, nalože vatru na žrtveniku i na vatru metnu drva.
8 Kisha wana wa Aroni walio makuhani watapanga vile vipande vya nyama, pamoja na kichwa na mafuta ya huyo mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
Neka zatim sinovi Aronovi, svećenici, naslažu dijelove, s glavom i lojem, na drva što su na vatri na žrtveniku.
9 Ataziosha sehemu za ndani na miguu yake kwa maji, naye kuhani atavichoma vyote juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, yenye harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Drobina i noge neka se operu u vodi. A onda neka svećenik sve sažeže u kad na žrtveniku. To je žrtva paljenica, žrtva paljena Jahvi na ugodan miris.'
10 “‘Kama sadaka ni ya kuteketezwa kutoka kwenye kundi la kondoo au mbuzi, atamtoa mnyama dume asiye na dosari.
Ako bi htio prinijeti za žrtvu paljenicu od sitne stoke - od ovaca ili koza - neka prinese muško bez mane.
11 Atamchinjia upande wa kaskazini wa madhabahu mbele za Bwana, nao wana wa Aroni walio makuhani watanyunyizia damu yake pande zote za madhabahu.
Neka ga zakolje pred Jahvom, na žrtveniku sa sjeverne strane. Neka zatim Aronovi sinovi, svećenici, zapljusnu žrtvenik krvlju sa svih strana.
12 Atamkata vipande vipande, naye kuhani atavipanga, pamoja na kichwa na mafuta ya mnyama juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu.
Potom neka je rasijeku na dijelove, a svećenik neka ih, s glavom i lojem, naslaže na drva što su na vatri na žrtveniku.
13 Ataosha sehemu za ndani na miguu kwa maji, naye kuhani atavileta vyote na kuvichoma juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Drobina i noge neka se operu u vodi. Onda svećenik neka sve prinese i na žrtveniku sažeže. To je žrtva paljenica, žrtva paljena Jahvi na ugodan miris.
14 “‘Kama sadaka ya kuteketezwa inayotolewa kwa Bwana ni ndege, atamtoa hua au kinda la njiwa.
Ako bi hto prinijeti Jahvi ptice kao žrtvu paljenicu, neka onda prinese grlicu ili golubića.
15 Kuhani atamleta kwenye madhabahu, naye atamvunja shingo na kumnyofoa kichwa na kumchoma juu ya madhabahu. Damu yake itachuruzishwa ubavuni mwa madhabahu.
Neka ga svećenik prinese k žrtveniku i, zavrnuvši mu vratom, otkine glavu i na žrtveniku sažeže. Zatim neka mu krv iscijedi žrtveniku sa strane.
16 Ataondoa kifuko cha chakula pamoja na uchafu wake na kuvitupa upande wa mashariki wa madhabahu, mahali pale penye majivu.
Neka mu gušu i perje ukloni i pobaca ih na istočnu stranu žrtvenika, na mjesto za otpatke.
17 Atampasua na kumweka wazi katika mabawa yake, lakini asimwachanishe kabisa, kisha kuhani ataichoma juu ya zile kuni zinazowaka juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
Neka ga raspori duž obaju krila, ali neka ih ne rastavlja. Onda neka ga svećenik na žrtveniku sažeže na drvima što su na vatri. To je žrtva paljenica, žrtva paljena Jahvi na ugodan miris.”