< Maombolezo 5 >

1 Kumbuka, Ee Bwana, yaliyotupata, tazama, nawe uione aibu yetu.
Tiahio, ry Iehovà, i nifetsak’ ama’ay zay; vazohò vaho oniño ty fisalara’ay!
2 Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni, na nyumba zetu kwa wageni.
Natolotse amo ambahinio ty lova’ay, amo rene-taneo o akiba’aio.
3 Tumekuwa yatima wasio na baba, mama zetu wamekuwa kama wajane.
Bode zahay henaneo, toe bode rae; remavoiñe o rene’aio.
4 Ni lazima tununue maji tunayokunywa, kuni zetu zapatikana tu kwa kununua.
Tsy mete tsy vilie’ay ty rano hinome’ay; kaloeñe o hatae avori’aio.
5 Wanaotufuatilia wapo kwenye visigino vyetu, tumechoka na hakuna pumziko.
Ampisoañeñe o hatò’aio; màmake zahay tsy maharendre-pitofàñe.
6 Tumejitolea kwa Misri na Ashuru tupate chakula cha kutosha.
Fa nanolo-pitàñe amy Mitsraime zahay naho amy Asore, hitakara’ay mofo mahàtsake.
7 Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena, na sisi tunachukua adhabu yao.
Nandilatse o roae’aio; tsy eo ka iereo; zahay avao ty mivave o hakeo’eo.
8 Watumwa wanatutawala na hakuna wa kutuokoa mikononi yao.
Fehe’ o ondevoo, fe tsy eo ty hamotsots’anay am-pità’ iareo.
9 Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu ya upanga jangwani.
Mampamoe’ aiñe ty ahazoa’ay haneñe, amy fibara an-dratraratray.
10 Ngozi yetu ina joto kama tanuru, kwa sababu ya fadhaa itokanayo na njaa.
Mahamainte ty holi’ay hoe toñake I kerè matrovokey.
11 Wanawake wametendwa jeuri katika Sayuni, na mabikira katika miji ya Yuda.
Vahorañe e Tsione ao o rakemba’aio, naho amo rova’ Iehodào o somondrara’aio.
12 Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao, wazee hawapewi heshima.
Aradorado am-pità’e o roandriañeo; tsy iasiañe ty lahara’ o androanavio.
13 Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia, wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.
Azitse handisañe ty ajalahy naho midaleandaleañe o jolingao te mijiny hatae.
14 Wazee wameondoka langoni la mji, vijana wameacha kuimba nyimbo zao.
Napo’ o androanavio ty lalam-bey, nado o ajalahio ty bekobeko.
15 Furaha imeondoka mioyoni mwetu, kucheza kwetu kumegeuka maombolezo.
Nijihetse ty hafalean’ arofo’ay; nifotetse ho fandalàñe o tsinja’aio.
16 Taji imeanguka kutoka kichwani petu. Ole wetu, kwa maana tumetenda dhambi!
Po-tsabaka zahay; feh’ohatse fa niota!
17 Kwa sababu hiyo, mioyo yetu inazimia, kwa sababu ya hayo, macho yetu yamefifia,
Izay ty mahasiloke o tro’aio, izay ty mahalopelope o fihaino’aio;
18 kwa ajili ya Mlima Sayuni, ambao unakaa ukiwa, nao mbweha wanatembea juu yake.
toe i Vohi-Tsione mangoakoakey; mitingañ’ ao o farasio.
19 Wewe, Ee Bwana unatawala milele, kiti chako cha enzi chadumu kizazi hadi kizazi.
Fa Ihe ry Iehovà, nainai’e tsy modo ty fifehea’o; pak’amo tariratse fara-mandimbeo ty fiambesa’o.
20 Kwa nini watusahau siku zote? Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?
Akore t’ie naforintse’o? Amoea’o andro maro hao zahay?
21 Turudishe kwako mwenyewe, Ee Bwana, ili tupate kurudi. Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale,
Ampolio ama’o, ry Iehovà, hibodaña’ay; vaò manahake o andro taoloo o andro’aio—
22 isipokuwa uwe umetukataa kabisa na umetukasirikia pasipo kipimo.
Fa naitoa’o zafezanake, naho loho niviñera’o.

< Maombolezo 5 >