< Maombolezo 5 >
1 Kumbuka, Ee Bwana, yaliyotupata, tazama, nawe uione aibu yetu.
Rememoru, ho Eternulo, kio fariĝis al ni; Rigardu kaj vidu nian malhonoron!
2 Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni, na nyumba zetu kwa wageni.
Nia heredaĵo transiris al fremduloj, Niaj domoj al aligentuloj.
3 Tumekuwa yatima wasio na baba, mama zetu wamekuwa kama wajane.
Ni fariĝis orfoj senpatraj, Niaj patrinoj estas kiel vidvinoj.
4 Ni lazima tununue maji tunayokunywa, kuni zetu zapatikana tu kwa kununua.
Nian akvon ni trinkas pro mono; Nian lignon ni ricevas nur pro pago.
5 Wanaotufuatilia wapo kwenye visigino vyetu, tumechoka na hakuna pumziko.
Oni pelas nin je nia kolo; Ni laciĝis, sed oni ne permesas al ni ripozi.
6 Tumejitolea kwa Misri na Ashuru tupate chakula cha kutosha.
Al Egiptujo ni etendis la manon, Al Asirio, por satiĝi per pano.
7 Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena, na sisi tunachukua adhabu yao.
Niaj patroj pekis, sed ili jam ne ekzistas; Kaj ni devas suferi pro iliaj malbonagoj.
8 Watumwa wanatutawala na hakuna wa kutuokoa mikononi yao.
Sklavoj regas super ni; Kaj neniu liberigas nin el iliaj manoj.
9 Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu ya upanga jangwani.
Kun danĝero por nia vivo ni akiras nian panon, Pro la glavo en la dezerto.
10 Ngozi yetu ina joto kama tanuru, kwa sababu ya fadhaa itokanayo na njaa.
Nia haŭto varmegiĝis kiel forno, Por la kruela malsato.
11 Wanawake wametendwa jeuri katika Sayuni, na mabikira katika miji ya Yuda.
La virinojn en Cion ili senhonorigis, La virgulinojn en la urboj de Judujo.
12 Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao, wazee hawapewi heshima.
La princoj estas pendigitaj je siaj manoj; La maljunulojn oni ne respektis.
13 Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia, wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.
La junuloj devas porti muelŝtonojn; La knaboj falas sub la lignoŝarĝoj.
14 Wazee wameondoka langoni la mji, vijana wameacha kuimba nyimbo zao.
La maljunuloj jam ne sidas ĉe la pordegoj, La junuloj jam ne kantas.
15 Furaha imeondoka mioyoni mwetu, kucheza kwetu kumegeuka maombolezo.
Malaperis la gajeco de nia koro; Niaj dancrondoj aliformiĝis en funebron.
16 Taji imeanguka kutoka kichwani petu. Ole wetu, kwa maana tumetenda dhambi!
Defalis la krono de nia kapo; Ho ve al ni, ke ni pekis!
17 Kwa sababu hiyo, mioyo yetu inazimia, kwa sababu ya hayo, macho yetu yamefifia,
Pro tio senfortiĝis nia koro, Pro tio senlumiĝis niaj okuloj:
18 kwa ajili ya Mlima Sayuni, ambao unakaa ukiwa, nao mbweha wanatembea juu yake.
Pro la monto Cion, ke ĝi fariĝis dezerta, Ke vulpoj vagas sur ĝi.
19 Wewe, Ee Bwana unatawala milele, kiti chako cha enzi chadumu kizazi hadi kizazi.
Sed Vi, ho Eternulo, kiu restas eterne Kaj kies trono staras de generacio al generacio,
20 Kwa nini watusahau siku zote? Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?
Kial Vi forgesis nin kvazaŭ por eterne, Forlasis nin por longa tempo?
21 Turudishe kwako mwenyewe, Ee Bwana, ili tupate kurudi. Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale,
Reirigu nin, ho Eternulo, al Vi, ke ni revenu; Renovigu niajn tagojn kiel en la tempo antaŭa.
22 isipokuwa uwe umetukataa kabisa na umetukasirikia pasipo kipimo.
Ĉar ĉu Vi nin tute forpuŝis? Vi tre forte ekkoleris kontraŭ ni.