< Maombolezo 5 >

1 Kumbuka, Ee Bwana, yaliyotupata, tazama, nawe uione aibu yetu.
Hina Gode! Ninima gugunufinisisu hou doaga: i, amo dawa: ma! Ninia gogosiasu amo ba: ma!
2 Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni, na nyumba zetu kwa wageni.
Degabo misi dunu da ninia liligi huluane gagusa. Ga fi dunu ilia da ninia diasu huluane ganodini esalebe ba: sa.
3 Tumekuwa yatima wasio na baba, mama zetu wamekuwa kama wajane.
Ninia ada huluane da ha lai dunu ilia medole legei dagoi. Amola wali, ninia amelali da didalo esafula.
4 Ni lazima tununue maji tunayokunywa, kuni zetu zapatikana tu kwa kununua.
Ninia da hano manusa: , bidiga fawane laha. Ninia lalu habei amola da bidiga fawane laha.
5 Wanaotufuatilia wapo kwenye visigino vyetu, tumechoka na hakuna pumziko.
Ninia ha lai da ilia dougi amola ga: mele sesebe amo defele nini sesesa. Nini da hele bagade naba, be helefimu hamedei ba: sa.
6 Tumejitolea kwa Misri na Ashuru tupate chakula cha kutosha.
Ninia da mae bogogia: ma: ne, Idibidi soge amola Asilia soge amoga ha: i manu edegemusa: asi.
7 Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena, na sisi tunachukua adhabu yao.
Ninia aowalali ilia da wadela: le hamoi. Be ilia da bogoi dagoi, amola wali ninia da ilia wadela: i hou hamoiba: le, amo dabe se nabala.
8 Watumwa wanatutawala na hakuna wa kutuokoa mikononi yao.
Ninia da udigili hawa: hamonana, amola ninima ouligisu dunu da udigili hawa: hamosu dunu agoai. Be ili da gasa bagadeba: le, ninia dunu afaega nini gaga: mu da hamedei.
9 Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu kwa sababu ya upanga jangwani.
Fane legesu dunu ilia da udigili sogega lafia: la. Ninia da ha: i manu hogola ahoasea, ilia da nini fane legesa: besa: le, ninia da beda: sa.
10 Ngozi yetu ina joto kama tanuru, kwa sababu ya fadhaa itokanayo na njaa.
Ninia da ha: ga asugi agoai ba: sa. Ninia da: i da gele nenowai defele ba: sa.
11 Wanawake wametendwa jeuri katika Sayuni, na mabikira katika miji ya Yuda.
Ninima ha lai da ninia uda huluane Saione Goumia gagulaligili, adole lasu. Amola Yuda moilai huluane ganodini, ilia da ninia uda mano amo gagulaligili, sesele adole lasu.
12 Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao, wazee hawapewi heshima.
Ilia da ninia ouligisu dunu ili gagulaligili, galogoaga hegoanesili, medole lelegei. Ilia da ninia asigilai dunu ilima nodoma: ne hame hamosa.
13 Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia, wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.
Ninima ha lai dunu da ninia ayeligi dunuma sesebeba: le, ilia da udigili hawa: hamosu dunu agoane gala: ine gesesa. Goi ilia da lalu habei dioi bagade gisawane ahoabeba: le, sasaya: gina ahoa.
14 Wazee wameondoka langoni la mji, vijana wameacha kuimba nyimbo zao.
Asigilai dunu ilia da moilai bai bagade logo holei amogai fisu yolele, amola ayeligi amola a: fini da gesami hea: sa dusu liligi dusu amo yolesisi.
15 Furaha imeondoka mioyoni mwetu, kucheza kwetu kumegeuka maombolezo.
Ninia hahawane hou da fisi dagoi. Ninia da gafosu yolesili, da: i diosu fawane ba: sa.
16 Taji imeanguka kutoka kichwani petu. Ole wetu, kwa maana tumetenda dhambi!
Ninia da musa: ninia liligi gagui amola ninia hou amoma hidale nodosu. Be wali amo huluane da wadela: lesi dagoi. Ninia da wadela: le hamoiba: le, hobeamu gogolele, gugunufinisisu fawane ba: mu.
17 Kwa sababu hiyo, mioyo yetu inazimia, kwa sababu ya hayo, macho yetu yamefifia,
Ninia da dogoga se nabala, amola ninia si hanoga ba: mu gogolei ba: sa.
18 kwa ajili ya Mlima Sayuni, ambao unakaa ukiwa, nao mbweha wanatembea juu yake.
Bai Saione Goumi da hahaninisili amola mebui diala. Amola sigua wa: me da Saione mebu ganodini hohogola lafia: la.
19 Wewe, Ee Bwana unatawala milele, kiti chako cha enzi chadumu kizazi hadi kizazi.
Be Di, Hina Gode da eso huluane mae fisili ouligilalumu.
20 Kwa nini watusahau siku zote? Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?
Hina Gode! Di da abuliba: le ode bagohame agoane nini yolesila: ? Di da nini gebewane bu dawa: loma: bela: ?
21 Turudishe kwako mwenyewe, Ee Bwana, ili tupate kurudi. Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale,
Hina Gode! Nini bu Dima misa: ne hiougima! Nini bu hiougima! Ninia siba hadigi hou ninima bu ima!
22 isipokuwa uwe umetukataa kabisa na umetukasirikia pasipo kipimo.
O Di da dafawanedafa nini fisiagabela: ? Dia ougisu hou da dagosu hamela: ? Sia: ama dagoi

< Maombolezo 5 >