< Waamuzi 8 >

1 Basi Waefraimu wakamuuliza Gideoni, “Mbona mmetutenda hivi? Kwa nini hukutuita ulipokwenda kupigana na Wamidiani?” Wakawalaumu kwa ukali sana.
Amalalu, Ifala: ime fi dunu da Gidionema amane sia: i, “Di da Midia: ne fi ilima gegemusa: ahoanoba, abuliba: le nini misa: ne hame wele sia: bela: ? Abuliba: le nini se nabima: ne agoane hamobela: ?” Ilia da da: i dione egai.
2 Gideoni akawajibu, “Nilichofanya mimi ni nini kulinganisha na kile ninyi mlichofanya? Je, kuokoa masazo ya zabibu za Efraimu si bora kuliko mavuno kamili ya zabibu ya Abiezeri?
Be Gidione da ilima bu adole i, “Mae dawa: ma! Dilia hamoi hou da na hamoi bagade baligisa. Dilia fidisu da na fi dunu huluane ilia fidisu amo bagade baligisa.
3 Mungu amewatia Orebu na Zeebu, hao viongozi wa Wamidiani, mikononi mwenu. Je, mimi niliweza kufanya nini kulinganisha na mlichofanya ninyi?” Aliposema hili, hasira yao dhidi yake ikatulia.
Dilia Gode Ea gasa lai dagoiba: le, Midia: ne ouligisu dunu aduna amo Oulebe amola Siebe fane legei dagoi. Na da dilia gasa bagade hou defele hamomu hamedei agoane ba: i.” E da amo sia: beba: le, Ifala: ime dunu ilia ougi bu gumi ba: i.
4 Gideoni akiwa pamoja na wale watu 300 waliofuatana naye, wakiwa wamechoka na wenye njaa lakini bado wakiwafuatia, wakafika Yordani na kuuvuka.
Gidione amola ea dadi gagui (ilia idi da 300) da Yodane Hano amoga doaga: le degei dagoi. Ilia da bagade helei ba: i, be mae fisili ilia ha lai dunu sefasilalu.
5 Akawaambia watu wa Sukothi, “Tafadhali lipatieni jeshi langu mikate, kwa maana wamechoka, nami ningali ninawafuatia Zeba na Salmuna, wafalme wa Midiani.”
Ilia da Sagode moilaiga doaga: loba, Gidione da Sagode dunu ilima amane sia: i, “Ha: i manu ninima ima. Na dunu da bagade helebe. Na da Midia: ne fi hina bagade dunu aduna amo Siba amola Sa: lamana sefasilala.”
6 Lakini maafisa wa Sukothi wakasema, “Je, mikono ya Zeba na Salmuna tayari mnayo sasa ili tuweze kulipatia jeshi lako mikate?”
Be Sagode moilai ouligisu dunu da Gidionema bu adole i, “Ninia abuliba: le dia dadi gagui dunuma ha: i manu ima: bela: ? Di da wali Siba amola Sa: lamana hame gagui.”
7 Gideoni akajibu, “Kwa ajili ya hilo tu, Bwana atakapowatia Zeba na Salmuna mkononi mwangu, nitaichana nyama ya miili yenu kwenye miiba ya nyikani na kwenye michongoma.”
Amaiba: le, Gidione da amane sia: i, “Defea! Hina Gode da na fidimuba: le, na da Siba amola Sa: lamana gagumu. Amasea, na da dili aya: gaga: nomei hafoga: i sogega lai amoga famu.”
8 Kutoka hapo alikwea mpaka Penieli na kutoa ombi lile lile, lakini nao watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyokuwa wamemjibu.
Gidione da bu asili, Beniuele moilaiga doaga: i. E da Sagode moilai dunu amoga edegei defele Beniuele dunuma adole ba: i. Be Beniuele dunu da Sagode dunu ilia hou defele, ha: i manu hame imunu sia: i.
9 Hivyo akawaambia watu wa Penieli, “Nitakaporudi baada ya kushinda, nitaubomoa mnara huu.”
Amaiba: le, Gidione da ilima amane sia: i, “Defea! Na da na ha lai ili hasalasili, hahawane bu misunu. Amalalu, na da dilia diasu gado gagagula heda: i amo mugulumu.”
10 Wakati huu Zeba na Salmuna walikuwa Karkori wakiwa na jeshi lenye watu wapatao 15,000 wale wote waliokuwa wamesalia wa mataifa ya mashariki, kwa kuwa watu wapatao 120,000 wenye panga walikuwa wameuawa.
Siba amola Sa: lamana elea dadi gagui dunu huluane da Gago moilai bai bagadega gilisibi ba: i. Amo esoga, ilia hafoga: i soge dadi gagui dunu idi da 15,000 fawane ba: i. Eno dadi gagui dunu amo 120,000 da medole legei dagoi ba: i.
11 Basi Gideoni akakwea kwa njia ya wasafiri mashariki ya Noba na Yogbeha na kulishambulia jeshi ambalo halikushuku lolote.
Gidione da logo amo hafoga: i soge bega: Nouba moilai amola Yogebiha moilaiga eso mabadi la: ididili dialu, amo logoga asi. E da hedolowane Siba amola Sa: lamana ilia dadi gagui wa: i ilima doagala: le, ilia da fofogadigi.
12 Zeba na Salmuna, hao wafalme wawili wa Midiani, wakakimbia lakini yeye Gideoni akawafuata na kuwakamata, akalishinda hilo jeshi lao lote.
Midia: ne hina bagade dunu aduna amo Siba amola Sa: lamana da hobea: i. Be Gidione da elama doagala: le bobogele, ela gagulaligi. Amalalu, ela dadi gagui dunu huluane da beda: iba: le, hobea: i
13 Gideoni mwana wa Yoashi akarudi kutoka vitani kwa kupitia Mwinuko wa Heresi.
Gidione da hasaliba: le, bu misini, Helese fago ahoasu amoga asili,
14 Akamkamata kijana mmoja wa Sukothi na kumuuliza maswali, naye yule kijana akamwandikia majina ya maafisa sabini wa Sukothi, ambao ni viongozi wa mji.
e da Sagode moilai goi amo gaguli, ema ea fi dunu ilia hou adole ba: i. Amo goi da Sagode moilai ouligisu dunu bagade 77amo ilia dio dedei.
15 Ndipo Gideoni akaja na kuwaambia watu wa Sukothi, “Tazama, hapa wapo Zeba na Salmuna mlionisimanga kwa ajili yao mkisema, ‘Je, mikono ya Zeba na Salmuna tayari mnayo sasa ili tuweze kulipatia jeshi lako mikate?’”
Amalalu, Gidione da Sagode dunu ilima asili, amane sia: i, “Siba amola Sa: lamana da goea. Na da amo dunu hame gaguiba: le, dilia da na dadi gagui dunu hele nababe, ilima ha: i manu imunu higa: i.”
16 Akawachukua hao viongozi wa mji na kuwafundisha watu wa Sukothi somo kwa kuwaadhibu kwa miiba na michongoma ya nyikani.
Amalalu e da hafoga: i soge aya: gaga: nomei liligi lale, amoga Sagode ouligisu dunu se ima: ne fasu.
17 Pia akaubomoa mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji.
Amola e da diasu gagagula gado heda: i, Beniuele moilaiga mugululi amola Beniuele dunu medole legei dagoi.
18 Kisha akawauliza Zeba na Salmuna, “Ni watu wa aina gani mliowaua huko Tabori?” Wakajibu, “Ni watu kama wewe, kila mmoja wao akiwa na nafasi ya uana wa mfalme.”
Amalalu, Gidione da Siba amola Sa: lamana elama amane adole ba: i, “Alia da Da: ibo moilaiga dunu medole legei. Alia da nowa dunu medole legebela: ?” Ela bu adole i, “Ilia da di agoane ba: i. Huluane da hina bagade ea mano defele agoane ba: i.”
19 Gideoni akajibu, “Hao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu hasa. Hakika kama aishivyo Bwana, kama mngekuwa mmewaacha hai, mimi nisingewaua ninyi.”
Gidione da amane sia: i, “Ilia da nolalalia galu, na: medafa ea mano. Na da dafawane sia: sa. Alia da amo hame medole legei ganiaba, na da ali amola hame medole legela: loba.”
20 Akamgeukia Yetheri, mwanawe mzaliwa wa kwanza, akasema, “Waue hawa!” Lakini Yetheri hakuufuta upanga wake, kwa sababu aliogopa, kwa kuwa alikuwa bado kijana mdogo tu.
Amalalu, e da ea magobo mano ea dio amo Yeda, amoma amane sia: i, “Defea! Dia ela medole legema!” Be amo goi da ea gegesu gobihei bagade hame duga: le gagui. E da hame asigilaiba: le, beda: i.
21 Zeba na Salmuna wakasema, “Njoo ufanye hivyo wewe mwenyewe. ‘Alivyo mtu, ndivyo zilivyo nguvu zake.’” Hivyo Gideoni akatoka mbele na kuwaua, naye akayaondoa mapambo kwenye shingo za ngamia zao.
Amalalu, Siba amola Sa: lamana da Gidionema amane sia: i, “Defea! Disu ani medole legema. Dunudafa da dunudafa ea hawa: hamosu hamomu da defea.” Amaiba: le, Gidione da Siba amola Sa: lamana medole legei dagoi. E da liligi noga: i amo ela ga: mele ilia galogoa amoga gisa: gisi dialu amo lai dagoi.
22 Waisraeli wakamwambia Gideoni, “Ututawale, wewe, wanao na wana wa wana wako, kwa kuwa umetuokoa kutoka mikononi mwa Wamidiani.”
Amalalu, Isala: ili dunu huluane da Gidionema amane sia: i, “Di amola hobea digaga fi da ninima ouligisuwane esalumu da defea. Di da nini amo Midia: ne dunu iliga gaga: i dagoi.”
23 Lakini Gideoni akawaambia, “Mimi sitatawala juu yenu, wala wanangu hawatatawala juu yenu. Bwana ndiye atakayetawala juu yenu ninyi.”
Be Gidione da bu adole i, “Na da dilima ouligisuwane hame esalumu. Amola nagofe da dilima ouligisuwane hame esalumu. Be Hina Gode Hi fawane da dilima Hina ba: mu.”
24 Naye akasema, “Ninalo ombi moja, kwamba kila mmoja wenu anipatie kipuli kutoka kwenye fungu lake la nyara.” (Ilikuwa desturi ya Waishmaeli kuvaa vipuli vya dhahabu.)
E da eno amane sia: i “Na da dilima afae fawane edegesa. Dilia gedu bagedigi Midia: ne dunu ilima lai, amo huluane nama ima.” (Midia: ne dunu da hafoga: i soge dunu fi huluane defele gouli gedu bagedigili salasu.)
25 Wakajibu, “Tutafurahi kuvitoa.” Hivyo wakatanda vazi chini na kila mwanaume akatupia juu yake pete kutoka kwenye fungu lake la nyara.
Dunu huluane da bu adole i, “Ninia da hahawane amo liligi dima imunuyo.” Ilia da abula ligisili, dunu huluane da amo da: iya geabagedigisu ilia lai ligisi.
26 Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilifikia shekeli 1,700, bila kuhesabu mapambo mengine, pete za masikio na mavazi ya zambarau yaliyovaliwa na wafalme wa Midiani, au mikufu iliyokuwa kwenye shingo za ngamia zao.
Gidione da gouli gedu bagedigi lai dagoi. Ilia dioi defei da 210 gilogala: me gadenene doaga: i. Ilia da eno liligi Gidionema i, amo bagedigi, gisa: gini sali amola ogaya: i abula musa: Midia: ne hina bagade dunu da gasi salasu amola gehea: la ilia da ga: mele ea galogoa ga: si.
27 Gideoni akatengeneza kisibau kwa kutumia ile dhahabu, ambacho alikiweka katika mji wake, yaani, Ofra. Waisraeli wote wakafanya uasherati kwa kukiabudu huko, nacho kikawa mtego kwa Gideoni na jamaa yake.
Gidione da amo gouli lale, ogogosu ‘gode’ agoaila loboga hamone, ea moilaidafa Ofala amo ganodini bugisi. Isala: ili dunu huluane iliawa da Gode fisili, Ofala moilai bai bagadega amo loboga hamoi liligima sia: ne gadomusa: asi. Amo liligi da Gidione amola ea sosogo fi ilima sani agoane ba: i.
28 Hivyo Midiani ikashindwa mbele ya Israeli nayo haikuinua kichwa chake tena. Wakati wa siku za uhai wa Gideoni, nchi ikafurahia amani miaka arobaini.
Amaiba: le, Isala: ili dunu da Midia: ne dunu ili hasalasi amola fa: no Midia: ne dunu da gasa hame ba: i. Amalalu, ode 40 eno amoga, Isala: ili dunu da olofosu ba: i. Amo ode 40 gidigili, Gidione da bogoi dagoi.
29 Yerub-Baali mwana wa Yoashi akarudi kwenda kuishi katika nyumba yake.
Gidione da hina: moilaidafa amoga buhagili esalu.
30 Alikuwa na wana sabini wa kwake mwenyewe, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.
E da uda bagohame lale, dunu mano 70agoane lalelegei.
31 Suria wake, aliyekuwa anaishi huko Shekemu, pia alimzalia mwana, ambaye alimwita Abimeleki.
E da uda eno lai. Amo da gidisedagi uda e da Siegeme moilaiga lai. Amo uda da dunu mano lalelegei. Gidione da amo manoma Abimelege dio asuli.
32 Gideoni mwana wa Yoashi akafa akiwa na umri mzuri wa uzee, na akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake huko Ofra ya Waabiezeri.
Gidione (Youa: se egefe) da ode bagohame gidigili bogoi. Ilia da ea da: i hodo amo ea eda Youa: se ea bogoi uli dogosu Ofala moilai bai bagade (Abiese fi ilia moilai) amoga dialu, amo ganodini sali.
33 Mara tu alipofariki Gideoni, Waisraeli wakarudia hali ya uovu na kufanya uasherati kwa kuabudu Mabaali. Wakamsimamisha Baal-Berithi kuwa mungu wao na
Gidione da bogoloba, Isala: ili dunu ilia da bu Gode fisili, Ba: ile ema nodone sia: ne gadoi. Ilia da ema ‘Ba: ile da Gousa: su Hamoi’ dio asuli, amola e da ilia ‘gode’dafa ilia da sia: su.
34 wala hawakumkumbuka Bwana Mungu wao, aliyewaokoa kutoka mikononi mwa adui zao wote kutoka kila upande.
Ilia Hina Godedafa da ilima sisiga: i ha lai dunu ilima gaga: i dagoi. Be amo mae dawa: le, ilia da Hina Godema hawa: hamosu yolesi dagoi.
35 Pia wakashindwa kuitendea mema jamaa ya Yerub-Baali (yaani Gideoni) kwa ajili ya mambo yote mema aliyokuwa amefanya kwa ajili yao.
Amola Gidione da Isala: ili dunu fidima: ne, hawa: hamosu ida: iwane hamoi. Be ilia da Gidione ea sosogo fi ilima hame nodoi.

< Waamuzi 8 >