< Waamuzi 7 >
1 Ndipo Yerub-Baali (yaani Gideoni) na lile jeshi lililokuwa pamoja naye, wakaondoka asubuhi na mapema na kupiga kambi kando ya chemchemi ya Harodi. Kambi ya Wamidiani ilikuwa kaskazini yao katika bonde karibu na kilima cha More.
И обутренева Иероваал, сей есть Гедеон, и вси людие иже с ним, и ополчишася у источника Арад: и полк Мадиамль и Амаликов бяше ему с севера на холме Мосе Гавааф-Аморе в долине.
2 Bwana akamwambia Gideoni, “Jeshi lililo pamoja nawe ni kubwa sana kwa mimi kuwatia Wamidiani mikononi mwao. Ili kwamba Israeli asije akajisifu juu yangu akisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa,
И рече Господь к Гедеону: мнози людие иже с тобою, сего ради не предам Мадиама в руку их, да не когда похвалится Израиль на Мя, глаголя: рука моя спасе мя:
3 kwa hiyo sasa tangaza jeshi lote likiwa linasikia, kwamba: Yeyote anayeogopa na kutetemeka, yeye na arudi nyumbani, aondoke katika Mlima Gileadi.’” Hivyo watu 22,000 walirudi, wakabaki 10,000.
и ныне рцы во ушы людем, глаголя: кто боязлив и ужастив, да возвратится и да отидет от горы Галаадовы. И возвратишася от людий двадесять две тысящы, и десять тысящ осташася.
4 Lakini Bwana akamwambia Gideoni, “Idadi ya jeshi bado ni kubwa. Wapeleke chini katika maji nami nitawajaribu huko kwa ajili yako. Kama nikikuambia, ‘Huyu atakwenda pamoja nawe,’ yeye atakwenda; lakini kama nikisema, ‘Huyu hatakwenda pamoja nawe,’ yeye hatakwenda.”
И рече Господь к Гедеону: еще людие мнози суть: сведи я на воду, и искушу тебе их тамо: и будет егоже аще реку тебе, сей да идет с тобою, той да пойдет с тобою: и всяк егоже аще реку тебе, сей да не пойдет с тобою, той да не пойдет с тобою.
5 Hivyo Gideoni akalileta lile jeshi chini kwenye maji naye Bwana akamwambia Gideoni, “Watenge upande mmoja wale wote wanywao maji kwa ulimi, kama vile mbwa anywavyo, wale wote wapigao magoti ili kunywa wakipeleka mikono yao vinywani mwao, waweke upande mwingine.”
И сведе люди на воду, и рече Господь к Гедеону: всяк иже полочет языком своим от воды, якоже лочет пес, да поставиши его особь: и всяк иже на колену падет пити, отлучи его особь.
6 Idadi ya wale waliokunywa kwa kuramba ramba walikuwa 300, lakini wengine wote katika jeshi walipiga magoti ili kunywa.
И бысть число в горстех локавших языком триста мужей: и вси оставшии людие преклонишася на колена своя пити воду.
7 Bwana akamwambia Gideoni, “Kwa hao watu 300 walioramba maji nitawaokoa ninyi, nami nitawatia Wamidiani mkononi mwako. Waache hao watu wengine wote warudi kila mmoja nyumbani mwake.”
И рече Господь к Гедеону: треми сты мужей локавшими воду спасу вас, и предам Мадиама в руку твою: и вси людие да пойдут, кийждо на место свое.
8 Hivyo Gideoni akawaacha wale Waisraeli wengine kila mmoja aende kwenye hema yake. Akabakia na wale 300, ambao walichukua vyakula na tarumbeta za wale wenzao. Basi kambi ya Wamidiani ilikuwa chini yake bondeni.
И взяша себе брашно от людий в руку свою и роги своя: и всякаго мужа Израилтеска отпусти коегождо в кущу свою, а триста мужей удержа: полк же Мадиамль бяше ниже его в долине.
9 Usiku ule ule Bwana akamwambia Gideoni, “Ondoka, ushuke kambini, kwa kuwa nimeitia mkononi mwako.
И бысть в ту нощь, и рече к нему Господь: востав сниди отсюду скоро в полк, яко предах их в руку твою:
10 Lakini kama unaogopa kushambulia, shuka kambini pamoja na mtumishi wako Pura,
и аще боишися ты снити, сниди ты и Фара раб твой в полк,
11 nawe sikiliza wanayosema. Hatimaye, utatiwa moyo kushambulia kambi.” Basi yeye na Pura mtumishi wake wakashuka na kufikia walinzi wa mbele wenye silaha waliokuwa mle kambini.
и услышиши, что возглаголют: и по сем укрепятся руце твои, и снидеши в полк. И сниде сам и Фара раб его в часть пятьдесятников, иже быша в полце.
12 Wamidiani, Waamaleki na mataifa mengine yote ya mashariki walikaa bondeni, nao walikuwa mfano wa nzige kwa wingi wao. Ngamia zao hazikuhesabika, wingi wao ulikuwa kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.
И Мадиам и Амалик и вси сынове востоков стояху в долине яко прузи множеством, и велблюдом их не бяше числа, но бяху яко песок на краи морстем множеством.
13 Gideoni alifika wakati huo huo kukiwa na mtu mmoja aliyekuwa anamweleza mwenzake ndoto yake, akisema, “Niliota ndoto: Tazama mkate wa shayiri ulioviringana ulianguka katika kambi moja ya Wamidiani, ukaipiga na ikaanguka nao ukaipindua juu chini na hema ikaporomoka chini.”
И вниде Гедеон, и се, муж поведаше сон подругу своему, и рече: сей сон егоже видех, и се, тесто хлеба ячна валяющееся в полце Мадиамли, и привалися к кущи Мадиамли, и поби ю, и преврати ю, и паде куща.
14 Rafiki yake akamjibu, “Habari hii si kitu kingine zaidi ya upanga wa Gideoni mwana wa Yoashi, Mwisraeli. Mungu amewatia Wamidiani na jeshi lote mkononi mwake.”
И отвеща подруг его и рече: несть (сие тесто), но мечь Гедеона сына Иоасова мужа Израилева: предаде Бог в руку его Мадиама и весь полк.
15 Gideoni alipoisikia hiyo ndoto na tafsiri yake, akamwabudu Mungu. Akarudi kwenye kambi ya Israeli na kusema, “Inukeni! Bwana amelitia jeshi la Wamidiani mikononi mwenu.”
И бысть яко услыша Гедеон поведание сна и разсуждение его, и поклонися Господеви, и возвратися в полк Израилев и рече: востаните, яко предаде Господь в руки нашя полк Мадиамль.
16 Akawagawa wale watu 300 katika makundi matatu, akawakabidhi tarumbeta mikononi mwao wote na mitungi isiyokuwa na maji yenye mienge ndani yake.
И раздели триста мужей на три началства, и вдаде роги в руце всем, и водоносы тщы, и свещы среде водоносов,
17 Akawaambia, “Nitazameni, fanyeni kama nitakavyofanya, nitakapofika mwisho wa kambi mfanye kama nitakavyofanya.
и рече им: мене смотрите, и такожде творите: и се, аз вниду в часть полка, и будет якоже сотворю, такожде сотворите:
18 Wakati mimi na wale walio pamoja nami wote, tutakapopiga tarumbeta zetu, ninyi nanyi pigeni tarumbeta pande zote za kambi na mpige kelele, mseme, ‘Upanga wa Bwana na wa Gideoni.’”
и аз вострублю рогом, и вси иже со мною, да вострубите и вы в роги окрест всего полка, и да речете: (мечь) Богу и Гедеону.
19 Gideoni na wale watu 100 waliokuwa pamoja naye wakafika mwisho wa kambi usiku mwanzoni mwa zamu ya kati, mara tu walipokuwa wamebadili zamu. Wakapiga zile tarumbeta zao na kuvunja ile mitungi iliyokuwa mikononi mwao.
И вниде Гедеон и сто мужей иже с ним в часть полка в начале стражи средния: и убужением возбудиша стрегущих, и вострубиша в роги, и сразиша водоносы иже в руках их.
20 Yale makundi matatu yakapiga tarumbeta na kuvunja mitungi. Wakashika mienge kwa mikono yao ya kushoto na katika mikono yao ya kuume tarumbeta ili kuzipiga, wakapaza sauti zao, “Upanga wa Bwana na wa Gideoni!”
И вострубиша три началства в роги и сокрушиша водоносы, и удержаша в левых руках своих свещы, и в десных руках их роги, в няже трубити: и возопиша: мечь Господеви и Гедеону.
21 Wakasimama kila mtu mahali pake kuizunguka kambi pande zote, Wamidiani wote wakakimbia, huku wakipiga kelele.
И сташа кийждо о себе окрест полка: и смятеся весь полк, и возопиша, и побегоша.
22 Walipozipiga zile tarumbeta 300, Bwana akafanya watu katika kambi yote kugeuziana upanga kila mmoja na mwenziwe. Jeshi likakimbia mpaka Beth-Shita kuelekea Serera hadi mpakani mwa Abel-Mehola karibu na Tabathi.
И вострубиша в триста рогов: и положи Господь мечь мужа на подруга его во всем полце, и пробеже полк до Вифасетта, и собрася до страны Авелмаула и к Тавафу.
23 Watu wa Israeli wakaitwa kutoka Naftali, Asheri na Manase, wakawafuatia Wamidiani.
И возопиша мужие Израилтестии от Неффалима и от Асира и от всего Манассии, и погнаша вслед Мадиама.
24 Gideoni akatuma wajumbe katika nchi yote ya vilima vya Efraimu akisema, “Teremkeni dhidi ya Wamidiani na mkazuie vivuko vya maji mbele yao hadi Beth-Bara na pia Yordani.” Hivyo watu wote wa Efraimu wakakutanika pamoja na kuzingira mto wa Yordani hadi Beth-Bara.
И посла послы Гедеон во всю гору Ефремлю, глаголя: снидите во сретение Мадиаму и удержите им воду до Вефира и Иордана. И воззва всяк муж Ефремль, и предотяша воду до Вефира и Иордана,
25 Wakawakamata wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu. Wakamuulia Orebu pale penye mwamba wa Orebu, na Zeebu wakamuulia penye shinikizo la kukamulia divai la Zeebu. Wakawafuatia Wamidiani na kuleta vichwa vya Orebu na Zeebu kwa Gideoni, huko ngʼambo ya Yordani.
и яша два князя Мадиамля, Орива и Зива: и убиша Орива в Суре, и Зива убиша во Иакефзиве: и погнаша Мадиама, и главу Орива и Зива принесоша к Гедеону от оноя страны Иордана.