< Waamuzi 5 >

1 Ndipo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:
Amo esohaga, Debola amola Bela: ge (Abinoa: me egefe) da amo gesami hea: i.
2 “Wakuu katika Israeli wanapoongoza, wakati watu wanapojitoa kwa hiari yao wenyewe: mhimidini Bwana!
“Hina Godema nodoma! Isala: ili dunu da gegemusa: dawa: iou, ilia da gegesu hahawane fidimu sia: i.
3 “Sikieni hili, enyi wafalme! Sikilizeni, enyi watawala! Nitamwimbia Bwana, nitaimba; kwa wimbo nitamhimidi Bwana, Mungu wa Israeli.
Dilia hina bagade nabima! Noga: le dawa: ma! Na da ninia Isala: ili Hina Godema gesami hea: mu amola gesami hea: su liligi dumu.
4 “Ee Bwana, ulipotoka katika Seiri, ulipopita katika mashamba ya Edomu, nchi ilitetemeka, mbingu nazo zikamwaga, naam, mawingu yakamwaga maji.
Hina Gode! Di da Sie goumi fisili, amola Idome soge amoga ahoanoba, osobo bagade da fofogolalu yagugui amola gibu da muagadodili sa: i. Dafawane, hano da mu mobi amo ganodini dialu, osobo bagadega sa: i.
5 Milima ilitetemeka mbele za Bwana, hata ule wa Sinai, mbele za Bwana, Mungu wa Israeli.
Sainai Hina Gode da manebeba: le, goumi huluane da fofogoi. Hina Gode! Isala: ili dunu ilia Gode!
6 “Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi, katika siku za Yaeli, barabara kuu hazikuwa na watu; wasafiri walipita njia za kando.
Sia: maga (Anade egefe) amola Ya: iele da esalea, dunu amola ga: mele amola bidi lasu dunu da Isala: ili sogega hame misi. Ilia da logo fonobahadi la: ididili asi.
7 Mashujaa walikoma katika Israeli, walikoma mpaka mimi, Debora, nilipoinuka, nilipoinuka kama mama katika Israeli.
Debola! Isala: ili moilai gilisisu da dunu hame esalebe agoane ba: i. Amalalu, di da misi. Di da Isala: ili fi ilia ame defele misi dagoi.
8 Walipochagua miungu migeni, vita vilikuja katika malango ya mji, hapakuonekana ngao wala mkuki miongoni mwa mashujaa 40,000 katika Israeli.
Isala: ili dunu da gaheabolo ogogosu ‘gode’ liligi ilima fa: no bobogebeba: le, gegesu bagade ilia soge ganodini ba: i. Isala: ili dunu 40,000 agoane gilisi amo ganodini, lobo danoma: ne gala: su goge agei amola da: igene gaga: su liligi hame ba: i.
9 Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli, pamoja na wale wanaojitoa wenyewe kwa hiari yao miongoni mwa watu. Mhimidini Bwana!
Na da Isala: ili ouligisu dunu ilima bagade asigisa. Amola dunu da mae hihini hahawane fidimusa: misi, na da ilima bagade asigisa. Hina Godema nodoma!
10 “Nanyi mpandao punda weupe, mkiketi juu ya matandiko ya thamani, nanyi mtembeao barabarani, fikirini
Dilia! Dunu da ahea: iya: i dougi amoga fila heda: su dunu! Amo sia: olelema! Amola dili emoga fawane ahoasu dunu! Dilia sia: ma!
11 juu ya sauti za waimbaji mahali pa kunyweshea maji. Wanasimulia matendo ya haki ya Bwana, matendo ya haki ya mashujaa wake katika Israeli. “Ndipo watu wa Bwana walipoteremka malangoni pa mji.
Nabima! Dunu bagohame da gu hano amogai gilisili wele sia: nana. Ilia da Hina Gode Ea hasalasu hou amola Isala: ili dunu ilia hasalasu hou olelesa. Amalalu, Hina Gode Ea fi dunu da ilia moilai fisili, mogodigili gudu sa: i.
12 ‘Amka, amka! Debora! Amka, amka, uimbe! Ee Baraka! Inuka, chukua mateka wako uliowateka, ee mwana wa Abinoamu.’
Debola! Bisima! Bisima! Gesami hea: ma! Bisima! Bela: ge, Abinoa: me egefe di! Ba: le gaidi godiwane masa! Dia ha lai dunu di afugili lai, amo oule masa!
13 “Ndipo mabaki ya watu wakashuka dhidi ya wenye nguvu, watu wa Bwana, wakashuka dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
Amalalu, fa: no noga: le bobogesu dunu da ilia ouligisu dunuma gagadomusa: gudu sa: i. Ilia da gegemusa: momagele, Hina Godema gilisi.
14 Kutoka Efraimu wakaja watu, ambao chimbuko lao ni Amaleki; Benyamini akiwa miongoni mwa watu waliokufuata. Kutoka Makiri wakashuka viongozi, na kutoka Zabuloni wale washikao fimbo ya jemadari.
Ilia da Ifala: ime soge fisili, fagoa gudu misi. Ilia da Bediamini fi dunu ilima fa: no bobogei. Dadi gagui ouligisu dunu da Ma: igie soge fisili misi. Amola, ilia fidisu ouligisu dunu da Sebiula: ne sogega misi.
15 Wakuu wa Isakari walikuwa pamoja na Debora; naam, Isakari alikuwa pamoja na Baraka, wakija nyuma yake kwa mbio wakielekea bondeni. Katika jamaa za Reubeni, palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.
Isaga fi ouligisu dunu da Debola amo sigi misi. Dafawane! Isaga fi da misi dagoi. Bela: ge da misiba: le, ilia da ema fa: no bobogele, fagoa gudu doaga: i. Be Liubene fi dunu da afafai. Ilia da misunu o hame misunu, hame dawa: i galu.
16 Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondoo kusikiliza sauti ya filimbi zinazoita makundi? Kwa jamaa za Reubeni, palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.
Ilia da abuliba: le mae misini, sibi ouligima: ne ouesalula: ? Ilia abuliba: le, sibi ouligisu dunu sibima wele sia: su amo nabima: ne, ouesalula: ? Ma! Liubene fi da afafai dagoi ba: i. Ilia da misunu o hame misunu, hame dawa: i galu.
17 Gileadi alikaa ngʼambo ya Yordani. Naye Dani, kwa nini alikaa kwenye merikebu siku nyingi? Asheri alikaa kwa utulivu ufuoni mwa bahari, akikaa kwenye ghuba zake ndogo.
Ga: de fi dunu da Yodane Hano eso mabe la: ididili esalebe ba: i. Da: ne fi dunu da ilia dusagai ouligima: ne esalebe ba: i. A: sie fi dunu da hano bagade bega: ouesalebe ba: i.
18 Watu wa Zabuloni walihatarisha maisha yao, vilevile nao watu wa Naftali.
Be Sebiula: ne fi dunu amola Na: fadalai dunu da bogosa: besa: le mae dawa: le, gegesu amoga gilisi.
19 “Wafalme walikuja na kufanya vita; wafalme wa Kanaani walipigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido, lakini hawakuchukua fedha wala nyara.
Hina bagade dunu da Da: ina: ge moilai bai bagade, Megido Hano bega: dialu, amoga gegemusa: misi. Ga: ina: ne hina bagade dunu da gegei, be hame hasalasiba: le, silifa noga: i liligi hame gaguli asi.
20 Kutoka mbinguni nyota zilipigana, nyota kutoka njia zake zilipigana na Sisera.
Fedege sia: agoane, gasumuni da muagado asili, amoga gegei. Ilia da hina bagade Sisela ema gegei.
21 Mto wa Kishoni uliwasomba, ule mto wa zamani, mto wa Kishoni. Songa mbele, ee nafsi yangu, kwa ujasiri!
Gaisione Hano da filigala: le neda: le, amo dunu huluane mini asili, gaguli asi. Na da gasawane mogodigili masunu!
22 Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo: farasi wake wenye nguvu huenda mbio kwa kurukaruka.
Amalalu, hosi da hehenane misini, osoboga ha: giwane osa: i.
23 Malaika wa Bwana akasema, ‘Merozi alaaniwe. Walaaniwe watu wake kwa uchungu, kwa kuwa hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana dhidi ya hao wenye nguvu.’
Hina Gode Ea a: igele dunu da amane sia: sa, “Milose soge amo aligima: ne gagabuma. Dunu huluane amogawi esala, amo aligima: ne gagabuma. Ilia da Hina Godemagale gegemusa: hame misi.”
24 “Yaeli abarikiwe kuliko wanawake wote, mkewe Heberi, Mkeni, abarikiwe kuliko wanawake wote waishio kwenye mahema.
Hibe (Ginaide dunu) amo ea uda da hahawane bagade. E da uda huluane abula diasu amo ganodini esalebe uda, amo ilia hahawane hou baligisa.
25 Aliomba maji, naye akampa maziwa; kwenye bakuli la heshima akamletea maziwa mgando.
Sisela da ema hano edegei. Be e da dodo maga: me ema i. E da gebo sefe gugu, yaeya noga: iwane amo ganodini sali, gaguli misini ema i.
26 Akanyoosha mkono wake akashika kigingi cha hema, mkono wake wa kuume ukashika nyundo ya fundi. Akampiga Sisera kwa nyundo, akamponda kichwa chake, akamvunjavunja na kumtoboa paji lake la uso.
E da abula diasu goge agei, lobo afae amo ganodini gaguli, hawa: hamosu dunu ea ha: ma, lobo eno amo ganodini gagui. E da Sisela fane, ea dialuma goudai. E da ea dialuma amo abula goge agei amoga soi dagoi.
27 Aliinama miguuni pa Yaeli, akaanguka; akalala hapo. Pale alipoinama miguuni pake, alianguka; pale alipoinamia, ndipo alipoanguka, akiwa amekufa.
E da muguni bugili, diasa: ili, amo uda ea emo gadenene osoboga sa: ili, bogoi dagoi.
28 “Kupitia dirishani mamaye Sisera alichungulia; nyuma ya dirisha alilia, akasema, ‘Mbona gari lake linachelewa kufika? Mbona vishindo vya magari yake vimechelewa?’
Sisela ea ame da fo misa: ne agenesi amoga ba: i. E da ifa gigiadomai hobea: ga gadili ba: lalu. E amane adole ba: i, “Ea sa: liode da abuliba: le hedolo hame maha? Ea hosi da abuliba: le hedolo hame buhagisala: ?”
29 Wanawake wenye busara kuliko wengine wote wakamjibu; naam, husema moyoni mwake,
Ea bagade dawa: su fidisu uda ilia da ema amane adole i, amola e da hisu hima adole ialala, amane,
30 ‘Je, hawapati na kugawanya nyara: msichana mmoja au wawili kwa kila mtu, mavazi ya rangi mbalimbali kwa Sisera kuwa nyara, mavazi ya rangi mbalimbali yaliyotariziwa, mavazi yaliyotariziwa vizuri kwa ajili ya shingo yangu: yote haya yakiwa nyara?’
“Ilia da liligi lama: ne amola afafane ima: ne hogolala. Dadi gagui dunu da afae afae a: fini afae o aduna lamu. Sisela da abula ida: iwane lamu. Amola abula ida: iwane amuni liligi, ea uda galogoa gisa: gima: ne, amo lamusa: hogolala.”
31 “Adui zako wote na waangamie, Ee Bwana! Bali wote wakupendao na wawe kama jua lichomozavyo kwa nguvu zake.” Hivyo nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.
Hina Gode! Dima ha lai dunu huluane da Sisela ea bogoi defele bogomu da defea. Be Dima dogolegei dunu da eso mabe ea diga: i defele diga: mu da defea.” Amalalu, Isala: ili soge ganodini da ode 40 amoga olofosu fawane ba: i.

< Waamuzi 5 >