< Waamuzi 20 >

1 Ndipo Waisraeli wote kuanzia Dani hadi Beer-Sheba na wa kutoka nchi ya Gileadi wakatoka kama mtu mmoja wakakusanyika mbele za Bwana huko Mispa.
Da rykkende alle Israeliterne ud, og Menigheden samledes som een Mand fra Dan til Be'ersjeba for HERREN i Mizpa; ogsaa fra Gileads Land kom de.
2 Viongozi wote wa kabila za Israeli wakakaa kwenye nafasi zao katika kusanyiko la watu wa Mungu, askari 400,000 waendao kwa miguu wenye panga.
Alle Folkets Støtter, alle Israels Stammer indfandt sig i Guds Folks Forsamling, 400 000 Mand Fodfolk, væbnet med Sværd.
3 (Wabenyamini wakasikia kuwa Waisraeli wamepanda kwenda Mispa.) Ndipo Waisraeli wakasema, “Tuelezeni jinsi jambo hili ovu lilivyotendeka.”
Benjaminiterne hørte, at Israeliterne var draget op til Mizpa. Og Israeliterne sagde: »Fortæl dog, hvorledes denne Misgerning gik for sig!«
4 Hivyo yule Mlawi, mume wa yule mwanamke aliyeuawa, akasema, “Mimi na suria wangu tulifika Gibea ya Benyamini ili tulale huko.
Da tog Manden, Leviten, den myrdede Kvindes Mand, til Orde og sagde: »Jeg og min Medhustru kom til Gibea i Benjamin for at overnatte der.
5 Wakati wa usiku watu wa Gibea wakanijia na kuizingira nyumba, wakitaka kuniua. Wakambaka suria wangu mpaka akafa.
Saa rejste Gibeas Borgere sig imod mig og omringede mig om Natten i Huset; mig vilde de dræbe, og min Medhustru skændede de, saa at hun døde.
6 Ndipo nikamchukua suria wangu, nikamkatakata vipande vipande na kuvipeleka katika nchi yote ya urithi wa Israeli, kwa kuwa wametenda uasherati mkubwa na jambo la aibu katika Israeli.
Da tog jeg min Medhustru, skar hende i Stykker og sendte Stykkerne rundt i hele Israels Arvelods Omraade, fordi de havde begaaet grov Utugt og Skændselsdaad i Israel!
7 Sasa, ninyi Waisraeli wote, semeni na mtoe uamuzi wenu.”
Nu er I her, alle Israeliter, sig nu eders Mening og kom med eders Raad!«
8 Watu wote wakainuka wakasema, kama mtu mmoja, “Hakuna hata mmoja wetu atakayekwenda nyumbani. Wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.
Da rejste hele Folket sig som een Mand og sagde: »Ingen af os vil vende hjem, ingen af os vil begive sig til sit Hus!
9 Sasa hili ndilo tutakaloitendea Gibea: Tutaikabili jinsi kura itakavyotuongoza.
Men saaledes vil vi handle med Gibea: Vi vil drage op imod det efter Lodkastning,
10 Tutatoa watu kumi katika kila 100 kutoka kwenye kabila zote za Israeli, watu 100 katika watu 1,000 na watu 1,000 katika 10,000, ili waende wakalete mahitaji kwa ajili ya jeshi. Basi wakati jeshi litakapofika Gibea ya Benyamini, watawatendea yale wanayostahili, kwa ajili ya uovu huu wa aibu waliotenda katika Israeli.”
og vi vil udtage ti Mænd af hundrede af alle Israels Stammer, hundrede af tusind og tusind af titusind til at hente Fødemidler til Folket, til dem, som er kommet for fuldt ud at gengælde Gibea i Benjamin den Skændselsdaad, de har øvet i Israel!«
11 Hivyo wanaume wote wa Israeli wakakutanika pamoja na kujiunga kama mtu mmoja dhidi ya huo mji.
Derpaa samlede alle Israels Mænd sig mod Byen, alle som een.
12 Makabila ya Israeli yakatuma watu kwenda katika kabila la Benyamini lote na kuwaambia, “Ni uovu gani huu wa kutisha uliotendeka katikati yenu?
Og Israels Stammer sendte Mænd ud i hele Benjamins Stamme og lod sige: »Hvad er det for en Misgerning, der er sket hos eder?
13 Basi watoeni hao watu waovu kabisa walioko Gibea, ili tupate kuwaua na kuondoa uovu katika Israeli.” Lakini Wabenyamini hawakuwasikia ndugu zao, Waisraeli.
Udlever nu Mændene i Gibea, de Niddinger, for at vi kan dræbe dem og skaffe Misgerningen bort fra Israel!« Men Benjaminiterne vilde ikke høre deres Brødre Israeliternes Ord.
14 Wakatoka katika miji yao, wakakutanika Gibea ili kupigana na Waisraeli.
Og Benjaminiterne stævnede sammen fra deres Byer til Gibea for at drage i Kamp mod Israeliterne.
15 Siku ile Wabenyamini wakakusanya watu 26,000 kutoka miji yao, waliojifunga panga, mbali na hao 700 waliochaguliwa miongoni mwa hao waliokaa Gibea.
Da Benjaminiterne fra Byerne mønstredes den Dag, udgjorde de 25 000 vaabenføre Mænd, foruden dem af Gibeas Indbyggere, der mønstredes, 700 udsøgte Krigere;
16 Miongoni mwa hao askari wote kulikuwa na watu 700 bora waliochaguliwa watumiao mkono wa kushoto, kila mmoja wao aliweza kutupa jiwe kwa kombeo na kulenga unywele mmoja bila kukosa.
af alle disse Krigsfolk var 700 udvalgte Krigere kejthaandede; de kunde alle slynge med Sten, saa de ramte paa et Haar uden at fejle.
17 Nao watu wa Israeli, mbali na hao wa Benyamini, wakakusanya watu waume 400,000, wenye kutumia panga, wote hao walikuwa mashujaa.
Da Israels Mænd mønstredes, fraregnet Benjamin, udgjorde de 400 000 vaabenføre Mænd, der alle var Krigere.
18 Waisraeli wakapanda Betheli na kumuuliza Mungu, “Ni nani miongoni mwetu atakayetangulia mbele yetu ili kupigana na Wabenyamini?” Bwana akawajibu, “Yuda ndiye atakayetangulia.”
De brød saa op og drog til Betel og raadspurgte Gud; og Israeliterne sagde: »Hvem af os skal først drage i Kamp mod Benjaminiterne?« HERREN svarede: »Det skal Juda!«
19 Asubuhi yake Waisraeli wakaamka na kupiga kambi karibu na Gibea.
Saa brød Israeliterne op om Morgenen og slog Lejr uden for Gibea.
20 Waisraeli wakatoka kupigana na Wabenyamini, nao Waisraeli wakajiweka kwenye nafasi zao katika vita dhidi yao huko Gibea.
Og Israels Mænd rykkede ud til Kamp imod Benjamin, og Israels Mænd stillede sig op til Kamp imod dem for at angribe Gibea.
21 Wabenyamini wakatoka Gibea na kuwaua watu 22,000 wa Israeli siku ile.
Men Benjaminiterne gjorde Udfald fra Gibea og fældede den Dag 22 000 Mand af Israel.
22 Lakini Waisraeli wakatiana moyo kila mmoja na mwenzake, nao wakajiweka kwenye nafasi zao katika vile vita mara ya pili mahali pale walipokuwa wamejiweka mara ya kwanza.
Folket, Israels Mænd, tog sig da sammen og stillede sig atter op til Kamp paa samme Sted som den første Dag;
23 Waisraeli wakapanda mbele za Bwana na kulia mbele zake mpaka jioni, nao wakamuuliza Bwana wakisema, “Je, tupande tena kupigana vita na Wabenyamini, ndugu zetu?” Bwana akajibu, “Pandeni mkapigane nao.”
Da drog Israeliterne op til Betel og græd lige til Aften for HERRENS Aasyn; og de adspurgte HERREN: »Skal jeg atter tage Kampen op med min Broder Benjamins Sønner?« Og HERREN svarede: »Drag op imod ham!«
24 Ndipo Waisraeli wakawakaribia Wabenyamini siku ya pili.
og Israeliterne rykkede Benjaminiterne paa nært Hold den anden Dag.
25 Wakati huu, Wabenyamini walipotoka Gibea ili kupigana nao, wakawaua watu Waisraeli 18,000, wote wakiwa wamejifunga panga.
Men Benjaminiterne gjorde Udfald fra Gibea for at møde dem den anden Dag, og de fældede yderligere 18 000 Mand af Israeliterne, alle sammen vaabenføre Mænd.
26 Ndipo Waisraeli, watu wote, wakapanda Betheli, huko wakakaa mbele za Bwana wakilia. Wakafunga siku ile mpaka jioni na kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani kwa Bwana.
Saa drog alle Israeliterne, hele Folket, op til Betel; og de græd og sad der for HERRENS Aasyn og fastede den Dag lige til Aften, og de ofrede Brændofre og Takofre for HERRENS Aasyn.
27 Nao Waisraeli wakauliza kwa Bwana. (Katika siku hizo Sanduku la Agano la Mungu lilikuwa huko
Derpaa raadspurgte Israeliterne HERREN i de Dage var Guds Pagts Ark der,
28 na Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa Aroni, alikuwa anahudumu mbele za hilo Sanduku.) Wakauliza, “Je, tupande kwenda vitani kupigana tena na Wabenyamini ndugu zetu, au la?” Bwana akajibu, “Nendeni, kwa kuwa kesho nitawatia mikononi mwenu.”
og Pinehas, en Søn af Arons Søn Eleazar, gjorde i de Dage Tjeneste ved den — og de sagde: »Skal jeg atter drage i Kamp mod min Broder Benjamins Sønner eller lade være?« HERREN svarede: »Drag i Kamp, thi i Morgen giver jeg ham i din Haand!«
29 Basi Waisraeli wakaweka waviziao kuizunguka Gibea.
Israeliterne lagde nu Baghold rundt om Gibea.
30 Kisha Waisraeli wakapanda kupigana na Wabenyamini katika siku ya tatu na kujiweka kwenye nafasi zao dhidi ya Gibea kama walivyokuwa wamefanya hapo kwanza.
Og Israeliterne drog op mod Benjaminiterne paa den tredje Dag og stillede sig op til Angreb paa Gibea ligesom de tidligere Gange.
31 Wabenyamini wakatoka ili kukabiliana nao, Waisraeli wakawavuta Wabenyamini watoke katika mji. Wakaanza kupigana na kuua watu wapatao thelathini wa Israeli, kama walivyofanya nyakati nyingine, katika njia kuu, moja iendayo Betheli na nyingine Gibea.
Da nu Benjaminiterne gjorde Udfald mod Hæren, blev de afskaaret fra Byen og lokket ud paa Vejene til Betel og Gibeon; til at begynde med huggede de nogle al Folkene ned paa aaben Mark ligesom de tidligere Gange, omtrent tredive Mand af Israel,
32 Wabenyamini wakafikiri, “Wanapigwa mbele yetu kama hapo kwanza.” Waisraeli wakasema, “Sisi na turudi nyuma ili tuwavute wauache mji waende kuelekea barabarani.”
og Benjaminiterne tænkte nu: »Vi har slaaet dem ligesom før!« Men Israeliterne sagde: »Lad os flygte og saaledes afskære dem fra Byen og lokke dem ud paa Vejene!«
33 Watu wote wa Israeli wakaondoka kwenye sehemu zao na kujipanga huko Baal-Tamari, nao wale waviziaji wa Waisraeli, wakatoka hapo walipokuwa kwenye uwanda wa magharibi ya Gibea.
Saa brød alle Israels Mænd op fra deres Plads og stillede sig op til Kamp i Ba'al-Tamar, medens Bagholdet brød op fra sin Plads vesten for Geba.
34 Ndipo watu 10,000 bora waliochaguliwa katika Israeli wote, wakaja kuishambulia Gibea. Vita vilikuwa vikali sana, hata Wabenyamini hawakutambua kuwa maangamizi yalikuwa karibu nao kwa kiasi hicho.
Nu rykkede 10 000 Mand, udvalgte Folk af hele Israel, frem for Gibea, og Kampen blev haard; men de vidste ikke, at Ulykken var ved at ramme dem.
35 Bwana akawashinda Wabenyamini mbele ya Waisraeli na siku ile Waisraeli wakawaua Wabenyamini watu waume 25,100, wote wakiwa wenye kujifunga silaha za vita.
Saa slog HERREN Benjamin foran Israel, og Israeliterne fældede den Dag 25 100 Mand af Benjamin, alle vaabenføre Mænd;
36 Hivyo Wabenyamini wakaona kuwa wamepigwa. Basi Waisraeli walikuwa wameondoka mbele ya Wabenyamini, kwa sababu Waisraeli waliwategemea hao waviziaji waliokuwa wamewaweka dhidi ya Gibea.
da indsaa Benjaminiterne, at de var slagne. Israeliterne trak sig tilbage for Benjamin, idet de stolede paa Bagholdet, de havde lagt mod Gibea;
37 Wale waviziaji wakafanya haraka kuingia Gibea, wakasambaa na kuwaua watu wote wa mji kwa upanga.
og Bagholdet kastede sig i en Fart over Gibea og drog frem og huggede hele Byens Befolkning ned med Sværdet.
38 Waisraeli walikuwa wamepatana na hao waviziaji kuwa wangefanya lipande wingu kubwa la moshi kutoka huo mji,
Der var truffet den Aftale mellem Israels Mænd og Bagholdet, at de skulde lade en Røgsøjle stige op fra Byen.
39 ndipo watu wa Waisraeli wangegeuka kupigana. Watu wa Benyamini walikuwa wameanza kuwapiga na kuua watu wa Israeli (wapatao thelathini), hivyo wakafikiri, “Hakika tutawapiga, kama tulivyowashinda katika vita hapo kwanza.”
Da Israels Mænd vendte om i Kampen, huggede Benjamin til at begynde med henved tredive af Israels Mænd ned, thi de tænkte: »Visselig, vi har slaaet dem ligesom i den forrige Kamp.«
40 Lakini wakati lile wingu la moshi lilipoanza kupanda kutoka ule mji, Wabenyamini wakageuka na kuona moshi wa mji mzima unapaa juu angani.
Da nu Søjlen, Røgstøtten, begyndte at stige op fra Byen, vendte Benjamin sig om, og se, Røgen slog op mod Himmelen fra hele Byen,
41 Ndipo watu wa Israeli wakawageukia, nao Wabenyamini wakatiwa hofu, kwa kuwa walitambua kwamba maafa yamewajia.
og samtidig vendte Israels Mænd om fra Flugten. Da blev Benjamins Mænd forfærdede, thi de indsaa, at Ulykken havde ramt dem;
42 Basi wakakimbia mbele ya Waisraeli kuelekea nyikani, lakini hawakuweza kukwepa vile vita. Nao watu wa Israeli waliotoka katika ile miji wakawaua huko.
og de gjorde omkring for Israels Mænd og flygtede ad Ørkenen til. Men Kampen fortsattes i Hælene paa dem. Og de fra Byerne huggede ned for Fode iblandt dem;
43 Wakawazingira Wabenyamini pande zote, wakawafuatia na kuwapata hapo walipopumzika katika viunga vya Gibea upande wa mashariki.
de omringede Benjaminiterne og forfulgte dem, til de havde Geba foran sig mod Øst.
44 Wakaanguka Wabenyamini 18,000 ambao wote ni mashujaa.
Af Benjamin faldt 18 000 Mand, lutter dygtige Krigere.
45 Walipogeuka na kukimbia kuelekea nyikani hata kufikia mwamba wa Rimoni, Waisraeli wakawaua watu 5,000 wakiwa njiani. Wakawafuata kwa kasi mpaka Gidomu huko wakawaua watu wengine 2,000.
De gjorde omkring og flygtede og deres Forfølgere gjorde paa Vejene en Efterhøst paa 5000 Mand: de forfulgte dem skarpt, til de fik dem tilintetgjort, og huggede 2000 Mand ned af dem.
46 Siku ile wakawaua Wabenyamini 25,000 waliokuwa mashujaa wa vita.
De, der faldt af Benjamin den Dag, var saaledes i alt 25 000 vaabenføre Mænd, alle tapre Folk.
47 Lakini watu 600 wakakimbia kuelekea nyikani katika mwamba wa Rimoni, na kukaa huko muda wa miezi minne.
De gjorde omkring og flygtede ud i Ørkenen til Rimmons Klippe, 600 Mand stærke, og blev der i fire Maaneder.
48 Waisraeli wakarudi na kuua watu wote wa Benyamini, pamoja na wanyama na kila walichokikuta. Pia kila mji waliouona waliuchoma moto.
Men Israels Mænd vendte tilbage til Benjaminiterne og huggede dem ned med Sværdet, baade Mennesker og Kvæg, overhovedet alt, hvad der var, og desuden stak de Ild paa alle Byerne der.

< Waamuzi 20 >