< Waamuzi 2 >

1 Malaika wa Bwana akakwea kutoka Gilgali hadi Bokimu, naye akasema, “Niliwapandisha kutoka Misri na kuwaingiza katika nchi niliyoapa kuwapa baba zenu. Nikasema, ‘Kamwe sitalivunja Agano langu nanyi.
And the aungel of the Lord stiede fro Galgala to the place of weperis, and seide, Y ledde you out of Egipt, and Y brouyte you in to the lond, `for which Y swoor to youre fadris, and bihiyte, that Y schulde not make void my couenaunt with you in to with outen ende;
2 Nanyi msifanye agano na watu wa nchi hii, bali mtazibomoa madhabahu yao.’ Lakini ninyi hamkunitii mimi. Kwa nini mmefanya jambo hili?
so oneli that ye schulde not smyte boond of pees with the dwelleris of this lond, and schulden distrie `the auteris of hem; and ye nolden here my vois. Whi diden ye these thingis?
3 Sasa basi ninawaambia kuwa sitawafukuza watoke katikati yenu ila watakuwa miiba kwenu, nao miungu yao itakuwa tanzi kwenu.”
Wherfore Y nolde do hem awei fro youre face, that ye haue enemyes, and that `the goddis of hem be to you in to fallyng.
4 Malaika wa Bwana alipomaliza kusema mambo haya kwa Waisraeli wote, watu wakalia kwa sauti kuu.
And whanne the `aungel of the Lord spak these wordis to alle the sones of Israel, thei reisiden her vois, and wepten; and the name of that place was clepid,
5 Wakapaita mahali pale Bokimu. Nao wakamtolea Bwana sadaka.
of weperis, ether of teeris; and thei offriden there sacrifices to the Lord.
6 Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi wao wenyewe ili kumiliki nchi yao.
Therfor Josue lefte the puple; and the sones of Israel wenten forth, ech man in to his possessioun, that thei schulden gete it.
7 Watu wakamtumikia Bwana siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, waliokuwa wameona mambo makuu ambayo Bwana alikuwa ametenda kwa ajili ya Israeli.
And thei serueden the Lord in alle the daies of Josue, and of eldere men that lyueden aftir hym in long tyme, and knewen alle the grete werkis of the Lord, whiche he hadde do with Israel.
8 Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, akafa akiwa na umri wa miaka 110.
Forsothe Josue, sone of Nun, `seruaunt of the Lord, `was deed of an hundrid yeer and ten;
9 Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Heresi katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima Gaashi.
and thei birieden hym in the endis of his possessioun, in Thannath of Sare, in the hil of Effraym, at the north coost of the hil Gaas.
10 Baada ya kizazi kile chote kukusanywa pamoja na baba zao, kikainuka kizazi kingine baada yao ambacho hakikumjua Bwana, wala matendo yale aliyokuwa ametenda kwa ajili ya Waisraeli.
And al that generacioun was gaderid to her fadris; and othere men riseden, that knewen not the Lord, and the werkis whiche he `hadde do with Israel.
11 Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Bwana na kuwatumikia Mabaali.
And the sones of Israel diden yuel in the siyt of the Lord, and thei serueden Baalym and Astaroth;
12 Wakamwacha Bwana, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri. Wakaifuata na kuiabudu miungu mbalimbali ya mataifa yanayowazunguka. Wakamkasirisha Bwana,
and forsoken the Lord God of her fadris, that ledden hem out of the lond of Egipt; and thei sueden alien goddis, the goddis of puplis, that dwelliden in `the cumpasse of hem, and worschipeden tho goddis, and excitiden the Lord to greet wraththe, and forsoken hym,
13 kwa sababu walimwacha na kutumikia Baali na Maashtorethi.
and serueden Baal and Astoroth.
14 Hivyo hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo hawakuweza tena kuwazuia adui zao.
And the Lord was wrooth ayens Israel, and bitook hem in to the hondis of rauyscheris, whiche rauyscheris token hem, and seelden to enemyes, that dwelliden `bi cumpas; and thei myyten not ayenstonde her aduersaries;
15 Popote Israeli walipotoka kwenda kupigana, mkono wa Bwana ulikuwa kinyume nao ili kuwashinda, kama vile alivyokuwa amewaapia. Nao wakawa katika taabu kubwa.
but whidir euer thei wolden go, the hond of the Lord was on hem, as he spak and swoor to hem; and thei weren turmentid greetli.
16 Ndipo Bwana akawainua waamuzi, ambao waliwaokoa katika mikono ya hao watu waliowashambulia.
And the Lord reiside iugis, that `delyueriden hem fro the hondis of destrieris, but thei nolden here hem,
17 Lakini hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, bali walifanya uasherati kwa kuifuata miungu mingine na kuiabudu. Waligeuka mara na kuiacha njia ambayo baba zao waliiendea, yaani, njia ya kutii amri za Bwana.
and thei diden fornycacioun, `that is, idolatrie, with alien goddis, and worschipiden hem. Soone thei forsoken the weie, bi which `the fadris of hem entriden; and thei herden the `comaundementis of the Lord, and diden alle thingis contrarie.
18 Kila mara Bwana alipowainulia mwamuzi, Bwana alikuwa pamoja na huyo mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule mwamuzi. Kwa kuwa Bwana aliwahurumia kwa sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha.
And whanne the Lord reiside iugis in `the daies of hem, he was bowid bi mercy, and he herde the weilyngis of hem turmentid, and he delyuerede hem fro the sleyng of wasteris.
19 Lakini kila mara mwamuzi alipofariki, watu walirudia katika hali mbaya ya uovu zaidi kuliko baba zao, wakiifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao maovu na njia zao za ukaidi.
Sotheli aftir that the iuge was deed, thei turneden ayen, and diden many thingis grettere `in yuel than her fadris diden; and thei sueden alien goddis, and serueden hem, and worschipiden hem; thei leften not her owne fyndyngis, and the hardeste weie `bi which thei weren wont to go.
20 Kwa hiyo Bwana akawakasirikia sana Israeli na kusema, “Kwa kuwa taifa hili limevunja Agano lile nililofanya na baba zao na hawakunisikiliza,
And the strong veniaunce of the Lord was wrooth ayens Israel, and he seide, For this puple hath maad voide my couenaunt which Y couenauntide with her fadris, and dispiside to here my vois; also Y schal not do a wey folkis,
21 mimi nami sitafukuza taifa lolote ambalo Yoshua aliliacha alipofariki.
whiche Josue `lefte, and was deed;
22 Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na kuona kama wataishika njia ya Bwana na kuenenda katika hiyo kama njia baba zao walivyofanya.”
that in hem Y asaie Israel, whether thei kepen the weie of the Lord, and goen ther ynne, as her fadris kepten, ether nay.
23 Bwana alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.
Therfor the Lord lefte alle these naciouns, and nolde destrie soone, nethir bitook in to the hondis of Josue.

< Waamuzi 2 >