< Waamuzi 2 >

1 Malaika wa Bwana akakwea kutoka Gilgali hadi Bokimu, naye akasema, “Niliwapandisha kutoka Misri na kuwaingiza katika nchi niliyoapa kuwapa baba zenu. Nikasema, ‘Kamwe sitalivunja Agano langu nanyi.
Hina Gode Ea a: igele dunu da Giliga: le fisili Bougimi sogega asili, Isala: ili dunuma amane sia: i, “Na da dili Idibidi sogega esalu amo fisili masa: ne samogele, oule asili, soge amo Na da dilia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amoga oule asi. Na da amane sia: i, ‘Na da gousa: su hou dilima hamoi, amo hamedafa yolesimu.
2 Nanyi msifanye agano na watu wa nchi hii, bali mtazibomoa madhabahu yao.’ Lakini ninyi hamkunitii mimi. Kwa nini mmefanya jambo hili?
Be dilia gousa: su eno Ga: ina: ne soge fi dunuma maedafa hamoma. Ilia oloda amo dilia mugululi wadela: lesima.’ Be dilia da Na sia: hamedafa nabasu.
3 Sasa basi ninawaambia kuwa sitawafukuza watoke katikati yenu ila watakuwa miiba kwenu, nao miungu yao itakuwa tanzi kwenu.”
Amaiba: le, dilia da gusuba: i ahoasea, Na da amo dunu gadili hame sefasimu. Ilia da dilima ha laiwane esalumu, amola ilia ogogole ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadosu hou da fedege sia: agoane dilima sani dialumu.”
4 Malaika wa Bwana alipomaliza kusema mambo haya kwa Waisraeli wote, watu wakalia kwa sauti kuu.
A: igele dunu da amo sia: sia: beba: le, Isala: ili dunu huluane da dinanu.
5 Wakapaita mahali pale Bokimu. Nao wakamtolea Bwana sadaka.
Amaiba: le, ilia da amo sogega Bougimi (disu) dio asuli. Amogawi, ilia da Hina Godema gobele salasu hamosu.
6 Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi wao wenyewe ili kumiliki nchi yao.
Yosiua da Isala: ili dunu asunasili, ilia da afae afae amo sogebi ilima ilegei, amo gesowale fimusa: asi.
7 Watu wakamtumikia Bwana siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, waliokuwa wameona mambo makuu ambayo Bwana alikuwa ametenda kwa ajili ya Israeli.
Yosiua da esalea, amola e da bogoloba, ouligisu dunu da ilia siga Hina Gode Ea Isala: ili fidimusa: gasa bagade hou ba: i, amo dunu amola esalea, Isala: ili dunu da Hina Godema fa: no bobogei.
8 Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana, akafa akiwa na umri wa miaka 110.
Amalalu, Hina Gode ea hawa: hamosu dunu Yosiua (Nane egefe) da ea esalu ode110amo gidigisia, bogoi dagoi.
9 Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Heresi katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima Gaashi.
Ilia da ea da: i hodo amo hihima ilegei soge amoga uli dogone sali. Amo soge da Dimina: de Sila moilai Ifala: ime agolo soge ganodini, Ga: ia: sie Goumi amoga gagoe (north) dialu.
10 Baada ya kizazi kile chote kukusanywa pamoja na baba zao, kikainuka kizazi kingine baada yao ambacho hakikumjua Bwana, wala matendo yale aliyokuwa ametenda kwa ajili ya Waisraeli.
Amo musa: fifi misi dunu huluanedafa da bogogia: i dagoi. Amola fa: no fifi misi dunu ilia da Hina Gode Ea gasa bagade Isala: ili dunuma fidi amo gogolei, amola Hina Gode hamedafa dawa: i.
11 Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Bwana na kuwatumikia Mabaali.
Amalalu, Isala: ili dunu da Godema wadela: le hamoi. Ilia da ogogosu ‘gode’ liligi ilia dio amo Ba: ile ilima fa: no bobogesu.
12 Wakamwacha Bwana, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri. Wakaifuata na kuiabudu miungu mbalimbali ya mataifa yanayowazunguka. Wakamkasirisha Bwana,
Hina Gode, amo da ilia aowalalia Gode, amola E da ili Idibidi sogega fisili masa: ne asunasi. Be ilia da Hina Gode yolesili, amo hame lalegagui dunu ilia soge ganodini esalu, amo ilia ‘gode’ liligi amoma nodone sia: ne gadosu. Ilia da amo ogogosu ‘gode’ liligi ilima dawa: le begudubiba: le, Hina Gode da ougi bagade ba: i.
13 kwa sababu walimwacha na kutumikia Baali na Maashtorethi.
Ilia da Hina Godema nodone sia: ne gadosu hou fisili, Ba: ile amola A: sadalode ogogosu ‘gode’ amoma fa: no bobogei.
14 Hivyo hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo hawakuweza tena kuwazuia adui zao.
Amaiba: le Hina Gode da ougi bagade ba: i. Ilima ha lai dunu da ilima doagala: musa: amola ilia liligi wamolamusa: manoba, Hina Gode da ilia logo hame hedofai. E da Isala: ili dunu hame fidibiba: le, ilia ha lai dunu da ilima sisiga: le disi, amo da ili hasalasi. Isala: ili dunu da ilima bu gegemu hamedeiwane ba: i.
15 Popote Israeli walipotoka kwenda kupigana, mkono wa Bwana ulikuwa kinyume nao ili kuwashinda, kama vile alivyokuwa amewaapia. Nao wakawa katika taabu kubwa.
Hina Gode Ea sia: i defele, ilia da gegemusa: ahoanoba, Hina Gode da ilima gegebe ba: i. Ilia da se bagade nabi.
16 Ndipo Bwana akawainua waamuzi, ambao waliwaokoa katika mikono ya hao watu waliowashambulia.
Amalalu, Hina Gode da bisisu dunu Isala: ili dunuma i. Bisisu dunu da gasa bagade gegebeba: le, ilia da Isala: ili dunu ilia ha lai dunu ilima gaga: i.
17 Lakini hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, bali walifanya uasherati kwa kuifuata miungu mingine na kuiabudu. Waligeuka mara na kuiacha njia ambayo baba zao waliiendea, yaani, njia ya kutii amri za Bwana.
Be Isala: ili dunu da ilia bisisu dunu sia: hame nabasu. Ilia Hina Gode Ea hou fisili, eno ‘gode’ liligi ilima hawa: hamosu. Ilia aowalali eda ilia da Hina Gode Ea sema amoma fa: no bobogesu. Be gaheabolo fi dunu da amo hou hedolowane yolesi.
18 Kila mara Bwana alipowainulia mwamuzi, Bwana alikuwa pamoja na huyo mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule mwamuzi. Kwa kuwa Bwana aliwahurumia kwa sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha.
Eso bagohame, Hina Gode da Isala: ili dunuma bisisu iasu. Amo bisisu dunu da esalea, Hina Gode da e fidibiba: le, Isala: ili dunu ilia ha lai dunu ilima gaga: i. Hina Gode da ilia se nabasu amola gogonomasu amo nababeba: le, E da ilima asigiba: le, ili gaga: i.
19 Lakini kila mara mwamuzi alipofariki, watu walirudia katika hali mbaya ya uovu zaidi kuliko baba zao, wakiifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao maovu na njia zao za ukaidi.
Be bisisu da bogoloba, Isala: ili dunu da ilia musa: wadela: i hou amoma sinidigili, ilia wadela: i hou da ilia ada ilia wadela: i hou baligisu. Ilia da ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu, amola hawa: hamosu. Ilia da musa: wadela: i hou hamedafa yolesi.
20 Kwa hiyo Bwana akawakasirikia sana Israeli na kusema, “Kwa kuwa taifa hili limevunja Agano lile nililofanya na baba zao na hawakunisikiliza,
Amo ba: beba: le, Hina Gode da Isala: ili fi ilima ougi bagade ba: lalu, amane sia: i, “Amo dunu da gousa: su amo Na da ilia aowalali ilima noga: le nabima: ne sia: i, amo ilia da Na sia: hame nababeba: le, wadela: lesi dagoi.
21 mimi nami sitafukuza taifa lolote ambalo Yoshua aliliacha alipofariki.
Amaiba: le, dunu fi da Yosiua esalebe eso amoga, Ga: ina: ne soge ganodini ba: i, amo Na da gadili hame sefasimu.
22 Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na kuona kama wataishika njia ya Bwana na kuenenda katika hiyo kama njia baba zao walivyofanya.”
Na da wali esalebe Isala: ili dunu da ilia aowalali defele Nama fa: no bobogema: bela: ? amo adoba: ma: ne, Na da ilima ha lai dunu Ga: ina: ne soge ganodini fima: ne yolesimu.”
23 Bwana alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.
Amaiba: le, amo dunu fi da Isala: ili soge ganodini bu esaloma: ne, Hina Gode da logo doasi dagoi. Hina Gode Ea hamobeba: le, Yosiua da amo dunuma hame hasali, amola Yosiua da bogoloba, Hina Gode da amo dunu gadili hame sefasi.

< Waamuzi 2 >