< Waamuzi 18 >

1 Katika siku hizo Israeli walikuwa hawana mfalme. Katika siku hizo kabila la Wadani walikuwa wanatafuta mahali pao wenyewe pa kuishi, kwa sababu walikuwa hawajafika kwenye urithi wao miongoni mwa makabila ya Israeli.
Amo esoha, hina bagade dunu Isala: ili soge ganodini esalebe hame ba: i. Isala: ili fi dunu da ilia soge ilegei amo lai dagoi. Be Da: ne fi da soge hame lai. Amaiba: le, ilia da soge gesowale fima: ne hogoi helesu.
2 Hivyo Wadani wakatuma mashujaa watano kutoka Sora na Eshtaoli ili kupeleleza nchi na kuichunguza. Hawa watu waliwakilisha koo zao zote. Waliwaambia, “Nendeni mkaichunguze hiyo nchi.” Watu hao wakaingia katika nchi ya vilima ya Efraimu, nao wakafika nyumba ya Mika, ambako walilala usiku huo.
Da: ne dunu da ilia sosogo fi amoga bagade dawa: su dunu biyale gala amo soge hogomusa: ilegei. Ilia da amo dunu, Soula moilai bai bagade amola Esadoule soge, amoga asunasi. Ilia da Ifala: ime agolo sogega doaga: loba, Maiga ea diasuga golai.
3 Walipofika karibu na nyumba ya Mika, waliitambua sauti ya yule kijana Mlawi; hivyo wakaingia humo na kumuuliza, “Ni nani aliyekuleta hapa? Unafanya nini mahali hapa? Kwa nini uko hapa?”
Amoga esalea, ilia da gobele salasu ayeligi ea sia: hisu nababeba: le, e da Lifai dunu ilia dawa: i galu. Ilia da ema asili, amane adole ba: i, “Di da guiguda: adi hamosala: ? Nowa da di guiguda: oule misibala: ?”
4 Akawaeleza yale Mika aliyomtendea, naye akasema, “Ameniajiri nami ni kuhani wake.”
E bu adole i, “Na da Maiga ea hawa: hamonana. Na da ea gobele salasu hawa: hamonanebeba: le, e da nama bidi iaha.”
5 Kisha wakamwambia, “Tafadhali tuulizie kwa Mungu kama safari yetu itafanikiwa.”
Ilia da ema bu adole i, amane, “Di Godema adole ba: ma. Ninia da logoga ahoasea, hahawane ba: ma: bela: ?”
6 Yule kuhani akawajibu, “Enendeni kwa amani. Safari yenu ina kibali cha Bwana.”
Gobele salasu dunu da ilima bu adole i, “Mae dawa: ma! Dilia da se hame nabimu. Dilia ahoasea, Hina Gode da dili noga: le ouligilalumu.”
7 Basi hao watu watano wakaondoka na kufika Laishi, mahali ambapo waliwakuta watu wanaishi salama, kama Wasidoni, kwa utulivu na bila mashaka. Nchi yao haikupungukiwa na kitu chochote, hivyo wakawa tajiri. Pia walikaa mbali sana na Wasidoni, wala hawakushughulika na mtu yeyote.
Amaiba: le, amo dunu biyale gala da fisili, asili, La: isi moilaiga doaga: i. Ilia da La: isi dunu ilia hou ba: i. Ilia da Saidounia dunu defele, hahawane, olofoiwane esalu. Ilia hanai huluane, ilia da gagui dagoi. Ilia da eno dunuma hame gegenai. Ilia da Saidounia dunu gadenene hame esalu. Ilia da eno dunu fi ilima hame gilisisu.
8 Waliporudi kwa ndugu zao huko Sora na Eshtaoli, ndugu zao wakawauliza, “Mlionaje mambo huko?”
Dunu biyale gala da ilia moilaidafa amo Soula amola Esedoule amoga bu doaga: loba, ilia fi dunu da ilia ba: i liligi ilima adoma: ne sia: i.
9 Wakajibu, “Twendeni, tukapigane nao! Tumeona kuwa nchi ni nzuri sana. Je, hamtafanya chochote? Msisite kupanda ili kuimiliki.
Ilia da bu adole i, “Misa! Ninia La: isi moilai fi doagala: mu da defea. Ninia da ilia soge ba: i dagoi. Soge da noga: idafa. Dilia! Udigili mae esaloma! Hedolo! Amoga asili, amo soge gesowale fima.
10 Mtakapokwenda huko mtakuta watu waliotulia walio salama, nayo nchi hiyo ni kubwa na Mungu ameitia mikononi mwenu, nayo ni nchi ambayo haikupungukiwa na kitu chochote kilicho duniani.”
Amoga asili dilia da ba: mu. Dunu eno da ilima doagala: mu ilia hame dawa: Soge da bagadedafa. Amo ganodini da dilia hanai huluane ba: mu. Gode da amo soge dilima i dagoi.”
11 Ndipo watu 600 toka ukoo wa Wadani, waliojifunga silaha za vita, wakaondoka Sora na Eshtaoli.
Amaiba: le, Da: ne fi dunu 600 da gegema: ne momagele, Soula amola Esedoule fisili asi.
12 Walipokuwa wakisafiri wakapiga kambi huko Kiriath-Yearimu katika Yuda. Hii ndiyo sababu sehemu ya magharibi ya Kiriath-Yearimu inaitwa Mahane-Dani mpaka leo.
Ilia da sogebi amo Gilia: de Yialimi moilai bai bagade Yuda soge ganodini amo ea eso dabe la: ididili amoga abula diasu gaguli esalu. Amaiba: le, amo sogebi ea dio wali da Da: ne Abula Fisisu.
13 Kutoka hapo wakaendelea mbele mpaka nchi ya vilima ya Efraimu na kufika katika nyumba ya Mika.
Amo sogebi fisili asili, ilia da Maiga ea diasu Ifala: ime agolo soge ganodini gala, amoga doaga: i.
14 Ndipo wale watu watano waliopeleleza nchi ya Laishi wakawaambia ndugu zao, “Je, mwajua kuwa mojawapo ya nyumba hizi kuna naivera, sanamu ndogo za nyumbani, sanamu ya kuchonga na sanamu ya kusubu? Sasa basi fikirini mtakalofanya.”
Amalalu, dunu biyale gala musa: da La: isi soge hogola asi, ilia dogolegei dunuma amane sia: i, “Diasu afae guiguda: da ifaga hamoi ‘gode’ agoaila amo silifaga dedeboi, amo dilia dawa: bela: ? ‘gode’ agoaila eno amola gala amola ‘ifode’ gala. Ninia da adi hamoma: bela: ?”
15 Basi wakaingia humo na kwenda kwenye nyumba ya yule kijana Mlawi katika nyumba ya Mika na kumsalimu.
Amaiba: le, ilia da Lifai ayeligi ea esalebe Maiga diasu ganodini asili, Lifai ea hou ema adole ba: i.
16 Wale Wadani 600, waliovaa silaha za vita, wakasimama penye ingilio la lango.
Amoha, Da: ne dadi gagui 600, gegemusa: momagei dagoi, da diasu gagoi ga: suga lelebe ba: i.
17 Wale watu watano waliokwenda kupeleleza nchi wakaingia ndani na kuchukua ile sanamu ya kuchonga, ile naivera, na zile sanamu nyingine ndogo za nyumbani pamoja na ile sanamu ya kusubu, wakati yule kuhani akiwa amesimama pale penye ingilio la lango pamoja na wale watu 600 waliokuwa wamejifunga silaha za vita.
Desega ahoasu dunu biyale gala da diasu ganodini golili sa: ili, ilia da ifa ‘gode’ agoaila silifaga dedeboi, amola ‘gode’ agoaila eno huluane amola “ifode” lai dagoi. Lifai gobele salasu dunu amola dadi gagui dunu 600 agoane da logo holei gadenene lelu.
18 Hao watu walipoingia katika nyumba ya Mika na kuchukua ile sanamu ya kuchonga, ile naivera, na zile sanamu nyingine ndogo za nyumbani, pamoja na ile sanamu ya kusubu, yule kuhani akawauliza, “Mnafanya nini?”
Dunu da Maiga diasuga, sema liligi wamolamusa: ahoanoba, gobele salasu dunu da ilima amane adole ba: i, “Dilia da adi hamosala: ?”
19 Wakamjibu, “Nyamaza kimya! Weka mkono wako juu ya kinywa chako na ufuatane nasi, uwe baba yetu na kuhani wetu. Si ni afadhali utumikie kabila na ukoo katika Israeli kama kuhani kuliko kumtumikia mtu mmoja na watu wa nyumbani mwake?”
Ilia bu adole i, “Ouiya: ma! Maedafa sia: ma! Di amola nini sigi masa! Di da ninia gobele salasu dunu hamomu da defea. Di da dunu afae ea sosogo fi fonobahadi ilima gobele salasu hawa: hamomu da defea hame. Be di da Isala: ili fidafa bagade huluane ilima gobele salasu hawa: hamomu da defea.”
20 Yule kuhani akafurahi. Akachukua ile naivera, zile sanamu nyingine ndogo za nyumbani, na sanamu ya kuchonga, naye akaenda pamoja na wale watu.
Amo hou, gobele salasu dunu da hahawane ba: i. Amaiba: le, e da sema liligi huluane gaguli, ili sigi asi.
21 Ndipo wakageuka na kuondoka wakiwatanguliza mbele watoto wao wadogo, wanyama wao wa kufugwa na mali zao.
Ilia sinidigili, logoga asi. Ilia mano, bulamagau amola liligi da ili bisili asi.
22 Walipokuwa wamesafiri umbali kidogo toka nyumbani kwa Mika, watu walioishi karibu na Mika wakaitwa wakakusanyika pamoja, nao wakawafikia Wadani.
Ilia da fonobahadi sedade asili, Maiga da ea gadenene fi dunu huluane amo dunuma gegemusa: fa: no bobogei. Ilia da Da: ne dunuma doaga: le,
23 Walipofuatilia wakipiga kelele Wadani wakawageukia na kumwambia Mika, “Una nini wewe hata ukaja na kundi la watu namna hii ili kupigana?”
ilima wele sia: i dagoi. Da: ne dunu da sinidigili, Maiga ema amane adole ba: i, “Adi hou? Dunu bagade da abuli misibala: ?”
24 Akawajibu, “Mmechukua miungu yote niliyoitengeneza, mkachukua na kuhani wangu, nanyi mkaondoka. Nimebaki na nini kingine? Mnawezaje kuniuliza, ‘Una nini wewe?’”
Maiga da bu adole i, “Giadofai dilia dawa: Dilia da na gobele salasu dunu amola ‘gode’ liligi na hamoi amo huluane lale, asi dagoi. Na da liligi eno hame galebe.”
25 Wadani wakamjibu, “Usibishane na sisi, la sivyo watu wenye hasira kali watakushambulia, nawe na watu wa nyumbani mwako mtapoteza maisha.”
Da: ne dunu da ema bu adole i, “Di da ouiya: mu da defea. Bai agoane hame hamosea, ninia dunu da di doagala: mu. Amasea, di amola dia sosogo fi huluane da bogogia: mu.”
26 Basi Wadani wakaenda zao, naye Mika alipoona kuwa wana nguvu kumliko yeye, akageuka na kurudi nyumbani kwake.
Amalalu, Da: ne dunu da bu logoga ahoanu. Maiga da ba: i dagoi, ilia gasa da ea gasa baligi dagoi. Amaiba: le, e da sinidigili, hi diasuga buhagi.
27 Kisha wakachukua vile Mika alivyokuwa ametengeneza, na kuhani wake, wakaendelea hadi Laishi, dhidi ya watu walio na amani, wasiokuwa na wasiwasi. Wakawashambulia kwa upanga na kuuteketeza mji wao kwa moto.
28 Hapakuwa na yeyote wa kuwaokoa, kwa kuwa kulikuwa mbali sana na Sidoni na hawakuwa na ushirikiano na mtu mwingine yeyote. Mji ulikuwa kwenye bonde karibu na Beth-Rehobu. Wadani wakaujenga upya huo mji na kuishi humo.
Da: ne dunu da gobele salasu dunu amola Maiga ea hamoi liligi huluane lalu, asili, La: isi moilai doagala: i. La: isi dunu da olofoiwane, asaboiwane noga: i dunu esalu. Ilia da fago amo ganodini esalu. Amo fago ganodini moilai eno galu amo Bedelihobe. Da: ne dunu da La: isi dunu, uda amola mano huluane medole legei. Ilia diasu huluane ilia da laluga ulagisi. La: isi dunu da gaga: su dunu hame ba: i. Bai ilia da Saidone sogega sedagawane esalu amola ilia eno dunu fi ilima hame gilisisu. Da: ne dunu da La: isi moilai bu gaguli, amo ganodini fi.
29 Wakauita ule mji Dani kwa kufuata jina la baba yao aliyezaliwa na Israeli, ingawa mji huo ulikuwa ukiitwa Laishi hapo kwanza.
Amo moilai dio La: isi ilia da fisili bu Da: ne dio asuli. Ilia siba eda Da: ne amo Ya: igobe ea mano, amo dawa: le ilia amo dio asuli.
30 Kisha Wadani wakajisimamishia sanamu ile ya kuchonga, naye Yonathani mwana wa Gershomu, mwana wa Mose pamoja na wanawe walikuwa makuhani wa kabila la Wadani mpaka nchi hiyo ilipotekwa.
Da: ne dunu da moilai ganodini ogogosu ‘gode’ ilia lai amoma nodone sia: ne gadomusa: bugisi. Yonada: ne (Gesiome egefe amola Mousese ea aowa) da Da: ne fi amo ganodini gobele salasu hawa: hamosu. Egaga fi amola da e bagia amo hawa: hamonanu. Yuda dunu huluane da mugululi asi dagoiba: le fawane fisi.
31 Wakaisimamisha na kuiabudu hiyo sanamu ya kuchonga ya Mika aliyokuwa ameitengeneza, wakati wote ule nyumba ya Mungu ilipokuwa huko Shilo.
Isala: ili dunu da Abula Diasu Siailou sogebiga gagui amoga Godema nodone sia: ne gadosu. Be amo Abula Diasu da dialea, Maiga ea ogogosu ‘gode’ da Da: ne moilai ganodini dialebe ba: i.

< Waamuzi 18 >