< Waamuzi 14 >

1 Samsoni akateremkia Timna, akamwona mwanamke wa Kifilisti.
Eso afaega, Sa: masane da Dimina moilaiga asili, Filisidini a: fini afadafa ba: i.
2 Alipopanda kutoka huko, akawaambia baba yake na mama yake, “Nimemwona mwanamke wa Kifilisti huko Timna; basi mnipe ili awe mke wangu.”
E da ea diasuga buhagili, ea eda amola ame elama amane sia: i, “Na da Dimina moilaiga Filisidini a: fini ba: i dagoi. Na da amo lamu hanai galebe. Amo lamusa: , ali amo a: fini nagili logela masa.”
3 Baba yake na mama yake wakamjibu, “Je, hakuna mwanamke miongoni mwa jamaa yako au miongoni mwa ndugu zako, hata ulazimike kwenda kujitwalia mwanamke kutoka kwa hawa Wafilisti wasiotahiriwa?” Lakini Samsoni akamwambia baba yake, “Nipatieni huyo kwa maana ndiye alinipendeza.”
Be ea eda amola ame ela da amane sia: i, “Di da abuliba: le Gode Ea Hou hame lalegagui Filisidini fi uda lamusa: hanabela: ? Ninia fi amoga uda hogole lamu da defea!” Be Sa: masane da bu adole i, “Na da amo a: fini hanai. Na da e fawane lamusa: dawa:”
4 (Baba yake na mama yake hawakujua kuwa jambo hili limetoka kwa Bwana, kwani alikuwa akitafuta sababu ya kukabiliana na Wafilisti; kwa kuwa wakati huo walikuwa wakiwatawala Waisraeli.)
Hina Gode da hame lalegagui Filisidini dunu ilima gegemusa: logo hogoi helebeba: le, E da Sa: masane ea asigi dawa: su ganodini agoane hamosu. Bai amo esoga, Filisidini dunu da Isala: ili soge ouligisu. Be Sa: masane eda amola ame da amo hou hame dawa: iou.
5 Samsoni akateremkia Timna pamoja na baba yake na mama yake. Walipofika kwenye mashamba ya mizabibu huko Timna, ghafula mwana simba akamjia akimngurumia.
Amaiba: le Sa: masane da ea eda amola ame Dimina moilaiga sigi asi. Ilia da waini sagai ganodini asili, Sa: masane da laione wa: me waha debe gasala amo ea gesenenanebe nabi.
6 Roho wa Bwana akaja juu yake kwa nguvu, naye akampasua yule simba kwa mikono yake bila silaha yoyote kama vile mtu ampasuavyo mwana-mbuzi, wala hakumwambia baba yake wala mama yake aliyoyafanya.
Hedolowane, Sa: masane da Hina Gode Ea gasa bagade lai. E da amo laione amo goudi mano defele, ea loboga medole legele, magado gowa: i. Be amo hou e da ea ada amola ea ame elama hame adole i.
7 Basi akateremka na kuongea na yule mwanamke, naye akampendeza Samsoni.
Amalalu, e da amo a: fini amoma asili, sia: sa: i. E da amo a: fini hanai.
8 Baada ya muda aliporudi ili akamwoe, akatazama kando ili kuutazama mzoga wa yule simba, na tazama, kulikuwa na kundi la nyuki ndani ya ule mzoga wa simba na kulikuwa na asali;
Eso didia asili, e da amo a: fini lamusa: bu asi. E da logoga asili, amo logo fisili, laione wa: me e da medole legei amo ba: la asi. E da laione ea da: i hodo ganodini agime fila heda: i amola agime hano dialebe fofogadigili ba: i.
9 akachukua asali mkononi mwake akaendelea huku akila. Alipowafikia baba yake na mama yake, akawapa ile asali nao wakala. Lakini hakuwaambia kuwa alitwaa asali kutoka kwenye mzoga wa simba.
E da amo agime hano lale, logoga ahoa nana asi. Amalalu, e da ea ada amola ame elama asili, agime hano mogili elama i. Ela da mai dagoi. Be Sa: masane da amo agime hano laione bogoi ea da: i hodo amoga lai, e da elama hame olelei.
10 Basi baba yake akateremka kumwona huyo mwanamke. Samsoni akafanya karamu huko, kama ilivyokuwa desturi ya vijana.
Ea eda da a: fini ea diasuga asi. Amola amoga Sa: masane da lolo nasu hamoi. Bai amo esoga, ayeligi dunu da amo hou hamonanusu.
11 Watu walipomwona, wakaleta vijana wenzake thelathini ili kuwa pamoja naye.
Filisidini dunu da Sa: masane ba: beba: le, ilia da Filisidini ayeligi 30 agoane e sigi esaloma: ne, asunasi.
12 Samsoni akawaambia, “Niwape kitendawili, mkiweza kunipa jibu katika muda wa siku hizi saba za karamu, nitawapa mavazi thelathini ya kitani na mavazi mengine mivao thelathini.
13 Lakini msipoweza kufumbua, ndipo ninyi mtanipa mavazi thelathini ya kitani na mavazi mengine mivao thelathini.” Wakamwambia, “Tuambie hicho kitendawili, hebu na tukisikie.”
Sa: masane da ilima amane sia: i, “Na da dilima idinamasu adole ba: ma: bela: ? Uda lasu lolo nasu eso fesuale amoga, dilia da amo sia: ea bai nama adole iasea, na da dilima afae afae dilima abula noga: i amola abula salasu imunu. Be dilia amo ea bai hame dawa: sea, dilia da nama afae afae abula amola abula salasu noga: iwane ima.” Ilia da ema bu adole i, “Defea! Dia idinamasu ninima adole ima. Ninia nabimu hanai.”
14 Akawaambia, “Ndani ya mlaji, kulitoka kitu cha kuliwa, ndani ya mwenye nguvu, kulitoka kitu kitamu.” Kwa muda wa siku tatu hawakuweza kutoa jibu.
E da ilima amane sia: i, “Liligi da ha: i manu naha amo ea hagomodini amoga ha: i manu da misi. Amola gasa bagade liligi amo ea hagomodini amoga da hedai liligi misi.” Eso udiana da asili, be amo idinamasu ea bai ilia da hogoi helele hame dawa: i.
15 Siku ya saba, wakamwambia mkewe Samsoni, “Mbembeleze mumeo ili atueleze hicho kitendawili, la sivyo tutakuchoma moto wewe na wa nyumba ya baba yako. Je, mmetualika ili mpate kutunyangʼanya kile tulicho nacho?”
Eso biyaduga ilia da Sa: masane idua ema amane sia: i, “Diguama ogogoma. E da ninima amo idinamasu ea bai ninima olelema: ne agoane hamoma. Be dia agoane hame hamosea, ninia da dia ada diasu amo laluga ulagili salimu, amola di gilisili gobele salimu. Dafawane! Ania da nini liligi wamolamusa: , ninima guiguda: misa: ne sia: i.”
16 Basi mke wa Samsoni akalia mbele yake na kumwambia, “Unanichukia! Hunipendi kabisa. Umewategea watu wangu kitendawili, lakini mimi hujaniambia jibu.” Samsoni akamwambia, “Wala sijamweleza baba yangu wala mama yangu, kwa nini nikufumbulie?”
Amalalu, Sa: masane idua da ema digini asili, amane sia: i, “Di da nama hame asigisa. Di da nama higasa. Di da na dogolegei fi dunu amo idinamasu sia: adole ba: i. Be amo ea bai nama hame olelei.” Sa: masane da ema bu adole i, “Na da amo ea bai na ada amola ame elama hame olelei. Amaiba: le, na da abuli dima adole ima: bela: ?”
17 Mkewe akalia kwa muda wa zile siku zote saba za karamu. Hivyo siku ile ya saba Samsoni akamweleza, kwa kuwa aliendelea kumsisitiza sana. Naye akawaeleza watu wake kile kitendawili.
Amo lolo nasu eso fesuale amoga, Sa: masane idua da dinanawane ema adole ba: i. Be eso fesuale gala amoga, e da mae fisili sia: ga gegenabeba: le, Sa: masane da amo idinamasu ea bai ema olelei. Amalalu, e da Filisidini dunuma olelei.
18 Siku ya saba kabla ya jua kutua, watu wa mji wakamwambia Samsoni, “Ni nini kitamu kama asali? Ni nini chenye nguvu kama simba?” Samsoni akawaambia, “Kama hamkulima na mtamba wangu, hamngeweza kufumbua kitendawili changu.”
Amalalu, eso fesu ganodini, eso dabe gadenenoba, Filisidini dunu da Sa: masane amoma amane sia: i, “Ha: i manu eno da hani ea hedai hame baligisa. Amola eno liligi ea gasa da laione wa: me ea gasa hame baligisa.” Sa: masane da bu adole i, “Dilia da na uda ea hou amo ganodini hame hamonoba, amo hedesu sia: bai hame dawa: la: loba.”
19 Ndipo Roho wa Bwana akamjia Samsoni kwa nguvu. Akateremka mpaka Ashkeloni, akawaua watu waume thelathini miongoni mwa watu wa mji, akatwaa mali zao na nguo zao, akawapa watu wale waliofumbua kile kitendawili. Akiwa na hasira, akakwea kurudi nyumbani kwa baba yake.
Amalalu, hedolowane e da Hina Gode Ea gasa bagade lai. E da A: siegelone moilaiga asili, dunu 30 agoane amo medole legei. E da amo dunu ilia abula gigisa: le sasali, dunu amo da idinamasu ea bai olelei, ilima i dagoi. Amalalu, e da ougiwane hamonanu hi diasuga asi.
20 Lakini huyo mke wa Samsoni akakabidhiwa kwa rafiki yake Samsoni ambaye alikuwa rafiki yake msaidizi siku ya arusi.
Amola fa: no, Filisidini a: fini amo Sa: masane ea lai, amo ea ada da bu dunu eno Sa: masane e uda gaguli lasu lolo nasu fidisu dunu amogili lama: ne i.

< Waamuzi 14 >