< Waamuzi 12 >
1 Watu wa Efraimu wakaita majeshi yao, wakavuka kwenda Zafoni, wakamwambia Yefta, “Kwa nini mmekwenda kupigana na Waamoni bila kutuita ili twende pamoja nawe? Basi tutaichoma moto nyumba yako, pamoja nawe ukiwa ndani yake.”
Možje iz Efrájima so se zbrali skupaj in odšli proti severu in rekli Jefteju: »Zakaj prehajaš preko, da se boriš zoper Amónove otroke, nas pa nisi poklical, da gremo s teboj? Nad teboj bomo tvojo hišo požgali z ognjem.«
2 Yefta akajibu, “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa na Waamoni, hata ingawa niliwaita hamkuniokoa katika mkono wao.
Jefte jim je rekel: »Jaz in moje ljudstvo smo bili v velikem boju z Amónovimi otroki in ko sem vas poklical, me niste osvobodili iz njihovih rok.
3 Nilipoona kuwa hamkunipa msaada nikauhatarisha uhai wangu na nikavuka kupigana na Waamoni. Naye Bwana akanipatia ushindi dhidi yao. Sasa kwa nini mnanijia leo ili kupigana nami?”
Ko sem videl, da me niste osvobodili, sem svoje življenje vzel v svoje roke in šel preko, proti Amónovim otrokom in Gospod jih je izročil v mojo roko. Zakaj ste torej vi ta dan prišli gor do mene, da se borite zoper mene?«
4 Ndipo Yefta akakusanya watu wa Gileadi pamoja na kupigana na Efraimu. Wagileadi wakawashinda Efraimu, kwa kuwa Waefraimu walisema, “Ninyi Wagileadi ni watoro mliotoroka toka Efraimu na Manase.”
Potem je Jefte zbral skupaj vse gileádske može in se bojeval z Efrájimom in gileádski možje so udarili Efrájim, ker so rekli: »Vi Gileádčani ste ubežniki iz Efrájima med Efrájimci in Manásejci.«
5 Wagileadi wakaviteka vivuko vya Yordani dhidi ya hao Waefraimu, kisha ilikuwa yeyote yule aliyenusurika katika Efraimu aliposema, “Niache nivuke,” hao watu wa Gileadi walimuuliza, “Je wewe ni Mwefraimu?” Kama alijibu “Hapana,”
Gileádčani so pred Efrájimci zavzeli jordanske prehode. In bilo je tako, da ko so tisti Efrájimci, ki so pobegnili, rekli: »Naj grem preko, « da so mu gileádski možje rekli: » Ali si Efrájimec?« Če je rekel: »Ne, «
6 walimwambia, “Sawa, sema ‘Shibolethi.’” Iwapo alitamka, “Sibolethi,” kwa sababu hakuweza kutamka hilo neno sawasawa, walimkamata na kumuua hapo kwenye vivuko vya Yordani. Waefraimu 42,000 waliuawa wakati huo.
potem so mu rekli: »Reci sedaj Šibólet« in je rekel »Sibólet, « kajti tega ni mogel pravilno naglasiti. Potem so ga prijeli in usmrtil pri jordanskih prehodih in tam jih je ob tistem času izmed Efrájimcev padlo dvainštirideset tisoč.
7 Yefta akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa muda wa miaka sita. Basi Yefta akafa, akazikwa katika mmojawapo wa miji ya Gileadi.
Jefte je Izraelu sodil šest let. Potem je Gileádčan Jefte umrl in bil pokopan v enem izmed mest Gileáda.
8 Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Za njim je Izraelu sodil Ibcán iz Betlehema.
9 Alikuwa na wana thelathini na binti thelathini. Akawaoza binti zake kwa watu wengine nje ya ukoo wake, na kuwatwalia wanawe wanawake thelathini toka nje ya ukoo wake. Ibzani akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka saba.
Ta je imel trideset sinov in trideset hčera, ki jih je poslal naokrog in za svoje sinove je vzel trideset hčera od drugod. Izraelu je sodil sedem let.
10 Ibzani akafa, akazikwa huko Bethlehemu.
Potem je Ibcán umrl in je bil pokopan pri Betlehemu.
11 Baada yake Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa muda wa miaka kumi.
Za njim je Izraelu sodil Zábulonec Elón. Izraelu je sodil deset let.
12 Kisha Eloni akafa, akazikwa katika Aiyaloni, katika nchi ya Zabuloni.
Zábulonec Elón je umrl in je bil pokopan v Ajalónu, v deželi Zábulon.
13 Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
Za njim je Izraelu sodil Abdón, sin Piratónca Hiléla.
14 Naye akazaa wana arobaini na wana wa wanawe thelathini waliopanda punda sabini. Akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka minane.
Ta je imel štirideset sinov in trideset nečakov, ki so jahali na sedemdesetih osličjih žrebetih. Izraelu je sodil osem let.
15 Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.
Abdón, sin Piratónca Hiléla, je umrl in je bil pokopan v Piratónu, v deželi Efrájim, na gori Amalečanov.