< Waamuzi 12 >
1 Watu wa Efraimu wakaita majeshi yao, wakavuka kwenda Zafoni, wakamwambia Yefta, “Kwa nini mmekwenda kupigana na Waamoni bila kutuita ili twende pamoja nawe? Basi tutaichoma moto nyumba yako, pamoja nawe ukiwa ndani yake.”
Potem zebrali się mężczyźni Efraimici i wyruszyli na północ, po czym powiedzieli do Jeftego: Dlaczego poszedłeś walczyć przeciwko synom Ammona, a nas nie wezwałeś, abyśmy poszli z tobą? Spalimy ogniem twój dom nad tobą.
2 Yefta akajibu, “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa na Waamoni, hata ingawa niliwaita hamkuniokoa katika mkono wao.
I Jefte powiedział im: Ja i mój lud mieliśmy niemały spór z synami Ammona; i wzywałem was, lecz nie wybawiliście mnie z ich rąk.
3 Nilipoona kuwa hamkunipa msaada nikauhatarisha uhai wangu na nikavuka kupigana na Waamoni. Naye Bwana akanipatia ushindi dhidi yao. Sasa kwa nini mnanijia leo ili kupigana nami?”
A widząc, że nie chcieliście mnie wybawić, naraziłem swoje życie i wyruszyłem na synów Ammona, a PAN wydał ich w moje ręce. Dlaczego więc przyszliście dziś do mnie, by walczyć ze mną?
4 Ndipo Yefta akakusanya watu wa Gileadi pamoja na kupigana na Efraimu. Wagileadi wakawashinda Efraimu, kwa kuwa Waefraimu walisema, “Ninyi Wagileadi ni watoro mliotoroka toka Efraimu na Manase.”
Zebrał więc Jefte wszystkich mężczyzn z Gileadu i walczył z Efraimem. I mężczyźni z Gileadu pobili Efraima, gdyż ci mówili: Wy, Gileadczycy, [którzy mieszkacie] między Efraimitami a Manassesytami, jesteście zbiegami z Efraima.
5 Wagileadi wakaviteka vivuko vya Yordani dhidi ya hao Waefraimu, kisha ilikuwa yeyote yule aliyenusurika katika Efraimu aliposema, “Niache nivuke,” hao watu wa Gileadi walimuuliza, “Je wewe ni Mwefraimu?” Kama alijibu “Hapana,”
I Gileadczycy odebrali brody Jordanu Efraimowi. A gdy uciekający Efraimita mówił: Pozwólcie mi przejść, wtedy mężczyźni Gileadu pytali: Czy jesteś Efraimitą? A jeśli odpowiadał: Nie;
6 walimwambia, “Sawa, sema ‘Shibolethi.’” Iwapo alitamka, “Sibolethi,” kwa sababu hakuweza kutamka hilo neno sawasawa, walimkamata na kumuua hapo kwenye vivuko vya Yordani. Waefraimu 42,000 waliuawa wakati huo.
Wtedy mówili do niego: Wymów teraz: szibbolet, a ten mówił: sibbolet, bo inaczej nie mógł wymówić. Wtedy chwytali go i zabijali przy brodach Jordanu. I poległo w tym czasie z Efraima czterdzieści dwa tysiące.
7 Yefta akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa muda wa miaka sita. Basi Yefta akafa, akazikwa katika mmojawapo wa miji ya Gileadi.
A Jefte Gileadczyk sądził Izraela przez sześć lat. Potem umarł Jefte Gileadczyk i został pogrzebany w [jednym] z miast Gileadu.
8 Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Po nim sądził Izraela Ibsan z Betlejem.
9 Alikuwa na wana thelathini na binti thelathini. Akawaoza binti zake kwa watu wengine nje ya ukoo wake, na kuwatwalia wanawe wanawake thelathini toka nje ya ukoo wake. Ibzani akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka saba.
A miał trzydziestu synów i trzydzieści córek, które powydawał z domu [za mąż], a spoza domu sprowadził trzydzieści żon dla swoich synów. I sądził Izraela przez siedem lat.
10 Ibzani akafa, akazikwa huko Bethlehemu.
Potem Ibsan umarł i został pogrzebany w Betlejem.
11 Baada yake Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa muda wa miaka kumi.
A po nim sądził Izraela Elon Zebulonita. Sądził on Izraela przez dziesięć lat.
12 Kisha Eloni akafa, akazikwa katika Aiyaloni, katika nchi ya Zabuloni.
Potem Elon Zebulonita umarł i został pogrzebany w Ajjalonie, w ziemi Zebulona.
13 Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
A po nim sądził Izraela Abdon, syn Hillela, Piratończyk.
14 Naye akazaa wana arobaini na wana wa wanawe thelathini waliopanda punda sabini. Akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka minane.
Miał on czterdziestu synów i trzydziestu wnuków, którzy jeździli na siedemdziesięciu oślętach. Sądził on Izraela przez osiem lat.
15 Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.
Potem umarł Abdon, syn Hillela, Piratończyk, i został pogrzebany w Piratonie, w ziemi Efraima, na górze Amalekitów.