< Waamuzi 12 >

1 Watu wa Efraimu wakaita majeshi yao, wakavuka kwenda Zafoni, wakamwambia Yefta, “Kwa nini mmekwenda kupigana na Waamoni bila kutuita ili twende pamoja nawe? Basi tutaichoma moto nyumba yako, pamoja nawe ukiwa ndani yake.”
I zebrali się mężowie Efraimscy, a przyszedłszy ku północy, rzekli do Jeftego: Przeczżeś szedł walczyć przeciwko synom Ammonowym, a nie wezwałeś nas, abyśmy szli z tobą? przetoż dom twój i ciebie spalimy ogniem.
2 Yefta akajibu, “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa na Waamoni, hata ingawa niliwaita hamkuniokoa katika mkono wao.
I rzekł Jefte do nich: Miałem nie mały spór ja i lud mój z syny Ammonowymi, i wzywałem was, a nie wybawiliście mię z rąk ich.
3 Nilipoona kuwa hamkunipa msaada nikauhatarisha uhai wangu na nikavuka kupigana na Waamoni. Naye Bwana akanipatia ushindi dhidi yao. Sasa kwa nini mnanijia leo ili kupigana nami?”
A widząc, żeście mię wybawić nie chcieli, odważyłem zdrowie swoje, i ciągnąłem przeciw synom Ammonowym, a podał je Pan w ręce moje, i przeczżeście przyszli do mnie dnia tego, abyście walczyli przeciwko mnie?
4 Ndipo Yefta akakusanya watu wa Gileadi pamoja na kupigana na Efraimu. Wagileadi wakawashinda Efraimu, kwa kuwa Waefraimu walisema, “Ninyi Wagileadi ni watoro mliotoroka toka Efraimu na Manase.”
A tak zebrawszy Jefte wszystkie męże z Galaad, walczył z Efraimem; i porazili mężowie z Galaad Efraima, przeto iż mówili: Wy Galaadczycy, którzy się bawicie między Efraimitami i między Manasesytami, zbiegowieście od Efraimitów.
5 Wagileadi wakaviteka vivuko vya Yordani dhidi ya hao Waefraimu, kisha ilikuwa yeyote yule aliyenusurika katika Efraimu aliposema, “Niache nivuke,” hao watu wa Gileadi walimuuliza, “Je wewe ni Mwefraimu?” Kama alijibu “Hapana,”
I odjęli Galaadczycy brody Jordańskie Efraimowi; a gdy mówili uciekający z Efraimczyków: Niech przejdę, tedy pytali mężowie Galaadscy: A Efratejczykieś ty: A jeźli rzekł: Nie.
6 walimwambia, “Sawa, sema ‘Shibolethi.’” Iwapo alitamka, “Sibolethi,” kwa sababu hakuweza kutamka hilo neno sawasawa, walimkamata na kumuua hapo kwenye vivuko vya Yordani. Waefraimu 42,000 waliuawa wakati huo.
Tedy mu mówili: Wymówże teraz Szybolet; jeźli rzekł: Sybolet, a inaczej nie mógł wymówić, tedy pojmawszy go, zabijali go u brodu Jordańskiego. I poległo na on czas z Efraima czterdzieści i dwa tysiące.
7 Yefta akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa muda wa miaka sita. Basi Yefta akafa, akazikwa katika mmojawapo wa miji ya Gileadi.
A tak sądził Jefte Galaadczyk Izraela przez sześć lat; potem umarł Jefte Galaadczyk, a pogrzebion jest w jednem z miast Galaadskich.
8 Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Potem sądził po nim Izraela Abesan z Betlehem.
9 Alikuwa na wana thelathini na binti thelathini. Akawaoza binti zake kwa watu wengine nje ya ukoo wake, na kuwatwalia wanawe wanawake thelathini toka nje ya ukoo wake. Ibzani akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka saba.
A miał trzydzieści synów, i trzydzieści córek, które powydawał od siebie, trzydzieści żon przywiódł synom swoim zinąd, i sądził Izraela przez siedem lat.
10 Ibzani akafa, akazikwa huko Bethlehemu.
Umarł potem Abesan, i pogrzebion jest w Betlehem.
11 Baada yake Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa muda wa miaka kumi.
A po nim sądził Izraela Elon Zabulończyk, i sądził Izraela przez dziesięć lat.
12 Kisha Eloni akafa, akazikwa katika Aiyaloni, katika nchi ya Zabuloni.
Potem umarł Elon Zabulończyk, i pogrzebiony jest w Ajalon w ziemi Zabulon.
13 Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
A po nim sądził Izraela Abdon, syn Hellelów, Faratończyk.
14 Naye akazaa wana arobaini na wana wa wanawe thelathini waliopanda punda sabini. Akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka minane.
A ten miał czterdzieści synów, i trzydzieści wnuków, którzy jeździli na siedemdziesięciu oślętach; i sądził Izraela przez osiem lat.
15 Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.
Umarł potem Abdon, syn Hellelów, Faratończyk, i pogrzebiony jest w Faratonie w ziemi Efraimskiej, na górze Amalekitów.

< Waamuzi 12 >