< Waamuzi 12 >
1 Watu wa Efraimu wakaita majeshi yao, wakavuka kwenda Zafoni, wakamwambia Yefta, “Kwa nini mmekwenda kupigana na Waamoni bila kutuita ili twende pamoja nawe? Basi tutaichoma moto nyumba yako, pamoja nawe ukiwa ndani yake.”
Nifanontoñe o nte-Efraimeo naho nimb’e Tsafone mb’eo, nanao ty hoe amy Ieftake, Ino ty nitsaha’ areo mb’eo hialia’o amo nte-Amoneo f’ie tsy nitoka anay hindreza’ay? Ho forototoe’ay añ’ afo ama’o ty anjomba’o.
2 Yefta akajibu, “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa na Waamoni, hata ingawa niliwaita hamkuniokoa katika mkono wao.
Le hoe ty natoi’ Ieftake am’ iareo, Toe niampohek’ amo ana’ i Amoneo naho ondatiko iraho te nikanjy anahareo, f’ie tsy nañaro ahy am-pità’ iareo.
3 Nilipoona kuwa hamkunipa msaada nikauhatarisha uhai wangu na nikavuka kupigana na Waamoni. Naye Bwana akanipatia ushindi dhidi yao. Sasa kwa nini mnanijia leo ili kupigana nami?”
Aa kanao tsy narova’ areo le namoeako fiay nitsake mb’ amo ana’ i Amoneo mb’eo, vaho natolo’ Iehovà an-tañako. Aa le ino ty nitroara’ areo amako androany hialia’ areo?
4 Ndipo Yefta akakusanya watu wa Gileadi pamoja na kupigana na Efraimu. Wagileadi wakawashinda Efraimu, kwa kuwa Waefraimu walisema, “Ninyi Wagileadi ni watoro mliotoroka toka Efraimu na Manase.”
Natonto’ Ieftake o lahilahi’ i Gilade iabio naho nialy amy Efraime; vaho linafa’ o nte-Giladeo t’i Efraime, ami’ty natao’ iareo ty hoe: Ondaty gike e Efraime nahareo nte Gilade añivo’ i Efraime naho i Menasè ao.
5 Wagileadi wakaviteka vivuko vya Yordani dhidi ya hao Waefraimu, kisha ilikuwa yeyote yule aliyenusurika katika Efraimu aliposema, “Niache nivuke,” hao watu wa Gileadi walimuuliza, “Je wewe ni Mwefraimu?” Kama alijibu “Hapana,”
Rinambe’ o nte-Giladeo amy Efraime o fitsaha’ Iordaney boake Efraimeo, ie amy zao naho teo ty nipoliotse amo nte-Efraimeo nanao ty hoe: Ehe angao hitsake? Le nañontane aze o nte-Giladeo ty hoe: nte Efraime hao? Aa naho Tsie ty natao’e;
6 walimwambia, “Sawa, sema ‘Shibolethi.’” Iwapo alitamka, “Sibolethi,” kwa sababu hakuweza kutamka hilo neno sawasawa, walimkamata na kumuua hapo kwenye vivuko vya Yordani. Waefraimu 42,000 waliuawa wakati huo.
le nanoe’ iareo ama’e ty hoe: Ano ty hoe: Sibolete, te mone nanao ty hoe Tsibolete—ie toe tsy nahafanoñoñe’e—le nitsepaheñe vaho vinono’ iareo amo fitsaha’ Iordaneio; nte Efraime efats’ ale-tsi-ro’ arivo ty nikorovoke henane zay.
7 Yefta akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa muda wa miaka sita. Basi Yefta akafa, akazikwa katika mmojawapo wa miji ya Gileadi.
Enen-taoñe ty nizakà’ Ieftake Israele, le nivilasy t’Ieftake nte-Gilade, vaho nalentek’ an-drova’ o nte-Giladeo.
8 Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.
Nanonjohy aze, t’Ibtsane nte-Betlekheme nizaka Israele.
9 Alikuwa na wana thelathini na binti thelathini. Akawaoza binti zake kwa watu wengine nje ya ukoo wake, na kuwatwalia wanawe wanawake thelathini toka nje ya ukoo wake. Ibzani akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka saba.
Nanañ’ anadahy telo-polo re naho anak’ ampela telopolo naho naondra’e añe vaho nampimoahe’e boak’ añe ka ty anak’ ampela ho a o ana-dahi’eo. Nizaka Israele fito taoñe
10 Ibzani akafa, akazikwa huko Bethlehemu.
le nivilasy t’Ibtsane, vaho nalenteke e Betlekheme ao.
11 Baada yake Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa muda wa miaka kumi.
Ie añe le nizaka Israele folo taoñe t’i Elone nte-Zebolone.
12 Kisha Eloni akafa, akazikwa katika Aiyaloni, katika nchi ya Zabuloni.
Ie nihomake t’i Elone nte-Zebolone, le nalenteke Aialone an-tane Zebolone ao.
13 Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.
Nanonjohy aze nizaka Israele t’i Abdone ana’ i Mpandrenge nte-Piratone.
14 Naye akazaa wana arobaini na wana wa wanawe thelathini waliopanda punda sabini. Akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka minane.
Nanañ’ana-dahy efa-polo re naho afe telo-polo mpiningitse ana-borìke fitom-polo, nizaka valo taoñe.
15 Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.
Nivilasy t’i Abdone ana’ i Mpandrenge nte-Piratone vaho nalenteke e Piratone an-tane Efraime am-bohi’ i Amaleke ao.