< Yuda 1 >
1 Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo na nduguye Yakobo: Kwa wale walioitwa, wapendwa katika Mungu Baba na kuhifadhiwa salama ndani ya Yesu Kristo:
Yuda ukungwa va Yesu kelesti, nu lukololwe u Yakobo, huvala ava elangiwe, avagane hwa Nguluve Udaada, avavo vatunziwe hwa Yesu Kelesti.
2 Rehema, amani na upendo viwe kwenu kwa wingi.
nuluhungo nuhwedeha ulugano lwongesehe huliomwe.
3 Wapendwa, ingawa nilikuwa ninatamani sana kuwaandikia kuhusu wokovu ambao tunaushiriki sisi sote, niliona imenipasa kuwaandikia na kuwasihi kwamba mwitetee imani iliyokabidhiwa watakatifu kwa nafasi moja itoshayo.
Vagane, usehe navile nivomba humaha goni uhuvasimbela umwe uhuhusu uvukresti weto woni, nehela simisiwe uhuvandehela uhuvavula msindanele uvuyelweli nu lwidiho lulwa lwakabesiwe hamo kuvanya lwidino.
4 Kwa kuwa kuna watu waliojipenyeza kwa siri katikati yenu, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, waovu, wapotoshao neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi wakimkana yeye aliye Bwana wetu wa pekee, Bwana Yesu Kristo.
Ulwahuva avanu fulani kiheyingecha husili katikati yenyo-avanu avaelangiwe ne alana ya uvuhegi-avanu vahabadeleswa ukulweli uwa Nguluve veto nuhubela Unguluve u Yesu Kelesti.
5 Ingawa mmekwisha kujua haya yote, nataka niwakumbushe kuwa Bwana akiisha kuwaokoa watu wake kutoka nchi ya Misri, baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
Usehe ugu ninogwa uhuva kombu sia umwe hata kama usihe mlehwelewa uvukamalifu uhuta u Nguluve avohwile avanu uhuhuma huhelongahwanisili lakini baada ya vale uhuva anameswa vala vavo savale hunogwa uhumwedeva.
6 Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios )
Usuhwa uvasalendile uvu vaha vuwa pahetamelo ehwa mana huvukungwa uwasihuchoni igati mkelo huasili y uvuhegi. (aïdios )
7 Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios )
kama Sodoma na Gomora napajini upupa chungulilewe penyewe huvumalaya vaha konga uvunogwe vuwa hatale. Wawonesiwe ufuano uga vanu avatesehaga huhe kugigwa ihwa mwotogwa sihunchoni. (aiōnios )
8 Vivyo hivyo, hawa waotao ndoto huutia mwili unajisi, hukataa kuwa chini ya mamlaka na kunena mabaya juu ya wenye mamlaka.
Ehali yela, ne njela ila ila valehugogwa injosi ava valehunchafula imivele gwia, vene nuhubela avavaha, vichova uvudesi huliho inguvu icha Nguluve.
9 Lakini hata malaika mkuu Mikaeli alipokuwa anashindana na ibilisi juu ya mwili wa Mose, hakuthubutu kumlaumu, bali alimwambia, “Bwana na akukemee!”
Uhuva Umkaeli nu suhwa umbaha, uwakati vuvisindana nu setano nuhu hegana humbele ugwa Musa salehunogwa uhulete uvuhegi wa uvudesi humwishi ahachova uhuta Unguluve uhuswemae.
10 Lakini watu hawa hunena mabaya dhidi ya mambo wasiyoyafahamu. Na katika mambo yale wanayoyafahamu kwa hisia kama wanyama wasio na akili, hayo ndiyo hasa yanayowaharibu.
Uhuva ava valetile uvudesi ivinu fivwo vavi manyile vivo ivikanu vivwo uluhala lulwa vana ngile.
11 Ole wao! Kwa kuwa wanaifuata njia ya Kaini, wamekimbilia faida katika kosa la Balaamu na kuangamia katika uasi wa Kora.
Uvelaho uhuve ugendile injela iya kaeni nuhukonga injela iya baalamu vagwelile mvuvivi uwa kola.
12 Watu hawa ni dosari katika karamu zenu za upendo, wakila pamoja nanyi bila hofu, wakijilisha pasipo hofu. Wao ni mawingu yasiyokuwa na maji, yakichukuliwa na upepo, miti isiyo na matunda wakati wa mapukutiko, ambayo hunyauka, iliyokufa mara mbili na kungʼolewa kabisa.
Ava vuva vaha husikuku icha vene icha vugane valehuvomba bila husona vale hweliswa vene vahwa nine namavengo galugasi gago gage giwe nulugasi aga gegiwe ni mepu mbehe gegwo puhutihe isehe cha yene egegwo gia file mla havile gigevo vakupuile emlela.
13 Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn )
Go mavengo ga nyanja aga yakelele agagi humia uhusoha gene ninondwe ichili hugenda genda uvuvaha wakelo wa vahiwe hwajili ya humwisio. (aiōn )
14 Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa unabii kuhusu watu hawa, akisema: “Tazama, Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
Enoko, ave vasaba mhekolo ehwa Adamu, alagwile uhohusu vavo achovile lola ihicha umbaha na vanu vingi sana ava Kelesti voni.
15 ili kumhukumu kila mmoja na kuwapatiliza wote wasiomcha Mungu kwa matendo yao yote ya uasi waliyoyatenda, pamoja na maneno yote ya kuchukiza ambayo wenye dhambi wamesema dhidi yake.”
ili avombe uvuhegi hwa hela mnu ohumwingecha mnogwa avavo savihe saya juu ya lugendo lwa vene lwoni tichi vavombile injela chicho sio cha leveli humamenyu gavene amakali agoga sio ga yelweli vachovile ju ya mwene.
16 Watu hawa ni wenye kunungʼunika na wenye kutafuta makosa; wao hufuata tamaa zao mbaya, hujisifu kwa maneno makuu kuhusu wao wenyewe na kuwasifu mno watu wenye vyeo kwa ajili ya kujipatia faida.
Ava vuvalehu kutakuta avavo vikongoa itamaacha vuvivi valehweginia eno hufaida yao valehuva siova nu huvadetela avange.
17 Lakini ninyi wapenzi, kumbukeni yale mitume wa Bwana Yesu Kristo waliyonena zamani.
Umwe vagane, kumbuha amamenyu agavachovile avakongi va Yesu Kelesti.
18 Kwa kuwa waliwaambia, “Siku za mwisho kutakuwa na watu wenye kudhihaki, watakaofuata tamaa zao wenyewe za upotovu.”
Vachovile huliomwe, “msihu icha mwisio huva nu wakati avavihubeda avikonga itama cha mbile.”
19 Hawa ndio watu wanaowagawa ninyi, wafuatao tamaa zao za asili, wala hawana Roho.
Avanu ava vagavaji, wa watawaliwe ne tamaa iya hatale, vale vuvule Umepo.
20 Lakini ninyi wapendwa, jijengeni katika imani yenu iliyo takatifu sana tena ombeni katika Roho Mtakatifu.
Leno mwevagani mwechengile ulwidiho mlwavatuha tifu sana, kama vumhesaya.
21 Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios )
Mwetu nje mlogano ulwa Nguluve mgojele Udaada veto u Yesu kristi yuywe ihutopa uwomiwa sihuchoni. (aiōnios )
22 Wahurumieni walio na mashaka;
Voneswa ulugano huvavo vale na maswaha.
23 wengine waokoeni kwa kuwanyakua kutoka kwenye moto; nao wengine wahurumieni mkiwa na hofu, mkichukia hata vazi lenye mawaa na kutiwa unajisi na mwili.
Mvahole avange nu huva hecha humoto. Huvange voneswa ulugano huvudwanchi mkalale, hata umwendea ugugu vihiwe ilidowa pambile.
24 Kwake yeye awezaye kuwalinda ninyi msianguke na kuwaleta mbele za utukufu wake mkuu bila dosari na kwa furaha ipitayo kiasi:
Yuywa iweza uhuvadema msite uhwe kuvichamnogiwa uhwima huvulongo la bila uvuvivi woni wvuvahe,
25 kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn )
hwa Nguluve uvale mwene uvi hwohola uhugendela mwa Yesu Kelesti umbaha uvuwesio na maha kabula ya isinu icha pawanzo chonina leno nisihu choni cha mwisio. (aiōn )