< Yuda 1 >

1 Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo na nduguye Yakobo: Kwa wale walioitwa, wapendwa katika Mungu Baba na kuhifadhiwa salama ndani ya Yesu Kristo:
Yuda, mutuung'wa wang'wa Yesu kilisto, nu muluna nuakwe uYakobo, ku awo naza itangilwe, ni alowa mung'wa Itunda Tata, ni nai aikilwe ang'wa Yesu kilisto;
2 Rehema, amani na upendo viwe kwenu kwa wingi.
ukede nu ulyuuku nu ulowa yongeeligwe kitalanyu.
3 Wapendwa, ingawa nilikuwa ninatamani sana kuwaandikia kuhusu wokovu ambao tunaushiriki sisi sote, niliona imenipasa kuwaandikia na kuwasihi kwamba mwitetee imani iliyokabidhiwa watakatifu kwa nafasi moja itoshayo.
Alowa, itungo naza ntulaa kituma ukamatiku kumukulisilya unyenye kutula ugunwa witu kihi, ai insingilye kumukilisilya ku nsoko kumusija iti kikilya ku uhuiili u uhuuili niiza aiwatulaa winkiigwenkua ing'wi duu ku ahuiili.
4 Kwa kuwa kuna watu waliojipenyeza kwa siri katikati yenu, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, waovu, wapotoshao neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi wakimkana yeye aliye Bwana wetu wa pekee, Bwana Yesu Kristo.
Kunsoko antu a kituunga i ingiiye ku kimpinyi mpinyi mukati anyu - antu naza aikiwe logo kunsok a ulamulwa - antu ni shanga eligwa naza ikailaa u ukende nu ang'wa Itunda witu kuu wii, nu kumuhita uMukulu witu wing'wene nu Mukulu uYesu kilisto.
5 Ingawa mmekwisha kujua haya yote, nataka niwakumbushe kuwa Bwana akiisha kuwaokoa watu wake kutoka nchi ya Misri, baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
Itungili ndoilwe kumukimbukiilya unyenye anga ize likoli itungo ai mulingile ku ukondaniili kina uMukulu ai uagunile i antu kupuma ku Misri, kuiti panyambele kualimilya awo nai shanga amuhuiie.
6 Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios g126)
Nu malaika naza shanga asungilye u ukulu nuao akola kuiti akaleka u likalo nu lao Itunda waaikile mu minyololo a kali na kali, mukati a kiti, kunsoko a ulamulwa nua luhiku ulo nu lukulu. (aïdios g126)
7 Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios g166)
Anga iti iSodoma ni Gomora ni isali ni yiipilimikiiye, naiza yiingiye inkola mu usambo nu kutyata nsula ni shanga nia upuumo. Ai alagiiwe anga mpyani a awo naza agisha mu ulamulwa nua moto nua kali na kali. (aiōnios g166)
8 Vivyo hivyo, hawa waotao ndoto huutia mwili unajisi, hukataa kuwa chini ya mamlaka na kunena mabaya juu ya wenye mamlaka.
Ga ni iti, ku nzila yiyo yiiyo alota ndoti awa ishapulaa ga ni miili ao, nu kuhita u unyangulu, hangi ni ituntaa u uteele kung'wa mukuligwa.
9 Lakini hata malaika mkuu Mikaeli alipokuwa anashindana na ibilisi juu ya mwili wa Mose, hakuthubutu kumlaumu, bali alimwambia, “Bwana na akukemee!”
Kuiti ga nu Mikaeli malaika nu mukulu, itungo nai watulaa ukikilya nu mulugu nu kikolenkeelya nu ng'wenso kunsoko a muili nuang'wa Musa, kuiti badala akwe ai uligitilye,
10 Lakini watu hawa hunena mabaya dhidi ya mambo wasiyoyafahamu. Na katika mambo yale wanayoyafahamu kwa hisia kama wanyama wasio na akili, hayo ndiyo hasa yanayowaharibu.
“Mukulu wakupatye” Kuiti antu awa iletaa uteele ku kinya kihi nishanga akilingile. Ni iko nishanga akilingile - iko naiza i ikali ni igila imahala ilingaa ku kupepwa aya yayo ai aagazangilye.
11 Ole wao! Kwa kuwa wanaifuata njia ya Kaini, wamekimbilia faida katika kosa la Balaamu na kuangamia katika uasi wa Kora.
Ukia nu ao ku nsoko agendile mu nzila ang'wa Kaini, nu kuutyata uutumuli nuang'wa Balaamu. Alimiilie mu upiluki nuang'wa Kora.
12 Watu hawa ni dosari katika karamu zenu za upendo, wakila pamoja nanyi bila hofu, wakijilisha pasipo hofu. Wao ni mawingu yasiyokuwa na maji, yakichukuliwa na upepo, miti isiyo na matunda wakati wa mapukutiko, ambayo hunyauka, iliyokufa mara mbili na kungʼolewa kabisa.
Awa inge matalagwe mu ilooelya nuanyu nu a ulowa, akilooelya tili ni minyala, akilisa udu ienso. Ingi malunde ni magila imazi, nikenkwaa nu ng'wega, ingi makota nalagae ni magila inkali ni ikule nkua akabiili, ni ipilwe i mili.
13 Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn g165)
Ingi maingu a luzi akete iyogo azepumya i minyala ao akola, Ingi nzota ni yikupilimikiilya niiza u wilwaalu nua kiti uikilwe kunsoko ao ikali na kali (aiōn g165)
14 Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa unabii kuhusu watu hawa, akisema: “Tazama, Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
Enoko, nua mupungati mu ulelwa nuan'wa Adamu, ai ulotile kutula enso, wazeligitya “Goza; uMukulu upembilye ni magana ku magana a eligwa niakwe,
15 ili kumhukumu kila mmoja na kuwapatiliza wote wasiomcha Mungu kwa matendo yao yote ya uasi waliyoyatenda, pamoja na maneno yote ya kuchukiza ambayo wenye dhambi wamesema dhidi yake.”
iti witume ulamulwa migulya a kila muntu, nu kingilya utumuli ni shanga imukulya Itunda migulya a ntendo ni ao yihi nai akondyaa kituma mu nzila ni shanga ya weligwaa, nu ku makani ihi na utaki niiza ni shanga eligwa nu kumakani ihi nishanga a utaki niiza ni shanga eligwa amaligitilye ku ng'waakwe”
16 Watu hawa ni wenye kunungʼunika na wenye kutafuta makosa; wao hufuata tamaa zao mbaya, hujisifu kwa maneno makuu kuhusu wao wenyewe na kuwasifu mno watu wenye vyeo kwa ajili ya kujipatia faida.
Awa ingi wawo niisusumya, ni itushaa niiza ityataa nsula ni ao niya ubii, ni iketaa nangaluu, naza ku nsailo ao ikongelaa iauya.
17 Lakini ninyi wapenzi, kumbukeni yale mitume wa Bwana Yesu Kristo waliyonena zamani.
Kuiti unyeye, alowa, kumbukiilyi i makani naiza aligitigwe ikali ni alagiiligwa ang'wa Mukulu uYesu kilisto.
18 Kwa kuwa waliwaambia, “Siku za mwisho kutakuwa na watu wenye kudhihaki, watakaofuata tamaa zao wenyewe za upotovu.”
Ai aligiilye kitalanyu, “Mu matungo a mpelo yikutula ni antu ni isensa naza ityataa nsula ni yao ni shanga ya weligwa.”
19 Hawa ndio watu wanaowagawa ninyi, wafuatao tamaa zao za asili, wala hawana Roho.
Antu awa ingi atemanuli, ahumeigwe ni nsula ni ya upumoo, hangi agila u ng”wau ng”welu.
20 Lakini ninyi wapendwa, jijengeni katika imani yenu iliyo takatifu sana tena ombeni katika Roho Mtakatifu.
Kuiti unyenye, alowa, anga ni mizengaa mu uhuiili nu anyu ni welu nangaluu, ni anga nimilompaa mu ng'wau ng'welu,
21 Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios g166)
ikendegeeli mu ulowa nuang'wa Itunda nu kulindiila u ukende nua Mukulu itu uYesu kilisto niiza wi wikupeza u upanga nua kali na kali. (aiōnios g166)
22 Wahurumieni walio na mashaka;
Lagiili u upolo ku awo niakete u wisinsili. 23
23 wengine waokoeni kwa kuwanyakua kutoka kwenye moto; nao wengine wahurumieni mkiwa na hofu, mkichukia hata vazi lenye mawaa na kutiwa unajisi na mwili.
Aguni auya ku kuasapula kupuma mu moto. ku auya lagiili kinya uwai ku woa muze mubipiwe ga nu ng'wenda nuikiwe idoa nu muili.
24 Kwake yeye awezaye kuwalinda ninyi msianguke na kuwaleta mbele za utukufu wake mkuu bila dosari na kwa furaha ipitayo kiasi:
Itugili ku ng'waakwe nuhumule kumusunja muleke ki kwatya, nu kumusasha mimike ntongeela a ikulyo ni lakwe, tili ubii nu kutula nu ulowa ukulu,
25 kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn g165)
kung'waakwe Itunda wing'wene muguni kukiila uYesu kilisto Mukulu nu itu, ikulyo litule kung'waakwe, ukulu, uhumi, ni ngulu ze ikili i mtungo ihi, ni itungili ga i kali na kali. Amina. (aiōn g165)

< Yuda 1 >