< Yuda 1 >
1 Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo na nduguye Yakobo: Kwa wale walioitwa, wapendwa katika Mungu Baba na kuhifadhiwa salama ndani ya Yesu Kristo:
Yahuza canga Yeesu Alamasiya, take yi Yakubu, fiye nubo co cowe wiye, Nubo ma cwiye mor kwama Tee cokumcoke na Yeesu Kristi ce.
2 Rehema, amani na upendo viwe kwenu kwa wingi.
Cireduwe, kange daka neret kange cwika a bwii fiye kumenen.
3 Wapendwa, ingawa nilikuwa ninatamani sana kuwaandikia kuhusu wokovu ambao tunaushiriki sisi sote, niliona imenipasa kuwaandikia na kuwasihi kwamba mwitetee imani iliyokabidhiwa watakatifu kwa nafasi moja itoshayo.
Nubo ma cwiye mi ma nyi bi kwane na mulang kumen ki ker fuloka beko gwam, tam makumen biweret kambo dor bilenker wo ci ne nubo bwantenco tiye Krisiti win cwar yokka man.
4 Kwa kuwa kuna watu waliojipenyeza kwa siri katikati yenu, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, waovu, wapotoshao neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi wakimkana yeye aliye Bwana wetu wa pekee, Bwana Yesu Kristo.
Di kange nubo curab dou ki dang yurangum yurange, wuro ci mulangi dor warke ciye fiya ki kutanka con man ki bilenker, wuro folongum luma kwama kange kayaka, take cin kanangum nii wine, dur kange Teluwebe, Yeesu Almasiya.
5 Ingawa mmekwisha kujua haya yote, nataka niwakumbushe kuwa Bwana akiisha kuwaokoa watu wake kutoka nchi ya Misri, baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
Mi cwiti nan bulang kumen bwen duwale kweri kom nyomom dikeco, ki yika kwama fulo nubokangem beten masare, di ki bwi con twallangum nubo nebo bilenke.
6 Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu. (aïdios )
nob. tomange ce wucakke wuro tabo dur bikwan ciyere di cin dubom fiye ciye kwattiye, kwama bwelmaro diri mor kumtacile fir nimde kakuko durko, wo bolange ce. (aïdios )
7 Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele. (aiōnios )
Ci nyo na saduma kange Gomarata, kange bertinimbo kentangum kange ciyeu wuro neken dor ciyero kayaka, ci bwangten dilankakoti wo kebo wo daten. di cin yilam diker danke wuro ci nuwa kira manki dika. (aiōnios )
8 Vivyo hivyo, hawa waotao ndoto huutia mwili unajisi, hukataa kuwa chini ya mamlaka na kunena mabaya juu ya wenye mamlaka.
Nyo nob dukumenbo wuro ci kan bwiciye ti, ci cwekan liyab boti take ci tok dikeroti dor wo na duktangkakoce.
9 Lakini hata malaika mkuu Mikaeli alipokuwa anashindana na ibilisi juu ya mwili wa Mose, hakuthubutu kumlaumu, bali alimwambia, “Bwana na akukemee!”
Di bwen nob tomangebo wucake, dur nob tomangebbo wucake fiya co kwobkanti kange kwalkanka kange bwekelkele dor bilen Musa, letankbo tokka kero kange na warka ko ce dor cer. Nyo co yi ki Di Teluwe a kwenang mwenteng.
10 Lakini watu hawa hunena mabaya dhidi ya mambo wasiyoyafahamu. Na katika mambo yale wanayoyafahamu kwa hisia kama wanyama wasio na akili, hayo ndiyo hasa yanayowaharibu.
Di nubo wuro boti ki kunka dor ci nyombe gwam. nubo wuro wiki mulen biyuwaret, ci kwob dorcero nen buwar.
11 Ole wao! Kwa kuwa wanaifuata njia ya Kaini, wamekimbilia faida katika kosa la Balaamu na kuangamia katika uasi wa Kora.
Kwanci wari cin bwangten nure kayinu, take cin yarken mor letanka bal'amu ki na ci fiya mwem cin bwiyam mor funere nawo kora ceu.
12 Watu hawa ni dosari katika karamu zenu za upendo, wakila pamoja nanyi bila hofu, wakijilisha pasipo hofu. Wao ni mawingu yasiyokuwa na maji, yakichukuliwa na upepo, miti isiyo na matunda wakati wa mapukutiko, ambayo hunyauka, iliyokufa mara mbili na kungʼolewa kabisa.
Wuro naba yurangum yurange mor cika kume na cwikace cin nuwa ti ka luma kwenduwe man, tai man. Ka dor cir ci catiye ki kwaci, Ci biloro wo mani bo ki mweme wo yuwako ywa cotiye. cin tini tirangum bitutti man, bilentini kiriti yob, kwomkwobe fiya nintini nin.
13 Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele. (aiōn )
cin mwelangka mwemek wima wo ki ki bibutetwele, ci kwilangti mor funi kwenduwe ciye. Ciki no nabitirendo certiye wuro ci tank kumtacili fi kiriti kiriti diri diri. (aiōn )
14 Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa unabii kuhusu watu hawa, akisema: “Tazama, Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,
Ahnuhu nii na nibere ce teu Adamu nin ma dukume ddor ciyer ki, To Teluwe an boki nob cebo wucakke bikatentini.
15 ili kumhukumu kila mmoja na kuwapatiliza wote wasiomcha Mungu kwa matendo yao yote ya uasi waliyoyatenda, pamoja na maneno yote ya kuchukiza ambayo wenye dhambi wamesema dhidi yake.”
Co warum ki warka dor nubo gwam, ya mwa nubo mani nuware mor nangen ciyer na bongtu wo ci mani nure wo datenbe kange keti wo cilongi wo nob bwirangke tokangi dor cere.
16 Watu hawa ni wenye kunungʼunika na wenye kutafuta makosa; wao hufuata tamaa zao mbaya, hujisifu kwa maneno makuu kuhusu wao wenyewe na kuwasifu mno watu wenye vyeo kwa ajili ya kujipatia faida.
Burombo ci yiti toki kom toke, nob fwennab, wuro bwangten dilanka ciyekoti na cile ce, burombo ma nyalti ki kwilanka, nob wambirub na fiya ka ciyeko.
17 Lakini ninyi wapenzi, kumbukeni yale mitume wa Bwana Yesu Kristo waliyonena zamani.
Di la kom nubo ma cwiye kom bulangi, kange ketito wo nob tomange Yeesu Almasiya be ci yi kom nanduwo.
18 Kwa kuwa waliwaambia, “Siku za mwisho kutakuwa na watu wenye kudhihaki, watakaofuata tamaa zao wenyewe za upotovu.”
Cin yi kom ki, “Mor kume ni cwile, an fiya nob mwankerebo wuro bwanten dilangka ciyekoti na bwini wabe.
19 Hawa ndio watu wanaowagawa ninyi, wafuatao tamaa zao za asili, wala hawana Roho.
Nubo wuro nob boti ki yalkangka, takeu, ci bibei dorbitiner, ci man ki yuwa tangbeko wucakke.
20 Lakini ninyi wapendwa, jijengeni katika imani yenu iliyo takatifu sana tena ombeni katika Roho Mtakatifu.
Di la kom nubo ma cwiye, kom mu dor kumero nen bilenker la gwamme kom na bwayilence, take kom kwob diloti mor yuwa tangbeko wucakke.
21 Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele. (aiōnios )
Kom tam dor kumero mor cwika kwama, tak kom nintang cireduwe teluwe yeesu Almasiya wo boti ki dume diriye. (aiōnios )
22 Wahurumieni walio na mashaka;
Kom nung cireduwe fiye nubo wo nyomantiye nin. Kom fulo kangembo kira ki cwabrika.
23 wengine waokoeni kwa kuwanyakua kutoka kwenye moto; nao wengine wahurumieni mkiwa na hofu, mkichukia hata vazi lenye mawaa na kutiwa unajisi na mwili.
Nubo kange kom nung cinen cireduwe ki yila bwik, kom nung yai ka bwen kulendo bwiciyeri.
24 Kwake yeye awezaye kuwalinda ninyi msianguke na kuwaleta mbele za utukufu wake mkuu bila dosari na kwa furaha ipitayo kiasi:
Nawo fiye woki bikwan na ywamkom kottangka, co dok kom ti kom ti kambu duktanka bokaceko man ki duti kange bilanktumbo tenan tenange.
25 kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen. (aiōn )
Fiye kwama wine nii fulokabe fiye Yeesu Almasiya Teluwe, duktangka, dur kange liyar kange bikwan a no nimde fiyang gwam, nawo kange diri, A ti nyo. (aiōn )