< Yoshua 7 >

1 Lakini Waisraeli hawakuwa waaminifu kuhusu vile vitu vilivyowekwa wakfu; Akani mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, alivichukua baadhi ya hivyo vitu. Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Israeli.
Hina Gode da Isala: ili dunuma ilia da liligi huluanedafa wadela: lesima: ne amola Ema ilegei liligi mae wamolama: ne sia: i dagoi. Be ilia da Ea sia: hame nabi. Dunu ea dio amo A: iga: ne da liligi wamolai dagoi. (A: iga: ne da Gami egefe amola Sa: badai ea aowa. E da Sila sosogo fi Yuda fi amo ganodini esalu.)
2 Basi Yoshua akatuma watu kutoka Yeriko waende Ai, karibu na Beth-Aveni mashariki ya Betheli, akawaambia, “Pandeni mkaipeleleze nchi.” Basi wale watu wakapanda wakaipeleleza Ai.
Yosiua da asunasiba: le, Isala: ili desega ahoasu dunu da Yeligou fisili, A:iai moilai bai bagade (Bedele moilai ea eso mabadi la: idi diala, Beda: ifene moilai gadenei) amo ea hou hogola asi. Ba: lalu,
3 Waliporudi kwa Yoshua, wakasema, “Si lazima watu wote waende kupigana na Ai. Watume watu elfu mbili au tatu wakauteke huo mji. Usiwachoshe watu wote, kwa sababu huko kuna watu wachache tu.”
ilia da Yosiuama buhagili, amane sia: i, “A: iai da moilai bai fonobahadi fawane. Dadi gagui dunu huluane amoga doagala: musa: , mae asunasima. 3000 o 2000 dunu amo fawane da amo moilai wadela: lesimu da defea.”
4 Basi wakapanda kama watu elfu tatu tu, lakini wakashambuliwa na watu wa Ai,
Amaiba: le, Isala: ili dadi gagui dunu 3000 agoane da A: iai moilaiga doagala: musa: asi. Be ilia se nabi, amola beba: le bu hobea: i.
5 ambao waliwaua watu kama thelathini na sita miongoni mwao. Wakawafukuza Waisraeli kutoka lango la mji hadi Shebarimu, nao wakawauwa huko kwenye materemko. Kutokana na hili mioyo ya watu ikayeyuka ikawa kama maji.
A: iai dunu da moilai bai bagade gagoi logo ga: su amoga ilima gegene, ili sefasili igi lamu sogebi amoga sefasi. Isala: ili dunu da agoloba: le sa: ili hobeale, A:iai dunu da Isala: ili dunu 36amo medole legei. Amalalu, Isala: ili dunu da ilia gasa fisili bagadewane beda: i.
6 Ndipo Yoshua akayararua mavazi yake, akaanguka kifudifudi mbele ya Sanduku la Bwana, na akabakia hapo mpaka jioni. Wazee wa Israeli nao wakafanya vivyo hivyo wakatia mavumbi vichwani mwao.
Yosiua amola Isala: ili dunu da se nababeba: le, ilia abula gadelale, Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili midadi osoboga diasa: i. Ilia da: i dioi olelema: ne, ilia dialuma amo osobo gulu amoga dedebole amo esoga osoboga diasa: i dialu.
7 Yoshua akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, kwa nini umewavusha watu hawa ngʼambo ya Yordani ili kututia mikononi mwa Waamori watuangamize? Laiti tungeliridhika kukaa ngʼambo ile nyingine ya Yordani!
Amola Yosiua da amane sia: i, “Hinadafa Gode! Dia da abuliba: le nini Yodane Hano degema: ne oule misibala: ? Nini A: moulaide dunu amoga wadela: musa: oule misibala: ? Ninia Yodane Hano na: iyado bega: esalumu da defea galu.
8 Ee Bwana, niseme nini sasa, ikiwa sasa Israeli ameshafukuzwa na adui zake?
Hina Gode! Isala: ili dunu da ilima ha lai dunu amoga hobea: iba: le, na da adi sia: ma: bela: ?
9 Wakanaani na watu wengine wa nchi watasikia habari hii, nao watatuzunguka na kutufutilia jina letu duniani. Utafanya nini basi kwa ajili ya jina lako mwenyewe lililo kuu?”
Ga: ina: ne dunu amola dunu huluane amo soge ganodini esala da amo sia: nababeba: le, nini sisiga: le, nini huluane medole legemu. Amasea, ninia da Dia Dio nodone gaga: ma: ne, Dia da adi hamoma: bela: ?”
10 Bwana akamwambia Yoshua, “Simama! Unafanya nini hapo chini kifudifudi?
Be Hina Gode da Yosiuama amane sia: i, “Wa: legadoma! Di da abuliba: le osoboga udigili diahala: ?
11 Israeli ametenda dhambi. Wamekiuka agano langu nililowaamuru kulishika. Wamechukua baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu, wameiba, wamesema uongo, wameviweka pamoja na mali zao.
Isala: ili fi da wadela: le hamoi dagoi. Ilia da Na Gousa: su amo ilia noga: le bobogema: ne Na sia: i, amo wadela: lesi dagoi. Ilia da liligi mogili Nama gobele sanasimusa: ilegei, amo lai dagoi. Ilia da wamolai amola ogogoi, amola liligi wamolai amo ilia liligi ganodini sali.
12 Ndiyo sababu Waisraeli hawawezi kusimama dhidi ya adui zao. Wanawapa visogo na kukimbia kwa kuwa wanastahili maangamizi. Sitakuwa pamoja nanyi tena mpaka mwangamize kila kitu miongoni mwenu kilichotengwa kwa maangamizi.
Amaiba: le, Isala: ili dunu da ilima ha lai dunuma hasalimu gogolesa. Ilia da beba: le hobeasa. Bai ilisu da wali wadela: musa: ilegei dagoi. Amo liligi wamolai dilia hame fadegale fasisia, Na da dili hame sigi masunu.
13 “Nenda, ukawatakase watu. Waambie, ‘Jitakaseni mjiandae kwa kesho; kwa sababu hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Kitu kilichowekwa wakfu kipo katikati yenu, ee Israeli. Hamwezi kusimama dhidi ya adui zenu mpaka mtakapokiondoa.
Wale gadoma! Dunu huluane da Nama misa: ne, ilia dodofema: ne sia: ma. Dilia da amo liligi hame fadegale fasisia, dilia da dilima ha lai ilima gegemu da hamedei agoane ba: mu.
14 “‘Asubuhi, mjihudhurishe kabila kwa kabila. Itakuwa kabila lile atakalolitwaa Bwana litakuja mbele ukoo kwa ukoo, ukoo ule atakaoutwaa Bwana utakuja mbele jamaa kwa jamaa, nayo jamaa ile atakayoitwaa Bwana itakuja mbele mtu kwa mtu.
Hahabe dilia fi afae afae Nama oule misa. Na da fi afae ilegemu. Amo fi ilegei da sosogo fi afae afae Nama oule misa: ne sia: ma. Amasea, na da dunu afae ilegemu.
15 Yule atakayekutwa na vitu vilivyowekwa wakfu, atateketezwa kwa moto, pamoja na vitu vyote alivyo navyo. Kwa kuwa amelivunja agano la Bwana na kufanya kitu cha aibu katika Israeli!’”
Amo dunu Na da wamolasu dunu ilegemu. Amo dunu amola ea sosogo fi amola ea liligi huluane, laluga gobesima. Bai e da Na Gousa: su wadela: lesi dagoi, amola gogosiasu bagade Isala: ili fi ilima i.”
16 Kesho yake asubuhi na mapema Yoshua akawaamuru Israeli kuja mbele kabila kwa kabila; na Yuda akatwaliwa.
Hahabedafa, Yosiua da Isala: ili dunu huluane fi afae afae oule misini, Yuda fi da ilegei dagoi ba: i.
17 Koo za Yuda zikaja mbele, naye akawatwaa Wazera. Akaamuru ukoo wa Wazera kuja mbele jamaa kwa jamaa, nayo jamaa ya Zabdi ikatwaliwa.
E da Yuda fi amo ganodini afae afae amo oule misini, Sila ea fi ilegei dagoi ba: i. Amo da sosogo fi afae afae misini, Sa: badai ea sosogo fi ilegei dagoi ba: i.
18 Yoshua akaamuru watu wa jamaa ya Zabdi kuja mbele mtu kwa mtu, naye Akani mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, akatwaliwa.
Amalalu, Yosiua da Sa: badai ea sosogo fi dunu afae afae oule misini, A:iga: ne (Gami egefe amola Sa: badai ea aowa) amo ilegei dagoi ba: i.
19 Ndipo Yoshua akamwambia Akani, “Mwanangu, mtukuze Bwana, Mungu wa Israeli, nawe ukiri kwake. Niambie ni nini ulichotenda; usinifiche.”
Yosiua da A: iga: nema amane sia: i, “Na gofe! Isala: ili Hina Gode ba: ma: ne, dafawane sia: olelema. Dia hamoi olelema. Nama amo hou mae wamolegema.”
20 Akani akamjibu Yoshua, “Ni kweli! Nimetenda dhambi dhidi ya Bwana, Mungu wa Israeli. Hili ndilo nililofanya:
A: iga: ne da bu adole i, “Dafawane! Na Isala: ili Hina Godema wadela: le hamoi. Na da agoane hamoi.
21 Nilipoona katika nyara joho zuri la kutoka Babeli, shekeli mia mbili za fedha, na kabari ya dhahabu ya uzito wa shekeli hamsini, nikavitamani na nikavichukua. Tazama, vimefichwa ardhini ndani ya hema langu, pamoja na hiyo fedha chini yake.”
Ninia liligi lai amo ganodini, na da Ba: balounia abula, silifa2gilogala: me agoane amola gouli 1/2 gilogala: me baligi amo ba: i dagoi. Na da amo bagade hanaiba: le, lai dagoi. Dilia da na abula diasu ganodini amo liligi uli dogoi ganodini wamolegei dagoi ba: mu. Silifa da eno liligi hagudu dialebe ba: mu.”
22 Kwa hiyo Yoshua akatuma wajumbe, nao wakapiga mbio mpaka hemani, tazama, vile vitu vilikuwa vimefichwa hemani mwake, pamoja na ile fedha chini yake.
Amaiba: le, Yosiua da dunu mogili asunasi. Ilia da hehenane, wamolai liligi amo A: iga: ne ea abula diasu ganodini wamolegei dagoi ba: i. Amola silifa da hagudu dialebe ba: i.
23 Wakavichukua vile vitu toka mle hemani, wakamletea Yoshua pamoja na Waisraeli wote, na wakavitandaza mbele za Bwana.
Amo liligi huluane ilia da A: iga: ne abula diasuga gadili gaguli asili, Yosiua amola Isala: ili dunu huluane da gaguli asili, Hina Gode ba: ma: ne ligisi.
24 Basi Yoshua, pamoja na Israeli yote, wakamchukua Akani mwana wa Zera, pamoja na ile fedha, lile joho, ile kabari ya dhahabu, wanawe na binti zake, ngʼombe, punda na kondoo wake, hema yake pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo, wakavileta katika Bonde la Akori.
Yosiua amola Isala: ili dunu huluane da A: iga: ne, silifa, abula, gouli amola A: iga: ne ea dunu amola uda mano huluane, ea bulamagau, ea dougi, ea sibi amola ea abula diasu amo gaguli, Bidi Hamosu Fago sogebiga hiouginana asi.
25 Yoshua akasema, “Kwa nini umeleta taabu hii juu yetu? Bwana ataleta taabu juu yako leo hii.” Ndipo Israeli yote ikampiga Akani kwa mawe, na baada ya kuwapiga jamaa yake yote kwa mawe, wakawateketeza kwa moto.
Amola Yosiua da amane sia: i, “Dia da abuliba: le amo se nabasu ninima iaha. Hina Gode da wali dima se imunu.” Amalalu, dunu huluane da A: iga: ne igiga medole legei. Ilia da ea sosogo fi amola ea liligi huluane igiga medole lelegele, laluga gobesi.
26 Wakakusanya lundo la mawe juu ya Akani, ambalo lipo mpaka leo. Naye Bwana akageuka kutoka hasira yake kali. Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Bonde la Akori tangu siku hiyo.
Ilia da ea da: i hodo amo igi ligisisu bagade amoga dedeboi. Amo igi ligisisu da wali eso dialebe. Amaiba: le, amo fago sogebi ea dio da wali Bidi Hamosu Fago. Amalalu, Hina Gode da Ea gia: i bagade ougi fisi.

< Yoshua 7 >