< Yoshua 6 >
1 Basi malango ya Yeriko yalifungwa kwa uthabiti kwa ajili ya Waisraeli. Hakuna mtu yeyote aliyetoka au kuingia.
Agora Jericó estava bem fechada por causa das crianças de Israel. Ninguém saiu, e ninguém entrou.
2 Kisha Bwana akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeitia Yeriko mikononi mwako, pamoja na mfalme wake na watu wake wa vita.
Yahweh disse a Josué: “Eis que entreguei Jericó em suas mãos, com seu rei e os poderosos homens de valor.
3 Zunguka mji mara moja pamoja na watu wote wenye silaha. Fanya hivi kwa siku sita.
Todos os seus homens de guerra devem marchar pela cidade, contornando a cidade uma vez. Vocês farão isso seis dias.
4 Uwe na makuhani saba wakibeba mabaragumu ya pembe za kondoo dume mbele ya Sanduku. Siku ya saba, mzunguke mji mara saba, nao makuhani wakipiga baragumu hizo.
Sete sacerdotes levarão sete trombetas de chifres de carneiros diante da arca. No sétimo dia, marcharão pela cidade sete vezes, e os sacerdotes tocarão as trombetas.
5 Utakapowasikia wamepaliza sauti kubwa ya baragumu, watu wote wapige kelele kwa sauti kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na watu watapanda, kila mtu akiendelea mbele.”
Será que quando fizerem um longo sopro com a buzina do carneiro, e quando ouvirem o som da trombeta, todo o povo gritará com um grande grito; então a muralha da cidade cairá achatada, e o povo subirá, cada homem em frente a ele”.
6 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni akaita makuhani na kuwaambia, “Chukueni Sanduku la Agano la Bwana na makuhani saba wachukue baragumu za pembe za kondoo dume mbele yake.”
Josué, filho de Freira, chamou os sacerdotes e disse-lhes: “Levantem a arca da aliança e deixem sete sacerdotes levar sete trombetas de chifres de carneiros diante da arca de Yahweh”.
7 Naye akawaagiza watu, “Songeni mbele! Mkauzunguke mji, na walinzi wenye silaha watangulie mbele ya Sanduku la Bwana.”
Eles disseram ao povo: “Avancem! Marchem pela cidade e deixem os homens armados passar diante da arca de Yahweh”.
8 Baada ya Yoshua kuzungumza na watu, wale makuhani saba wenye kuzibeba zile baragumu saba mbele za Bwana, wakatangulia mbele, wakipiga baragumu zao na Sanduku la Agano la Bwana likawafuata.
Foi assim que, quando Josué falou ao povo, os sete sacerdotes com as sete trombetas dos cornos de carneiros antes de Javé avançaram e sopraram as trombetas, e a arca do pacto de Javé as seguiu.
9 Walinzi waliokuwa na silaha wakaenda mbele ya hao makuhani waliopiga hizo baragumu na hao walinzi wa nyuma wakafuata Sanduku. Wakati wote huu baragumu zilikuwa zikipigwa.
Os homens armados foram antes dos sacerdotes que tocaram as trombetas, e a arca foi atrás deles. As trombetas soaram enquanto eles iam.
10 Bali Yoshua alikuwa amewaagiza watu, “Msipige kelele ya vita, msipaze sauti zenu, wala kusema neno lolote mpaka siku ile nitakayowaambia mpige kelele. Ndipo mtapiga kelele!”
Josué ordenou ao povo, dizendo: “Não gritarás nem deixarás que tua voz seja ouvida, nem nenhuma palavra sairá de tua boca até o dia em que eu te disser para gritares. Então você gritará”.
11 Basi akalipeleka Sanduku la Bwana kuzungushwa huo mji, likizungushwa mara moja. Kisha watu wakarudi kambini kulala.
Então ele fez com que a arca de Javé percorresse a cidade, circundando-a uma vez. Então eles entraram no acampamento, e permaneceram no acampamento.
12 Yoshua akaamka mapema asubuhi iliyofuata nao makuhani wakalichukua Sanduku la Bwana.
Josué levantou-se de manhã cedo e os sacerdotes pegaram a arca de Iavé.
13 Wale Makuhani saba wakizibeba zile baragumu saba wakatangulia mbele ya Sanduku la Bwana wakizipiga. Watu wenye silaha wakatangulia mbele yao na walinzi wa nyuma wakalifuata Sanduku la Bwana, huku baragumu hizo zikiendelea kulia.
Os sete sacerdotes que levavam as sete trombetas de carneiros em frente à arca de Yahweh continuavam a tocar as trombetas. Os homens armados foram para a frente deles. A retaguarda veio depois da arca de Iavé. As trombetas tocaram enquanto iam.
14 Siku ya pili wakauzunguka mji mara moja na kurudi kambini. Wakafanya hivi kwa siku sita.
No segundo dia, eles marcharam uma vez pela cidade e voltaram ao acampamento. Eles fizeram isso seis dias.
15 Siku ya saba, wakaamka asubuhi na mapema wakauzunguka mji kama walivyokuwa wakifanya, isipokuwa siku ile waliuzunguka mji mara saba.
No sétimo dia, eles se levantaram cedo ao amanhecer do dia, e marcharam pela cidade da mesma forma sete vezes. Neste dia, apenas marcharam pela cidade sete vezes.
16 Walipouzunguka mara ya saba, makuhani walipopiga baragumu kwa sauti kubwa, Yoshua akawaamuru watu akisema, “Pigeni kelele! Kwa maana Bwana amewapa mji huu!
Na sétima vez, quando os sacerdotes tocaram as trombetas, Josué disse ao povo: “Grite, pois Javé lhe deu a cidade!
17 Mji huu pamoja na vyote vilivyomo ndani yake utawekwa wakfu kwa Bwana. Ila Rahabu tu, yule kahaba na wote ambao wako pamoja naye nyumbani mwake ndio watakaosalimishwa, kwa sababu aliwaficha wale wapelelezi tuliowatuma.
A cidade será dedicada, mesmo ela e tudo o que há nela, a Yahweh. Somente Rahab, a prostituta, viverá, ela e todos que estão com ela em casa, porque escondeu os mensageiros que enviamos.
18 Lakini mjiepushe na vitu vilivyowekwa wakfu, msije mkachukua chochote katika hivyo, msije mkajiletea maangamizi katika maskani ya Israeli na kuiletea taabu.
Mas, quanto a vocês, apenas se afastem do que é devotado à destruição, para que, quando o tiverem devotado, não tomem do que é devotado; assim fariam o acampamento de Israel amaldiçoado e o perturbariam.
19 Fedha yote na dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Bwana, lazima viletwe katika hazina yake.”
Mas toda a prata, ouro e vasos de bronze e ferro são sagrados para Iavé. Eles entrarão na tesouraria de Iavé”.
20 Wakati baragumu zilipopigwa, watu walipiga kelele, na katika sauti ya baragumu, na watu kupaza sauti, ukuta ukaanguka; hivyo kila mtu akapanda akiendelea mbele na kuuteka mji.
Então o povo gritou e os padres sopraram as trombetas. Quando o povo ouviu o som da trombeta, o povo gritou com um grande grito, e o muro caiu por terra, de modo que o povo subiu na cidade, todos os homens em frente a ele, e tomaram a cidade.
21 Wakauweka mji wakfu kwa Bwana, na kila chenye uhai ndani yake walikiangamiza kwa upanga, wanaume kwa wanawake, vijana kwa wazee, ngʼombe, kondoo na punda.
Eles destruíram completamente tudo o que havia na cidade, tanto homem como mulher, tanto jovem como velho, e boi, ovelha e burro, com o fio da espada.
22 Yoshua akawaambia wale watu wawili waliokuwa wameipeleleza nchi, “Nendeni nyumbani kwa yule kahaba, mleteni pamoja na wote waliomo nyumbani mwake, kulingana na kiapo chenu kwake.”
Josué disse aos dois homens que haviam espiado a terra: “Entrem na casa da prostituta e tragam a mulher e tudo o que ela tem de lá, como vocês juraram a ela”.
23 Basi wale vijana waliofanya upelelezi wakaenda kumleta Rahabu, baba yake na mama yake, na ndugu zake na watu wote waliokuwa pamoja naye. Wakaleta jamaa yake yote na kuwaweka mahali nje ya kambi ya Israeli.
Os jovens que eram espiões entraram e trouxeram Rahab com seu pai, sua mãe, seus irmãos e tudo o que ela tinha. Eles também trouxeram todos os parentes dela, e os colocaram fora do campo de Israel.
24 Kisha wakauchoma mji wote na kila kitu kilichokuwamo ndani yake. Lakini fedha, dhahabu, vyombo vya shaba na vya chuma wakaviweka katika hazina ya nyumba ya Bwana.
Eles queimaram a cidade com fogo, e tudo o que havia nela. Somente eles colocaram a prata, o ouro e os vasos de bronze e de ferro na tesouraria da casa de Yahweh.
25 Lakini Yoshua akamhifadhi Rahabu yule kahaba, jamaa yake yote na wote waliokuwa wa kwake, kwa sababu aliwaficha watu waliotumwa na Yoshua kuipeleleza Yeriko, naye anaishi miongoni mwa Waisraeli hata leo.
Mas Rahab, a prostituta, a casa de seu pai, e tudo o que ela tinha, Josué salvou vivo. Ela vive no meio de Israel até hoje, porque ela escondeu os mensageiros que Josué enviou para espionar Jericó.
26 Wakati ule Yoshua akatamka kiapo hiki akasema, “Aliyelaaniwa mbele za Bwana ni mtu atakayeinuka kuujenga tena mji huu wa Yeriko: “Kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza wa kiume ataiweka misingi yake; kwa gharama ya mtoto wake wa mwisho atayaweka malango yake.”
Josué os comandou com um juramento naquela época, dizendo: “Maldito é o homem diante de Javé que se levanta e constrói esta cidade Jericó. Com a perda de seu primogênito, ele lançará suas bases e, com a perda de seu filho mais novo, erguerá seus portões”.
27 Hivyo Bwana alikuwa pamoja na Yoshua, na sifa zake zikaenea katika nchi yote.
Então Yahweh estava com Josué; e sua fama estava em toda a terra.