< Yoshua 6 >

1 Basi malango ya Yeriko yalifungwa kwa uthabiti kwa ajili ya Waisraeli. Hakuna mtu yeyote aliyetoka au kuingia.
Tun Jericho mipite chun Israelte chu akichat jeh’un akhopiu kelkot chu akam chahkheh jengun ahi. Mi koimacha avadohsah pouvin lutjong alutsah pouvin ahi.
2 Kisha Bwana akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeitia Yeriko mikononi mwako, pamoja na mfalme wake na watu wake wa vita.
Ahinlah Pakaiyin Joshua kommah, “Hiche khopi leh alengpau chuleh asepaiteu jouse jong nakhutna kapehdoh ahitai.
3 Zunguka mji mara moja pamoja na watu wote wenye silaha. Fanya hivi kwa siku sita.
Nangleh nasepai chengsetoh nigup sunga hi nisehleh khopihi khatvei naveldiu ahi.
4 Uwe na makuhani saba wakibeba mabaragumu ya pembe za kondoo dume mbele ya Sanduku. Siku ya saba, mzunguke mji mara saba, nao makuhani wakipiga baragumu hizo.
Thingkong masanga hi thempu sagi in kelchalki khatcheh akichoijuva kijotdiu ahi. Ni sagi channileh nanghon hiche khopihi sagivei naveldiu ahi.
5 Utakapowasikia wamepaliza sauti kubwa ya baragumu, watu wote wapige kelele kwa sauti kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na watu watapanda, kila mtu akiendelea mbele.”
Thempuhon kelchalki ho chu ahinmut mutnuleh mipiten na-o neichasun sunnuva sangtah'a nasapdiu ahi. Hiteng chuleh khopi kulpi chu chimlhading, hiteng chuleh mipiho chu khopi sunga chu nalhailutnuva nadelkhum jengdiu ahi,” ati.
6 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni akaita makuhani na kuwaambia, “Chukueni Sanduku la Agano la Bwana na makuhani saba wachukue baragumu za pembe za kondoo dume mbele yake.”
Hitichun Joshua in thempuho chu akoukhommin hiti hin aseipeh tai, “Pakai kitepna thingkong chu puuvinlang, thempu sagi chun kelchalki kichoi cheh’unlang mipi masanga khun kijotnun” ati.
7 Naye akawaagiza watu, “Songeni mbele! Mkauzunguke mji, na walinzi wenye silaha watangulie mbele ya Sanduku la Bwana.”
Hijouchun aman mipiho chu thu apen, “Khopi vella chun kijotnun, galmanchah kichoi chengse chu Pakai thingkong masanga cheuhenlang mipichu lamkai juhen,” ati.
8 Baada ya Yoshua kuzungumza na watu, wale makuhani saba wenye kuzibeba zile baragumu saba mbele za Bwana, wakatangulia mbele, wakipiga baragumu zao na Sanduku la Agano la Bwana likawafuata.
Joshua’n mipiho komma thu anaseijouchun Thempu sagiho chun pengkul akichoi cheh’un Pakai masanga chun akijotnun pengkul ho chu amutnun ahi. Chuleh Pakai kitepna thingkong chu ajuijun ahi.
9 Walinzi waliokuwa na silaha wakaenda mbele ya hao makuhani waliopiga hizo baragumu na hao walinzi wa nyuma wakafuata Sanduku. Wakati wote huu baragumu zilikuwa zikipigwa.
Galmanchah kichoi phabep chu pengkul kichoi thempuho masanga akijotnun, loikhatchu thingkong nunglanga akijotnun, thempuho chun pengkul chu amutjom jingun ahi.
10 Bali Yoshua alikuwa amewaagiza watu, “Msipige kelele ya vita, msipaze sauti zenu, wala kusema neno lolote mpaka siku ile nitakayowaambia mpige kelele. Ndipo mtapiga kelele!”
Joshua’n thu ahinpen, “Koimachan kholhang samhih’un, paojong paopoh hih’un, keiman sammun kati tokah’in thu chengkhatcha jong nakammuva kon in gindohsah hih’un,” ati.
11 Basi akalipeleka Sanduku la Bwana kuzungushwa huo mji, likizungushwa mara moja. Kisha watu wakarudi kambini kulala.
Hitichun Pakai thingkong chu apuuvin hiche nikho chun khatvei khopi chu avellun, chujouvin abonchauvin ngahmun chu ajonnun agageh’un ahi.
12 Yoshua akaamka mapema asubuhi iliyofuata nao makuhani wakalichukua Sanduku la Bwana.
Ajingin Joshua chu jingkah matah’in akipatdoh’in ahileh thempuho jongchun Pakai thingkong chu apukitnun ahi.
13 Wale Makuhani saba wakizibeba zile baragumu saba wakatangulia mbele ya Sanduku la Bwana wakizipiga. Watu wenye silaha wakatangulia mbele yao na walinzi wa nyuma wakalifuata Sanduku la Bwana, huku baragumu hizo zikiendelea kulia.
Thempu sagi hochun pengkul chu akichoi cheh’un Pakai thingkong masanga chun akijotnun, pengkul chu amutnun ahi. Avellin, galmanchah kichoi hochu pengkul kichoi thempu ho masangleh Pakai thingkong puho nung’ah akijotnun ahi. Hiche sungse hin thempuho chun pengkul chu amut mutjingun ahi.
14 Siku ya pili wakauzunguka mji mara moja na kurudi kambini. Wakafanya hivi kwa siku sita.
Anini channa’in jong amahon khopi chu avelkitnun chujouvin ngahmunna ahung kile kitnun ahi. Hitobang hin nigup sungse chun abollun ahi.
15 Siku ya saba, wakaamka asubuhi na mapema wakauzunguka mji kama walivyokuwa wakifanya, isipokuwa siku ile waliuzunguka mji mara saba.
Ni sagi channa’in Israelte chu khovahlhah’in akipatdoh’un tumasanga abol bang bangun khopi chu avel kitnun ahi. Ahin tuchung ahin khopi chu sagivei avellun ahi.
16 Walipouzunguka mara ya saba, makuhani walipopiga baragumu kwa sauti kubwa, Yoshua akawaamuru watu akisema, “Pigeni kelele! Kwa maana Bwana amewapa mji huu!
Sagivei aveljouvun thempuhon pengkul thongjen junnin ahin mutphat uchun Joshua’n mipiho chu thu ahinpen, “Kholhang sammun! Pakaiyin hiche khopi hi nepeh’u ahitai!
17 Mji huu pamoja na vyote vilivyomo ndani yake utawekwa wakfu kwa Bwana. Ila Rahabu tu, yule kahaba na wote ambao wako pamoja naye nyumbani mwake ndio watakaosalimishwa, kwa sababu aliwaficha wale wapelelezi tuliowatuma.
Jericho khopi leh asunga umjouse hi Pakaiyin asuhmang sohkei ding ahitai: Rahab kijohnu leh ainsung mite jouse chu kihing hoiding ahi, ajeh chu amanun gamvelhi’a kibol hochu ana hoidoh sah’in ahi.
18 Lakini mjiepushe na vitu vilivyowekwa wakfu, msije mkachukua chochote katika hivyo, msije mkajiletea maangamizi katika maskani ya Israeli na kuiletea taabu.
Suhmang dinga um thilho chu khatcha suloh hihbeh’un, achutilouleh nangho jong nakisuhmang tha dingu ahi, chuleh Israel ngahmunna hi hamsetna nahin lhutkhumlo diu ahi.
19 Fedha yote na dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Bwana, lazima viletwe katika hazina yake.”
Amavang dangka le sana, chule thih le sum-eng’a kisem thilho chu Pakaija atheng ahin hicheho chu Pakai sumkholna a lutding ahi,” tin thupeh ana neitai.
20 Wakati baragumu zilipopigwa, watu walipiga kelele, na katika sauti ya baragumu, na watu kupaza sauti, ukuta ukaanguka; hivyo kila mtu akapanda akiendelea mbele na kuuteka mji.
Mipiho chun pengkul kimutgin chu ajahphatnun a-ou neichasunnun asammun ahileh Jericho kulpi chu achimlha jengin ahi. Hiche phat chun Israelten khopi sungchu anokhummun alatauve.
21 Wakauweka mji wakfu kwa Bwana, na kila chenye uhai ndani yake walikiangamiza kwa upanga, wanaume kwa wanawake, vijana kwa wazee, ngʼombe, kondoo na punda.
Amahon khopi sunga umho jouse, numei pasal, ateh akhang, bong, kelngoi, kelcha chuleh sangan abonchan asumang sohkeijun ahi.
22 Yoshua akawaambia wale watu wawili waliokuwa wameipeleleza nchi, “Nendeni nyumbani kwa yule kahaba, mleteni pamoja na wote waliomo nyumbani mwake, kulingana na kiapo chenu kwake.”
Hichun Joshua’n gamvelhia cheteni komma chun, nakitepna lhon dungjuijin akijohnu innachun lutlhonnin lang amanu le ainsung mite jouse chu gapuidoh lhonnin ati.
23 Basi wale vijana waliofanya upelelezi wakaenda kumleta Rahabu, baba yake na mama yake, na ndugu zake na watu wote waliokuwa pamoja naye. Wakaleta jamaa yake yote na kuwaweka mahali nje ya kambi ya Israeli.
Gamvelhia cheteni chu achelut lhonnin Rahab chu amatoh umkhom apale anu, asopiho le aisungmite jouse chutoh agapuidoh lhonnin ahi.
24 Kisha wakauchoma mji wote na kila kitu kilichokuwamo ndani yake. Lakini fedha, dhahabu, vyombo vya shaba na vya chuma wakaviweka katika hazina ya nyumba ya Bwana.
Hijouchun, Israelten khopi chu asunga umjouse toh ahallhauvin asumanghel tauvin ahi. Ahin sumle sana, chule sum-eng le thih-a kisem thilho vang chu Pakai sumkholna munnah akoijun ahi.
25 Lakini Yoshua akamhifadhi Rahabu yule kahaba, jamaa yake yote na wote waliokuwa wa kwake, kwa sababu aliwaficha watu waliotumwa na Yoshua kuipeleleza Yeriko, naye anaishi miongoni mwa Waisraeli hata leo.
Hitichun Joshua’n Rahab kijohnu chu insunga aumkhopi ainsung mite jouse toh ahuhdoh’in ahi, ajeh chu aman Jericho velhi dinga asolteni chu anaseldoh’a ana hoidohsah lhon ahi.
26 Wakati ule Yoshua akatamka kiapo hiki akasema, “Aliyelaaniwa mbele za Bwana ni mtu atakayeinuka kuujenga tena mji huu wa Yeriko: “Kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza wa kiume ataiweka misingi yake; kwa gharama ya mtoto wake wa mwisho atayaweka malango yake.”
Hichun, Joshua’n Jericho khopi chu anagaosap’in, “Koi hileh hiche Jericho khopi sapha go chanchu Pakai sapset changhen, tungdohgoa chu acha masapen’in loulo hen, akelkot tungdohgoa chu achapa lhumpen chaanlo hen,” ati.
27 Hivyo Bwana alikuwa pamoja na Yoshua, na sifa zake zikaenea katika nchi yote.
Hitichun Pakaiyin Joshua chu anaumpin hijeh chun gamsung pumpia chun amin ana kithanglheh jeng tan ahi.

< Yoshua 6 >