< Yoshua 6 >
1 Basi malango ya Yeriko yalifungwa kwa uthabiti kwa ajili ya Waisraeli. Hakuna mtu yeyote aliyetoka au kuingia.
Yeligou dunu da Isala: ili fi dunu ilima beda: iba: le, ilia moilai bai bagade gagoi logo ga: su da noga: le ga: i dagoi ba: i. Dunu da gadili masunu o ganodini misunu da hamedei.
2 Kisha Bwana akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeitia Yeriko mikononi mwako, pamoja na mfalme wake na watu wake wa vita.
Hina Gode da Yosiuama amane sia: i, “Na da Yeligou moilai bai bagade amola Yeligou hina bagade amola ea dadi gagui dunu huluane dima imunu.
3 Zunguka mji mara moja pamoja na watu wote wenye silaha. Fanya hivi kwa siku sita.
Di amola dia dadi gagui dunu amo sisiga: le masa. Eso gafeyale ganodini agoane hamoma.
4 Uwe na makuhani saba wakibeba mabaragumu ya pembe za kondoo dume mbele ya Sanduku. Siku ya saba, mzunguke mji mara saba, nao makuhani wakipiga baragumu hizo.
Gobele salasu dunu fesuale amo afae afae dalabede gaguli da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amoga bisili masunu. Eso fesuga dilia da Yeligou moilai bai bagade amo fesuale agoane sisiga: ma. Amola ahoasea, gobele salasu dunu da dalabede fulaboma: mu.
5 Utakapowasikia wamepaliza sauti kubwa ya baragumu, watu wote wapige kelele kwa sauti kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na watu watapanda, kila mtu akiendelea mbele.”
Amasea, ilia da dalabede ha: giwane sedagawane afadafa fulaboma: mu. Amo nabasea, dunu huluane da gilisili ha: giwane wele sia: ma: mu. Amasea, Yeligou moilai bai bagade gagoi amo da mugululi dagoi ba: mu. Amasea, dilia dadi gagui dunu huluane da hedolo moilai bai bagade fane legemusa: masa: mu.”
6 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni akaita makuhani na kuwaambia, “Chukueni Sanduku la Agano la Bwana na makuhani saba wachukue baragumu za pembe za kondoo dume mbele yake.”
Yosiua da gobele salasu dunu gilisili ilima amane sia: i, “Dilia Gode Ea Gousa: su Sema Gagili lale, dili dunu fesuale dalabede gaguiwane amoga bisili masa.”
7 Naye akawaagiza watu, “Songeni mbele! Mkauzunguke mji, na walinzi wenye silaha watangulie mbele ya Sanduku la Bwana.”
Amalalu, e da dunu huluane ilima amane sia: i, “Defea! Gusuba: i masa! Ilegei dunu dadi gaguiwane Gode Ea Gousa: su Sema Gagili bisima. Eno dunu huluane fa: no bobogele moilai sisiga: ma.”
8 Baada ya Yoshua kuzungumza na watu, wale makuhani saba wenye kuzibeba zile baragumu saba mbele za Bwana, wakatangulia mbele, wakipiga baragumu zao na Sanduku la Agano la Bwana likawafuata.
9 Walinzi waliokuwa na silaha wakaenda mbele ya hao makuhani waliopiga hizo baragumu na hao walinzi wa nyuma wakafuata Sanduku. Wakati wote huu baragumu zilikuwa zikipigwa.
Yosiua ea sia: i defele, ilegei sosodo aligisu dunu da bisili, fa: no gobele salasu dunu fesuale da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli amola dalabede fulabosa asi. Amola fa: no dunu huluane da asili, Yeligou moilai bai bagade sisiga: le asi. Dalabede sia: bagade nabi.
10 Bali Yoshua alikuwa amewaagiza watu, “Msipige kelele ya vita, msipaze sauti zenu, wala kusema neno lolote mpaka siku ile nitakayowaambia mpige kelele. Ndipo mtapiga kelele!”
Be Yosiua da dunu huluane ilima ouiya: ma: ne sia: beba: le, e da ilima bu sia: beba: le fawane wele sia: ma: ne sia: i.
11 Basi akalipeleka Sanduku la Bwana kuzungushwa huo mji, likizungushwa mara moja. Kisha watu wakarudi kambini kulala.
Dunu da Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli afae fawane moilai bai bagade sisiga: mu sia: i. Amalalu, ilia da abula diasu gilisisuga bu misini, golai.
12 Yoshua akaamka mapema asubuhi iliyofuata nao makuhani wakalichukua Sanduku la Bwana.
13 Wale Makuhani saba wakizibeba zile baragumu saba wakatangulia mbele ya Sanduku la Bwana wakizipiga. Watu wenye silaha wakatangulia mbele yao na walinzi wa nyuma wakalifuata Sanduku la Bwana, huku baragumu hizo zikiendelea kulia.
Yosiua da golale, hahabedafa wa: legadole, gobele salasu amola dadi gagui da ilia musa: hamoi defele, Yeligou moilai bai bagade sisiga: i. Ilegei dadi gagui bisili, amalalu gobele salasu fesuale dalabede fulabolala asi, amalu gobele salasu dunu Hina Gode Ea Gousa: su Sema Gagili gaguli asili, fa: no dunu huluane. Dalabede da fulabosa dalebe nabi.
14 Siku ya pili wakauzunguka mji mara moja na kurudi kambini. Wakafanya hivi kwa siku sita.
Eso ageyaduga ilia da Yeligou moilai bai bagade afae fawane sisiga: le, abula diasuga buhagi. Ilia da eso gafeyale amoga agoane hou hamosu.
15 Siku ya saba, wakaamka asubuhi na mapema wakauzunguka mji kama walivyokuwa wakifanya, isipokuwa siku ile waliuzunguka mji mara saba.
Eso fesuga ilia da hahabedafa wa: legadole, ilia musa: hou defele Yeligou moilai bai bagade amo fesuale agoane sisiga: i.
16 Walipouzunguka mara ya saba, makuhani walipopiga baragumu kwa sauti kubwa, Yoshua akawaamuru watu akisema, “Pigeni kelele! Kwa maana Bwana amewapa mji huu!
Amo esoha, ilia da fesuale sisiga: lala, Yosiua da dunu huluane wele sia: ma: ne sia: i. E da ilima amane sia: i, “Hina Gode da Yeligou moilai bai bagade dilima i dagoi.
17 Mji huu pamoja na vyote vilivyomo ndani yake utawekwa wakfu kwa Bwana. Ila Rahabu tu, yule kahaba na wote ambao wako pamoja naye nyumbani mwake ndio watakaosalimishwa, kwa sababu aliwaficha wale wapelelezi tuliowatuma.
Moilai bai bagade amola liligi huluane amo ganodini diala amo Godema gobele salasu agoane ima: ne, wadela: lesima. Be hina: da: i bidi lasu uda La: iha: be amola ea sosogo fi, amo fawane mae medole legema. Bai e da ninia desega ahoasu dunu ela wamolegei.
18 Lakini mjiepushe na vitu vilivyowekwa wakfu, msije mkachukua chochote katika hivyo, msije mkajiletea maangamizi katika maskani ya Israeli na kuiletea taabu.
Be liligi huluane wadela: lesima. Dilia liligi mae lama. Agoane hamosea, Isala: ili dunu huluane da se bagade nabimu.
19 Fedha yote na dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa Bwana, lazima viletwe katika hazina yake.”
Be liligi eno amo da silifa, gouli o balasi amoga hamoi, amo huluane da Hina Godema ima: ne ilegei. Amo huluane dilia Hina Gode Ea muni ligisisu ganodini salima.
20 Wakati baragumu zilipopigwa, watu walipiga kelele, na katika sauti ya baragumu, na watu kupaza sauti, ukuta ukaanguka; hivyo kila mtu akapanda akiendelea mbele na kuuteka mji.
Amasea, gobele salasu dunu da dalabede fulaboi. Amo nababeba: le, dunu huluane da ha: giwane wele sia: i. Amalalu, Yeligou ea gagoi da mugululi sa: i dagoi. Amalalu, Isala: ili dadi gagui dunu huluane da moloiwane agoloba: le heda: le, Yeligou moilai bai bagade doagala: le lai dagoi.
21 Wakauweka mji wakfu kwa Bwana, na kila chenye uhai ndani yake walikiangamiza kwa upanga, wanaume kwa wanawake, vijana kwa wazee, ngʼombe, kondoo na punda.
Ilia da dunu, uda amola mano huluane moilai bai bagade ganodini esala, amo gobiheiga medole legei dagoi. Ilia da bulamagau, sibi amola dougi huluane medole legei.
22 Yoshua akawaambia wale watu wawili waliokuwa wameipeleleza nchi, “Nendeni nyumbani kwa yule kahaba, mleteni pamoja na wote waliomo nyumbani mwake, kulingana na kiapo chenu kwake.”
Amalalu, Yosiua da musa: desega ahoasu dunu aduna elama amane sia: i, “Alia amo musa: wadela: i hamosu uda amo ea diasuga asili, e amola ea sosogo fi ali da ema sia: i defele, gadili oule misa.”
23 Basi wale vijana waliofanya upelelezi wakaenda kumleta Rahabu, baba yake na mama yake, na ndugu zake na watu wote waliokuwa pamoja naye. Wakaleta jamaa yake yote na kuwaweka mahali nje ya kambi ya Israeli.
Amaiba: le, ela da asili, La: iha: be, ea eda, ame, yolalali amola sosogo fi gadili oule misi. Ili gaga: ma: ne, ela da sosogo fi amola ilia udigili hawa: hamosu dunu amo Isala: ili abula diasu gilisisuga oule asi.
24 Kisha wakauchoma mji wote na kila kitu kilichokuwamo ndani yake. Lakini fedha, dhahabu, vyombo vya shaba na vya chuma wakaviweka katika hazina ya nyumba ya Bwana.
Amalalu, Isala: ili dunu da Yeligou moilai bai bagade amola liligi huluane amo ganodini diala amo laluga gobesi dagoi. Be liligi amo gouli, silifa, balasi amola amoga hamoi huluane ilia da lale, Hina Gode Ea muni ligisisu ganodini sali.
25 Lakini Yoshua akamhifadhi Rahabu yule kahaba, jamaa yake yote na wote waliokuwa wa kwake, kwa sababu aliwaficha watu waliotumwa na Yoshua kuipeleleza Yeriko, naye anaishi miongoni mwa Waisraeli hata leo.
Be Yosiua da musa: wadela: le hamosu uda La: iha: be amola ea sosogo fi hame medole legei. Bai e da desega ahoasu dunu amo Yosiua da Yeligou moilai bai bagadega asunasi, amo wamoaligi. (La: iha: be egaga fi da Isala: ili soge ganodini esalu amola wali eso esalebe.)
26 Wakati ule Yoshua akatamka kiapo hiki akasema, “Aliyelaaniwa mbele za Bwana ni mtu atakayeinuka kuujenga tena mji huu wa Yeriko: “Kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza wa kiume ataiweka misingi yake; kwa gharama ya mtoto wake wa mwisho atayaweka malango yake.”
Amo esoha, Yosiua da sisasu olelei, amane, “Nowa dunu da Yeligou moilai bai bagade bu gagusia da Hina Gode Ea gagabusu aligima: ne ba: mu. Nowa da amo moilai bai bagade ea bai gagusia da ea magobo mano fisi dagoi ba: mu. Amola nowa da amo moilai bai bagade ea gagoi logo ga: su gagusia da ea ufi mano fisi dagoi ba: mu.”
27 Hivyo Bwana alikuwa pamoja na Yoshua, na sifa zake zikaenea katika nchi yote.
Hina Gode da Yosiua fidimusa: sigi esalu. Soge huluane amo ganodini, dunu huluane da Yosiua ea gasa bagade hou nabi dagoi.