< Yoshua 4 >

1 Wakati taifa lote lilipokwisha kuvuka Mto Yordani, Bwana akamwambia Yoshua,
And whanne thei weren passid ouer, the Lord seide to Josue,
2 “Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa watu, kila kabila mtu mmoja,
Chese thou twelue men,
3 nawe uwaambie wachukue mawe kumi na mawili katikati ya Mto Yordani, palepale makuhani waliposimama, wayachukue na kuyaweka mahali mtakapokaa usiku huu wa leo.”
by ech lynage o man, and comaunde thou to hem, that thei take fro the myddis of the trow of Jordan, where the `feet of preestis stoden, twelue hardiste stoonys; whiche thou schalt sette in the place of castels, where ye schulen sette tentis in this nyyt.
4 Basi Yoshua akawaita watu kumi na wawili ambao alikuwa amewachagua kutoka miongoni mwa Waisraeli, mtu mmoja kutoka kila kabila,
And Josue clepide twelue men, whiche he hadde chose of the sones of Israel, of ech lynage o man;
5 naye akawaambia, “Mtangulie mbele ya Sanduku la Bwana Mungu wenu, mwende katikati ya Mto Yordani. Kila mmoja wenu atainua jiwe begani mwake, kufuatana na hesabu ya makabila ya Waisraeli,
and he seide to hem, Go ye bifore the arke of youre Lord God to the myddis of Jordan, and bere ye fro thennus in youre schuldris ech man o stoon, bi the noumbre of the sones of Israel,
6 kuwa kama ishara katikati yenu. Siku zijazo, wakati watoto wenu watakapowauliza, ‘Ni nini maana ya mawe haya?’
that it be a signe bitwixe you. And whanne youre sones schulen axe you to morewe, that is, in tyme `to comynge, and schulen seie, What wolen these stonus `to hem silf?
7 waambieni kwamba maji ya Mto Yordani yaliyokuwa yakitiririka yalitindika mbele ya Sanduku la Agano la Bwana. Wakati lilipovuka Yordani, maji ya Yordani yalitindika. Mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.”
ye schulen answere to hem, The watris of Jordan failiden bifor the arke of boond of pees of the Lord, whanne the arke passide Jordan; therfor these stoonus ben set in to mynde of the sones of Israel, til in to withouten ende.
8 Hivyo Waisraeli wakafanya kama Yoshua alivyowaagiza. Wakachukua mawe kumi na mawili kutoka katikati ya Mto Yordani, kulingana na hesabu ya kabila za Waisraeli kama Bwana alivyomwambia Yoshua, nao wakayabeba hadi kambini mwao, mahali walipoyatua chini.
Therfor the sones of Israel diden as Josue comaundide to hem, and baren fro the myddis of the trow of Jordan twelue stoonys, as the Lord comaundide to hem, bi the noumbre of the sones of Israel, `til to the place in which thei settiden tentis; and there thei puttiden tho stonys.
9 Yoshua akayasimamisha yale mawe kumi na mawili ambayo yalikuwa katikati ya Mto Yordani, mahali pale ambapo miguu ya makuhani waliobeba Sanduku la Agano iliposimama. Nayo yako huko mpaka leo.
Also Josue puttide othire twelue stoonys in the myddis of the trow of Jordan, where the preestis stoden, that baren the arke of boond of pees of the Lord; and tho stoonys ben there `til in to present dai.
10 Makuhani waliobeba lile Sanduku walibakia wakiwa wamesimama katikati ya Mto Yordani mpaka kila kitu Bwana alichomwamuru Yoshua kilipokuwa kimefanywa na watu, sawasawa na vile Mose alivyokuwa amemwamuru Yoshua. Watu wakafanya haraka kuvuka,
Forsothe the preestis, that baren the arke, stoden in the myddis of Jordan, til alle thingis weren fillid, whiche the Lord comaundide, that Josue schulde speke to the puple, as Moises hadde seide to hym. And the puple hastide, and passide.
11 na mara tu watu wote walipokwisha kuvuka, Sanduku la Bwana na makuhani wakavuka watu wakiwa wanatazama.
And whanne alle men hadden passid, also the arke of the Lord passide, and the preestis yeden bifor the puple.
12 Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakavuka mbele ya Waisraeli, wakiwa wamevaa silaha, kama Mose alivyowaamuru.
Also the sones of Ruben, and of Gad, and half the lynage of Manasse, yeden armed bifor the sones of Israel, as Moyses comaundide to hem.
13 Kiasi cha watu 40,000 waliojiandaa kwa vita walivuka mbele za Bwana hadi nchi tambarare za Yeriko kwa ajili ya vita.
And fourti thousynde of fiyters yeden bi her cumpanyes and gaderyngis on the pleyn and feeldi places of the citee of Jerico.
14 Siku ile Bwana akamtukuza Yoshua mbele ya Israeli yote, nao wakamheshimu siku zote za maisha yake, kama vile walivyomheshimu Mose.
In that day the Lord magnyfiede Josue bifor al Israel, that thei schulden drede hym, as thei dreden Moises, while he lyuede yit.
15 Basi Bwana akamwambia Yoshua,
And the Lord seide to Josue,
16 “Waamuru hao makuhani wanaolibeba Sanduku la Ushuhuda, wapande kutoka ndani ya Mto Yordani.”
Comaunde thou to the preestis that beren the arke of boond of pees, that thei stie fro Jordan.
17 Kwa hiyo Yoshua akawaamuru hao makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya Mto Yordani.”
And Josue comaundide to hem, and seide, Stie ye fro Jordan.
18 Nao makuhani wakapanda kutoka ndani ya Mto Yordani wakilibeba hilo Sanduku la Agano la Bwana. Mara tu walipoiweka miguu yao penye kingo, nje ya mto, maji ya Yordani yakarudi kufurika kama ilivyokuwa kabla.
And whanne thei hadden stied, berynge the arke of boond of pees of the Lord, and hadde bigunne to trede on the drie erthe, the watris turneden ayen in to her trowe, and flowiden, as tho weren wont before.
19 Siku ya kumi ya mwezi wa kwanza watu walipanda kutoka Yordani na kupiga kambi huko Gilgali, kwenye mpaka wa mashariki ya Yeriko.
Forsothe the puple stiede fro Jordan in the tenthe dai of the firste monethe, and thei settiden tentis in Galgalis, ayens the eest coost of the citee of Jerico.
20 Naye Yoshua akayasimamisha huko Gilgali yale mawe kumi na mawili ambayo walikuwa wameyachukua katikati ya Mto Yordani.
Also Josue puttide in Galgalis the twelue stonys, whiche thei hadden take fro the trow of Jordan.
21 Akawaambia Waisraeli, “Wazao wenu watakapowauliza baba zao siku zijazo wakisema, ‘Mawe haya maana yake ni nini?’
And he seide to the sones of Israel, Whanne youre sones schulen axe to morewe her fadris, and schulen seie to hem, What wolen these stoonys `to hem silf?
22 Basi waambieni, ‘Israeli ilivukia mahali pakavu katika Mto Yordani.’
ye schulen teche hem, and ye schulen seie, We passiden this Jordan bi the drie botme,
23 Kwa maana Bwana Mungu wenu alikausha maji ya Yordani mbele yenu, hadi mlipomaliza kuvuka. Bwana Mungu wenu alifanya haya kwa Mto Yordani sawasawa na kile alichoifanyia Bahari ya Shamu wakati alipoikausha mbele yetu hadi tulipomaliza kuvuka.
for oure Lord God driede the watris therof in oure siyt, til we passiden, as he dide bifore in the Reed See, which he driede while we passiden,
24 Alifanya hivi ili kwamba mataifa yote ya dunia yapate kujua kuwa mkono wa Bwana ni wenye nguvu, na ili kwamba kila wakati mpate kumcha Bwana Mungu wenu.”
that alle the puplis of londis lurne the strongeste hond of the Lord, that also ye drede youre Lord God in al tyme.

< Yoshua 4 >