< Yoshua 24 >
1 Ndipo Yoshua akaita pamoja makabila yote ya Israeli huko Shekemu. Akawaita wazee, viongozi, waamuzi na maafisa wa Israeli, nao wakaja mbele za Mungu.
Shromáždil pak Jozue všecka pokolení Izraelská v Sichem a svolal starší Izraelské a přední z nich, i soudce a správce jejich, i postavili se před oblíčejem Božím.
2 Yoshua akawaambia watu wote, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Hapo zamani baba zenu, pamoja na Tera baba yake Abrahamu na Nahori, waliishi ngʼambo ya Mto nao waliiabudu miungu mingine.
I řekl Jozue všemu lidu: Toto praví Hospodin Bůh Izraelský: Za řekou bydlili otcové vaši za starodávna, jmenovitě Táre, otec Abrahamův a otec Náchorův, a sloužili bohům cizím.
3 Lakini nilimwondoa baba yenu Abrahamu kutoka nchi hiyo ngʼambo ya Mto, nami nikamwongoza katika nchi yote ya Kanaani, nikampa wazao wengi. Nikampa Isaki,
I vzal jsem otce vašeho Abrahama z místa, kteréž jest za řekou, a provedl jsem jej skrze všecku zemi Kananejskou, a rozmnožil jsem símě jeho, dav jemu Izáka.
4 naye Isaki nikampa Yakobo na Esau. Esau nikampa nchi ya vilima ya Seiri, lakini Yakobo pamoja na wanawe wakashuka Misri.
A Izákovi dal jsem Jákoba a Ezau. I dal jsem Ezau horu Seir, aby vládl jí; Jákob pak a synové jeho sstoupili do Egypta.
5 “‘Kisha nikawatuma Mose na Aroni, nami nikawapiga Wamisri kwa kile nilichokitenda huko, tena nikawatoa ninyi huko.
I poslal jsem Mojžíše a Arona, a zbil jsem Egypt, a když jsem to učinil u prostřed něho, potom vyvedl jsem vás.
6 Nilipowatoa baba zenu Misri, mlifika kwenye bahari, nao Wamisri wakawafuatia baba zenu kwa magari na wapanda farasi mpaka kwenye Bahari ya Shamu.
A vyvedl jsem otce vaše z Egypta, i přišli jste k moři, a honili Egyptští otce vaše s vozy a jezdci až k moři Rudému.
7 Lakini wakamlilia Bwana wakitaka msaada, naye akaweka giza kati yenu na Wamisri, akaileta bahari juu yao ikawafunika. Ninyi mliona kwa macho yenu wenyewe kile nilichowatendea Wamisri. Kisha mliishi jangwani kwa muda mrefu.
Tedy volali k Hospodinu, kterýž postavil mrákotu mezi vámi a Egyptskými, a uvedl na ně moře, i zatopilo je; anobrž viděly oči vaše i to, co jsem učinil při Egyptu, a bydlili jste na poušti za dlouhý čas.
8 “‘Nikawaleta katika nchi ya Waamori ambao waliishi mashariki mwa Yordani. Wakapigana nanyi, lakini nikawatia mikononi mwenu. Nikawaangamiza mbele yenu nanyi mkaimiliki nchi yao.
Potom uvedl jsem vás do země Amorejského, kterýž bydlil za Jordánem, a bojovali s vámi; i dal jsem je v ruku vaši, a opanovali jste zemi jejich, a zahladil jsem je před tváří vaší.
9 Wakati Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, alipojiandaa kupigana dhidi ya Israeli, alimwita Balaamu mwana wa Beori apate kuwalaani.
Povstal pak Balák syn Seforův, král Moábský, a bojoval s Izraelem; i poslav, povolal Baláma syna Beorova, aby zlořečil vám.
10 Lakini sikumkubali Balaamu, kwa hiyo aliwabariki tena na tena, nami niliwaokoa toka mkononi mwake.
Ale nechtěl jsem slyšeti Baláma, pročež stále dobrořečil vám, a tak vysvobodil jsem vás z ruky jeho.
11 “‘Ndipo mlipovuka Yordani mkafika Yeriko. Raiya wa Yeriko wakapigana nanyi, kama walivyofanya Waamori, Waperizi, Wakanaani, Wahiti, Wagirgashi, Wahivi na Wayebusi, lakini niliwatia mikononi mwenu.
A když jste přešli Jordán, přišli jste k Jerichu; i bojovali proti vám muži Jericha, Amorejští, a Ferezejští, a Kananejští, a Hetejští, a Gergezejští, a Hevejští, a Jebuzejští, a dal jsem je v ruku vaši.
12 Nikatuma manyigu mbele yenu, ambao pia waliwafukuza mbele yenu, hao wafalme wawili wa Waamori. Siyo upanga au upinde wenu wenyewe vilivyowapatia ushindi.
Poslal jsem před vámi i sršně, kteřížto vyhnali je od tváři vaší, dva krále Amorejské; ne mečem ani lučištěm svým tys je vyhnal.
13 Hivyo nikawapa ninyi nchi ambayo hamkuitaabikia na miji ambayo hamkuijenga na mnaishi ndani yake na kula toka kwa mashamba ya mizabibu na mizeituni msiyoipanda.’
A dal jsem vám zemi, v níž jste nepracovali, a města, kterýchž jste nestavěli, v nichž bydlíte; vinic a olivoví, kteréhož jste neštípili, užíváte.
14 “Sasa basi mcheni Bwana na kumtumikia kwa uaminifu wote. Itupeni mbali miungu ambayo baba zenu waliiabudu huko ngʼambo ya Mto Frati na huko Misri, nanyi mtumikieni Bwana.
Protož nyní bojte se Hospodina, a služte jemu v dokonalosti a v pravdě, a odvrzte bohy, jimž sloužili otcové vaši za řekou a v Egyptě, a služte Hospodinu.
15 Lakini msipoona vyema kumtumikia Bwana, chagueni hivi leo mtakayemtumikia, kama ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ngʼambo Frati, au miungu ya Waamori, ambao mnakaa katika nchi yao. Lakini mimi na nyumba yangu, tutamtumikia Bwana.”
Pakli se vám zdá zle sloužiti Hospodinu, vyvolte sobě dnes, komu byste sloužili, buď bohy, jimž sloužili otcové vaši, kteříž byli za řekou, buď bohy Amorejských, v jichž zemi bydlíte; jáť pak a dům můj sloužiti budeme Hospodinu.
16 Ndipo hao watu wakajibu, “Hili jambo liwe mbali nasi la kumsahau Bwana na kuitumikia miungu mingine!
Jemuž odpověděl lid, řka: Odstup to od nás, abychom opustiti měli Hospodina a sloužiti bohům cizím.
17 Bwana Mungu wetu mwenyewe ndiye alitutoa sisi na baba zetu akatupandisha kutoka Misri, kutoka nchi ile ya utumwa, na kutenda zile ishara kubwa mbele ya macho yetu. Ndiye aliyetulinda katika safari yetu yote na kutokana na mataifa yote ambayo tulipita katikati yao.
Nebo Hospodin Bůh náš onť jest, kterýž vyvedl nás i otce naše z země Egyptské, z domu služebnosti, a kterýž činil před očima našima znamení ta veliká, a choval nás na vší cestě, po níž jsme šli, a mezi všemi národy, skrze něž jsme prošli.
18 Bwana akayafukuza mbele yetu mataifa yote pamoja na Waamori, walioishi katika nchi hii. Hivyo sisi nasi tutamtumikia Bwana kwa kuwa yeye ndiye Mungu wetu.”
A vypudil Hospodin všecky národy, zvláště Amorejského, obyvatele země této, před tváří naší; my také sloužiti budeme Hospodinu, nebo on jest Bůh náš.
19 Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia Bwana. Yeye ni Mungu Mtakatifu, ni Mungu mwenye wivu. Hatasamehe uasi wenu na dhambi zenu.
I řekl Jozue lidu: Nebudete moci sloužiti Hospodinu, nebo Bůh svatý jest, Bůh silný horlivý jest, nesnese nepravostí vašich a hříchů vašich.
20 Ikiwa mkimwacha Bwana na kuitumikia miungu migeni, atageuka na kuwaleteeni maafa na kuwaangamiza, baada ya kuwa mwema kwenu.”
Jestliže byste opustíce Hospodina, sloužili bohům cizozemců, obrátí se a zle učiní vám, a zkazí vás, poněvadž prvé dobře učinil vám.
21 Lakini watu wakamwambia Yoshua, “Sivyo! Sisi tutamtumikia Bwana.”
Jemuž odpověděl lid: Nikoli, ale Hospodinu sloužiti budeme.
22 Ndipo Yoshua akawaambia, “Ninyi mmekuwa mashahidi juu yenu wenyewe kuwa mmechagua kumtumikia Bwana.” Nao wakajibu, “Ndiyo, tu mashahidi.”
I řekl Jozue lidu: Svědkové budete sami proti sobě, že jste sobě vyvolili Hospodina, abyste jemu sloužili. Tedy odpověděli: Svědkové jsme.
23 Yoshua akawaambia, “Sasa basi, itupeni mbali hiyo miungu migeni iliyo katikati yenu, nanyi mtoleeni Bwana, Mungu wa Israeli, mioyo yenu.”
Jimž on řekl: Odvrztež tedy nyní bohy cizozemců, kteříž jsou u prostřed vás, a nakloňte srdcí svých k Hospodinu Bohu Izraelskému.
24 Nao watu wakamwambia Yoshua, “Tutamtumikia Bwana Mungu wetu na kumtii yeye.”
Odpověděl lid Jozue: Hospodinu Bohu našemu sloužiti a hlasu jeho poslouchati budeme.
25 Siku ile Yoshua akafanya agano kwa ajili ya watu na hapo Shekemu ndipo alipowaandikia amri na sheria.
A tak učinil Jozue toho dne smlouvu s lidem, a předložil jim ustanovení a soudy v Sichem.
26 Naye Yoshua akayaandika mambo haya katika Kitabu cha Sheria ya Mungu. Ndipo akalitwaa jiwe kubwa, akalisimamisha huko chini ya mwaloni, karibu na mahali patakatifu pa Bwana.
A zapsal Jozue slova ta do knihy zákona Božího; vzav také kámen veliký, postavil jej tu pod dubem, kterýž byl u svatyně Hospodinovy.
27 Yoshua akawaambia watu wote, “Angalieni! Jiwe hili litakuwa shahidi juu yetu. Limesikia maneno yote Bwana aliyotuambia. Litakuwa shahidi juu yenu kama mtakuwa waongo kwa Mungu wenu.”
I řekl Jozue všemu lidu: Aj, kámen tento bude mezi námi na svědectví, nebo on slyšel všecka slova Hospodinova, kteráž mluvil s námi, a bude na svědectví proti vám, abyste snad neklamali proti Bohu svému.
28 Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.
A rozpustil Jozue lid, jednoho každého do dědictví jeho.
29 Baada ya mambo haya, Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Bwana akafa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.
I stalo se po vykonání těch věcí, že umřel Jozue syn Nun, služebník Hospodinův, jsa ve stu a desíti letech.
30 Nao wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Sera katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima wa Gaashi.
A pochovali ho v krajině dědictví jeho, v Tamnatsáre, kteréž jest na hoře Efraim k straně půlnoční hory Gás.
31 Israeli wakamtumikia Bwana siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, ambao waliona kila kitu Bwana alichowatendea Israeli.
I sloužil Izrael Hospodinu po všecky dny Jozue, i po všecky dny starších, kteříž dlouho živi byli po Jozue, a kteříž povědomi byli všech skutků Hospodinových, kteréž učinil Izraelovi.
32 Nayo ile mifupa ya Yosefu, ambayo Waisraeli waliipandisha kutoka huko Misri, wakaizika huko Shekemu kwenye eneo, ambalo Yakobo alilinunua kwa wana wa Hamori baba yake Shekemu, kwa vipande mia vya fedha. Eneo hili likawa ni urithi wa uzao wa Yosefu.
Kosti pak Jozefovy, kteréž byli vynesli synové Izraelští z Egypta, pochovali v Sichem, v dílu pole, kteréž koupil Jákob od synů Emora otce Sichemova za sto peněz; i byly u synů Jozefových v dědictví jejich.
33 Naye Eleazari mwana wa Aroni akafariki akazikwa huko Gibea, mlima aliokuwa amepewa mtoto wake Finehasi, kwenye nchi ya vilima ya Efraimu.
Eleazar také, syn Aronův, umřel, a pochovali jej na pahrbku Fínesa syna jeho, kterýž dán byl jemu na hoře Efraim.