< Yoshua 23 >

1 Baada ya muda mrefu kupita, naye Bwana akawa amewapa Israeli pumziko mbele ya adui zao wote waliowazunguka, Yoshua, wakati huo akiwa mzee na umri ukiwa umeendelea sana,
BAWIPA ni a tengpam kaawm e tarannaw abuemlae kut dawk hoi Isarel miphunnaw a hlout sak teh, roumnae hah atueng moikasawlah a poe hnukkhu, Joshua teh a kumcue teh a matawng toung dawkvah,
2 akawaita Israeli wote, wazee wao, viongozi, waamuzi na maafisa Yoshua akawaambia: “Mimi ni mzee na umri wangu umeendelea sana.
Isarel miphun a kum kacuenaw, bawinaw, lawkcengkungnaw hah a kaw teh, kai teh ka kumcue toung dawkvah, ka matawng toe.
3 Ninyi wenyewe mmeona kila kitu Bwana Mungu wenu, alichowatendea mataifa haya yote kwa ajili yenu. Ilikuwa ni Bwana Mungu wenu aliyewapigania.
Nangmae Cathut teh nangmouh hanelah, hete miphun abuemlah dawkvah, a sak e pueng hah nangmouh ni na panue awh toe. Nangmae BAWIPA ni nangmouh koe lah, taran a tuk toe.
4 Kumbukeni jinsi nilivyowagawia kama urithi kwa makabila yenu yote nchi ya mataifa yaliyobaki, yaani mataifa niliyowashinda, kati ya Mto Yordani na Bahari kuu upande wa magharibi.
Jordan palang hoi kamtawng teh, kanîloum tuipui totouh, kai ni ka tâ e miphunnaw hoi kaawm rae hete miphun a onae ram hah, nangmae miphunnaw ni râw coe hanelah, cungpam ka rayu awh teh, kai ni na rei awh toe.
5 Bwana Mungu wenu mwenyewe atawaondoa watoke mbele yenu. Atawafukuza mbele yenu, nanyi mtamiliki nchi yao, kama vile Bwana Mungu wenu alivyowaahidi.
Nangmae BAWIPA ni lawkkam e patetlah hete miphunnaw hah, pâlei awh nateh, nangmouh ni na hmu hoeh nahanlah, a pâlei vaiteh, ahnimae talai hah, nangmouh ni abuemlah na coe awh han.
6 “Kuweni hodari sana, kuweni waangalifu kutii yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria ya Mose, pasipo kugeuka upande wa kuume au kushoto.
Hatdawkvah, nangmouh ni Mosi e phunglawk cauk dawk e lamthung hoi aranglah, avoilah phen laipalah, kaawm e patetlah na tarawi hanelah thoseh,
7 Msishirikiane na mataifa yaliyobakia katikati yenu, wala msiombe kwa majina ya miungu yao au kuapa kwayo. Msiitumikie wala kuisujudia.
nangmouh koe kaawm rae, hete miphunnaw hoi kâkalawt awh hanh. Ahnimae cathut min lahoi thoebo awh han, a hmalah khokcuengkhuem awh hanh, na lûsaling sin awh han.
8 Bali mtashikamana kwa uthabiti na Bwana, Mungu wenu, kama vile ambavyo mmefanya mpaka sasa.
Sahnin totouh na tarawi e patetlah, nangmae BAWIPA Cathut dawk kâhnai awh nahanelah taranhawinae lungthin tawn awh.
9 “Bwana amewafukuza mbele yenu mataifa makubwa na yenye nguvu, mpaka siku ya leo hakuna yeyote aliyeweza kusimama mbele yenu.
Bangkongtetpawiteh, kalen ni teh a thakaawmpounge miphunnaw hah, BAWIPA ni nangmae hmalah a pâlei teh sahnin totouh nangmae hmalah, pihai kangdout thai hoeh.
10 Mtu mmoja miongoni mwenu anafukuza watu elfu, kwa kuwa Bwana Mungu wenu anawapigania, kama alivyoahidi.
Nangmouh buet touh ei nakunghai alouke tami 1,000 touh na yawng sak awh han. Bangkongtetpawiteh, nangmae BAWIPA ni lawkkam e patetlah nangmouh koe lah taran a tuk.
11 Kwa hiyo kuweni waangalifu sana kumpenda Bwana Mungu wenu.
Hatdawkvah nangmae BAWIPA teh, na lungpataw thai nahan, takthai lungthin kâhruetcuet awh.
12 “Lakini ikiwa mtageuka na kushikamana na mabaki ya mataifa haya yaliyosalia katikati yenu na kama mtaoana na kushirikiana nao,
Nahoeh pawiteh, nangmouh ni na kamlang teh nangmouh koe kaawm rae naw hah, hete miphunnaw na kângue awh teh, na kâpaluen awh pawiteh,
13 basi mwe na hakika kuwa Bwana Mungu wenu hatawafukuza tena mataifa hayo mbele yenu. Badala yake, watakuwa tanzi na mitego kwenu, mijeledi migongoni mwenu, na miiba machoni mwenu, mpaka mwangamie kutoka nchi hii nzuri, ambayo Bwana Mungu wenu amewapa.
Nangmae BAWIPA ni hete miphunnaw hah nangmae hmalah hoi bout pâlei mahoeh toe. Nangmae BAWIPA ni na poe e kahawipoung e ram dawk nangmouh teh kahmakata hoehroukrak, ahnimouh teh nangmouh hanelah karap, tangkhek, na nâ dawk hemnae rui, na mit dawk pâkhing lah ao han telah kamcengcalah panuek awh.
14 “Sasa mimi ninakaribia kwenda katika njia ya watu wote wa dunia. Mnajua kwa mioyo yenu na roho zenu kwamba hakuna ahadi zozote njema Bwana Mungu wenu alizowaahidia, ambazo hazikutimia. Kila ahadi imetimizwa, hakuna hata moja ambayo haikutimia.
Kai teh talai tami pueng ceinae lam dawk sahnin ka cei han toe. Nangmae BAWIPA ni nangmouh hanelah, na poe e hawinae buet touh hai payoun hoeh. Abuemlah a kuep sak tie hah, nangmouh ni na lungthin thung vah na panue awh.
15 Lakini kama vile kila ahadi njema ya Bwana Mungu wenu imekuwa kweli, vivyo hivyo Bwana ataleta maovu yote kama alivyo onya, mpaka awe amewaangamiza kutoka nchi hii nzuri aliyowapa.
Nangmae BAWIPA ni lawk a kam e patetlah hawinae pueng teh, nangmae lathueng vah a pha patetlah nangmae BAWIPA ni na poe e, hete ram kahawi e dawk hoi nangmanaw hah koung na raphoe hoehroukrak, BAWIPA ni nangmae lathueng vah rucatnae naw hah a pha sak han.
16 Kama mkilivunja agano la Bwana Mungu wenu, ambalo aliwaamuru ninyi, mkaenda na kuitumikia miungu mingine na kuisujudia, hasira ya Bwana itawaka dhidi yenu, nanyi mtaangamia kutoka nchi nzuri aliyowapa ninyi.”
Nangmanaw teh, nangmae BAWIPA ni na ta pouh e lawkkam hah na payon awh teh, alouke cathut koe na cei teh, lû na saling pawiteh, BAWIPA a lungkhuek vaiteh, na poe tangcoung e ram kahawi dawk hoi nangmanaw teh karanglah na thup awh han telah a pathang pouh.

< Yoshua 23 >