< Yoshua 22 >

1 Ndipo Yoshua akawaita Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase,
Amalalu, Yosiua da Liubene fi, Ga: de fi amola Eso Mabadi la: idi Mana: se fi huluane gilisima: ne sia: i.
2 naye akawaambia, “Mmeshafanya yale yote Mose mtumishi wa Bwana aliyowaamuru, nanyi mmenitii kwa kila jambo nililowaamuru.
E da ilima amane sia: i, “Dilia da liligi huluane amo Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese dilima hamoma: ne sia: i amo huluane hamoi dagoi. Amola dilia da na hamoma: ne sia: i huluane nabasu.
3 Kwa muda mrefu sasa, hadi siku hii ya leo, hamkuwaacha ndugu zenu, bali ninyi mmetimiza ile kazi Bwana Mungu wenu aliyowapa.
Eso huluane, dilia da dilia na: iyado Isala: ili dunu amo hame yolesi. Dilia da dawa: iwane Gode Ea sia: nabawane hamonanusu.
4 Sasa kwa kuwa Bwana Mungu wenu amewapa ndugu zenu pumziko kama alivyoahidi, rudini nyumbani mwenu katika nchi ile ambayo Mose mtumishi wa Bwana aliwapa ngʼambo ya Yordani.
Be wali, dilia Hina Gode da Ea ilegele sia: i defele, dilia Isala: ili yolalali ilima olofosu i dagoi. Amaiba: le, soge amo Yodane Hano eso mabadi la: idi amo dilia ilegei amola Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese da dilima i, amo sogega buhagima.
5 Lakini mwe waangalifu sana kushika amri na sheria zile Mose mtumishi wa Bwana alizowapa: yaani kumpenda Bwana Mungu wenu na kuenenda katika njia zake zote, kutii amri zake, kushikamana naye kwa uthabiti na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho yenu yote.”
Dilia hamoma: ne sia: i amo Mousese da dilima olelei amo noga: le nabima. Dilia Hina Godema asigima, Ea hanai hamoma, Ea hamoma: ne sia: i noga: le nabima amola mae fisili, dilia dogoga, dilia asigi dawa: suga amola dilia da: i hodo huluane amoga Ea hawa: asigiwane hamoma.
6 Ndipo Yoshua akawabariki na kuwaaga waende zao, nao wakaenda nyumbani mwao.
Yosiua da ili asunasi. E da Gode Ea hahawane dogolegelewane fidisu ilima sia: i. E amane sia: i, “Dilia da bagadewane gaguiwane dilia sogega masunu. Dilia da ohe fi, silifa, gouli, balasi, ouli amola abula bagohame gala. Dilia sogega ahoasea, dilia fi dunu eno ilima dilia liligi dilima ha lai dunuma lai amo mogili ilima ima.” Amalalu, ilia da fisili ilia sogega masunusa: asi. Mousese da soge amo Yodane Hano eso mabadi la: idi amo mogili Ma: na: se fi la: idi ilima i. Be Ma: na: se fi la: idi eno ilima Yosiua da soge Yodane eso dabe la: idi amo ilima i. Amola e da soge eno Isala: ili fi ilima i.
7 (Kwa nusu ya kabila la Manase Mose alikuwa amewapa eneo katika Bashani na ile nusu nyingine ya hilo kabila Yoshua aliwapa eneo upande wa magharibi ya Yordani pamoja na ndugu zao). Yoshua alipowaaga waende zao nyumbani, aliwabariki,
8 akisema, “Rudini nyumbani mwenu na utajiri wenu mwingi, yaani makundi makubwa ya mifugo, mkiwa na fedha, dhahabu, shaba na chuma, pia wingi wa nguo, nanyi mkagawane na ndugu zenu hizo nyara zilizotoka kwa adui zenu.”
9 Kwa hiyo Wareubeni, Wagadi na hiyo nusu ya kabila la Manase wakawaacha Waisraeli huko Shilo katika nchi ya Kanaani ili kurudi Gileadi, nchi yao wenyewe waliyoipata sawasawa na agizo la Bwana kupitia Mose.
Amaiba: le, Liubene, Ga: de amola Eso Mabadi Mana: se, amo fi dunu da ilia sogega buhagi. Ilia da Siailou moilai bai bagade Ga: ina: ne soge ganodini, amoga Isala: ili dunu eno fisili, ilia soge amoga doaga: musa: asi. Ilia soge da Gilia: de. Ilia da amo soge, Hina Gode da Mousesema sia: i defele, lai dagoi.
10 Walipofika Gelilothi karibu na Yordani, katika nchi ya Kanaani, Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakajenga madhabahu ya fahari kubwa huko kando ya Yordani.
Liubene fi, Ga: de fi amola Eso Mabadi Ma: na: se fi da Gilailode sogebiga doaga: loba (Gilailode da Yodane Hano eso dabe la: idi galu), ilia da hano bega: oloda bagade hamoi.
11 Waisraeli wengine waliposikia kwamba Wareubeni, Wagadi na ile nusu ya kabila la Manase walikuwa wamejenga madhabahu kwenye mpaka wa Kanaani huko Gelilothi karibu na Yordani kwenye upande wa Israeli,
Ba: su dunu da Isala: ili fi dunu eno ilima amane sia: ne iasu, “Nabima! Liubene, Ga: de amola Eso Mabadi Mana: se amo fi dunu da Gilailode sogebi amo Yodane ninia la: idi amoga oloda hamoi dagoi.”
12 kusanyiko lote la Israeli wakakusanyika huko Shilo ili wakapigane vita dhidi yao.
Isala: ili dunu da amo sia: nababeba: le, dunu huluane da Siailou moilaiga amo eso mabadili fi ilima gegemusa: gilisi.
13 Kwa hiyo Waisraeli wengine wakamtuma Finehasi mwana wa kuhani Eleazari katika nchi ya Gileadi, kwa Wareubeni, Wagadi na hiyo nusu ya kabila la Manase.
Amalalu, Isala: ili dunu da gobele salasu dunu Elia: isa amo ea mano Finia: se, amo Liubene, Ga: de amola Eso Mabadi Ma: na: se fi dunuma sia: ma: ne asunasi.
14 Wakatuma pamoja naye watu kumi ambao ni viongozi, mmoja kwa kila kabila la Israeli, kila mmoja aliyekuwa kiongozi katika mgawanyiko wa jamaa miongoni mwa koo za Israeli.
Isala: ili bisilua dunu nabuane gala da Finia: se sigi asi. Eso dabe laidi fi nabuane gala da afae afae fi bisilua dunu afadafa ilia fi amoga asunasi.
15 Walipofika Gileadi, kwa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, wakawaambia:
Ilia da Liubene, Ga: de amola Eso Mabadi Mana: se fi dunu ilia soge Gilia: de amoga doaga: i.
16 “Kusanyiko lote la Bwana lasema: ‘Je, mmewezaje kuacha kumwamini Mungu wa Israeli jinsi hii? Mmewezaje kumwacha Bwana na kujijengea madhabahu dhidi yake na kumwasi?
Ilia da eso mabadi la: idi fi ilima amane sia: i, “Hina Gode Ea fi gilisi huluane da amane sia: sa, ‘Dilia da abuliba: le Isala: ili Hina Godema amo wadela: i hou hamobela: ? Dilisu da oloda hamobeba: le, Gode Ea sia: hame nabasu. Dilia da Ema fa: no bobogesu hou yolesi dagoi.
17 Je, dhambi ya Peori haikutosha? Hata ingawa kulikuja tauni juu ya kusanyiko la Bwana, mpaka leo hii hatujatakasika kutokana na dhambi hiyo!
Ninia wadela: i hou Bio goumia hamoi amo bu dawa: ma! Hina Gode da ninima olo bagade iabeba: le, ninia se bagade nabi. Amo se nabasu da wali diala. Bu wadela: le hamomu da hamedei.
18 Je, sasa ndiyo mnamwacha Bwana? “‘Kama mkimwasi Bwana leo, kesho atalikasirikia kusanyiko lote la Israeli.
Dilia da wali Ema fa: no bobogemu higama: bela: ? Dilia da wali eso Ema odoga: sea, E da aya Isala: ili dunu huluane ilima ougimu.
19 Kama nchi mnayomiliki imenajisika, vukeni mje katika nchi ya Bwana, mahali Maskani ya Bwana ilipo, nanyi mkajitwalie sehemu miongoni mwetu, lakini msije mkaasi dhidi ya Bwana wala dhidi yetu sisi kwa kujijengea madhabahu, zaidi ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu.
Defea! Dilia soge amo ganodini dilia da Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: defele hame o ledo gala ba: sea, Hina Gode Ea soge eso dabe la: ididili (amo ganodini Ea Da: bena: gele abula diasu diala), amoga misa. Ninia gilisisu ganodini soge ilegema. Be dilia Godema hame nabasu hou hamosa: besa: le amola E da ninia da hame nabasu dunu dawa: sa: besa: le, ninia Hina Godema oloda eno mae hamoma. Ea olodadafa da gagui dagoi.
20 Wakati Akani mwana wa Zera alipokosa uaminifu kwa vitu vilivyowekwa wakfu, je, ghadhabu haikulipata kusanyiko lote la Israeli? Hakuwa yeye peke yake aliyekufa kwa ajili ya dhambi yake.’”
Sela ea mano A: iga: ne bu dawa: ma! E da Gode Ea sia: i amo liligi huluane da wadela: musa: ilegei dagoi, amo hame nabasu. Ea wadela: i houba: le, Hina Gode da Isala: ili dunu huluanema se iasu. A: iga: ne fawane hame be eno dunu amolawane, da ea wadela: le hou hamoiba: le bogoi.”
21 Ndipo Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walipowajibu viongozi wa koo za Israeli, wakisema:
Liubene, Ga: de amola Eso Mabadi Ma: na: se fi dunu da Yodane Hano eso dabe la: idi fi amo bisilua dunuma bu adole i,
22 “Yeye Mwenye Nguvu, Mungu, Bwana! Yeye Mwenye Nguvu, Mungu, Bwana! Yeye anajua! Israeli na wajue! Kama huu umekuwa ni uasi au kukosa utii kwa Bwana, msituache hai siku hii ya leo.
“Gasa Bagadedafa Gode da Hinadafa! Gasa Bagadedafa Gode da Hina Godedafa! Ninia amo hou hamoi E dawa: , amola dilia amolawane dawa: mu ninia da hanai. Ninia da hame nabasu hou hamoi ganiaba amola dafawaneyale dawa: su hou fisiagai ganiaba, dilia da nini medole legemu da defea gala: loba.
23 Kama tumejijengea madhabahu yetu wenyewe ili kumwacha Bwana na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka, au kutoa sadaka za amani juu yake, Bwana mwenyewe na atupatilize leo.
Ninia da Hina Gode Ea sia: mae nabawane ninisu oloda gobele sanasimusa: o gagoma amola hahawane gilisisu iasu hahamoma: ne hamoi ganiaba, Hina Gode Hisu da ninima se imunu da defea gala: loba.
24 “Sivyo! Tulifanya hivyo kwa hofu kwamba siku zijazo wazao wenu wanaweza wakawaambia wazao wetu, ‘Mna uhusiano gani na Bwana, Mungu wa Israeli?
Be hame mabu! Diligaga fi da hobea ninigaga fi ilima sia: sa: besa: le, ninia da beda: iba: le agoane hamosu. Ilia da ninigaga fi ilima agoane sia: sa: besa: le amane, ‘Ninia Isala: ili Hina Gode da dilia Gode hame.
25 Bwana ameifanya Yordani kuwa mpaka kati yetu na ninyi, ninyi Wareubeni na Wagadi! Hamna fungu kwa Bwana.’ Kwa hiyo wazao wenu wanaweza wakawasababisha wazao wetu wakaacha kumcha Bwana.
E da Yodane Hano alalo amo da afafasu alalo, ninia amola dilia Liubene amola Ga: de amo afafama: ne ilegei dagoi.’ Amasea, diligaga fi da ninigaga fi ilia Hina Godema nodone sia: ne gadosu logo hedofasa: besa: le, ninia agoane hamoi.
26 “Hii ndiyo sababu tulisema, ‘Tujiweke tayari na tujenge madhabahu, lakini si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa au dhabihu.’
Amaiba: le, ninia da oloda hamoi. Gobele salimusa: o Hina Godema iasu hamoma: ne hame hamoi.
27 Badala yake, itakuwa ni ushahidi kati yetu na ninyi na vizazi vijavyo, kwamba tutamwabudu Bwana katika mahali patakatifu pake pamoja na sadaka zetu za kuteketezwa, dhabihu na sadaka za amani. Ndipo katika siku zijazo, wazao wenu hawataweza kuwaambia wazao wetu, ‘Ninyi hamna fungu katika Bwana.’
Be amo da ninima, dilima amola ninigaga fi huluane ilima dawa: digima: ne olelesu agoane dialoma: ne hamoi. Amo wanonesisu ea olelesu da ninia eso mabadi fi da dafawane Hina Gode Ea ilegei sogebi amoga Ea hadigi abula diasuga Ema nodone sia: ne gadolala amola Ema Hahawane Gilisili Olofole Iasu amola Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele salasu iaha. Diligaga fi da ninigaga fi Hina Godema afafai, amo ilia sia: sa: besa: le agoane hamoi.
28 “Nasi tulisema, ‘Ikiwa wakati wowote watatuambia hilo, au kuwaambia uzao wetu, tutawajibu hivi: Angalieni nakala hii ya madhabahu ya Bwana, ambayo baba zetu waliijenga, si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu, bali kama ushahidi kati yetu na ninyi.’
Ninia da agoane dawa: i galu. Amo hou fa: no agoane ba: loba, ninigaga fi da amane sia: la: loba, ‘Ba: ma! Ninia aowalali da oloda amo Hina Gode Ea olodadafa defele hamosu. Amo da hahawane iasu o gobele salasu hamoma: ne hame hamoi. Be ninia dunu amola dilia dunu nini huluanema dawa: digima: ne olelesu dialoma: ne.’
29 “Hili jambo la kumwasi Bwana na kumwacha siku hii ya leo kwa kujenga madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka na dhabihu, zaidi ya madhabahu ya Bwana Mungu wetu iliyo mbele ya maskani yake na liwe mbali nasi.”
Ninia da Hina Godema odoga: su hou hame hamomu. Ninia da Hina Godema fa: no bobogesu hou fisili, oloda amo da: iya Wadela: i Hou Dabe Ima: ne gobele salasu amola Hahawane Gilisili Olofole Iasu hamoma: ne hamedafa hamomu. Ninia olodadafa afae fawane da ninia Hina Gode Ea olodadafa amo da Ea esalebe Da: bena: gele abula diasu ea midadi lela.”
30 Wakati kuhani Finehasi na viongozi wa kusanyiko na wakuu wa koo za Israeli, waliposikia hayo waliyosema Wareubeni, Wagadi na Manase, wakaridhika.
Gobele salasu dunu Finia: se amola Isala: ili fi eso dabe la: idi esalebe bisilua dunu nabuane gala da Liubene, Ga: de amola Eso Mabadi Ma: na: se fi dunu ilia sia: nababeba: le, olofoi galu.
31 Naye Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, akawaambia Wareubeni, Wagadi na Manase, “Leo tunajua kwamba Bwana yuko pamoja nasi, kwa sababu hamkukosa uaminifu kwa Bwana katika jambo hili. Sasa mmewaokoa Waisraeli na mkono wa Bwana.”
Gobele salasu dunu Elia: isa ea mano Finia: se, da ilima amane sia: i, “Wali ninia dawa: ! Hina Gode da nini sigi esala! Dafawane! Dilia da Ema hame nabasu hou hame hamoi. Amaiba: le, Isala: ili da Hina Gode Ea se iasu hame ba: mu.”
32 Ndipo Finehasi, mwana wa kuhani Eleazari na viongozi wakarudi Kanaani kutoka kwenye kukutana kwao na Wareubeni na Wagadi huko Gileadi nao wakatoa taarifa kwa Waisraeli.
Amalalu, Finia: se amola Isala: ili bisilua dunu da Liubene fi amola Ga: de fi Gilia: de sogega esalu fisili, Ga: ina: ne sogega buhagi.
33 Walifurahi kusikia taarifa hiyo, na wakamhimidi Mungu. Wala hawakuzungumza tena habari za kupigana vita dhidi yao ili kuharibu nchi ambayo Wareubeni na Wagadi waliishi.
Isala: ili dunu da hahawane ba: i amola Godema nodosu. Ilia musa: sia: amo gegemusa: amola soge amoga Liubene dunu amola Ga: de dunu da fi galu amo wadela: musa: , amo sia: yolesi dagoi.
34 Nao Wareubeni na Wagadi wakayaita yale madhabahu Edi, yaani Shahidi: kwa kuwa itakuwa shahidi kati yetu na ninyi kwamba Bwana ndiye Mungu.
Liubene fi dunu amola Ga: de fi dunu da amane sia: i, “Amo oloda da Hina Gode da Godedafa amo ninia huluanema dawa: digima: ne olelesu ba: su agoane.” Amaiba: le, ilia amo olodama “Dawa: digima: ne Olelesu Ba: su” dio asuli.

< Yoshua 22 >