< Yoshua 21 >
1 Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli
Então os Cabeças dos paes dos levitas se achegaram a Eleazar o sacerdote, e a Josué, filho de Nun, e aos Cabeças dos paes das tribus dos filhos d'Israel;
2 huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.”
E fallaram-lhes em Silo na terra de Canaan, dizendo: O Senhor ordenou, pelo ministerio de Moysés, que se nos déssem cidades para habitar, e os seus arrabaldes para os nossos animaes.
3 Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.
Pelo que os filhos d'Israel deram aos levitas da sua herança, conforme ao dito do Senhor, estas cidades e os seus arrabaldes.
4 Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini.
E saiu a sorte pelas familias dos kohathitas: e aos filhos de Aarão, o sacerdote, d'entre os levitas, cairam por sorte da tribu de Judah, e da tribu de Simeão, e da tribu de Benjamin, treze cidades;
5 Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.
E aos outros filhos de Kohath cairam por sorte das familias da tribu d'Ephraim, e da tribu de Dan, e da meia tribu de Manasseh, dez cidades;
6 Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.
E aos filhos de Gerson cairam por sorte das familias da tribu d'Issacar, e da tribu d'Aser, e da tribu de Naphtali, e da meia tribu de Manasseh em Basan, treze cidades;
7 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
Aos filhos de Merari, segundo as suas familias, da tribu de Ruben, e da tribu de Gad, e da tribu de Zebulon, doze cidades.
8 Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.
E deram os filhos de Israel aos levitas estas cidades e os seus arrabaldes por sorte, como o Senhor ordenara pelo ministerio de Moysés.
9 Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina
Deram mais da tribu dos filhos de Judah e da tribu dos filhos de Simeão estas cidades, que por nome foram nomeadas:
10 (miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
Para que fossem dos filhos d'Aarão, das familias dos kohathitas, dos filhos de Levi: porquanto a primeira sorte foi sua.
11 Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.)
Assim lhes deram a cidade d'Arba, do pae d'Anok (esta é Hebron), no monte de Judah, e os seus arrabaldes em redor d'ella.
12 Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.
Porém o campo da cidade, e as suas aldeias, deram a Caleb, filho de Jefoné, por sua possessão.
13 Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna,
Assim aos filhos d'Aarão, o sacerdote, deram a cidade do refugio do homicida, Hebron, e os seus arrabaldes, e Libna, e os seus arrabaldes;
E Jatthir, e os seus arrabaldes, e Estmoa, e os seus arrabaldes;
E Cholon, e os seus arrabaldes, e Debir, e os seus arrabaldes,
16 Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.
E Ain, e os seus arrabaldes, e Jutta, e os seus arrabaldes, e Bethsemes, e os seus arrabaldes: nove cidades d'estas duas tribus.
17 Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba,
E da tribu de Benjamin, Gibeon, e os seus arrabaldes, Geba, e os seus arrabaldes;
18 Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Anathoth, e os seus arrabaldes, e Almon, e os seus arrabaldes; quatro cidades.
19 Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.
Todas as cidades dos sacerdotes, filhos d'Aarão, foram treze cidades e os seus arrabaldes.
20 Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:
E as familias dos filhos de Kohath, levitas, que ficaram dos filhos de Kohath, tiveram as cidades da sua sorte da tribu d'Ephraim.
21 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri,
E deram-lhes Sichem, cidade do refugio do homicida, e os seus arrabaldes, no monte de Ephraim, e Gezer, e os seus arrabaldes;
22 Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
E Kibsaim, e os seus arrabaldes, e Beth-horon, e os seus arrabaldes: quatro cidades.
23 Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni,
E da tribu de Dan, Elteke, e os seus arrabaldes, Gibbethon, e os seus arrabaldes;
24 Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne
Ajalon, e os seus arrabaldes, Gath-rimmon, e os seus arrabaldes: quatro cidades.
25 Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.
E da meia tribu de Manasseh, Taanach, e os seus arrabaldes, e Gath-rimmon, e os seus arrabaldes: duas cidades.
26 Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.
Todas as cidades para as familias dos filhos de Kohath que ficavam, foram dez, e os seus arrabaldes.
27 Koo za Walawi za Wagershoni walipewa: kutoka nusu ya kabila la Manase, Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;
E aos filhos de Gerson, das familias dos levitas, Golan da meia tribu de Manasseh, cidade do refugio do homicida, em Basan, e os seus arrabaldes, e Be-estra, e os seus arrabaldes: duas cidades.
28 kutoka kabila la Isakari walipewa, Kishioni, Daberathi,
E da tribu de Issacar, Kisjon, e os seus arrabaldes: Daberath, e os seus arrabaldes;
29 Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne
Jarmuth, e os seus arrabaldes, En-gannim, e os seus arrabaldes: quatro cidades.
30 kutoka kabila la Asheri walipewa, Mishali, Abdoni,
E da tribu d'Aser, Misal, e os seus arrabaldes, Abdon, e os seus arrabaldes;
31 Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Helkath, e os seus arrabaldes, e Rohob, e os seus arrabaldes: quatro cidades.
32 Kutoka kabila la Naftali walipewa, Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.
E da tribu de Naphtali, Kedes, cidade do refugio do homicida, em Galilea, e os seus arrabaldes, e Hamoth-dor, e os seus arrabaldes; e Cartan, e os seus arrabaldes: tres cidades.
33 Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.
Todas as cidades dos gersonitas, segundo as suas familias, foram treze cidades e os seus arrabaldes.
34 Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa: kutoka kabila la Zabuloni, Yokneamu, Karta,
E ás familias dos filhos de Merari, dos levitas que ficavam, foram dadas da tribu de Zebulon, Jokneam e os seus arrabaldes, Carta e os seus arrabaldes,
35 Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;
Dimna e os seus arrabaldes, Nahalal e os seus arrabaldes: quatro cidades.
36 kutoka kabila la Reubeni walipewa Bezeri, Yahasa,
E da tribu de Ruben, Beser, e os seus arrabaldes, e Jahaz, e os seus arrabaldes;
37 Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;
Kedemoth, e os seus arrabaldes, e Mephaath, e os seus arrabaldes: quatro cidades.
38 kutoka kabila la Gadi walipewa, Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu,
E da tribu de Gad, Ramoth, cidade do refugio do homicida, em Gilead, e os seus arrabaldes, e Mahanaim, e os seus arrabaldes;
39 Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Hesbon, e os seus arrabaldes, Jaezer e os seus arrabaldes: por todas, quatro cidades.
40 Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.
Todas estas cidades foram dos filhos de Merari, segundo as suas familias, que ainda restavam das familias dos levitas; e foi a sua sorte doze cidades.
41 Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho.
Todas as cidades dos levitas, no meio da herança dos filhos d'Israel, foram quarenta e oito cidades e os seus arrabaldes.
42 Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.
Estavam estas cidades cada qual com os seus arrabaldes em redor d'ellas: assim estavam todas estas cidades.
43 Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo.
D'esta sorte deu o Senhor a Israel toda a terra que jurara dar a seus paes: e a possuiram e habitaram n'ella.
44 Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao.
E o Senhor lhes deu repouso em redor, conforme a tudo quanto jurara a seus paes; e nenhum de todos os seus inimigos ficou em pé diante d'elles; todos os seus inimigos o Senhor deu na sua mão.
45 Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.
Palavra alguma falhou de todas as boas palavras que o Senhor fallara á casa d'Israel: tudo se cumpriu.