< Yoshua 21 >

1 Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli
Pođoše tada glavari levitskih obitelji k svećeniku Eleazaru i Jošui, sinu Nunovu, i plemenskim glavarima Izraela.
2 huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.”
I rekoše im u Šilu, u zemlji kanaanskoj: “Jahve je zapovjedio preko Mojsija da nam se dadu gradovi gdje ćemo živjeti i pašnjaci oko njih za našu stoku.”
3 Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.
Izraelci dadoše levitima od svoje baštine, po zapovijedi Jahvinoj, ove gradove s njihovim pašnjacima.
4 Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini.
Iziđe, dakle, ždrijeb za porodice Kehatove: levitima, potomcima svećenika Arona, pripade trinaest gradova od plemena Judina, Šimunova i Benjaminova;
5 Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.
ostalim sinovima Kehatovim pripalo je ždrijebom po porodicama deset gradova od plemena Efrajimova i Danova i od polovine plemena Manašeova.
6 Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.
Sinovi Geršonovi dobiše po porodicama trinaest gradova od plemena Jisakarova, Ašerova i Naftalijeva i od polovine plemena Manašeova u Bašanu.
7 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
Merarijevim sinovima po njihovim porodicama pripalo je dvanaest gradova od plemena Rubenova, Gadova i Zebulunova.
8 Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.
Tako Izraelci ždrijebom dodijeliše levitima te gradove s pašnjacima, kako bijaše zapovjedio Jahve preko Mojsija.
9 Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina
Od plemena sinova Judinih i od plemena sinova Šimunovih dodijeljeni su bili ovi gradovi koji se poimence navode:
10 (miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
sinovima Aronovim u levitskim porodicama Kehatovim, jer je prvi ždrijeb bio za njih,
11 Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.)
pripade Kirjat-Arba, glavni grad Anakovaca, to jest Hebron, u Judinoj gori, s pašnjacima unaokolo.
12 Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.
Ali polja oko toga grada sa selima unaokolo bila su već dana u baštinu Kalebu, sinu Jefuneovu.
13 Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna,
Sinovima svećenika Arona pripade grad-utočište Hebron s pašnjacima i Libna s pašnjacima;
14 Yatiri, Eshtemoa,
Jatir s pašnjacima, Eštemoa s pašnjacima,
15 Holoni, Debiri,
Holon s pašnjacima, Debir s pašnjacima,
16 Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.
Ašan s pašnjacima, Juta s pašnjacima, Bet-Šemeš s pašnjacima. Dakle, devet gradova od ona dva plemena.
17 Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba,
Od plemena Benjaminova: Gibeon s pašnjacima, Geba s pašnjacima,
18 Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Anatot s pašnjacima, Almon s pašnjacima. Dakle, četiri grada.
19 Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.
Tako su svećenici, sinovi Aronovi, dobili svega trinaest gradova s njihovim pašnjacima.
20 Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:
Ostalim levitima u porodicama sinova Kehatovih ždrijebom su pripali gradovi plemena Efrajimova.
21 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri,
Dali su im grad-utočište Šekem s pašnjacima njegovim na Efrajimovoj gori, zatim Gezer s pašnjacima,
22 Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Kibsajim s pašnjacima, Bet-Horon s pašnjacima. Dakle, četiri grada.
23 Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni,
Od plemena Danova dobili su: Elteku s pašnjacima i Gibeton s pašnjacima,
24 Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne
Ajalon s pašnjacima i Gat-Rimon s pašnjacima. Dakle, četiri grada.
25 Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.
Od polovine plemena Manašeova: Tanak s pašnjacima i Jibleam s pašnjacima. Dakle, dva grada.
26 Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.
U svemu: deset su gradova s pašnjacima dobile porodice ostalih sinova Kehatovih.
27 Koo za Walawi za Wagershoni walipewa: kutoka nusu ya kabila la Manase, Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;
Geršonovim sinovima, porodicama levitskim, dadoše od polovine plemena Manašeova grad-utočište Golan u Bašanu i Aštarot s njihovim pašnjacima. Dakle, dva grada.
28 kutoka kabila la Isakari walipewa, Kishioni, Daberathi,
Od plemena Jisakarova: Kišon s pašnjacima, Dabrat s pašnjacima,
29 Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne
Jarmut s pašnjacima i En-Ganim s pašnjacima. Dakle, četiri grada.
30 kutoka kabila la Asheri walipewa, Mishali, Abdoni,
Od plemena Ašerova: Mišal s pašnjacima, Abdon s pašnjacima,
31 Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Helkat s pašnjacima i Rehob s pašnjacima. Dakle, četiri grada.
32 Kutoka kabila la Naftali walipewa, Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.
Od plemena Naftalijeva: grad-utočište Kedeš u Galileji s pašnjacima, Hamot Dor s pašnjacima i Kartan s pašnjacima. Dakle, tri grada.
33 Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.
Svega Geršonovih gradova po porodicama njihovim bijaše trinaest gradova s pašnjacima.
34 Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa: kutoka kabila la Zabuloni, Yokneamu, Karta,
Porodicama sinova Merarijevih, preostalim levitima, dali su od plemena Zebulunova: Jokneam s pašnjacima, Kartu s pašnjacima,
35 Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;
Rimon s pašnjacima, Nahalal s pašnjacima. Dakle, četiri grada.
36 kutoka kabila la Reubeni walipewa Bezeri, Yahasa,
S onu stranu Jordana od plemena Rubenova dadoše im grad-utočište Beser s pašnjacima na pustinjskoj visoravni, Jahas s pašnjacima,
37 Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;
Kedemot s pašnjacima, Mefaat s pašnjacima. Dakle, četiri grada.
38 kutoka kabila la Gadi walipewa, Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu,
Od plemena Gadova: grad-utočište Ramot u Gileadu s pašnjacima, Mahanajim s pašnjacima,
39 Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Hešbon s pašnjacima, Jazer s pašnjacima. Dakle, četiri grada.
40 Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.
U svemu bijaše dodijeljeno ždrijebom porodicama sinova Merarijevih, preostalim levitima, dvanaest gradova.
41 Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho.
Tako usred baštine sinova Izraelovih bijaše četrdeset i osam levitskih gradova s pašnjacima.
42 Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.
Svaki je taj grad imao pašnjake unaokolo. Tako je bilo sa svima spomenutim gradovima.
43 Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo.
Tako je Jahve predao Izraelcima svu zemlju za koju se zakleo da će je dati ocima njihovim. Primili su je u posjed i nastanili se u njoj.
44 Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao.
I dade im Jahve da otpočinu u miru na svim međama, kako se bijaše zakleo njihovim ocima. Nitko im od njihovih neprijatelja ne bijaše kadar odoljeti. Sve im je njihove neprijatelje predao Jahve u ruke.
45 Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.
Od svih obećanja što ih je Jahve dao domu Izraelovu nijedno ne osta neispunjeno. Sve se ispunilo.

< Yoshua 21 >