< Yoshua 21 >
1 Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli
Lifai fi ouligisu dunu da gobele salasu dunu Elia: isa, Yosiua (Nane egefe) amola Isala: ili dunu fi huluane ilia ouligisu dunu ilima misi.
2 huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “Bwana aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.”
Amogawi, Siailou sogebi amo Ga: ina: ne soge ganodini, ilia da ilima amane sia: i, “Hina Gode da Mousesema ninia da moilai bai bagade amo ganodini esaloma: ne amola amo sisiga: le ninia ohe fi soge amola ninima ima: ne sia: i.”
3 Hivyo kama vile Bwana alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.
Amaiba: le, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amo defele, Isala: ili dunu da Lifai dunuma moilai bai bagade amola sogebi ilia soge amo ganodini mogili, ilegele, ilima i.
4 Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini.
Ilia degabo amo Lifai fi afae amo Gouha: de fi ilima moilale i. Gobele salasu dunu Elane egaga fi ilima ilia da moilai bai bagade galoyale amo Yuda, Simione amola Bediamini ilia soge amo ganodini i.
5 Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.
Gouha: de fi enoma ilia da moilai bai bagade nabuane gala Ifala: ime, Da: ne amola Eso Dabe la: idi Ma: na: se ilia soge ganodini galu i.
6 Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.
Ilia da moilai bai bagade galoyale amo Isaga, A:sie, Na: fadalai amola Eso Mabadi la: idi Ma: na: se fi ilia soge ganodini galu, amo Gesione fi ilima i.
7 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
Ilia da moilai bai bagade fagoyale amo Liubene, Ga: de amola Sebiulane ilia soge ganodini galu, amo Milalai fi ilima i.
8 Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.
Isala: ili dunu da ululuale ilegele, amo moilai amola sisiga: le dialu ohe fi soge, Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele Lifai fi dunuma i.
9 Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina
10 (miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
Ilegesu age. Moilai bai bagade amo da Yuda soge amola Simione soge amo ganodini dialu, ilia da Elane egaga fi afae amo Gouha: de dunu (ilia da Lifai egaga fi) moilai bai bagade dio da hagudu dedei.
11 Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.)
Ilia da Aba (Aba da A: nege eda) amo moilai bai bagade ea dio wali da Hibalone, Yuda agolo soge ganodini gala, amo amola ohe fi soge amo sisiga: le dialu lai dagoi.
12 Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.
Be amo moilai bai bagade ea soge amola ea moilai fonobahadi huluane da Yefane ea mano Ga: ilebe ema ia dagoi ba: i.
13 Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna,
Gobele salasu dunu Elane egaga fi da Hibalone (Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade afae) amo lale amola eno moilale bai bagade lai amo Libina,
16 Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.
Aini, Yada amola Bedesimese amola ilima sisiga: le dialu ohe fi soge lai. Ilia da Yuda amola Simione fi ilima moilai bai bagade sesegeyale lai dagoi.
17 Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba,
Bediamini soge amoga ilia da moilai bai bagade biyaduyale lai amo Gibione, Giba,
18 Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
A: nadode amola A: lamone amola amo moilai bai bagade sisiga: le dialu ohe fi sogebi.
19 Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.
Huluane da galoyale moilai bai bagade amola ilima sisiga: le dialu ohe fi sogebi. Gobele salasu dunu, Elane egaga fi da amo moilai bai bagade lai dagoi.
20 Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:
Eno Lifai sosogo fi Gouha: de fi amo ganodini esalu, ilia da Ifala: ime fi ilima moilale bai bagade lai.
21 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri,
Ilia da moilai bai bagade biyaduyale lai. Amo da Siegeme amola ea ohe fi sogebi, (Siegeme da Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai Ifala: ime agolo soge ganodini galu), Gisa,
22 Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Gibasa: ime amola Bede Houlone amola amo moilai ilia sisiga: le dialu ohe fi sogebi.
23 Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni,
Ilia da Da: ne ea soge amoma moilai bai bagade biyaduyale lai. Amo da Eledige, Gibidone,
24 Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne
A: iyalone amola Ga: idelimane amola ilima sisiga: le dialu ohe fi sogebi amo lai.
25 Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.
Ilia da Eso Dabe Mana: se fi ilima moilai bai bagade aduna lai amo Da: iana: ge amola Ga: idelima: ne amola amoma sisiga: le dialu ohe fi sogebi.
26 Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.
Amo sosogo fi Gouha: de fi amo ganodini esalu da moilai bai bagade nabuane gala huluane amola amo moilai bai bagade ilia ohe fi sogebi lai.
27 Koo za Walawi za Wagershoni walipewa: kutoka nusu ya kabila la Manase, Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;
Lifai gilisisu eno amo Gesione dunu da Eso Mabadi Ma: na: se fi ilima moilai bai bagade aduna lai. Amo da Goula: ne (Ba: isa: ne soge ganodini, Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade afadafa) amola Bisidila amola ela sisiga: le dialebe ohe fi sogebi.
28 kutoka kabila la Isakari walipewa, Kishioni, Daberathi,
Ilia da Isaga fi ilima moilai bai bagade biyaduyale amola ilima sisiga: i ohe fi sogebi lai. Amo da Gisione, Da: bela: de,
29 Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne
Yamade amola Enega: nimi.
30 kutoka kabila la Asheri walipewa, Mishali, Abdoni,
Ilia da A: sie fi ilima moilai bai bagade biyaduyale amola ilima sisiga: le dialu ohe fi sogebi lai. Amo da Maisa: le, A:badone,
31 Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Helegade amola Lihoube.
32 Kutoka kabila la Naftali walipewa, Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.
Ilia da Na: fadalai fi soge ilima moilai bai bagade udiana amola ilia ohe fi sogebi lai. Amo da Ga: lili soge ganodini Gedese (Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade afae), Ha: modedo amola Gada: ne.
33 Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.
Gesione fi ilia fi huluane da moilai bai bagade galoyale gala amola ilia ohe fi ha: i nasu sogebi lai dagoi.
34 Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa: kutoka kabila la Zabuloni, Yokneamu, Karta,
Lifai fi eno da Milalai fi. Ilia da Sebiulane soge amoga moilai bai bagade amola ilia ohe fi ha: i nasu sogebi biyaduyale lai dagoi. Amo da Yogenia: me, Gada,
35 Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;
Dimina amola Na: ihala: le.
36 kutoka kabila la Reubeni walipewa Bezeri, Yahasa,
Ilia da Liubene fi soge amoga moilai bai bagade biyaduyale amola ilia ohe fi ha: i nasu sogebi lai. Amo da Bisa, Ya: iha: se,
37 Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;
Gedimode amola Mefa: ide.
38 kutoka kabila la Gadi walipewa, Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu,
Ilia da Ga: de fi soge amoga moilai bai bagade biyaduyale amola ilia ohe fi ha: i nasu sogebi lai. Amo da La: imode, Ma: ihana: imi,
39 Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.
Hesiabone amola Ya: isa.
40 Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.
Milalai fi ilima iasu huluane da moilai bai bagade nabuane ilegele i dagoi.
41 Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho.
42 Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.
Soge amo Isala: ili dunu da lai amoga ilia da fifili, mogili Lifai dunuma i. Ilia da moilai bai bagade amola gebo fi ha: i nasu sogebi amo moilai sisiga: le dialu amo 48agoane Lifai dunuma i dagoi.
43 Kwa hiyo Bwana akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo.
Amaiba: le, Hina Gode da soge huluane amo e da ilia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amo Isala: ili fi ilima i. Ilia soge huluane lale, moi dogole hahawane fi.
44 Bwana akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao.
Hina Gode da ilia aowalali ilima ilegele sia: i defele, E da ilima olofosu amola helefisu i. Ilima ha lai afae da ilima hasalimu hamedei ba: i. Bai Hina Gode da ilima hasalasu hou i dagoi.
45 Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya Bwana kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.
Hina Gode da Isala: ili dunuma Ea ilegele sia: i liligi amo huluane afae mae fisili, hahamoi dagoi.