< Yoshua 19 >

1 Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
دومین قرعه به نام شمعون درآمد. زمین خاندانهای این قبیله، در داخل مرزهای زمین یهودا قرار داشت و شامل این شهرها می‌شد: بئرشبع، شبع، مولاده،
2 Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
3 Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
حَصَرشوعال، بالح، عاصم،
4 Eltoladi, Bethuli, Horma,
التولد، بتول، حرمه،
5 Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
صقلغ، بیت‌مرکبوت، حصرسوسه،
6 Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
بیت‌لباعوت و شاروحن، جمعاً سیزده شهر با روستاهای اطراف.
7 Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
عین، رمون، عاتر و عاشان، جمعاً چهار شهر با روستاهای اطراف
8 pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
و تمام روستاهای اطراف این شهرها تا بعلت‌بئیر (که رامهٔ نگب هم گفته می‌شد). این بود زمینی که به خاندانهای قبیلهٔ شمعون داده شد.
9 Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.
این زمین از سهمی بود که قبلاً برای قبیلهٔ یهودا تعیین گردیده بود، چون زمین سهم یهودا برای ایشان زیاد بود.
10 Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
سومین قرعه به نام زبولون درآمد. مرز زمین خاندانهای این قبیله از سارید شروع می‌شد
11 Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu.
و به طرف مغرب تا مرعله و دباشه کشیده شده، به درهٔ شرق یُقنَعام می‌رسید.
12 Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.
از طرف شرق سارید نیز تا حدود کسلوت تابور و از آنجا تا دابره و یافیع کشیده می‌شد.
13 Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea.
باز به طرف شرق امتداد یافته، به جت حافر و عت قاصین کشیده می‌شد، سپس از رمون گذشته، به نیعه می‌رسید.
14 Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli.
این خط مرزی در شمال، به طرف حناتون برمی‌گشت و به درهٔ یفتح‌ئیل منتهی می‌شد.
15 Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
شهرهای قطه، نهلال، شمرون، یِدَلَه و بیت‌لحم نیز جزو ملک قبیلهٔ زبولون بودند. جمعاً دوازده شهر با روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ زبولون تعلق گرفت.
16 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.
17 Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
چهارمین قرعه به نام یساکار برحسب خاندانهایشان درآمد. شهرهای خاندانهای این قبیله عبارت بودند از: یزرعیل، کسلوت، شونم،
18 Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
19 Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
حفارایم، شی‌ئون، اناحره،
20 Rabithi, Kishioni, Ebesi,
ربیت، قشیون، آبص،
21 Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
رمه، عین‌جنیم، عین‌حده و بیت‌فصیص.
22 Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
خط مرزی قبیلهٔ یساکار از شهرهای تابور، شحصیمه و بیت‌شمس می‌گذشت و به رود اردن منتهی می‌شد. جمعاً شانزده شهر با روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ یساکار تعلق گرفت.
23 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
24 Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
پنجمین قرعه به نام اشیر درآمد. شهرهای خاندانهای این قبیله عبارت بودند از: حلقه، حلی، باطَن، اکشاف،
25 Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,
26 Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi.
الملک، عمعاد و مش‌آل، خط مرزی قبیلهٔ اشیر در غرب، به طرف کرمل و شیحور لبنه کشیده می‌شد
27 Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto.
و از آنجا به سمت مشرق به طرف بیت‌داجون می‌پیچید و به زبولون و درهٔ یفتح‌ئیل می‌رسید. از آنجا به طرف شمال به سوی بیت‌عامق و نعی‌ئیل امتداد یافته از شرق کابول می‌گذشت.
28 Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu.
سپس از حبرون، رحوب، حمون، قانه و صیدون بزرگ می‌گذشت.
29 Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu,
سپس این خط مرزی به طرف رامه می‌پیچید و به شهر حصاردار صور می‌رسید و باز به طرف شهر حوصه پیچیده در ناحیۀ اکزیب به دریای مدیترانه منتهی می‌شد.
30 Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
عمه، عفیق و رحوب نیز جزو ملک اشیر بودند. جمعاً بیست و دو شهر با روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ اشیر برحسب خاندانهایشان تعلق گرفت.
31 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
32 Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:
ششمین قرعه به نام نفتالی درآمد. خط مرزی زمین خاندانهای این قبیله از حالف شروع می‌شد و از بلوطی که در صعنیم است گذشته، در امتداد ادامی، ناقب و یبن‌ئیل به لقوم می‌رسید و از آنجا به رود اردن منتهی می‌شد.
33 Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.
34 Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki.
این خط مرزی در غرب به سمت ازنوت تابور می‌پیچید و از آنجا به طرف حقوق پیش می‌رفت. زمین نفتالی با زبولون در جنوب، با اشیر در غرب و با رود اردن در شرق هم مرز می‌شد.
35 Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
شهرهای حصارداری که در زمین نفتالی واقع شده بودند از این قرارند: صدیم، صیر، حَمَت، رَقَت، کنارت،
36 Adama, Rama, Hazori,
ادامه، رامه، حاصور،
37 Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,
قادش، ادرعی، عین‌حاصور،
38 Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.
یَرون، مجدل‌ئیل، حوریم، بیت‌عنات و بیت‌شمس. جمعاً نوزده شهر با روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ نفتالی تعلق گرفت.
39 Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
40 Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
هفتمین قرعه به نام دان درآمد. شهرهای خاندانهای این قبیله عبارت بودند از: صرعه، اِشتائُل، عیرشمس،
41 Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
شَعَلبین، اَیَلون، یتله،
43 Eloni, Timna, Ekroni,
الون، تمنه، عقرون،
44 Elteke, Gibethoni, Baalathi,
اَلتَقیت، جِبَتون، بعله،
45 Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
یهود، بنی‌برق، جت‌رمون،
46 Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
میاه‌یرقون، رقون و همچنین زمین مقابل یافا.
47 (Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
(ولی زمینی که برای قبیلهٔ دان تعیین شد، برای ایشان کافی نبود. پس قبیلهٔ دان به شهر لَشَم در شمال حمله برده، آن را تصرف نمودند و اهالی آنجا را قتل عام کردند. سپس در آنجا ساکن شدند و نام جد خویش، دان را بر آن شهر نهادند.)
48 Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
این شهرها و روستاهای اطرافشان به خاندانهای قبیلهٔ دان تعلق گرفت.
49 Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao,
پس از اینکه زمینها میان قبایل اسرائیل تقسیم شد و حدود هر کدام تعیین گردید، قوم اسرائیل مطابق دستور خداوند، به یوشع ملکی پیشنهاد کردند و او تمنه سارح را که در میان کوهستان افرایم واقع شده بود برای خود برگزید و آن را دوباره بنا کرد و در آن ساکن شد.
50 kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.
51 Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.
به این ترتیب، قرعه‌کشی و تقسیم زمین بین قبایل اسرائیل در شیلوه، جلوی دروازهٔ خیمهٔ ملاقات انجام شد. در این قرعه‌کشی که در حضور خداوند برگزار گردید، العازار کاهن، یوشع و سران قبایل حاضر بودند و نظارت می‌کردند.

< Yoshua 19 >