< Yoshua 19 >

1 Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
And the secounde lot of the sones of Symeon yede out, bi her meynees; and the eritage of hem,
2 Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
in the myddis of possessioun of the sones of Juda, was Bersabee, and Sabee,
3 Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
and Melada, and Asersua, Bala,
4 Eltoladi, Bethuli, Horma,
and Asem, and Betholaad, Bethularma, and Siceleth,
5 Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
and Bethmarchaboth, and Asersua,
6 Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
and Bethelebaoth, and Saroem, threttene citees, and `the townes of tho;
7 Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
Aym, and Remmon, and Athar, and Asam, foure citees, and `the townes of tho; alle the townes bi cumpas of these citees,
8 pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
`til to Balath Brameth, ayens the south coost, weren seuentene citees. This is the eritage of the sones of Symeon, bi her meynees,
9 Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.
in the possessioun and part of the sones of Juda, for it was more; and therfor the sones of Symeon hadden possessioun in the myddis of the eritage therof.
10 Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
And the thridde lot of the sones of Zabulon felde, bi her meynees; and the terme of possessioun of the sones of Zabulon was maad `til to Sarith;
11 Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu.
and it stieth fro the see, and Medala; and it cometh in to Debbaseth, `til to the stronde which is ayens Jecenam;
12 Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.
and it turneth ayen fro Sarith, ayens the eest, in to the coostis of Sechelech Tabor; and goith out to Daberth; and it stieth ayens Jasie;
13 Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea.
and fro thennus it passith to the eest coost to Gethefer, and Thacasym; and it goith out in to Remmon, Amphar, and Noa; and cumpassith to the north, and Nachon;
14 Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli.
and the goyngis out therof ben the valei of Jeptael,
15 Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
and Cathel, and Neamai, and Semrom, and Jedaba, and Bethleem, twelue citees, and `the townes of tho.
16 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.
This is the eritage of the lynage of the sones of Zabulon, bi her meynees, and the citees and `townes of tho.
17 Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
The fourthe lot yede out to Isacar, bi hise meynees; and the eritage therof was Jezrael,
18 Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
and Casseloth,
19 Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
and Symen, and Affraym, and Seon,
20 Rabithi, Kishioni, Ebesi,
and Anaarath, and Cabith, and Cesion, Hames,
21 Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
and Ramech, and Enganym, and Enadda, and Bethfeses.
22 Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
And the terme therof cometh `til to Tabor, and Seesyma, and Hethsemes; and the outgoyngis therof weren Jordan, sixtene citees, and `the townes of tho.
23 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
This is the possessioun of the sones of Ysachar, bi her meynees, the citees and the townes of tho.
24 Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
And the fiuethe lot felde to the lynage of the sones of Aser, by her meynees;
25 Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,
and the terme of hem was Alchat, and Adi, and Bethen,
26 Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi.
and Mesaph, and Elmelech, and Amaad, and Messal; and it cometh `til to Carmel of the see, and Sior, and Labanath; and it turneth ayen,
27 Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto.
ayens the eest, to Bethdagan; and passith `til to Zabulon, and to the valei of Jeptael, ayens the north, in Bethemeth, and Neyel; and it goith out to the left side to Gabul,
28 Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu.
and Acran, and Roob, and Omynon, and Chane, `til to grete Sidon;
29 Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu,
and it turneth ayen in to Horma, `til to the strongeste citee Tire, and `til to Ossam; and the outgoyngis therof schulen be in to the see, fro the part of Aczyma,
30 Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
and Affeth, and Roob; two and twenti citees, and `the townes of tho.
31 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
This is the possessioun of the sones of Aser, bi her meynees, `the citees, and `townes of tho.
32 Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:
The sixte lot of the sones of Neptalym felde, bi her meynees;
33 Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.
and the terme bigan of Heleth, and Helon, and Sannaira, and Adarny, `which is Neceb, and Jebnael, `til to Letum; and the outgoyng of hem til to Jordan;
34 Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki.
and the terme turneth ayen, ayens the west, in to Arnoth of Thabor; and fro thennus it goith out in to Hucota, and passith in to Zabulon, ayens the south, and in to Asor, ayens the west, and in to Juda, at Jordan, ayens the risyng of the sunne;
35 Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
of the strongeste citee Assydym, Ser, and Amraath,
36 Adama, Rama, Hazori,
and Rechath, Cenereth, and Edema,
37 Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,
and Arama, Asor, and Cedes, and Edrai,
38 Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.
Nason, and Jeron, and Magdael, Horem, and Bethanath, and Bethsemes; nyntene citees, and `the townes of tho.
39 Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
This is the possessioun of the lynage of the sones of Neptalym, bi her meynees, the citees, and the townes of tho.
40 Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
The seuenthe lot yede out to the lynage of the sones of Dan, bi her meynees;
41 Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
and the terme of the possessioun therof was Saraa, and Ascahol, and Darsemes, that is, the citee of the sunne,
42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
Selenym, and Hailon, and Jethala,
43 Eloni, Timna, Ekroni,
Helom, and Thenna, and Acrom,
44 Elteke, Gibethoni, Baalathi,
Helthecem, Jebtom, and Baalath, Lud,
45 Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
and Benebarach, and `Jethremmon, and Ihercon,
46 Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
and Arecon, with the terme that biholdith Joppen,
47 (Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
and is closid with that ende. And the sones of Dan stieden, and fouyten ayens Lesem; and thei token it, and smytiden it bi the scharpnes of swerd, and hadden in possessioun, and dwelliden therynne; and thei clepiden the name therof Lesan Dan, by the name of Dan, her fadir.
48 Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
This is the possessioun of the lynage of Dan, bi her meynees, the citees, and townes of tho.
49 Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao,
And whanne thei hadden fillid to departe the lond bi lot to alle men bi her lynagis, the sones of Israel yauen possessioun to Josue, sone of Nun,
50 kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.
in the myddis of hem, bi the comaundement of the Lord, the citee which he axide, Thannath Sara, in the hil of Effraym; and he bildide the citee, and dwellide therynne.
51 Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.
These ben the possessiouns whiche Eleazar, preest, and Josue, sone of Nun, and the princis of meynees, and of the lynagis of the sones of Israel, departiden bi lot in Silo, bifor the Lord, at the dore of tabernacle of witnessing, and departiden the lond.

< Yoshua 19 >