< Yoshua 19 >

1 Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
and to come out: casting(lot) [the] allotted [the] second to/for Simeon to/for tribe son: descendant/people Simeon to/for family their and to be inheritance their in/on/with midst inheritance son: descendant/people Judah
2 Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
and to be to/for them in/on/with inheritance their Beersheba Beersheba and Sheba and Moladah
3 Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
and Hazar-shual Hazar-shual and Balah and Ezem
4 Eltoladi, Bethuli, Horma,
and Eltolad and Bethul and Hormah
5 Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
and Ziklag and Beth-marcaboth [the] Beth-marcaboth and Hazar-susah Hazar-susah
6 Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
and Beth-lebaoth Beth-lebaoth and Sharuhen city three ten and village their
7 Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
Ain Rimmon and Ether and Ashan city four and village their
8 pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
and all [the] village which around [the] city [the] these till Baalath-beer Baalath-beer Ramah Negeb this inheritance tribe son: descendant/people Simeon to/for family their
9 Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.
from cord son: descendant/people Judah inheritance son: descendant/people Simeon for to be portion son: descendant/people Judah many from them and to inherit son: descendant/people Simeon in/on/with midst inheritance their
10 Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
and to ascend: rise [the] allotted [the] third to/for son: descendant/people Zebulun to/for family their and to be border: area inheritance their till Sarid
11 Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu.
and to ascend: rise border: boundary their to/for sea: west [to] and Mareal and to fall on in/on/with Dabbesheth and to fall on to(wards) [the] torrent: river which upon face: east Jokneam
12 Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.
and to return: return from Sarid east [to] east [the] sun upon border: boundary Chisloth-tabor Chisloth-tabor and to come out: extends to(wards) [the] Daberath and to ascend: rise Japhia
13 Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea.
and from there to pass east [to] east [to] Gath-hepher [to] Gath-hepher Eth-kazin [to] Eth-kazin and to come out: extends Rimmon [the] to border [the] Neah
14 Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli.
and to turn: turn [obj] him [the] border: boundary from north Hannathon and to be outgoing his (Iphtahel) Valley (Valley of) Iphtahel (Valley of) Iphtahel
15 Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
and Kattath and Nahalol and Shimron and Idalah and Bethlehem Bethlehem city two ten and village their
16 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.
this inheritance son: descendant/people Zebulun to/for family their [the] city [the] these and village their
17 Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
to/for Issachar to come out: casting(lot) [the] allotted [the] fourth to/for son: descendant/people Issachar to/for family their
18 Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
and to be border: area their Jezreel [to] and [the] Chesulloth and Shunem
19 Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
and Hapharaim and Shion and Anaharath
20 Rabithi, Kishioni, Ebesi,
and [the] Rabbith and Kishion and Ebez
21 Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
and Remeth and En-gannim En-gannim and En-haddah En-haddah and Beth-pazzez Beth-pazzez
22 Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
and to fall on [the] border: boundary in/on/with (Mount) Tabor (and Shahazumah *Q(K)*) and Beth-shemesh Beth-shemesh and to be outgoing border: boundary their [the] Jordan city six ten and village their
23 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
this inheritance tribe son: descendant/people Issachar to/for family their [the] city and village their
24 Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
and to come out: casting(lot) [the] allotted [the] fifth to/for tribe son: descendant/people Asher to/for family their
25 Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,
and to be border: area their Helkath and Hali and Beten and Achshaph
26 Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi.
and Allammelech and Amad and Mishal and to fall on in/on/with Carmel [the] sea: west [to] and in/on/with Shihor-libnath Shihor-libnath
27 Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto.
and to return: return east [the] sun Beth-dagon Beth-dagon and to fall on in/on/with Zebulun and in/on/with (Iphtahel) Valley (Valley of) Iphtahel (Valley of) Iphtahel north [to] Beth-emek Beth-emek and Neiel and to come out: extends to(wards) Cabul from left
28 Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu.
and Ebron and Rehob and Hammon and Kanah till Sidon (Sidon) the Great
29 Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu,
and to return: return [the] border: boundary [the] Ramah and till city fortification Tyre and to return: return [the] border: boundary Hosah (and to be *Q(K)*) outgoing his [the] sea [to] from Mahalab Achzib [to]
30 Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
and Ummah and Aphek and Rehob city twenty and two and village their
31 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
this inheritance tribe son: descendant/people Asher to/for family their [the] city [the] these and village their
32 Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:
to/for son: descendant/people Naphtali to come out: casting(lot) [the] allotted [the] sixth to/for son: descendant/people Naphtali to/for family their
33 Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.
and to be border: boundary their from Heleph from oak in/on/with Zaanannim and Adami [the] (Adami)-nekeb and Jabneel till Lakkum and to be outgoing his [the] Jordan
34 Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki.
and to return: return [the] border: boundary sea: west [to] Aznoth-tabor Aznoth-tabor and to come out: extends from there Hukkok [to] and to fall on in/on/with Zebulun from south and in/on/with Asher to fall on from sea: west and in/on/with Judah [the] Jordan east [the] sun
35 Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
and city fortification [the] Ziddim Zer and Hammath Rakkath and Chinneroth
36 Adama, Rama, Hazori,
and Adamah and [the] Ramah and Hazor
37 Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,
and Kedesh and Edrei and En-hazor En-hazor
38 Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.
and Yiron and Migdal-el Migdal-el Horem and Beth-anath Beth-anath and Beth-shemesh Beth-shemesh city nine ten and village their
39 Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
this inheritance tribe son: descendant/people Naphtali to/for family their [the] city and village their
40 Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
to/for tribe son: descendant/people Dan to/for family their to come out: casting(lot) [the] allotted [the] seventh
41 Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
and to be border: area inheritance their Zorah and Eshtaol and Ir-shemesh Ir-shemesh
42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
and Shaalbim and Aijalon and Ithlah
43 Eloni, Timna, Ekroni,
and Elon and Timnah [to] and Ekron
44 Elteke, Gibethoni, Baalathi,
and Eltekeh and Gibbethon and Baalath
45 Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
and Jehud and Bene-berak Bene-berak and Gath-rimmon Gath-rimmon
46 Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
and Me-jarkon [the] Me-jarkon and [the] Rakkon with [the] border: area opposite Joppa
47 (Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
and to come out: come border: area son: descendant/people Dan from them and to ascend: rise son: descendant/people Dan and to fight with Leshem and to capture [obj] her and to smite [obj] her to/for lip: edge sword and to possess: take [obj] her and to dwell in/on/with her and to call: call by to/for Leshem Dan like/as name Dan father their
48 Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
this inheritance tribe son: descendant/people Dan to/for family their [the] city [the] these and village their
49 Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao,
and to end: finish to/for to inherit [obj] [the] land: country/planet to/for border her and to give: give son: descendant/people Israel inheritance to/for Joshua son: child Nun in/on/with midst their
50 kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.
upon lip: word LORD to give: give to/for him [obj] [the] city which to ask [obj] Timnath-serah Timnath-serah in/on/with mountain: hill country Ephraim and to build [obj] [the] city and to dwell in/on/with her
51 Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.
these [the] inheritance which to inherit Eleazar [the] priest and Joshua son: child Nun and head: leader [the] father to/for tribe son: descendant/people Israel in/on/with allotted in/on/with Shiloh to/for face: before LORD entrance tent meeting and to end: finish from to divide [obj] [the] land: country/planet

< Yoshua 19 >