< Yoshua 19 >

1 Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
Drugi ždrijeb izađe za Šimuna, za pleme sinova Šimunovih po porodicama njihovim: njihova je baština bila usred sinova Judinih.
2 Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
Dodijeljena im je kao baština: Beer Šeba, Šeba, Molada;
3 Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
Hasar Šual, Bala, Esem;
4 Eltoladi, Bethuli, Horma,
Eltolad, Betul, Horma,
5 Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
Siklag, Bet-Hamarkabot, Hasar Susa,
6 Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
Bet-Lebaot i Šaruhen: trinaest gradova i njihova sela.
7 Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
Ajin, Rimon, Eter i Ašan: četiri grada s njihovim selima.
8 pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
I sva naselja što su oko tih gradova, do Baalat Beera, Ramat Negeba. To je baština plemena sinova Šimunovih po porodicama njihovim.
9 Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.
Baština je sinova Šimunovih bila od dijela sinova Judinih, jer dio dodijeljen sinovima Judinim bijaše za njih prevelik. Zato su sinovi Šimunovi dobili svoju baštinu usred njihova područja.
10 Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
Treći ždrijeb izađe za sinove Zebulunove po porodicama njihovim: njihovo je područje sezalo do Sarida,
11 Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu.
odakle im se međa na zapadu penjala do Marale, doticala Dabešet i dopirala do potoka koji je nasuprot Jokneamu.
12 Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.
Od Sarida je međa okretala prema istoku, sve do međe Kislot Tabora, odakle je izlazila do Dabrata i uspinjala se do Jafije.
13 Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea.
A odatle je išla opet prema istoku, na Git Hefer i na Ita Kasin, izlazila na Rimon i vraćala se do Nee.
14 Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli.
Onda je okretala sa sjevera oko Hanatona i završavala se u dolini Jiftah-Elu.
15 Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
Pa Katat, Nahalal, Šimron, Jidalu i Betlehem: dvanaest gradova s njihovim selima.
16 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.
To je bila baština sinova Zebulunovih po porodicama njihovim: ti gradovi s njihovim selima.
17 Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
Četvrti je ždrijeb izašao za Jisakara, za sinove Jisakarove po njihovim porodicama.
18 Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
A posjed im je bio: Jizreel, Hakesulot, Šunem;
19 Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
Hafarajim, Šion, Anaharat;
20 Rabithi, Kishioni, Ebesi,
Harabit, Kišjon, Ebes;
21 Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
Remet i En-Ganim, En-Hada i Bet-Pases.
22 Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
Potom međa dotiče Tabor, Šahasimu i Bet-Šemeš i izlazi na Jordan: šesnaest gradova s njihovim selima.
23 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
To je baština plemena sinova Jisakarovih po porodicama njihovim: ti gradovi s njihovim selima.
24 Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
Peti ždrijeb iziđe za pleme sinova Ašerovih po njihovim porodicama.
25 Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,
Njihova je zemlja bila: Helkat, Hali, Beten, Akšaf,
26 Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi.
Alamelek, Amad, Mišal. Na zapadu je međa doticala Karmel i Šihor Libnat.
27 Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto.
Zatim je okretala prema sunčanom istoku do Bet-Dagona i doticala se Zebuluna i doline Jiftahela sa sjevera; protezala se dalje Bet-Haemekom i Neielom i dosezala slijeva Kabul,
28 Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu.
pa Abdon, Rehob, Hamon i Kanu sve do Velikog Sidona.
29 Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu,
Međa je tada zavijala prema Rami i do tvrdoga grada Tira te je okretala prema Hosi i izlazila na more. Obuhvaćala je Mehaleb, Akzib,
30 Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Ako, Afek i Rehob: dvadeset i dva grada s njihovim selima.
31 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
To je baština plemena sinova Ašerovih po porodicama njihovim: ti gradovi i njihova sela.
32 Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:
Šesti ždrijeb izađe za sinove Naftalijeve po njihovim porodicama.
33 Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.
Njihova međa ide od Helefa i od Hrasta u Saananimu, od Adami Hanekeba i Jabneela do Lakuma i izbija na Jordan.
34 Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki.
Potom međa okreće na zapad k Aznot Taboru i pruža se odande prema Hukoku; na jugu se dotiče Zebuluna, na zapadu Ašera, na istoku Jordana.
35 Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
Utvrđeni gradovi bijahu Hasidim, Ser, Hamat, Rakat, Kineret;
36 Adama, Rama, Hazori,
Adama, Rama, Hasor,
37 Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,
Kedeš, Edrej, En-Hasor;
38 Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.
Jiron, Migdal-El, Horem, Bet-Anat, Bet-Šemeš: devetnaest gradova s njihovim selima.
39 Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
To je baština plemena Naftalijevih sinova po porodicama njihovim: ti gradovi i njihova sela.
40 Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
Izađe sedmi ždrijeb za pleme sinova Danovih po porodicama njihovim.
41 Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
Područje baštine njihove bilo je: Sora, Eštaol, Ir Šemeš,
42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
Šaalabin, Ajalon, Jitla,
43 Eloni, Timna, Ekroni,
Elon, Timna, Ekron,
44 Elteke, Gibethoni, Baalathi,
Elteke, Gibeton, Baalat,
45 Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
Jehud, Bene-Berak, Gat-Rimon,
46 Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
Me-Hajarkon i Harakon s područjem prema Jafi.
47 (Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
Ali područje sinova Danovih bilo je za njih pretijesno; zato udare Danovi sinovi na Lešem, osvoje ga i sve pobiju oštricom mača; zaposjednu grad, nastane se u njemu i Lešem prozovu Dan, po imenu Dana, oca svoga.
48 Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
To je baština plemena sinova Danovih po porodicama njihovim: ti im gradovi i sela njihova.
49 Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao,
Kada završe diobu zemlje ždrijebom i utvrde njezine međe, dadu Izraelci Jošui, sinu Nunovu, baštinu u svojoj sredini.
50 kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.
Po zapovijedi Jahvinoj dali su mu grad koji je sebi želio: Timnat-Serah u Efrajimovoj gori; on utvrdi taj grad i nastani se u njemu.
51 Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.
To su baštine koje su svećenik Eleazar i Jošua, sin Nunov, i glavari izraelskih plemena podijelili ždrijebom među plemena izraelska u Šilu, pred Jahvom, na vratima Šatora sastanka. Tako je zavšena razdioba zemlje.

< Yoshua 19 >