< Yoshua 19 >

1 Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
Apâhni e cungpam a rayu teh, Simeon miphunnaw ni imthung lahoi Judah e râw talai dawk râw a coe awh.
2 Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
Ahnimae râw talai dawk kaawm e khonaw teh, Beersheba, Moladah,
3 Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
Hazzarshual, Balah, Ezem,
4 Eltoladi, Bethuli, Horma,
Eltolad, Bethul, Hormah,
5 Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
Ziklag, Bethmarkhaboth, Hazarsusah,
6 Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
Bethlebaoth, Sharuhen, hoi kho 13 touh hoi khotenaw.
7 Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
Ai, Rimmon, Ether, Ashan, kho 4 touh.
8 pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
Hothloilah akalah kamlang e, Ballathbeer totouh, a lathueng dei tangcoung e kho tengpam e pueng. Hetnaw teh Simeon miphunnaw ni imthung lahoi a coe awh e râw lah ao.
9 Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.
Simeonnaw ni coe e râw talai teh Judahnaw ni coe e thung thum pou lah ao. Judahnaw e teh a len poung dawk ahnimae râw thung dawk e Simeonnaw ni râw a coe van awh.
10 Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
Apâthum e cungpam a rayu bo teh, Zebulunnaw ni imthung lahoi râw a coe awh. Ahnimae râw talai kâkhuennae teh, Sarid kho hoi a tâco teh,
11 Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu.
Kanîloumlah a cei teh, Maralah kho, Dabbesheth kho lah, Jokneam kho e hmalah kaawm e palang koe a pha.
12 Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.
Hahoi Sarid kho kanîtholah kamlang teh Khislothtabor kho, Daberath kho totouh a pha teh Japhia kho totouh a luen.
13 Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea.
Hote kho hoi kamtawng teh, kanîtholah a cei. Gath Hepher kho, Ethkazin kho, Neah khori Rimmon kho totouh a pha.
14 Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli.
Atunglah khori teh Hannathon kho dawk a pha teh, Iphtahel tanghling dawk a pout.
15 Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
Hahoi Kattath kho, Nahalal kho, Shimron kho, Idalah kho, Bethlehem, kho tie kho hoi 12 touh a pha.
16 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.
Hetheteh, khopui, khote khuehoi Zebulun miphunnaw ni imthung lahoi a coe awh e râw lah ao.
17 Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
Apalinae cungpam a rayu bo teh Issakharnaw ni imthung lahoi râw lah a coe awh.
18 Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
Ahnimae khori teh, Jezreel kho, Khesulloth kho, Shunem kho,
19 Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
Hapharaim kho, Shion kho, Anaharath kho,
20 Rabithi, Kishioni, Ebesi,
Rabbith kho, Kishion kho, Ebez kho,
21 Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
Remeth kho, Engannim kho, Enhadah kho, Bethpazzez kho,
22 Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
Tabor kho, Shahazumah kho, Bethshemesh kho, dawk a pha teh, hote khori teh Jordan palang dawk a pout. Khopui khote 16 touh a pha.
23 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
Hetheteh, khopui khote khuehoi Issakharnaw ni imthung lahoi a coe awh e râw lah ao.
24 Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
Apanga e cungpam a rayu bo teh, Ashernaw ni imthung lahoi râw lah a coe awh.
25 Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,
Ahnimae khori teh, Helkath kho, Hali kho, Beten kho, Akshaph kho,
26 Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi.
Allammelek kho, Amad kho, Mishal kho, Kanîloumlah Karmel kho, Shihorlibnath kho dawk a pha.
27 Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto.
Hahoi kanîtholah, kamlang teh, Bethdagon kho, Zebulun ram Jephthah El tanghling dawk a cei teh, atunglah Bethemek kho, Neiel kho, Kabul kho,
28 Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu.
Ebron kho, Rehob kho, Hammon kho, Kanah kho, Sidon kho, tui totouh a pha teh,
29 Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu,
Ramah kho, kacakpounge Taire kho, Hosah kho, koe lah kamlang teh, tuipui dawk hoi kamtawng teh, Akhzib kho totouh tuipui dawk a pout.
30 Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Ummah kho, Aphek kho, Rehob kho, hoi 22 touh a pha.
31 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
Hetheteh, Ashernaw ni imthung lahoi a coe awh e râw lah ao.
32 Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:
Ataruk e cungpam a rayu bo teh Naphtalinaw ni imthung lahoi râw lah a coe awh.
33 Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.
Ahnimae khori teh, Heleph kho, Zaanannim kho kathen kung, Adaminekeb kho, Jabneel kho, Lakkum kho khuehoi Jordan tui dawk a pout.
34 Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki.
Hahoi kanîloumlah kamlang teh, Aznothtabor kho, Hukkok kho dawk a pha teh, akalah Zebulun ram, kanîloumlah Asher ram, Kanîtholae Jordan tui dawk ramri lah ao.
35 Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
Kacakpounge khopuinaw teh, Ziddim, Zer, Hammath, Rakkath, Khinnereth,
36 Adama, Rama, Hazori,
Adamah, Ramah, Hazor,
37 Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,
Kedesh, Enhazor, Edrei,
38 Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.
Iron, Migdalel, Horem, Bethanath, Bethshemesh hoi 19 touh hoi khotenaw.
39 Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
Hetheteh khopui, khote khuehoi Naphtalinaw ni imthung lahoi a coe awh e râw lah ao.
40 Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
Asari e cungpam a rayu bo teh, Dannaw ni imthung lahoi râw lah a coe awh.
41 Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
Ahnimouh ni râw lah a coe awh e khonaw teh: Zorah, Eshtaol, Irshemesh,
42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
Shaalabin, Aijalon, Ithlah,
43 Eloni, Timna, Ekroni,
Elon, Timnah, Ekron,
44 Elteke, Gibethoni, Baalathi,
Eltekeh, Gibbethon, Baalath,
45 Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
Jehud, Beneberak, Gathrimmon,
46 Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
Mejarkon, Rakkon, Joppa, hmalah kaawm e talai khuehoi.
47 (Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
Dannaw ni a coe awh e talai teh, abueng dawkvah Leshem kho a tuk awh teh, hmuen a la awh. Leshem kho teh miphun e a na pa Dan min ka sin lah, Leshem hah Dan kho telah min a phung awh.
48 Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
Hetheteh khopui, khote khuehoi Dannaw ni imthung lahoi a coe awh e râw lah ao.
49 Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao,
Hottelah Isarel miphunnaw ni talai teh a kâkhuen awh, a kârei awh teh, râw be a coe awh hoi, Nun e capa Joshua hah râw talai a poe awh.
50 kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.
Ahni ni a hei e kho, Ephraim mon dawkvah, Timmathserah kho hah Cathut ni kâ a poe e patetlah a poe awh teh, ahni ni khoha a thawng teh kho a sak.
51 Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.
Hetheteh, vaihma bawi Eleazar, Nun e capa Joshua Isarel miphun thung dawkvah, imthung lae kacuenaw ni Shiloh kho vah, Cathut hmalah kamkhuengnae lukkareiim takhang teng vah, lengkaleng a kârei awh e râwnaw lah ao. Hahoi teh, ram kâreinae thaw a cum awh toe.

< Yoshua 19 >