< Yoshua 19 >

1 Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
A hmulung pabae te Simeon ham neh Simeon ca rhoek, anih koca rhoek ham, amah cako tarhing ah a yueh pah vaengah amih kah rho loh Judah ca rhoek kah rho khui ah kap.
2 Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
Amih kah rho khuiah Beersheba, Sheba neh Moladah,
3 Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
Hazarshual, Balah neh Ezem,
4 Eltoladi, Bethuli, Horma,
Eltolad, Bethul neh Hormah,
5 Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
Ziklag, Bethmarkaboth neh Hazarsusah,
6 Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
Bethlebaoth, Sharuhen khopuei hlai thum neh a vangca rhoek,
7 Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
Ayin Rimmon, Ether, Ashan khopuei pali neh a vangca rhoek,
8 pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
Khopuei rhoek kaepvai vangca boeih Baaltahbeer tuithim Ramath duela Simeon ca rhoek amih, amah cako tarhing ah amih koca kah rho la om.
9 Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.
Judah ca rhoek kah khoyo he muep a om dongah Simeon ca rhoek rho he Judah ca rhoek kah khoyo dongah a kap pah. Te dongah amih kah rho khuikah te Simeon koca rhoek loh a pang uh.
10 Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
A pathum ah Zebulun ca rhoek ham te amah cako tarhing ah hmulung a naan pah. Amih rho kah khorhi he Sarid duela cet.
11 Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu.
Te dongah amih khorhi he khotlak la luei. Dabbaseth ah Maralah te a doo tih Jokneam dan kah soklong te a doo thil.
12 Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.
Te phoeiah khothoeng Sarid lamkah khocuk la, Kislothtabor khorhi la mael tih Daberath la a pawk phoeiah Japhia la luei.
13 Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea.
Te lamkah te khocuk, khothoeng la, Gathhepher la, Ethkazin la kat tih Neah la aka hooi Rimmon la pawk.
14 Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli.
Hannathon tlangpuei ah khorhi loh a hil tih a hmoi te kolrhawk ah om.
15 Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
Kattath, Nahalal, Shimron, Idalah, Bethlehem, kho hlai nit neh amih vangca rhoek,
16 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.
Te khopuei neh a vangca rhoek he Zebulun koca rhoek neh a hui a ko kah rho la om.
17 Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
Hmulung a pali te Issakhar ham, Issakhar koca rhoek kah a hui a ko tarhing la a naan.
18 Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
Te dongah Jezreel Kesulloth neh Shunem,
19 Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
Hapharaim, Shion neh Anaharath,
20 Rabithi, Kishioni, Ebesi,
Rabibith, Kishion neh Ebez,
21 Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
Remeth, Engannim, Enhadah neh Bethpazzez te amih kah khorhi la om.
22 Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
Te phoeiah khorhi loh Tabor neh Shahazumah, Shahazumah neh Bethshemesh te a doo tih Jordan kah khopuei hlai rhuk neh a vangca rhoek te amih kah rhi hmoi la om.
23 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
He khopuei vangca rhoek Issakhar ca rhoek, amih koca rhoek neh a hui a ko tarhing kah rho la om.
24 Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
Hmulung a panga te Asher ca rhoek, amih koca neh a hui a ko tarhing la a naan pah.
25 Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,
Te dongah Helkath, Hali, Beten neh Akshaph,
26 Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi.
Allammelek, Amad, Mishal neh khotlak Karmel, Shihorlibnath te a doo.
27 Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto.
Te phoeiah khocuk Bethdagon la mael tih Zebulun neh tlangpuei kolrhawk, Bethemek neh Neiel te a doo phoeiah banvoei Kabuul la pawk.
28 Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu.
Ebron neh Rehob, Hammon, Kanah, Sidon puei due,
29 Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu,
khorhi te Ramah neh khopuei hmuencak Tyre la bal. Te phoeiah Hosah khorhi ah aka mael te cet phai tih Akhzib rhi ah a hmoi te pawk.
30 Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Ummah, Aphek, Rehob khopuei pakul panit neh vangca rhoek he amih kah khorhi ana om.
31 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
Hekah khopuei rhoek neh vangca rhoek he Asher ca rhoek, amih koca a hui a ko kah rho la om.
32 Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:
Hmulung a parhuk te Naphtali ca rhoek ham neh Naphtali ca rhoek kah a hui a ko tarhing ah a naan pah.
33 Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.
Te dongah amih kah khorhi tah Heleph, Zaanannim thingnu neh Adami, Jabneel lamloh Lakkuum la thoeng tih a hmoi te Jordan om.
34 Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki.
Khorhi he khotlak Aznothtabor lam khaw yong tih Hukkuk la pawk. Te phoeiah tuithim Zebulun te a doo tih khotlak kah Asher neh khocuk Jordan, Judah te a pha.
35 Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
Te dongah khopuei hmuencak rhoek Ziddim Zer, Khammath, Rakkath neh Kinnereth,
36 Adama, Rama, Hazori,
Adamah, Ramah neh Hazor,
37 Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,
Kedesh, Edrei, Enhazor,
38 Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.
Iron, Migdalel, Horem, Bethanath, Bethshemesh khopuei hlai ko neh amih kah vangca rhoek,
39 Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
tekah khopuei rhoek neh vangca rhoek te Naphtali ca rhoek, amih koca neh a hui a ko kah rho la om.
40 Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
Dan ca rhoek, amih koca ham a hui a ko tarhing la hmulung a parhih te a naan pah.
41 Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
Te vaengah amih kah khorhi rho la Zorah, Eshtaol neh Shemesh khopuei,
42 Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
Shaalabin, Aijalon neh Ithlah,
43 Eloni, Timna, Ekroni,
Elon, Timnah, Ekron,
44 Elteke, Gibethoni, Baalathi,
Eltekeh, Gibbethon, Baalath,
45 Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
Jehud, Beneberak, Gathrimmon,
46 Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
Me Jarkon, Rakkon neh Joppa imdan rhi te a om pah.
47 (Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
Dan ca rhoek kah khorhi he te lamkah hang khuen coeng dae Dan ca rhoek te cet uh tih Leshem te a tloek thil uh. Anih te a buem uh tih cunghang ha neh a ngawn uh tih a huul uh. A khuiah kho a sak vaengah tah a napa Dan kah ming voel la Leshem Dan la a sui uh.
48 Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
Te khopuei rhoek neh a vangca rhoek te Dan ca rhoek, anih koca neh a hui a ko kah rho la om.
49 Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao,
Khohmuen te a rhilung neh phaeng ham a khah uh vaengah Israel ca rhoek amamih khui kah loh Nun capa Joshua te rho a paek uh.
50 kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.
BOEIPA ol vanbangla a bih khopuei, Ephraim tlang ah Timnathkhehres te anih a paek uh tih a khuiah kho a thong tih kho a sak.
51 Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.
Tekah rho rhoek te khosoih Eleazar, Nun capa Joshua, Israel ca rhoek kah koca rhoek khuiah a napa rhoek kah a lu aka om rhoek loh Shiloh kah tingtunnah dap thohka BOEIPA mikhmuh ah hmulung la a phaeng uh tih khohmuen a tael te a khah uh.

< Yoshua 19 >