< Yoshua 18 >

1 Kusanyiko lote la Waisraeli likakusanyika huko Shilo na kusimamisha Hema la Kukutania. Nchi ikawa chini ya utawala wao,
Tunvang gamsung chu Israelte khut noiya uma ahitai, Israel mite chu abonchauvin Shiloh a akikhomun hichea chun kikhopna ponbuhkhat atungdohn tauve.
2 lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.
Ahinlah hichea chun phung sagi hochu alodiu chennagam kipeloulai aum nalaijin ahi.
3 Hivyo Yoshua akawaambia Waisraeli, “Je, mtasubiri hata lini ili kuingia kumiliki nchi ambayo Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa?
Hichun Joshua’n amahochu adongin, “Napu napateu Pakai Pathennin nalodiuva napeh u gam nachandiu chu itih changei nanga diuham?” ati.
4 Chagueni watu watatu kutoka kwenye kila kabila. Nitawatuma hao watu kukagua hiyo nchi na kuniandikia mapendekezo ya mgawanyo wa urithi wa kila kabila. Nao watanirudia.
“Phungkhat a mithum cheh hinlhengdoh unlang keiman amaho chu gam vetoh dingin gahsol intin, amaho cheuvin tin amaho cheh in alodiu gamchu hinvetoh untin keikoma thu ahinlhut kitdiu ahi.
5 Mtaigawanya hiyo nchi katika sehemu saba. Yuda atabaki katika eneo lake upande wa kusini na nyumba ya Yosefu katika nchi yake upande wa kaskazini.
Judahten achannu lhanglam gamleh Joseph in achennao sahlang gam panglouva amahon agamvet uchu hop sagi’a ahopdiu ahi.
6 Baada ya kuandika maelezo ya hizo sehemu saba za nchi, yaleteni kwangu, nami nitawapigia kura kwa kura mbele za Bwana Mungu wetu.
Hitia chu amahon agamvet u ajihlutnao chu keikoma ahin choilutdiu, aphungdung jui'a achondiu akipehtheina dinga keiman Pakai Pathen angsung’a vang theng kasanding ahi.
7 Hata hivyo, Walawi hawatakuwa na sehemu miongoni mwenu, kwa maana huduma ya ukuhani kwa Bwana ndio urithi wao. Nao Gadi, Reubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapata urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, ambako Mose mtumishi wa Bwana aliwapa.”
“Levite chun gamchan aneiloudiu ahi. Amaho chanding chu Pathen thempu kinbol chu hiding ahi. Chuleh Gad, Reuben leh Manasseh phung kehkhat hochu gam chanbeloudiu ahitai. Ajeh chu Pakai lhacha Mose’n amahochu Jordan vadung solam gamkaija anapehsa ahitan amahon gamchan chu akimusao ahitai,” ati.
8 Watu hao walipokuwa wanaondoka kwenda kuandika vizuri kuhusu hiyo nchi, Yoshua akawaagiza, “Nendeni mkakague hiyo nchi na mwandike maelezo kuihusu. Kisha mrudi kwangu, nami nitawapigia kura hapa Shilo mbele za Bwana.”
Amaho gam gakholtoh dingleh gajihdoh dinga akipatdoh uchun Joshua’n hitin thupeh ananeijin ahi, “Cheuvinlang agamchu gakholtoh unlang kichihtah in hinjihdoh un. Chujouteng kakomma hungun, huting keiman Shiloh munna Pakai angsung’a vangsan na kaneiding chuteng aphung dungjui a agam chu kahoppehdiu nahiuve” ati.
9 Ndipo hao watu walipoondoka na kupita katika ile nchi. Wakaandika maelezo yake kwenye kitabu, mji kwa mji, katika sehemu saba na kurudisha taarifa kwa Yoshua huko kambini Shilo.
Miho chun gampumpi chu agakholtoh dungjuijin ahin jihdoh un khopi dingleh khoneoding agongtoh un hopsagi in ahommun lekhabua ajihkit un Shiloh ngahmunna Joshua komma ahinpo lutnun ahi.
10 Basi Yoshua akawapigia kura huko Shilo mbele za Bwana, na hapo akagawanya ile nchi kwa Waisraeli kufuatana na mgawanyo wa kabila zao.
Chuleh Shiloh achun Joshua'n Pakai angsung’a vangsan’na aneiyin hoilai munchu koi phungpen chang dingham ti avetan ahi.
11 Kura iliangukia kabila la Benyamini, ukoo kwa ukoo. Eneo lao walilogawiwa lilikuwa kati ya kabila la Yuda na la Yosefu.
Vang kivetna-a chan masa chu Benjamin phunga alhungin ahi. Hiche chan hi Judah le Joseph gamchan kikah’a um gam chu ahi.
12 Upande wa kaskazini mpaka wao ulianzia pale Yordani, kupitia kaskazini ya mteremko wa Yeriko na kuendelea magharibi kuingia katika nchi ya vilima, ukitokea kwenye jangwa la Beth-Aveni.
Benjamin channa sahlang gamgi chu Jordan vadunga hung kipan ahin, Jericho sahlang juilang ajonnin, hitichun lhumlama thinglhang gamleh Beth-aven ahin pal galkaijin ahi.
13 Kutoka hapo ulikatiza kwenye mteremko wa kusini mwa Luzu (yaani Betheli) na kushuka hadi Ataroth-Adari katika kilima kusini mwa Beth-Horoni ya Chini.
Hiche apatin gamhi chu Luz (Bethel tina) lhanglama achepeh in hijouchun achesuh in noinung Beth-horon lhanglam thinglhang chunga um Ataroth-addar munna alutnin ahi.
14 Kutoka kilima kinachotazamana na Beth-Horoni upande wa kusini mpaka ule ukazunguka kusini kufuatia upande wa magharibi, na ukatokezea Kiriath-Baali (yaani Kiriath-Yearimu), mji wa watu wa Yuda. Huu ndio uliokuwa upande wa magharibi.
Gamgi chu ahung kileheijin lhanglang ajonsuh in Beth-horon maingat thinglhang lhumlam gei hina alutnin Kiriath-baal (Keriath-jearim tina) khokhatna atangin ahi. Hichehi Judah phung khopi khat ahi. Hichehi lhumlam gamgi chu ahi.
15 Upande wa kusini mpaka ulianzia kwenye viunga vya Kiriath-Yearimu kwa upande wa magharibi, nao ukatokeza kwenye chemchemi ya maji ya Neftoa.
Lhanglam gamgi chu Kiriath-jearim khopamma konin ahung kipanne. Hiche lhumlam gamchinna konhin ahung kilhungin Naphtoah twinah put namun ahinjotpan,
16 Mpaka ukateremka hadi shefela inayotazamana na Bonde la Ben-Hinomu, kaskazini mwa Bonde la Refaimu. Ukaendelea chini kwenye Bonde la Hinomu sambamba na mteremko wa kusini mwa mji mkubwa wa Wayebusi na kisha hadi En-Rogeli.
Ben-Hinnom phaicham pangmol bullah alutnin ahi. Hichehi Rephaim phaicham sahlang kichaina mun ahi. Hichea konhin Hinnom phaichamma achesuh peh-in Jebus mite chenna lhanglam suh apaltannin En-Rogel changei in achonlut peh in ahi.
17 Kisha ukapinda kuelekea kaskazini, ukaenda hadi En-Shemeshi na kuendelea mpaka Gelilothi, inayotazamana na Njia ya Adumimu, ukateremka hadi kwenye Jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.
En-Rogel gamgia kon in sahlang jotna lammah alutnin En-Shemesh ahinjonin Geliloth (Adummin langa kaltouna toh kigalsai ahitai) chunga alut jellin ahi. Hichea konhin Bohan (Reuben chapa min) songphung geijin achesuh in ahi.
18 Ukaendelea upande wa mteremko wa kaskazini wa Beth-Araba ukateremka hadi Araba.
Hichea konhin Jordan phaicham hin galdotna sahlang gamkai langa achepeh in ahi. Hitichun gamgi chu phaicham lamma achesuh in ahi.
19 Kisha ukaenda mpaka kwenye mteremko wa kaskazini wa Beth-Hogla na kujitokeza kwenye ghuba ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi, kwenye maingilio ya Yordani upande wa kusini. Huo ulikuwa mpaka wa kusini.
Beth-hoglah sahlang lhang apal galkaijin Chitui-len sahlang pangah alongin ahi. Hichehi Jordan vadung lhang langa achaina ahitai. Hiche lhanglang gamgi chu ahitai.
20 Nayo Yordani ikawa ndio mpaka wa upande wa mashariki. Hii ilikuwa ndiyo mipaka iliyoonyesha urithi wa koo za Benyamini pande zote.
Solam gamgi chu Jordan vadung ahitai. Hichehi Benjamin phung bahkai ho jouse gamlo dinga kipe gamgi chu ahi.
21 Kabila ya Benyamini, ukoo kwa ukoo, ilikuwa na miji mikubwa ifuatayo: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi,
Hicheho hi Benjamin phung sunga abahkai ho kipe khopichu ahi. Beth-hoglah, Emek-keziz,
22 Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,
Beth-arabah, Zemaraim, Bethel,
23 Avimu, Para na Ofra,
Avvim, Parah, Ophrah,
24 Kefar-Amoni, Ofni, na Geba; miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
Kephar-ammoni, Ophni, and Geba— khopi somleni chule vella khoho ahiuve
25 Gibeoni, Rama na Beerothi,
Chujongle Gibeon, Ramah, Beeroth,
26 Mispa, Kefira, Moza,
Mizpeh, Kephirah, Mozah,
27 Rekemu, Irpeeli, Tarala,
Rekem, Irpeel, Taralah,
28 Zela, Elefu, mji wa Wayebusi (yaani Yerusalemu), Gibea na Kiriathi; miji kumi na minne pamoja na vijiji vyake. Huu ndio uliokuwa urithi wa Benyamini kwa ajili ya koo zake.
Zela, Haeleph, Jebus (hichu Jerusalem), Gibeah, and Kiriath-jearim — khopi somleli chule avella khoho ahiuve. Hicheng hi Benjamin phungmite le abahkai ho lodia kipe gam ho chu ahi.

< Yoshua 18 >