< Yoshua 18 >

1 Kusanyiko lote la Waisraeli likakusanyika huko Shilo na kusimamisha Hema la Kukutania. Nchi ikawa chini ya utawala wao,
Isala: ili dunu da soge huluane hasali dagosea, ilia huluane Siailou moilaiga gilisili, Hina Gode Ea Da: bena: gele abula diasu gagui.
2 lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.
Be Isala: ili fi fesuale amo da ilia soge hame ilegei ba: i.
3 Hivyo Yoshua akawaambia Waisraeli, “Je, mtasubiri hata lini ili kuingia kumiliki nchi ambayo Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa?
Amaiba: le, Yosiua da Isala: ili dunuma amane sia: i, “Dilia aowalali ilia Hina Gode da soge dilima i dagoi. Dilia da abuliba: le amo soge hedolo hame gesowale fibala: ?
4 Chagueni watu watatu kutoka kwenye kila kabila. Nitawatuma hao watu kukagua hiyo nchi na kuniandikia mapendekezo ya mgawanyo wa urithi wa kila kabila. Nao watanirudia.
Dunu fi afae afae amo dunu udiana nama ilegema. Na da ili soge huluane ilia da lamusa: hanai gala amo dedema: ne na da asunasimu. Amasea, ilia da nama buhagima: mu.
5 Mtaigawanya hiyo nchi katika sehemu saba. Yuda atabaki katika eneo lake upande wa kusini na nyumba ya Yosefu katika nchi yake upande wa kaskazini.
Ninia da soge fifili, fesuale agoane ilegemu. Yuda fi da hi soge ga (south) amo ganodini esalumu. Amola Yousefe ea fi da hi soge ga (north) amo ganodini esalumu.
6 Baada ya kuandika maelezo ya hizo sehemu saba za nchi, yaleteni kwangu, nami nitawapigia kura kwa kura mbele za Bwana Mungu wetu.
Amo soge alalo fesuale ilia hou noga: le dedema. Amasea, ninia da Hina Gode Ea hanai dawa: ma: ne, ululuale hedesu ilegesu ea hou ba: mu.
7 Hata hivyo, Walawi hawatakuwa na sehemu miongoni mwenu, kwa maana huduma ya ukuhani kwa Bwana ndio urithi wao. Nao Gadi, Reubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapata urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, ambako Mose mtumishi wa Bwana aliwapa.”
Lifai dunu da dili lai defele, soge hame lamu. Bai Hina Gode da ilima gobele salasu hawa: hamomusa: ilegei dagoi. Amola Ga: de, Liubene amola Eso Mabadi Ma: na: se da ilia soge Yodane Hano eso mabadi la: idi amo lai dagoi. Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese da amo ilima i dagoi.”
8 Watu hao walipokuwa wanaondoka kwenda kuandika vizuri kuhusu hiyo nchi, Yoshua akawaagiza, “Nendeni mkakague hiyo nchi na mwandike maelezo kuihusu. Kisha mrudi kwangu, nami nitawapigia kura hapa Shilo mbele za Bwana.”
Yosiua da soge abodema: ne ahoasu dunu ilima amane sia: i, “Defea! Asili, soge huluane ea hou ba: lalu noga: le dedema. Amasea, nama bu misa. Amasea, ninia Hina Gode Ea hanai ba: ma: ne, ilegesu ululuasu hou hamomu.” Ilia da amo nabalu asi.
9 Ndipo hao watu walipoondoka na kupita katika ile nchi. Wakaandika maelezo yake kwenye kitabu, mji kwa mji, katika sehemu saba na kurudisha taarifa kwa Yoshua huko kambini Shilo.
Ilia soge huluane ba: i. Ilia soge amo fesuale fifili, moilai huluane ilia dio dedei. Amalalu, ilia da Yosiua amo Da: bena: gele abula diasu Siailou amoga esalu, ema buhagi.
10 Basi Yoshua akawapigia kura huko Shilo mbele za Bwana, na hapo akagawanya ile nchi kwa Waisraeli kufuatana na mgawanyo wa kabila zao.
Yosiua da Hina Gode Ea hanai ba: ma: ne, igi ululuasu ilegesu hou hamoi. E da Isala: ili fi amo da soge hame lai, amoga soge fifili, ilegei dagoi.
11 Kura iliangukia kabila la Benyamini, ukoo kwa ukoo. Eneo lao walilogawiwa lilikuwa kati ya kabila la Yuda na la Yosefu.
Bediamini fi da hidadea ilia soge lai. Ilia soge lai da Yuda fi amola Yousefe ea fi amo dogoa dialebe ba: i.
12 Upande wa kaskazini mpaka wao ulianzia pale Yordani, kupitia kaskazini ya mteremko wa Yeriko na kuendelea magharibi kuingia katika nchi ya vilima, ukitokea kwenye jangwa la Beth-Aveni.
Ga (south) ilia alalo da Yodane Hano amoga asili, agolo heda: le, Yeligou ga (south) asili, amalalu selefale eso dabe la: idi asili, agolo sogega asili hafoga: i sogebi Bedeha: ifene, amoga doaga: i.
13 Kutoka hapo ulikatiza kwenye mteremko wa kusini mwa Luzu (yaani Betheli) na kushuka hadi Ataroth-Adari katika kilima kusini mwa Beth-Horoni ya Chini.
Amalu ilia alalo da agolo sogega asili, Lase (eno dio da Bedele) ga (north) asili, A:dalode A: da amoga asi. A: dalode A: da da goumi amo Bede Holone amoga ga (south) galu, amogai dialu.
14 Kutoka kilima kinachotazamana na Beth-Horoni upande wa kusini mpaka ule ukazunguka kusini kufuatia upande wa magharibi, na ukatokezea Kiriath-Baali (yaani Kiriath-Yearimu), mji wa watu wa Yuda. Huu ndio uliokuwa upande wa magharibi.
Amalu, alalo da selefale, amo goumi ea eso dabe la: idi ga (south) asili Gilia: de Ba: iale (Yuda dunu fi ilia moilai) amoga doaga: i. Amo da guma: la: idi soge alalo.
15 Upande wa kusini mpaka ulianzia kwenye viunga vya Kiriath-Yearimu kwa upande wa magharibi, nao ukatokeza kwenye chemchemi ya maji ya Neftoa.
Ga (south) alalo da Gilia: de Yialimi bega: asili, Nefedoua Hano Bubuga: su amoga doaga: i.
16 Mpaka ukateremka hadi shefela inayotazamana na Bonde la Ben-Hinomu, kaskazini mwa Bonde la Refaimu. Ukaendelea chini kwenye Bonde la Hinomu sambamba na mteremko wa kusini mwa mji mkubwa wa Wayebusi na kisha hadi En-Rogeli.
Amoga asili, alalo da goumi (amo da Lefa: ime Fago gano diala amola amoga diala da Hinome Fago ba: sa) amo ea baiga asili, ga (south) Hinome Fago amo ganodini asili, Yebiusaide goumiga asili, Enelougele doaga: musa: asili,
17 Kisha ukapinda kuelekea kaskazini, ukaenda hadi En-Shemeshi na kuendelea mpaka Gelilothi, inayotazamana na Njia ya Adumimu, ukateremka hadi kwenye Jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.
selefale bu ga (north) Enesemese baligili, Gelilode ilegesu alalo (Adamimi adobo gigadofa ahoasu gadenei) amoga asi. Amalu, alalo da asili Bouha: ne Gele amoga doaga: i. (Bouha: ne da Liubene ea mano).
18 Ukaendelea upande wa mteremko wa kaskazini wa Beth-Araba ukateremka hadi Araba.
Fele da: iya amoga asili, goumi (amoga dilia da Yodane Fago ba: sa) amoga ga (north) asili, Yodane Fagoga gudu sa: ili,
19 Kisha ukaenda mpaka kwenye mteremko wa kaskazini wa Beth-Hogla na kujitokeza kwenye ghuba ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi, kwenye maingilio ya Yordani upande wa kusini. Huo ulikuwa mpaka wa kusini.
Bede Hogola ga (north) asili, Yodane Hano da Bogoi Hano Wayabo idimi amoga doaga: sa. Amo da ga (south) alalo.
20 Nayo Yordani ikawa ndio mpaka wa upande wa mashariki. Hii ilikuwa ndiyo mipaka iliyoonyesha urithi wa koo za Benyamini pande zote.
Eso mabadi alalo da Yodane Hano. Amo da Bediamini fi dunu ilia alalo huluane.
21 Kabila ya Benyamini, ukoo kwa ukoo, ilikuwa na miji mikubwa ifuatayo: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi,
Moilai bai bagade amo Bediamini fi ilia lai da Yeligou, Bede Hogola, Emege Gesisi,
22 Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,
Bede A: la: ba, Semala: imi, Bedele,
23 Avimu, Para na Ofra,
A: ifimi, Ba: ila, Ofala,
24 Kefar-Amoni, Ofni, na Geba; miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
Gifaha: mouni, Ofini amola Giba. Amo da moilai bai bagade fagoyale galu amola moilai fonobahadi ili sisiga: le dialu.
25 Gibeoni, Rama na Beerothi,
Amola ilia da moilai bai bagade eno lai, amola amo sisiga: le dialu moilai fonobahadi. Ilia lai da Gibione, Lama, Bialode, Misiba, Gifaila, Mousa, Legeme, Ebaiele, Da: lala, Sila, Ha: ilefe, Yibase (eno dio da Yelusaleme), Gibia amola Gilia: de Yialimi. Amo dedei da soge huluane Bediamini fi ilia fi huluane da lai dagoi.
26 Mispa, Kefira, Moza,
27 Rekemu, Irpeeli, Tarala,
28 Zela, Elefu, mji wa Wayebusi (yaani Yerusalemu), Gibea na Kiriathi; miji kumi na minne pamoja na vijiji vyake. Huu ndio uliokuwa urithi wa Benyamini kwa ajili ya koo zake.

< Yoshua 18 >