< Yoshua 17 >

1 Huu ndio mgawo wa kabila la Manase kama mzaliwa wa kwanza wa Yosefu, yaani kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase. Makiri alikuwa baba wa Wagileadi, ambao walipokea Gileadi na Bashani kwa sababu Wamakiri walikuwa askari wakuu.
Inilah tanah yang diberikan kepada suku Manasye, anak sulung Yusuf. Daerah Gilead dan Basan di sebelah timur sungai Yordan diberikan kepada Makir, anak sulung Manasye, ayah Gilead. Daerah itu diberikan kepada Makir karena dia seorang pahlawan perang.
2 Kwa hiyo mgawo huu ulikuwa kwa ajili ya watu wa Manase waliokuwa wamebaki, ambao ni koo za Abiezeri, Heleki, Asirieli, Shekemu, Heferi na Shemida. Hawa ndio wanaume wale wengine wa uzao wa Manase mwana wa Yosefu kwa koo zao.
Tanah di sebelah barat sungai Yordan diberikan kepada marga-marga lainnya dari suku Manasye, yaitu Abiezer, Helek, Asriel, Sikem, Hefer, dan Semida. Marga-marga ini adalah keturunan laki-laki dari Manasye, anak Yusuf.
3 Basi Selofehadi mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase hakuwa na wana waume ila mabinti tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.
Akan tetapi, Zelafehad anak Hefer tidak mempunyai anak laki-laki, hanya anak-anak perempuan yang bernama Mahla, Noa, Hogla, Milka, dan Tirza. (Hefer adalah anak Gilead, cucu Makir, dan cicit Manasye.)
4 Wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi, wakasema: “Bwana alimwagiza Mose atupatie urithi miongoni mwa ndugu zetu.” Kwa hiyo Yoshua akawapa urithi pamoja na ndugu wa baba yao, kufuatana na agizo la Bwana.
Perempuan-perempuan itu menemui imam Eleazar, Yosua, serta para pemimpin bangsa Israel dan berkata, “TUHAN menyuruh Musa untuk memberikan tanah warisan kepada kami di antara saudara-saudara kami.” Maka Yosua memberi mereka tanah warisan di antara saudara-saudara laki-laki ayah mereka, sesuai perintah TUHAN.
5 Fungu la Manase lilikuwa na sehemu kumi za nchi, licha ya Gileadi na Bashani mashariki mwa Yordani,
Demikianlah suku Manasye mendapat sepuluh bidang tanah di sebelah barat sungai Yordan, karena keturunan perempuan Manasye itu juga menerima tanah warisan sama seperti keturunan laki-laki. Suku Manasye juga mendapat daerah Gilead dan Basan di sebelah timur sungai Yordan. Daerah Gilead sudah diberikan kepada keturunan Manasye lainnya.
6 kwa sababu wale binti za kabila la Manase walipokea urithi miongoni mwa wana wa kiume. Nchi ya Gileadi ilikuwa mali ya wazao wa Manase waliobaki.
7 Eneo la Manase lilienea kuanzia Asheri hadi Mikmeta mashariki mwa Shekemu. Mpaka ule ulielekea upande wa kusini kutoka pale kujumuisha watu walioishi En-Tapua.
Wilayah suku Manasye terbentang dari perbatasan wilayah suku Asyer sampai ke kota Mikmetat, yang terletak di sebelah timur kota Sikem, kemudian terus ke arah selatan sampai ke daerah penduduk En Tapuah.
8 (Nchi ya Tapua ilikuwa mali ya Manase, lakini Tapua yenyewe iliyo mpakani mwa nchi ya Manase ilikuwa ya Waefraimu.)
Daerah Tapuah adalah milik suku Manasye, tetapi kota Tapuah di perbatasan wilayah Manasye adalah milik suku Efraim.
9 Kisha mpaka ule uliendelea kuelekea kusini hadi Bonde la Kana. Kulikuwepo miji ya Efraimu iliyokuwa miongoni mwa miji ya Manase, lakini mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa lile bonde na kuishia kwenye bahari.
Kemudian garis batas selatan itu turun ke sungai Kana dan menelusurinya ke arah barat sampai ke Laut Tengah. Wilayah suku Manasye sebagian besar terletak di sebelah utara sungai Kana. Di sebelah selatan sungai Kana, ada beberapa kota yang dimiliki suku Efraim meskipun masih terletak di dalam wilayah Manasye. Demikianlah wilayah suku Manasye berbatasan dengan wilayah suku Efraim di sebelah selatan, Laut Tengah di sebelah barat, wilayah suku Asyer di sebelah barat laut, dan wilayah suku Isakar di sebelah timur laut.
10 Nchi ya kusini ilikuwa ya Efraimu, na ile iliyokuwa upande wa kaskazini ilikuwa ya Manase. Eneo la Manase lilifika bahari na ikapakana na Asheri upande wa kaskazini, na Isakari upande wa mashariki.
11 Katika Isakari na Asheri Manase alikuwa na miji pia: Beth-Shani, Ibleamu na watu wa Dori, Endori, Taanaki na Megido, pamoja na vijiji vyote vinavyohusika na miji hiyo (ya tatu katika orodha ni Nafothi).
Di dalam wilayah suku Asyer dan suku Isakar, ada beberapa kota beserta desa-desa di sekitarnya yang diberikan kepada suku Manasye. Kota-kota itu adalah Bet Sean, Yibleam, Dor (di pinggir laut), En Dor, Taanak, dan Megido.
12 Lakini Wamanase hawakuweza kuimiliki miji hii, kwa kuwa Wakanaani walikazana kuishi katika maeneo hayo.
Namun, suku Manasye tidak dapat mengusir orang Kanaan yang tinggal di kota-kota itu karena mereka bersikeras tinggal di daerah sana.
13 Hata hivyo, Waisraeli walivyoendelea kupata nguvu waliwatumikisha Wakanaani na kuwatia katika kazi za kulazimishwa, lakini hawakuwafukuza kabisa.
Ketika orang Israel semakin kuat, mereka menjadikan orang-orang Kanaan itu pekerja paksa, tetapi tidak mengusir mereka sepenuhnya.
14 Watu wa Yosefu wakamwambia Yoshua, “Kwa nini umetupa sisi mgawo mmoja tu na sehemu moja tu kuwa urithi? Sisi tu watu wengi sana, na Bwana ametubariki kwa wingi.”
Berkatalah keturunan Yusuf kepada Yosua, “TUHAN sudah memberkati kami sehingga jumlah kami sangat banyak. Kenapa engkau memberikan kepada kami hanya sebidang tanah saja sebagai warisan?”
15 Yoshua akajibu, “Kama ninyi ni wengi sana, na kama nchi ya vilima ya Efraimu ni ndogo sana kwenu, pandeni msituni mkafyeke eneo kwa ajili yenu wenyewe huko kwenye nchi ya Waperizi na Warefai.”
Jawab Yosua kepada mereka, “Kalau jumlah kalian sangat banyak dan daerah pegunungan Efraim terlalu sempit bagi kalian, mendakilah ke hutan dan bukalah tanah di daerah orang Feris dan Refaim.”
16 Watu wa Yosefu wakajibu, “Hiyo nchi ya vilima haitutoshi, nao Wakanaani wote wanaoishi katika tambarare wanayo magari ya vita ya chuma, wote wa Beth-Shani na miji yake, na wale walio katika Bonde la Yezreeli.”
Kata mereka lagi, “Pegunungan itu terlalu sempit bagi kami. Lagipula semua orang Kanaan yang tinggal di dataran rendah mempunyai kereta-kereta perang dari besi, baik yang tinggal di daerah Bet Sean dan desa-desa sekitarnya, maupun yang tinggal di lembah Yisreel.”
17 Lakini Yoshua akanena na nyumba ya Yosefu, yaani Efraimu na Manase: “Ninyi ni wengi sana na wenye nguvu sana. Hamtakuwa na mgawo mmoja tu,
Lalu kata Yosua kepada keturunan Yusuf, yaitu suku Efraim dan Manasye, “Memang, kalian sangat banyak dan sangat kuat. Kalian akan mendapat lebih dari satu bagian.
18 bali pia nchi hii ya kilima yenye msitu. Ifyekeni, nayo mipaka yake itakuwa yenu umbali mtakaoweza kufika. Ingawa Wakanaani wana magari ya chuma, nao wana nguvu, mwaweza kuwafukuza humo.”
Daerah pegunungan juga akan menjadi milik kalian. Karena daerah itu adalah hutan, bukalah hutan itu dan milikilah seluruhnya. Kalian juga akan mengusir orang Kanaan meskipun mereka kuat dan mempunyai kereta-kereta perang dari besi.”

< Yoshua 17 >