< Yoshua 17 >

1 Huu ndio mgawo wa kabila la Manase kama mzaliwa wa kwanza wa Yosefu, yaani kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase. Makiri alikuwa baba wa Wagileadi, ambao walipokea Gileadi na Bashani kwa sababu Wamakiri walikuwa askari wakuu.
Manassen sukukunta sai sekin arpaosansa, sillä hän oli Joosefin esikoinen. Maakir, Manassen esikoinen, Gileadin isä, sai Gileadin ja Baasanin, sillä hän oli sotilas.
2 Kwa hiyo mgawo huu ulikuwa kwa ajili ya watu wa Manase waliokuwa wamebaki, ambao ni koo za Abiezeri, Heleki, Asirieli, Shekemu, Heferi na Shemida. Hawa ndio wanaume wale wengine wa uzao wa Manase mwana wa Yosefu kwa koo zao.
Muutkin manasselaiset saivat osuutensa, suvuittain: abieserilaiset, heelekiläiset, asrielilaiset, sekemiläiset, heeferiläiset ja semidalaiset. Nämä ovat Manassen, Joosefin pojan, miespuoliset jälkeläiset, suvuittain.
3 Basi Selofehadi mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase hakuwa na wana waume ila mabinti tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.
Mutta Selofhadilla, Heeferin pojalla, joka oli Gileadin poika, joka Maakirin poika, joka Manassen poika, ei ollut poikia, vaan ainoastaan tyttäriä; ja nämä olivat hänen tyttäriensä nimet: Mahla, Nooga, Hogla, Milka ja Tirsa.
4 Wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi, wakasema: “Bwana alimwagiza Mose atupatie urithi miongoni mwa ndugu zetu.” Kwa hiyo Yoshua akawapa urithi pamoja na ndugu wa baba yao, kufuatana na agizo la Bwana.
Nämä astuivat pappi Eleasarin ja Joosuan, Nuunin pojan, ja päämiesten eteen ja sanoivat: "Herra käski Mooseksen antaa meille perintöosan veljiemme keskuudessa". Silloin Joosua antoi heille Herran käskyn mukaisesti perintöosan heidän isänsä veljien keskuudessa.
5 Fungu la Manase lilikuwa na sehemu kumi za nchi, licha ya Gileadi na Bashani mashariki mwa Yordani,
Niin tuli Manasselle, paitsi Gileadin maata ja Baasania tuolla puolella Jordanin, kymmenen osaa,
6 kwa sababu wale binti za kabila la Manase walipokea urithi miongoni mwa wana wa kiume. Nchi ya Gileadi ilikuwa mali ya wazao wa Manase waliobaki.
koska Manassen tyttäret saivat perintöosan hänen poikiensa keskuudessa; mutta Gileadin maa joutui Manassen muille jälkeläisille.
7 Eneo la Manase lilienea kuanzia Asheri hadi Mikmeta mashariki mwa Shekemu. Mpaka ule ulielekea upande wa kusini kutoka pale kujumuisha watu walioishi En-Tapua.
Manassen raja kulkee Asserista Mikmetatiin, joka on Sikemin itäpuolella; sitten raja menee oikealle Een-Tappuahin asukkaiden tienoille.
8 (Nchi ya Tapua ilikuwa mali ya Manase, lakini Tapua yenyewe iliyo mpakani mwa nchi ya Manase ilikuwa ya Waefraimu.)
Tappuahin maa joutui Manasselle, mutta Tappuah, Manassen rajalla, efraimilaisille.
9 Kisha mpaka ule uliendelea kuelekea kusini hadi Bonde la Kana. Kulikuwepo miji ya Efraimu iliyokuwa miongoni mwa miji ya Manase, lakini mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa lile bonde na kuishia kwenye bahari.
Sitten raja laskeutuu Kaana-puroon, puron eteläpuolelle; mutta siellä, Manassen kaupunkien keskellä, olevat kaupungit joutuivat Efraimille. Sitten Manassen raja kulkee puron pohjoispuolelle ja päättyy mereen.
10 Nchi ya kusini ilikuwa ya Efraimu, na ile iliyokuwa upande wa kaskazini ilikuwa ya Manase. Eneo la Manase lilifika bahari na ikapakana na Asheri upande wa kaskazini, na Isakari upande wa mashariki.
Eteläpuolella oleva maa joutui Efraimille, mutta pohjoispuolella oleva maa joutui Manasselle, ja meri on sen rajana. Ja pohjoisessa sen raja koskettaa Asseria ja idässä Isaskaria.
11 Katika Isakari na Asheri Manase alikuwa na miji pia: Beth-Shani, Ibleamu na watu wa Dori, Endori, Taanaki na Megido, pamoja na vijiji vyote vinavyohusika na miji hiyo (ya tatu katika orodha ni Nafothi).
Isaskarista ja Asserista joutui Manasselle Beet-Sean ja sen tytärkaupungit, Jibleam ja sen tytärkaupungit, Doorin asukkaat ja sen tytärkaupungit, Een-Doorin asukkaat ja sen tytärkaupungit, Taanakin asukkaat ja sen tytärkaupungit, Megiddon asukkaat ja sen tytärkaupungit, kolme kukkulaa.
12 Lakini Wamanase hawakuweza kuimiliki miji hii, kwa kuwa Wakanaani walikazana kuishi katika maeneo hayo.
Mutta manasselaiset eivät kyenneet ottamaan haltuunsa näitä kaupunkeja, vaan kanaanilaisten onnistui jäädä asumaan siihen maahan.
13 Hata hivyo, Waisraeli walivyoendelea kupata nguvu waliwatumikisha Wakanaani na kuwatia katika kazi za kulazimishwa, lakini hawakuwafukuza kabisa.
Kun israelilaiset sitten voimistuivat, saattoivat he kanaanilaiset työveron alaisiksi, mutta eivät karkoittaneet heitä.
14 Watu wa Yosefu wakamwambia Yoshua, “Kwa nini umetupa sisi mgawo mmoja tu na sehemu moja tu kuwa urithi? Sisi tu watu wengi sana, na Bwana ametubariki kwa wingi.”
Joosefilaiset puhuivat Joosualle sanoen: "Miksi sinä olet antanut minulle perintöosaksi vain yhden arvan ja yhden osan, vaikka minä olen lukuisa kansa, kun Herra aina tähän asti on minua siunannut?"
15 Yoshua akajibu, “Kama ninyi ni wengi sana, na kama nchi ya vilima ya Efraimu ni ndogo sana kwenu, pandeni msituni mkafyeke eneo kwa ajili yenu wenyewe huko kwenye nchi ya Waperizi na Warefai.”
Silloin Joosua sanoi heille: "Jos sinä olet niin lukuisa kansa, niin mene metsäseutuun ja raivaa itsellesi maata sieltä, perissiläisten ja refalaisten maasta, kun kerran Efraimin vuoristo on sinulle liian ahdas".
16 Watu wa Yosefu wakajibu, “Hiyo nchi ya vilima haitutoshi, nao Wakanaani wote wanaoishi katika tambarare wanayo magari ya vita ya chuma, wote wa Beth-Shani na miji yake, na wale walio katika Bonde la Yezreeli.”
Mutta joosefilaiset vastasivat: "Ei vuoristo riitä meille; ja kaikilla kanaanilaisilla, jotka asuvat tasangoilla, on raudoitettuja sotavaunuja, sekä niillä, jotka asuvat Beet-Seanissa ja sen tytärkaupungeissa, että niillä, jotka asuvat Jisreelin tasangolla".
17 Lakini Yoshua akanena na nyumba ya Yosefu, yaani Efraimu na Manase: “Ninyi ni wengi sana na wenye nguvu sana. Hamtakuwa na mgawo mmoja tu,
Silloin Joosua sanoi Joosefin heimolle, Efraimille ja Manasselle, näin: "Sinä olet lukuisa kansa ja sinun voimasi on suuri; sinua ei ole jätettävä yhdelle ainoalle arpaosalle,
18 bali pia nchi hii ya kilima yenye msitu. Ifyekeni, nayo mipaka yake itakuwa yenu umbali mtakaoweza kufika. Ingawa Wakanaani wana magari ya chuma, nao wana nguvu, mwaweza kuwafukuza humo.”
vaan vuoristo on tuleva sinun omaksesi. Koska se on metsäseutua, on sinun raivattava se, ja sen laitapuoletkin tulevat sinun omiksesi. Sillä sinun on karkoitettava kanaanilaiset, vaikka heillä on raudoitettuja sotavaunuja ja vaikka he ovat voimakkaat."

< Yoshua 17 >