< Yoshua 16 >

1 Mgawanyo wa Yosefu ulianzia Yordani ya Yeriko, mashariki mwa miji ya Yeriko na kutoka hapo ulipanda kupitia jangwani na kuingia katika nchi ya vilima ya Betheli.
Nitsatok’ am’ Iardene’ Ieriko le boak’amo rano’ Ierikoo maniñanañe mb’ am-patrambey miakatse boak’ Ieriko ao pak’ am-bohitse Betele mb’eo ty tsapake niazo’ Iosefe,
2 Ukaendelea kutoka Betheli (ndiyo Luzu), ukavuka kuingia eneo la Waariki huko Atarothi,
le boake Betele mb’e Loze miary amy efe’ i Arký e Ata­rotey,
3 ukateremkia kuelekea magharibi hadi eneo la Wayafleti ukienea hadi eneo la Beth-Horoni ya Chini hadi Gezeri, ukiishia baharini.
le miotake mizotso mb’ an-driake mb’ añ’efe’ Iafletý mb’eo, mb’ añ’efe’ i Bete-korone ambane, le mb’e Gezere mb’eo vaho mandoak’ an-driak’ añe.
4 Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yosefu, walipokea urithi wao.
Aa le nandrambe ty lova’ iareo i ana’ Iosefe rey: i Menasè naho i Efraime.
5 Hili ndilo lilikuwa eneo la Efraimu, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao ulianzia Ataroth-Adari upande wa mashariki hadi Beth-Horoni ya Juu,
Zao ty efe’ o ana’ Efra­imeo ty amo hasavereña’ iareoo; ty efe’ i lova’ iareo ami’ty ila’e atiñana boak’ Ata­rote-kadare, pake Bete-korone amboney;
6 na kuendelea mpaka baharini. Kutoka Mikmeta upande wa kaskazini ulipinda kuelekea mashariki hadi Taanath-Shilo, ukiupita hadi Yanoa upande wa mashariki.
le nimb’ ahandrefam-b’eo i efetse zay; i Mikmetà ty añ’ ila’e avaratse; maniñanañe amy zao i efetsey pake Taanate-silò añe, le milikoatse aze mb’ atiñana mb’e Ianoake mb’eo:
7 Kisha uliteremka kutoka Yanoa hadi Atarothi na Naara, ukagusa Yeriko na kutokea katika Mto Yordani.
le boake Ianoake re mizotso mb’e Atarote naho mb’e Naarate naho mioza am’ Ieriko vaho mandoak’ am’ Iardeney mb’eo.
8 Kutoka Tapua mpaka ulikwenda magharibi hadi Bonde la Kana na kuishia baharini. Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Waefraimu, ukoo kwa ukoo.
Ie boake Tapoà eo, le miotake mañandrefa mb’an-driake mb’amy saka Kanày vaho mipotìtse amy riakey. Izay ty lovam-pifokoa’ o ana’ i Efraimeo ty amo hasavereña’eo,
9 Pia ulijumuisha miji yote na vijiji vyake ambavyo vilitengwa kwa ajili ya Waefraimu ndani ya urithi wa kabila la Manase.
naho o rova navaheñe ho a’ o ana’ i Efraimeo amo ana’ i Menasèo, i rova iaby rey rekets’ o tanà’eo.
10 Hawakuwatoa Wakanaani waishio Gezeri; mpaka leo Wakanaani wanaishi miongoni mwa watu wa Efraimu lakini wanatakiwa kufanya kazi ngumu za kulazimishwa.
Tsy rinoa’ iareo o nte-Kanàne nimoneñe e Gezereo, fa tambatse añivo’ o nte-Efraimeo pake henaneo o nte-Kanàneo mitoroñe aman-kàba.

< Yoshua 16 >